TAHADHARI SANA NA MACHOZI YA MKEO UMEKWISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2021

Комментарии • 145

  • @ameratsabiya3399
    @ameratsabiya3399 2 года назад +9

    Masha ALLAH mwenyeziMungu atujaalie utulivu kwenye ndoa zetu

  • @zammalik2956
    @zammalik2956 2 года назад +14

    Mashallah mashallah mashallah penda sanna uyu mtu Allah akubarik akulipe kila la kheri inshallah ujumbe mahsusi 🤝

    • @khuiii9032
      @khuiii9032 2 года назад +1

      Mwitee kwa cheo chakee shekh huja mtendea haki

  • @manishhassan05
    @manishhassan05 2 года назад +9

    Mashaallah 🤲 Tabarak Allah 🤲 Wallahyll Athiim Nakupenda ❤ sheikh wetu kwa Ajili ya Allah..May Allah Subhanah Wataalah Bless you & your entire families 🤲🤲💖💖 🇰🇪🇰🇪 Barak Allahu Fiikum 🙏🙏 In Shaa Allah I can't wait to see you in Kenya Biidhnillah ☝️Nakuombea kila la Khayr Inshaallah 🤲

  • @salmajanoowala3738
    @salmajanoowala3738 2 года назад +4

    Mashaallah mashaallah mashaallah waambie shehk wasiojua kuishi na wake zao

  • @afric01
    @afric01 2 года назад +16

    Aslm alkm ww.... Wallahi Sheikh wetu kipenzi, umeongea Masha Allah. Tumekauka machizi wanawake, Allah atupe furaha. Allah akulinde Sheikh Othman. Allah akulipe jannah Kwa hili. Unasaidia Sheikh Othman. Allah akuhifadhi Sheikh, akupe umri furaha afya njema na mafanikio. Jazakallah kheir 🙏

  • @wahidasaid7690
    @wahidasaid7690 2 года назад +1

    Kabisaa

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +2

    Shukran ya sheykh allah akuzidishie afya uitangaze dini kwa mafunzo mbalimbali amiin

  • @user-vl4md8rj6i
    @user-vl4md8rj6i 5 месяцев назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah mola akube maisha marefu akube uzima na akuhifathi

  • @aminathabagome4827
    @aminathabagome4827 Год назад +1

    Asalam alaykum warahma turlahi wabarakatu shekh Outhman amawaidha haya umepatia kwelii kweli wala hujakosea kwa kweli baadhi ya wanawake tumeachika na mpaka hivi bado tunalia machozi kwa kudhalilisha na wanaume shekh kweli sina lakukulipa kwa mawaidha haya lakini Nakuombea dua shekh Outhman Allah akulinde zaidi na zaidi akuhifadhi shekh natamani kupata namba yako ya simu ili tuongeye basi hata in mbox

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 2 года назад +2

    Wewe sheikh umezungumza maradhi makubwa sana tuliyonayo ni kweli kabisa

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 2 года назад +2

    Masha Allah mafunzo mazur Sana Allah akuhifadhi na shar zawatu na husda Amin 🙏💓💓💓💓

  • @mebazaunga8652
    @mebazaunga8652 2 года назад +5

    Mashaallah!!
    Shukran Sheikh.

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 2 года назад +1

    Mashallah shekh shekh wa Kwanza sio mnafiki umeitema wazi wengi hawasemi ukweli Allah akujaalie kheri duniani na akhera

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 2 года назад +2

    Masha Allah, Allah akuhifadhi sheikh kwa darsa zuri, wana ndoa wazingatie mawaidha hayo, Allah awajaalie mapenzi na kizazi chema

  • @fatumamnyazilewa5466
    @fatumamnyazilewa5466 Год назад

    Alhamdhulilah sana tu,kweli shekhe wangu umenifanyq mm nashikilia amini yangu ya dini kupitia ww yaan umenifunza mengi sana Allah akulipe jazak yako ishaAllah

  • @mammpiko9801
    @mammpiko9801 Год назад

    M / mungu atatulipiya sisi wanawake na wanaume mtatiwa motoni kwa kutowa talaka ovyo kwa starehe za kidunia tu

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 2 года назад +3

    Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh akulinde popote ulipo

  • @asmaabdi2956
    @asmaabdi2956 2 года назад +4

    Baraka Allahu fiik Masha Allah Tabarakallah

  • @qatimaabdullahi3950
    @qatimaabdullahi3950 2 года назад +3

    MashaAllah sheikh jazaka Allah

  • @user-ke5fg8en4m
    @user-ke5fg8en4m 6 месяцев назад

    Allah akulinde ndugu yangu nakupenda sana kwa ajili yahallah

  • @shakilashak3337
    @shakilashak3337 2 года назад +1

    Asant san shekhe Othman

  • @MaryamSaid-km7rw
    @MaryamSaid-km7rw 8 месяцев назад

    Mashallah shekh Othman natamani ungekuwa mkwe wangu

  • @kuluthummusa971
    @kuluthummusa971 2 года назад +1

    Mashallah sheikh othman jazaka llah khair Allah akupe umri mrefub

  • @aminamooni1488
    @aminamooni1488 2 года назад +1

    Masha. Allah. Shekhe. Umeongea. Nimejisikia. Furaha. Sanakwamawaidha. Yako. Allah. Akupemwisho. Mwema. Duniani. Mpaka. Kesho. Kiama

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +4

    Asalaam alaykum Masha Allah shemela wangu penda sana shekhe wangu Allah akupe umri mrefu wenye manufaa ya dunia na akhera

    • @NaimaSalim-hv6bd
      @NaimaSalim-hv6bd 9 месяцев назад

      Asalam aleikum MashaAllah tabarakllah mawaidha mazuri Sana ila mmi nipo na matatizo nahitaji nasaha kuteteya ndowa yangu plz naomba Namba ya shekhe ya whatsp

  • @hasnarashidbilla1620
    @hasnarashidbilla1620 2 года назад +1

    Maashaallah ALLAH akupe umri mrefu wenye kher na baraka duniani na Aakhera

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 2 года назад +3

    Agree with you we need LCC🤗

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад +5

    👍🏽🤝👏👌💖❤👑💎👍🏽🤝👏👌Great speech very good mawaidha GOD! Bless u Always. Amiin. Ameen👌💚🧡💜💙💖❤👍🏽🤝👏👌

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 2 года назад +1

    Mm ni mkristo ila sheik nimependa sn mawaidha yako🙏

    • @sophiaali5813
      @sophiaali5813 Год назад

      Mungu akujalie endelea kuskiza dada shukran

  • @user-uw8jw9vk4e
    @user-uw8jw9vk4e Год назад

    Mashaallah shekh Allah akulipe kher maana kunawanaume wanafanya wanawake tuchukie ndoa

  • @aminasaid3033
    @aminasaid3033 2 года назад

    Mashaalla,tuushalia mpaka machozi yaamekauka,asante Shekhe Wangu,

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin6235 2 года назад +2

    Mashallah tabaraka Allah Allah bariq walakuna shain

  • @ashahaji2118
    @ashahaji2118 2 года назад +2

    Leo umeongea shekh wetu, wanawake tunalia Sana mpaka tunachukia ndoa

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 2 года назад +1

    MashaAllah sheikh wetu Allah Akulipe Kila la kheri sisemi kitu

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd 9 месяцев назад

    MashaAllah tabarakllah mawaidha mazuri Sana ila naomba Nasha kwako mmi ndowa yangu siieyelewi kikubwa sikielewi nisaidie na mawazo 😭😭

  • @nasramohamedi4095
    @nasramohamedi4095 2 года назад +2

    Bora kuitwa mwehu wallah mwanaume wangu namfumania kila cku nikihoj Sana naitwa choko, mkundu 😭😭😭namshtakia m/mungu tu😭😭

    • @sophiaali5813
      @sophiaali5813 Год назад +1

      Pole sana dadangu mungu atakujalia akupe nguvu na subraaa ilaa mke akichoka hua nibasi

    • @mrsahmadhajraah1550
      @mrsahmadhajraah1550 7 месяцев назад

      Pole Huyo s mume ondok

  • @janethmushi5359
    @janethmushi5359 2 года назад

    Allah akujalie kher shehe elim nzur sana nimejikuta natokwa na machoz ya kumbukiz yakutendwa😭😭😭

  • @maisaramaulid4668
    @maisaramaulid4668 2 года назад +1

    Mashallah mutawah somo zuri sana

  • @gracymussa7973
    @gracymussa7973 2 года назад +1

    Mashaallah sheikh

  • @angunaff7294
    @angunaff7294 2 года назад +1

    Thank you for your advice 🙏

  • @yusuphuhapotey352
    @yusuphuhapotey352 2 года назад

    Masha Allah Shekhe

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 2 года назад +1

    Mashallah tabarrakallah Allah.

  • @kodraaa7244
    @kodraaa7244 2 года назад +1

    Waelkum salamu mashallah mungu akupe maisha marefu shekhe

  • @khadijahpretty3121
    @khadijahpretty3121 2 года назад +4

    Mashallah sheikh may you live long 🙏

  • @user-gb6de1cm4m
    @user-gb6de1cm4m 7 месяцев назад

    Mashaallah yaan kweli kabisa shekhe

  • @najmakhamis1898
    @najmakhamis1898 2 года назад

    Mashallah Mashallah sheikh yani mie pia nimekua na roho ngumu kama jiwe kwa mme wangu

  • @zabirashzabi2846
    @zabirashzabi2846 2 года назад

    Masha Allah Jazaka Allah

  • @jamilasalim3282
    @jamilasalim3282 2 года назад +2

    Mm ndo kwenyekupendwa sipo toka nkmeolewa miaka 10 sasa

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Год назад

    Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat shekhe wetu.sababu wanaume wengi hawakumbuki usia wa MTUME WETU MUHAMMAD S.A.W kabla ya kifo chake juu ya kuwahurumiya wanawake lkn hilo wanaume wamesahau💔😭

  • @aminakinabo9062
    @aminakinabo9062 2 года назад +2

    Mashaallah, mashaallah.

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 2 года назад +2

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 2 года назад

    Masha Allah hakika shekhe wngu shkun sanaa🙏🙏

  • @yahyashamsa8597
    @yahyashamsa8597 5 месяцев назад

    Wallah mbwaa sana wanaume

  • @zainabmasiru8267
    @zainabmasiru8267 2 года назад +1

    mashaallah allah akupe mwisho mwema

  • @fatmaali2534
    @fatmaali2534 2 года назад +1

    Ma shaa Allah

  • @medi222alrajhi9
    @medi222alrajhi9 2 года назад +2

    Bora uwafundishe

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo4360 2 года назад +4

    Mashallah

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 2 года назад +2

    Mashaallah bless you always Ameen

    • @hawaomary2782
      @hawaomary2782 2 года назад

      Mimi naitwa majina ya ajabu naitwa mjinga mm shkhe na vumilia yurazi amsifu mwanamke wa nje ndio mke we

  • @wardasaid3269
    @wardasaid3269 2 года назад

    Naam sheikh kweli Allah akulipe kwa hayo mawaidha

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 2 года назад +1

    MASHA ALLAH

  • @hasnahasna1743
    @hasnahasna1743 2 года назад

    Mashaallah mashaallah 🤝🏻

  • @salmamwanyiro8348
    @salmamwanyiro8348 2 года назад +1

    Mashaallah mashaallah

  • @habibaomary228
    @habibaomary228 2 года назад +1

    Mwanaume hawariiki bana wengine ana wanawke wawil lkn bdo anazini bc ww mke wa kwanza unafanywa tambara la deki

  • @fatumaally381
    @fatumaally381 2 года назад

    Nikweli shekh jazak llah khair

  • @amainasubange7539
    @amainasubange7539 2 года назад +1

    Maashaallh

  • @rossikirossiki6518
    @rossikirossiki6518 2 года назад

    Mungu akulipe shehe wetu respecter

  • @adijajuma9048
    @adijajuma9048 2 года назад +2

    Mm nimechokaaaaa kabisa sipendi tena

  • @husminmaisam448
    @husminmaisam448 2 года назад +1

    Asalam alykum sheikh nauliza siafu wakiingia nyumbani inaashiria nini shukran

  • @salmajanoowala3738
    @salmajanoowala3738 2 года назад +2

    Takbir

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 2 года назад

      Allahuakbar

    • @tifaramadhan5341
      @tifaramadhan5341 2 года назад

      Walah ni kwel ogopa sana chozi LA mwanamke mtihani mno wanaume weng hawajui kish na wake zao

  • @evenymathias3788
    @evenymathias3788 2 года назад

    Allah akulinde shekhe

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 2 года назад

    MashaALLAH

  • @harunamikina7038
    @harunamikina7038 Год назад

    aslm alykm she he mm ni meolewa Niko arusha ndoa yangu imekuwa ngumu ananiisi nimetoka NHS ya ndoa na sijawai atasikumoja

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 2 года назад

    Manshallah 🥰

  • @mariamkai2705
    @mariamkai2705 Год назад

    Hawajui hilo

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 2 года назад +3

    ماشاء الله تبارك الله.

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 2 года назад

    Mashaallah

  • @sabrasharifu8148
    @sabrasharifu8148 2 года назад

    Allah awaripe kher leo na kesho akhera

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 2 года назад +1

    Umenigusia ndipo sheilk

  • @mwaliassumani9557
    @mwaliassumani9557 2 года назад

    Mansha'Allah

  • @issajuma4643
    @issajuma4643 2 года назад

    Mashallah kweli kabsa shekhe

  • @zulekhabaksh686
    @zulekhabaksh686 2 года назад +1

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuhu shekh ni kweli kabisa sisi wanawake tunafanyiwa mengi na tunasubra mwisho subra anaondoka kweli

  • @evelynejuvenary2631
    @evelynejuvenary2631 2 года назад +2

    Masha'Allah 😘💖🙏

  • @zuhurasuleiman1569
    @zuhurasuleiman1569 2 года назад

    Sheikh mashalah napata faraja

  • @aminamichaelkupaza1186
    @aminamichaelkupaza1186 2 года назад +1

    Massage sent

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 2 года назад +2

    Sheikh Othman Michael Asalam alaekum mimi nipo inje yamada nilikosana namume wangu baadae tukasuluhishana cha ajabu juzi nimelala nikaota mwanamume mweupe mfano wamwarabu yuataka kunibaka tukapigana usiku msaada wangu ukatokea wewe namwenzako mkanisaidia basinilipoamka nimejipata nimechanjwa kwenyeshingo

    • @othmanmichaelonline2866
      @othmanmichaelonline2866  2 года назад

      W slm pole niathar zajini ashq yaelekeza tukuombee sie utapoa inshaallah

    • @yusramohammed8761
      @yusramohammed8761 2 года назад

      @@othmanmichaelonline2866 assalam alaikum shehe mm naomba number yako ya cm kwani nataka niongee na ww nna kesi kubwa na sipendi kuitangaza mtandaoni imenigusa hii mada sana sana

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад

    Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад

    Swallallwahu alayhi wasallam

  • @sophiaali5813
    @sophiaali5813 Год назад

    Walakum salam shekh wangu nime tumia mawaidha haya Ndio nasikiliza saizi ila nime jifunza mengi kupitia ww ila nina mwengi ya kukueleza ili nipate msaada zaidi naomba namba zako nikueleze kiundani zaidi

  • @sein.208
    @sein.208 2 года назад +1

    Masha Allah
    TabarakAllah

  • @fatumakambi960
    @fatumakambi960 Год назад

    MASHALLAH

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +1

    Hilo la house girl limetokea live kinondoni moscow km kisa kinavyosema tena yy amenunuliwa kiwanja kabisa

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 2 года назад +1

    Umesema_kweli_tena_sana

  • @zuzuzizi3519
    @zuzuzizi3519 2 года назад

    Niukweli umeongea mungu atupe kuvumilia

  • @mtumwaali959
    @mtumwaali959 2 года назад

    Mhhh mshkaki jamani

  • @futuregenerations6181
    @futuregenerations6181 2 года назад

    Je Hawa waume wakitutesa hivi mpaka tukafika mwisho do they get a share of sins?

  • @user-xh6tb2oh1q
    @user-xh6tb2oh1q 10 месяцев назад

    22:40 22:45 🎉😂😂 status

  • @asiyajuma3135
    @asiyajuma3135 Год назад

    Mm nimelizwa hadi sasa na lia shekhe

  • @AminaAmina-fl5yp
    @AminaAmina-fl5yp 2 года назад

    Asante

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 года назад

    💐💐💐💐🙏

  • @jitovicasunna1817
    @jitovicasunna1817 2 года назад

    Naam