Masha allah sijaolewa lkn nimepata somo kubwa mno kutoka kwako sheikh Insha allah naomba mungu nipate mume mwema na mwenye hofu ya Allah nitamhendo kadri ya uwezo wng na nitafata sheria zote na yote atayonikataza yeye kam mume wang insha allah
Masha -Allah sheikh ni maneno sahihi kabisa uloyaongea, laitami km wanaume watayaskiliza haya bs NDOA nyingi zitanusurika kuvunjika kwa mapungufu madogo madogo
Kweli wanawake tunaitaji upendo na maneno mazuli rakin mtu maneno machafu maneno ya kukuliza kila kukicha adi moyo unachoka na mtu adi unamkufulu mungu kwann niliolewa na mwanaume uyu Yarab nisamehe😩😩😩😩🤲🤲🤲
Aslm alkm ww...... Shukran sanaaa Sheikh Othman..umeongea masha Allah.ela niongezee kijana moja alioa mwanamwali waliishi mwezi mmoja, akaacha na akaoa mzee Mika 40 na wakazaa na wako pamoja hadi leo. Watu wanamtusi anawaambia mbona sikukaa na bikira????? Najua mwenyewe. Pole Sheikh wetu kipenzi. Kuna bahati mbaya mara nyingine hua umepata the wrong choice. Jazakallahu kheir Sheikh Othman. Allah akulinde akukinge na akuhifadhi. Shukran sanaaa kwa darsa. Allah akulipe Jannah firdaus.
Shekheir ndoa zimekuwa na migongano kwa hii dalili 1 wapo wa kwamba kiama kipo karibu ,maaana hii Mtume Muhammad s.a.w amesema mwisho wa dunia watu wataipenda dunia kuliko Akheira wataacha Qur-an na kutawaliwa maasi kwaio shekheir Ndoa kwa sasa lazima zitakuwa hazipo maana tayar tume Acha dini yetu hakuna chengine chochote Na utabiri umesha toka ila tumche Allah ili tupate radhi zake
Maa shaa Allah lkn sheikh nna wasi na hilo tumbo lako pamoja na mwili wako. Kila siku nataka kusema lkn leo Allah amenipa kauli. Unajua tumbo lako ninakua kubwa kuliko mwili wako. Pia wana afya wanasema uhakikishe mzunguko wa tumbo usiwe mkubwa kuliko mzunguko wa tumbo kwa sabbu unaeza kupata matatizo ya moyo/pressure. Allah akuepushe na maradhi, amiin.
Oh yes.. kweli ulichozungumza. Very wise man. Umenisaidiaa saana na maneno yako
Mashallah swadakta kila la kheri kwenye ndoa yenu wapendwa na Mola aidumishe ndoa yenu daima inshaallah 👏 wajazzakum llahu kheri 👏
Sheikh swadakta nakupenda Kwa ajili ya Allah na Kila kitu ulichokisema ni kweli yananifika mm na kuniacha hacha hataki na mchipuko Kila siku
Pole Sana Allah akufanyie wepesi
Masha allah sijaolewa lkn nimepata somo kubwa mno kutoka kwako sheikh
Insha allah naomba mungu nipate mume mwema na mwenye hofu ya Allah nitamhendo kadri ya uwezo wng na nitafata sheria zote na yote atayonikataza yeye kam mume wang insha allah
Allah akuwezeshe
Mashallahu mungu akubark shehe Othman nakupenda kwaajili ya Allah
Mashalllah mashaallah shk umesema ukweli kabisaaa
Maneno Mazur shukran shekhe,, sijapat huyo mume sahihi
Mimi mkristo ila somo nimekuelewa sanaaaaa ,, nataman shehe asimalize ubarikiwe sana
masha allah mwenyezi mungu akuzdishie natokea kenya napenda mawaidha yako
Mashaallah Allah akulipe kheri kakaangu unatupaelemu kubwa kiasi kwamba unapata faraja u
Masha -Allah sheikh ni maneno sahihi kabisa uloyaongea, laitami km wanaume watayaskiliza haya bs NDOA nyingi zitanusurika kuvunjika kwa mapungufu madogo madogo
Ameen
MashaAllah I loved ur words thanks.
Masha Allah sheikhe umeongea ukweli yn mm mwepes kusamhe rakin sisaau mabaya alionifanyia mmewangu
Ni kweli mimi nasamehe sana lkn kusahau ndio ngumu Allah atupe ya furaha tusiyasahau
Kama MKE WANGU TU... Ila mapenzi ninayompa kila siku mazito mno,nahakikisha natafuta muda kila wakati tuwe connected..Hadi husahau yoote niliyomfanyia
Kweli wanawake tunaitaji upendo na maneno mazuli rakin mtu maneno machafu maneno ya kukuliza kila kukicha adi moyo unachoka na mtu adi unamkufulu mungu kwann niliolewa na mwanaume uyu Yarab nisamehe😩😩😩😩🤲🤲🤲
Mungu akuzidishie umri sheik uzidi kutupa elmu
Maa shaa Allah jazakhallah kheri shekhe umenifurahisha sana wallah
Mimi mkristo lakini nimependa mafundiso yako ubarikiwe sheh
Waalaykm msalaam warhmatullah wabarakatuh
Maa shaa Allah Maa shaa Allah, jazzakallah khayran sheikh othuman Michael, Allah akuzidishie umri wako
Amiin
Maa shaa Allaah Tabarakallaah Mwenyezi Mungu akadumishe ndoa zao yaa Rabbyii na sisi atupe wenza wema Aamiiyn
Ameen Thuma Ameen kwako ustadhat
💕💓Allah akulipe Jannah shekh we2 inshallah 💔💖🤲🤲
Aamiyn yaa rabby
Amina Yarab alamin
Nimekuerewa shedhe
Masha Allah sheikh Othman nakupenda sana Allah Akujalie kher Leo na kesho akhera 🤲
Amiina twkuombea sote mwenyezimung akubariki maisha yako yote
Mi pia namuombea Allah ampe mwisho mwema
Na amjalie Pepo la firdaous
Jazaaka lahu haira sheikh
U real saved my marriage JAZAKALLAH KHAIR
Me mkristo ila nimependa Sana ulichoongea mungu akubaliki
Wa kristo munani furahisha siyo kama wahapa kwetu rwanda hata ukiongea ukweli utatukanwa tu kwenye comment wagum sana washamba pia
Allah akbar allah amhifadhi hakika ya uwepo wa wake unamanufaa kwetu na jamii nzima allah akuhfadhi
MashaAllah tulijua kutulia ukumbi mzma tukikusikiliza...
Masha'Allah sheikh wetu
Masha Allah! This is Awesome
Mashallah Sheik wetu Jazakallah kheri inshallah umri mrefu
Jumakani
Juma kani
Aslm alkm ww...... Shukran sanaaa Sheikh Othman..umeongea masha Allah.ela niongezee kijana moja alioa mwanamwali waliishi mwezi mmoja, akaacha na akaoa mzee Mika 40 na wakazaa na wako pamoja hadi leo. Watu wanamtusi anawaambia mbona sikukaa na bikira????? Najua mwenyewe. Pole Sheikh wetu kipenzi. Kuna bahati mbaya mara nyingine hua umepata the wrong choice. Jazakallahu kheir Sheikh Othman. Allah akulinde akukinge na akuhifadhi. Shukran sanaaa kwa darsa. Allah akulipe Jannah firdaus.
Mashaaallah
mashaallah
siku hizi wajane wanaolewa kuliko wasichana
Mashaallah jazzakallahu kheri ya sheikh
Waaambie kweli hawa wanaume baba, sheikh wetu Allah akuhifadhi
Allah AKULIPE sheikh
Masha Allah tabarakaAllah
Maa shaa allah maneno yna mazingatio
Mashekh mufike na vijijini Hali mbaya vijana wapewe dawa huko kwetu kisakasa shehiya ya kombeni tuungeni mkon😭😭😭
Mashallah Nimeenda Sana natamani kuwa Kama wewe Shekh Othuman
Jazaakallahu khayraa
Mashaallah Allah akuweke uzidi kutufunza
Mashallah shukran jazakallahu kheir
Mashaallah tabaarakallah, nimepata somo kubwa sana
Mwenyezi mungu akuondoshee husda.,
napenda macho yako
Nimejifunza mengi shehe shukran asante sana
❤❤❤❤ jazakllahu
MashaAllah shekh umesema Sana nimekupata vzuri mnooooo,,
Sheikh mm ni mkristo ila mafundisho yako yananibariki sn.
Maa shaa Allah tabaraka Allah rahmani ya sheikh Othman
Maashallah shekhe Allah akuweke inshallah
Mashaallah
Takbiriiii Allah akuifadhi
MUNGU akubariki sana shekh Othman nimefurahi sana
Walikumssalam shuku ran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera
Takbir allahu Akbar 👌
Mashallh love this walai 💖💖
Hahahahaaaa hahahahaaaa hapo kwenye porojo umbea alaa
mashaallah 😍😍nmependa somo
Mashallah nasaha nzuri sana allah akulipe shekhe
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Kwli shehe mm lanzima kulinza kama kuna mwingine
Mm sijaingiya kwenye ndowa nilikuwa sijuwi lazima nipate mtu anifunze bass
Asante shekhe Allah kuongezee elemu
Maa sha Allah
Mashallah mashallah
Mm siwezi kusahau mtu akinifanyia ubaya au wema siwezi kusahau
Shekheir ndoa zimekuwa na migongano kwa hii dalili 1 wapo wa kwamba kiama kipo karibu ,maaana hii Mtume Muhammad s.a.w amesema mwisho wa dunia watu wataipenda dunia kuliko Akheira wataacha Qur-an na kutawaliwa maasi kwaio shekheir Ndoa kwa sasa lazima zitakuwa hazipo maana tayar tume Acha dini yetu hakuna chengine chochote Na utabiri umesha toka ila tumche Allah ili tupate radhi zake
Mashaalah I loved or words
Mashallah Allah akuzidixhie
Maashaallah baarakallah 🤲
Allah akuongezee zaidi insha Allah
Shekhe ukovizur sana
Mashacllah 🙏🌹
Mashaa Allah tabarakallah
Mashaalah shekhe
Mansha Allah
SHEKWAVI
Shukran saana Allah akulipekher
Agano kati ya mume na mke...wakiongozwa na mwenyenzi Mungu
Manshallah
maashaallah maashaallah 🥰♥
Mashaallah allah akuzidishie elm
Masha Allah sheikh Allah 🙏🙏🙏
Ma ash Allah
Umewongeya kweli
Maa shaa Allah lkn sheikh nna wasi na hilo tumbo lako pamoja na mwili wako. Kila siku nataka kusema lkn leo Allah amenipa kauli. Unajua tumbo lako ninakua kubwa kuliko mwili wako. Pia wana afya wanasema uhakikishe mzunguko wa tumbo usiwe mkubwa kuliko mzunguko wa tumbo kwa sabbu unaeza kupata matatizo ya moyo/pressure. Allah akuepushe na maradhi, amiin.
Daah aya bna
Comment Vinavyohusiana Vyengn havikuhusu Achana navyo
MashaaAllah
http
Maharus wa kiislamu jitahidini kujistiri
Mashallah
Mashaalls takabarakaaallah
Amen ubalikwe sana
Okey well come
Mashaallah tabaraka allah
Maashallah maashallah
Mashalla
Mashaallah shukraaaaan
Mashallah ❤️♥️♥️👌
MashaAllah
Wallahi shekh Nakupenda kwa Ajiili ya Allah ukweli mtupu
S wote hao wasotka kushirikishwa wengine wakiona mke yuko n wanaume ndio hujitia hpo eti kwkua anawengi wanao mtka atakua mtamu
Mashaallah ukweli
Salaam🙏more ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Masha allah