MKEO AKIDAI TALAKA USIMLAUMU WEWE UMEFELI KUMPA AMANI YA MOYO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 авг 2021

Комментарии • 31

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 2 года назад +7

    MASHA ALLAH sheikh Othman Michael
    JazzakaAllahu Khayra kwa darasa nzuri twapatapa faida nyingi sana kupitia darasa zak Allah akulipe kheri hp duniani na kesho Akhera

  • @shamymhmazan7778
    @shamymhmazan7778 2 года назад +2

    Mashallah shukran sheikhe wetu Allah akulipe kher darasa nzur baazi ya wanawake wananyanyasika wanapitia magumu kwenye ndoa sana shukran

  • @afric01
    @afric01 2 года назад +8

    Aslm alkm ww.... Shukran sana Sheikh Othman. Allah atupe furaha, kila mwanamke mwenye huzuni katika ndoa yake. Allah akulinde Sheikh wetu kipenzi. Twakupenda sana. Usisahau hilo.

  • @did3462
    @did3462 2 года назад +1

    SubhanaAllah Allah atuzidishie subra hasa wanawake tunapitia mengi.wanaume wamekuwa Hawana ihsan wala shukran.

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 2 года назад +3

    Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA

  • @maryammazige2020
    @maryammazige2020 2 года назад +3

    Maisha ya ndoa yanahitaji akili ya ziada sana kwa mke na mme kila mmoja amsome mwenzake anapenda nn na hapendi nn na ktk ndoa kula vizur siyo kunenepa bali wanawake twapenda tupate nyama ya ulimi nasi kingine

  • @zainabuyahya4042
    @zainabuyahya4042 2 года назад

    Allah akulipe shekh wang leo na kesho akhera,

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 2 года назад +2

    Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad SWALALLAHU ALLEYHI WASALLAM AHLI ZAKE NA MASWAHABA ZAKE WOTE

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 2 года назад +1

    Jazakallah khayran sheikh wetu

  • @saidhatibu9565
    @saidhatibu9565 2 года назад

    Shekhe najuta kwann sikukufahamu zamani huenda nisingetenda kosa kuolewa na mtu asiesahihi Ila sijutii mungu atamleta aliena kheri na mm isnshalla nakupenda sanaaaa kwa ajili ya Allah

  • @ashasaid5061
    @ashasaid5061 2 года назад +2

    MAASHAALLAH

  • @salhamuhidini9911
    @salhamuhidini9911 2 года назад

    Mashaallah

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 2 года назад

    Sheikh kwanza nikupe sifa zako wewe sheikh unaonesha mkarim sana.mpole sana mashaaAllh mungu kakupa uzuru mashasAllah pia nimependa sana kuelimisha watu kwani mawaidha yako kwenye ndowa wengi hawayajuwi na wengi akina sie tumo kujifinza mengi kupitia kwako .nakushukuru sana sheikh mungu akuzidishi sifa ya elimu na akuzidishie afya njema ameen

    • @fatemafatema4780
      @fatemafatema4780 2 года назад

      Kuna kitu nilikosea naamana mungu kakupa uzuri wa kila kitu elimu na elimu ya dini na uzuri wa kila kitu mashaaAllah .hongera sana sheikh

  • @maryammazige2020
    @maryammazige2020 2 года назад

    Mashaa Allah Sheikh umeongea maneyno yenye Busara sana mno hakika waume wote wangekuwa hivy ingekuwa hakuna kuvunjika kwa ndoa

  • @mtumwaali959
    @mtumwaali959 2 года назад

    Allah akujaalie kheri sheikh ukija znz naomba unijuulishe inshallah

  • @asmaabdi2956
    @asmaabdi2956 2 года назад

    Masha Allah Baraka Allahu fiik Rabbna ya hifdhaka

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 2 года назад

    Allah Akulipe Kila la kheri sheikh wetu

  • @ayuburimbi4479
    @ayuburimbi4479 2 года назад

    Nakukubali sana kaka angu

  • @elllyjoykathambimati7378
    @elllyjoykathambimati7378 2 года назад

    Shukrani sheikh

  • @a.856
    @a.856 2 года назад +2

    Jazakallah khayran

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 2 года назад

    Shukran 🙏

  • @aliidrisahmad2812
    @aliidrisahmad2812 2 года назад +1

    Asalam alaykum

  • @elllyjoykathambimati7378
    @elllyjoykathambimati7378 2 года назад

    Naa akikataa kunipea and I want to move forward sheikh nifanye nini

  • @saadakhamis5348
    @saadakhamis5348 2 года назад +1

    Shekh nahitaji kuongea na ww ndoa yangu ina matatizo mume wangu simuelewi inaonekana hana somo la ndoa

    • @shamimusuleiman7599
      @shamimusuleiman7599 2 года назад +1

      Maashallah shekh waambie hao wanakimbilia kuongeza wake lakini upendo na matunzo ni sifuri tunavumilia sana wanawake tulio kwenye ndoa

    • @shamimusuleiman7599
      @shamimusuleiman7599 2 года назад +1

      Yaan Kama Mimi sihtaji Tena ndoa maana sijaona mapenzi ya kweli kwa huyu mtu hajawahi hata kunisindikiza hospital kwa miaka kumi na sana sasa na nikijifungua najihudumia mwenyewe

    • @shamimusuleiman7599
      @shamimusuleiman7599 2 года назад +3

      Hii ndio ile hela huna na maneno mazuri yanakushinda