Mashaallah 🤲 Tabarak Allah 🤲 Wallahyll Athiim Nakupenda ❤ sheikh wetu kwa Ajili ya Allah..May Allah Subhanah Wataalah Bless you & your entire families 🤲🤲💖💖 🇰🇪🇰🇪 Barak Allahu Fiikum 🙏🙏 In Shaa Allah I can't wait to see you in Kenya Biidhnillah ☝️Nakuombea kila la Khayr Inshaallah 🤲
Asalam alaykum warahma turlahi wabarakatu shekh Outhman amawaidha haya umepatia kwelii kweli wala hujakosea kwa kweli baadhi ya wanawake tumeachika na mpaka hivi bado tunalia machozi kwa kudhalilisha na wanaume shekh kweli sina lakukulipa kwa mawaidha haya lakini Nakuombea dua shekh Outhman Allah akulinde zaidi na zaidi akuhifadhi shekh natamani kupata namba yako ya simu ili tuongeye basi hata in mbox
Alhamdhulilah sana tu,kweli shekhe wangu umenifanyq mm nashikilia amini yangu ya dini kupitia ww yaan umenifunza mengi sana Allah akulipe jazak yako ishaAllah
Asalam aleikum MashaAllah tabarakllah mawaidha mazuri Sana ila mmi nipo na matatizo nahitaji nasaha kuteteya ndowa yangu plz naomba Namba ya shekhe ya whatsp
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat shekhe wetu.sababu wanaume wengi hawakumbuki usia wa MTUME WETU MUHAMMAD S.A.W kabla ya kifo chake juu ya kuwahurumiya wanawake lkn hilo wanaume wamesahau💔😭
@@othmanmichaelonline2866 assalam alaikum shehe mm naomba number yako ya cm kwani nataka niongee na ww nna kesi kubwa na sipendi kuitangaza mtandaoni imenigusa hii mada sana sana
Walakum salam shekh wangu nime tumia mawaidha haya Ndio nasikiliza saizi ila nime jifunza mengi kupitia ww ila nina mwengi ya kukueleza ili nipate msaada zaidi naomba namba zako nikueleze kiundani zaidi
Masha ALLAH mwenyeziMungu atujaalie utulivu kwenye ndoa zetu
Mashallah mashallah mashallah penda sanna uyu mtu Allah akubarik akulipe kila la kheri inshallah ujumbe mahsusi 🤝
Mwitee kwa cheo chakee shekh huja mtendea haki
Mashaallah 🤲 Tabarak Allah 🤲 Wallahyll Athiim Nakupenda ❤ sheikh wetu kwa Ajili ya Allah..May Allah Subhanah Wataalah Bless you & your entire families 🤲🤲💖💖 🇰🇪🇰🇪 Barak Allahu Fiikum 🙏🙏 In Shaa Allah I can't wait to see you in Kenya Biidhnillah ☝️Nakuombea kila la Khayr Inshaallah 🤲
Mashaallah mashaallah mashaallah waambie shehk wasiojua kuishi na wake zao
Aslm alkm ww.... Wallahi Sheikh wetu kipenzi, umeongea Masha Allah. Tumekauka machizi wanawake, Allah atupe furaha. Allah akulinde Sheikh Othman. Allah akulipe jannah Kwa hili. Unasaidia Sheikh Othman. Allah akuhifadhi Sheikh, akupe umri furaha afya njema na mafanikio. Jazakallah kheir 🙏
Amiin ya rabbi
Shekhe Othman mh
Mungu akujaze maayazo mwema shehe
Kabisaa
Shukran ya sheykh allah akuzidishie afya uitangaze dini kwa mafunzo mbalimbali amiin
Mashaallah mashaallah mashaallah mola akube maisha marefu akube uzima na akuhifathi
Asalam alaykum warahma turlahi wabarakatu shekh Outhman amawaidha haya umepatia kwelii kweli wala hujakosea kwa kweli baadhi ya wanawake tumeachika na mpaka hivi bado tunalia machozi kwa kudhalilisha na wanaume shekh kweli sina lakukulipa kwa mawaidha haya lakini Nakuombea dua shekh Outhman Allah akulinde zaidi na zaidi akuhifadhi shekh natamani kupata namba yako ya simu ili tuongeye basi hata in mbox
Wewe sheikh umezungumza maradhi makubwa sana tuliyonayo ni kweli kabisa
Masha Allah mafunzo mazur Sana Allah akuhifadhi na shar zawatu na husda Amin 🙏💓💓💓💓
Mashaallah!!
Shukran Sheikh.
Mashallah shekh shekh wa Kwanza sio mnafiki umeitema wazi wengi hawasemi ukweli Allah akujaalie kheri duniani na akhera
Mashallah Allah akuhifadhi
Masha Allah, Allah akuhifadhi sheikh kwa darsa zuri, wana ndoa wazingatie mawaidha hayo, Allah awajaalie mapenzi na kizazi chema
Alhamdhulilah sana tu,kweli shekhe wangu umenifanyq mm nashikilia amini yangu ya dini kupitia ww yaan umenifunza mengi sana Allah akulipe jazak yako ishaAllah
M / mungu atatulipiya sisi wanawake na wanaume mtatiwa motoni kwa kutowa talaka ovyo kwa starehe za kidunia tu
Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh akulinde popote ulipo
Baraka Allahu fiik Masha Allah Tabarakallah
MashaAllah sheikh jazaka Allah
Allah akulinde ndugu yangu nakupenda sana kwa ajili yahallah
Asant san shekhe Othman
Mashallah shekh Othman natamani ungekuwa mkwe wangu
😁😁😁😁jmn
Mashallah sheikh othman jazaka llah khair Allah akupe umri mrefub
Masha. Allah. Shekhe. Umeongea. Nimejisikia. Furaha. Sanakwamawaidha. Yako. Allah. Akupemwisho. Mwema. Duniani. Mpaka. Kesho. Kiama
Asalaam alaykum Masha Allah shemela wangu penda sana shekhe wangu Allah akupe umri mrefu wenye manufaa ya dunia na akhera
Asalam aleikum MashaAllah tabarakllah mawaidha mazuri Sana ila mmi nipo na matatizo nahitaji nasaha kuteteya ndowa yangu plz naomba Namba ya shekhe ya whatsp
Maashaallah ALLAH akupe umri mrefu wenye kher na baraka duniani na Aakhera
Agree with you we need LCC🤗
👍🏽🤝👏👌💖❤👑💎👍🏽🤝👏👌Great speech very good mawaidha GOD! Bless u Always. Amiin. Ameen👌💚🧡💜💙💖❤👍🏽🤝👏👌
Mm ni mkristo ila sheik nimependa sn mawaidha yako🙏
Mungu akujalie endelea kuskiza dada shukran
Mashaallah shekh Allah akulipe kher maana kunawanaume wanafanya wanawake tuchukie ndoa
Mashaalla,tuushalia mpaka machozi yaamekauka,asante Shekhe Wangu,
Mashallah tabaraka Allah Allah bariq walakuna shain
Leo umeongea shekh wetu, wanawake tunalia Sana mpaka tunachukia ndoa
MashaAllah sheikh wetu Allah Akulipe Kila la kheri sisemi kitu
MashaAllah tabarakllah mawaidha mazuri Sana ila naomba Nasha kwako mmi ndowa yangu siieyelewi kikubwa sikielewi nisaidie na mawazo 😭😭
Bora kuitwa mwehu wallah mwanaume wangu namfumania kila cku nikihoj Sana naitwa choko, mkundu 😭😭😭namshtakia m/mungu tu😭😭
Pole sana dadangu mungu atakujalia akupe nguvu na subraaa ilaa mke akichoka hua nibasi
Pole Huyo s mume ondok
Allah akujalie kher shehe elim nzur sana nimejikuta natokwa na machoz ya kumbukiz yakutendwa😭😭😭
Mashallah mutawah somo zuri sana
Mashaallah sheikh
Thank you for your advice 🙏
Masha Allah Shekhe
Mashallah tabarrakallah Allah.
Waelkum salamu mashallah mungu akupe maisha marefu shekhe
Mashallah sheikh may you live long 🙏
Mashaallah yaan kweli kabisa shekhe
Mashallah Mashallah sheikh yani mie pia nimekua na roho ngumu kama jiwe kwa mme wangu
Masha Allah Jazaka Allah
Mm ndo kwenyekupendwa sipo toka nkmeolewa miaka 10 sasa
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat shekhe wetu.sababu wanaume wengi hawakumbuki usia wa MTUME WETU MUHAMMAD S.A.W kabla ya kifo chake juu ya kuwahurumiya wanawake lkn hilo wanaume wamesahau💔😭
Mashaallah, mashaallah.
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Masha Allah hakika shekhe wngu shkun sanaa🙏🙏
Wallah mbwaa sana wanaume
mashaallah allah akupe mwisho mwema
Ma shaa Allah
Bora uwafundishe
Mashallah
Mashaallah bless you always Ameen
Mimi naitwa majina ya ajabu naitwa mjinga mm shkhe na vumilia yurazi amsifu mwanamke wa nje ndio mke we
Naam sheikh kweli Allah akulipe kwa hayo mawaidha
MASHA ALLAH
Mashaallah mashaallah 🤝🏻
Mashaallah mashaallah
Mwanaume hawariiki bana wengine ana wanawke wawil lkn bdo anazini bc ww mke wa kwanza unafanywa tambara la deki
Nikweli shekh jazak llah khair
Maashaallh
Mungu akulipe shehe wetu respecter
Mm nimechokaaaaa kabisa sipendi tena
Kwanini tena umechoka
Asalam alykum sheikh nauliza siafu wakiingia nyumbani inaashiria nini shukran
Takbir
Allahuakbar
Walah ni kwel ogopa sana chozi LA mwanamke mtihani mno wanaume weng hawajui kish na wake zao
Allah akulinde shekhe
MashaALLAH
aslm alykm she he mm ni meolewa Niko arusha ndoa yangu imekuwa ngumu ananiisi nimetoka NHS ya ndoa na sijawai atasikumoja
Manshallah 🥰
Hawajui hilo
ماشاء الله تبارك الله.
Jazakah llahu kheiry sheikh
@@sophiamasumai6322 Khairu
Mashaallah
Allah awaripe kher leo na kesho akhera
Umenigusia ndipo sheilk
Mansha'Allah
Mashallah kweli kabsa shekhe
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuhu shekh ni kweli kabisa sisi wanawake tunafanyiwa mengi na tunasubra mwisho subra anaondoka kweli
❤ NAKUOMBA BONYEZA HAPA..... 👇
ruclips.net/video/m7FXfhJotT0/видео.html
Kweli kabisa
Masha'Allah 😘💖🙏
Mashallah 🤲 🤲 shekh
Allah akupe umro shekh athman
Sheikh mashalah napata faraja
Massage sent
Sheikh Othman Michael Asalam alaekum mimi nipo inje yamada nilikosana namume wangu baadae tukasuluhishana cha ajabu juzi nimelala nikaota mwanamume mweupe mfano wamwarabu yuataka kunibaka tukapigana usiku msaada wangu ukatokea wewe namwenzako mkanisaidia basinilipoamka nimejipata nimechanjwa kwenyeshingo
W slm pole niathar zajini ashq yaelekeza tukuombee sie utapoa inshaallah
@@othmanmichaelonline2866 assalam alaikum shehe mm naomba number yako ya cm kwani nataka niongee na ww nna kesi kubwa na sipendi kuitangaza mtandaoni imenigusa hii mada sana sana
Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
Mashallah
Swallallwahu alayhi wasallam
Walakum salam shekh wangu nime tumia mawaidha haya Ndio nasikiliza saizi ila nime jifunza mengi kupitia ww ila nina mwengi ya kukueleza ili nipate msaada zaidi naomba namba zako nikueleze kiundani zaidi
Masha Allah
TabarakAllah
MASHALLAH
Hilo la house girl limetokea live kinondoni moscow km kisa kinavyosema tena yy amenunuliwa kiwanja kabisa
Umesema_kweli_tena_sana
Niukweli umeongea mungu atupe kuvumilia
Mhhh mshkaki jamani
Je Hawa waume wakitutesa hivi mpaka tukafika mwisho do they get a share of sins?
22:40 22:45 🎉😂😂 status
Mm nimelizwa hadi sasa na lia shekhe
Asante
💐💐💐💐🙏
Naam