MKE AKIOLEWA ANAFUATA HAYA UKIMPA ATAKUPENDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 173

  • @fettyfay2334
    @fettyfay2334 3 года назад +2

    Oh yes.. kweli ulichozungumza. Very wise man. Umenisaidiaa saana na maneno yako

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +4

    Mashallah swadakta kila la kheri kwenye ndoa yenu wapendwa na Mola aidumishe ndoa yenu daima inshaallah 👏 wajazzakum llahu kheri 👏

  • @zainazaina8711
    @zainazaina8711 3 года назад +5

    Sheikh swadakta nakupenda Kwa ajili ya Allah na Kila kitu ulichokisema ni kweli yananifika mm na kuniacha hacha hataki na mchipuko Kila siku

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +2

    Masha allah sijaolewa lkn nimepata somo kubwa mno kutoka kwako sheikh
    Insha allah naomba mungu nipate mume mwema na mwenye hofu ya Allah nitamhendo kadri ya uwezo wng na nitafata sheria zote na yote atayonikataza yeye kam mume wang insha allah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +8

    Mashallahu mungu akubark shehe Othman nakupenda kwaajili ya Allah

    • @adag6197
      @adag6197 3 года назад +1

      Mashalllah mashaallah shk umesema ukweli kabisaaa

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 3 года назад +5

    Maneno Mazur shukran shekhe,, sijapat huyo mume sahihi

  • @zayshaban9039
    @zayshaban9039 3 года назад +3

    Mimi mkristo ila somo nimekuelewa sanaaaaa ,, nataman shehe asimalize ubarikiwe sana

  • @fatumambeyu1016
    @fatumambeyu1016 3 года назад +1

    masha allah mwenyezi mungu akuzdishie natokea kenya napenda mawaidha yako

  • @HalimaSaidi-jo9ng
    @HalimaSaidi-jo9ng 6 месяцев назад

    Mashaallah Allah akulipe kheri kakaangu unatupaelemu kubwa kiasi kwamba unapata faraja u

  • @aishaabdalla7624
    @aishaabdalla7624 3 года назад +1

    Masha -Allah sheikh ni maneno sahihi kabisa uloyaongea, laitami km wanaume watayaskiliza haya bs NDOA nyingi zitanusurika kuvunjika kwa mapungufu madogo madogo

  • @al3yunhadil454
    @al3yunhadil454 3 года назад +5

    MashaAllah I loved ur words thanks.

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق 3 года назад +1

    Masha Allah sheikhe umeongea ukweli yn mm mwepes kusamhe rakin sisaau mabaya alionifanyia mmewangu

    • @bintshariffmuhammad620
      @bintshariffmuhammad620 2 года назад

      Ni kweli mimi nasamehe sana lkn kusahau ndio ngumu Allah atupe ya furaha tusiyasahau

    • @martodedan
      @martodedan 6 месяцев назад

      Kama MKE WANGU TU... Ila mapenzi ninayompa kila siku mazito mno,nahakikisha natafuta muda kila wakati tuwe connected..Hadi husahau yoote niliyomfanyia

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق 3 года назад +2

    Kweli wanawake tunaitaji upendo na maneno mazuli rakin mtu maneno machafu maneno ya kukuliza kila kukicha adi moyo unachoka na mtu adi unamkufulu mungu kwann niliolewa na mwanaume uyu Yarab nisamehe😩😩😩😩🤲🤲🤲

  • @mishimwakoi495
    @mishimwakoi495 3 года назад +1

    Mungu akuzidishie umri sheik uzidi kutupa elmu

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 2 года назад

    Maa shaa Allah jazakhallah kheri shekhe umenifurahisha sana wallah

  • @charleschigwala4079
    @charleschigwala4079 3 года назад +6

    Mimi mkristo lakini nimependa mafundiso yako ubarikiwe sheh

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 3 года назад +6

    Waalaykm msalaam warhmatullah wabarakatuh
    Maa shaa Allah Maa shaa Allah, jazzakallah khayran sheikh othuman Michael, Allah akuzidishie umri wako

  • @swaumupaji3623
    @swaumupaji3623 3 года назад +2

    Maa shaa Allaah Tabarakallaah Mwenyezi Mungu akadumishe ndoa zao yaa Rabbyii na sisi atupe wenza wema Aamiiyn

  • @omarsalminsalmin7934
    @omarsalminsalmin7934 3 года назад +5

    💕💓Allah akulipe Jannah shekh we2 inshallah 💔💖🤲🤲

  • @mwachipangahalima2504
    @mwachipangahalima2504 3 года назад +2

    Masha Allah sheikh Othman nakupenda sana Allah Akujalie kher Leo na kesho akhera 🤲

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 2 года назад

    Jazaaka lahu haira sheikh

  • @hajiramohamed1928
    @hajiramohamed1928 3 года назад +2

    U real saved my marriage JAZAKALLAH KHAIR

  • @rachelsanjo5101
    @rachelsanjo5101 3 года назад +3

    Me mkristo ila nimependa Sana ulichoongea mungu akubaliki

    • @hassanharuna1519
      @hassanharuna1519 3 года назад

      Wa kristo munani furahisha siyo kama wahapa kwetu rwanda hata ukiongea ukweli utatukanwa tu kwenye comment wagum sana washamba pia

  • @rahmaally8764
    @rahmaally8764 3 года назад

    Allah akbar allah amhifadhi hakika ya uwepo wa wake unamanufaa kwetu na jamii nzima allah akuhfadhi

  • @salmamustapha41
    @salmamustapha41 3 года назад +3

    MashaAllah tulijua kutulia ukumbi mzma tukikusikiliza...

  • @evelynefuraha4053
    @evelynefuraha4053 6 месяцев назад

    Masha'Allah sheikh wetu

  • @nasibmohamed5156
    @nasibmohamed5156 3 года назад +7

    Masha Allah! This is Awesome

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 3 года назад +2

    Mashallah Sheik wetu Jazakallah kheri inshallah umri mrefu

  • @afric01
    @afric01 3 года назад +1

    Aslm alkm ww...... Shukran sanaaa Sheikh Othman..umeongea masha Allah.ela niongezee kijana moja alioa mwanamwali waliishi mwezi mmoja, akaacha na akaoa mzee Mika 40 na wakazaa na wako pamoja hadi leo. Watu wanamtusi anawaambia mbona sikukaa na bikira????? Najua mwenyewe. Pole Sheikh wetu kipenzi. Kuna bahati mbaya mara nyingine hua umepata the wrong choice. Jazakallahu kheir Sheikh Othman. Allah akulinde akukinge na akuhifadhi. Shukran sanaaa kwa darsa. Allah akulipe Jannah firdaus.

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 3 года назад +3

    Mashaallah jazzakallahu kheri ya sheikh

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 3 года назад +1

    Waaambie kweli hawa wanaume baba, sheikh wetu Allah akuhifadhi

  • @bakeandcookwithhabibaj5317
    @bakeandcookwithhabibaj5317 3 года назад +2

    Allah AKULIPE sheikh

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +5

    Masha Allah tabarakaAllah

  • @rahmamussaa3708
    @rahmamussaa3708 3 года назад +2

    Maa shaa allah maneno yna mazingatio

  • @rukiasalimmakamerukiasalim4558
    @rukiasalimmakamerukiasalim4558 2 года назад

    Mashekh mufike na vijijini Hali mbaya vijana wapewe dawa huko kwetu kisakasa shehiya ya kombeni tuungeni mkon😭😭😭

  • @omarythedon5432
    @omarythedon5432 2 года назад

    Mashallah Nimeenda Sana natamani kuwa Kama wewe Shekh Othuman

  • @barakajumanne4150
    @barakajumanne4150 2 года назад

    Jazaakallahu khayraa

  • @AshaSalah-my4ky
    @AshaSalah-my4ky Год назад

    Mashaallah Allah akuweke uzidi kutufunza

  • @روعةسماويلآتصالات
    @روعةسماويلآتصالات 3 года назад +4

    Mashallah shukran jazakallahu kheir

  • @fatumamwinyimvua6621
    @fatumamwinyimvua6621 3 года назад +1

    Mashaallah tabaarakallah, nimepata somo kubwa sana

  • @hawaally5458
    @hawaally5458 3 года назад +2

    Mwenyezi mungu akuondoshee husda.,

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 3 года назад +1

    napenda macho yako

  • @HahaHerman-tx1cf
    @HahaHerman-tx1cf 5 месяцев назад

    Nimejifunza mengi shehe shukran asante sana

  • @princeley1956
    @princeley1956 Год назад

    ❤❤❤❤ jazakllahu

  • @kautharshauri6736
    @kautharshauri6736 3 года назад

    MashaAllah shekh umesema Sana nimekupata vzuri mnooooo,,

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 2 года назад

    Sheikh mm ni mkristo ila mafundisho yako yananibariki sn.

  • @ukhtyhumairah73
    @ukhtyhumairah73 3 года назад

    Maa shaa Allah tabaraka Allah rahmani ya sheikh Othman

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 3 года назад +1

    Maashallah shekhe Allah akuweke inshallah

  • @asmaaramadhani319
    @asmaaramadhani319 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @mwanaheriwande2682
    @mwanaheriwande2682 3 года назад +1

    Takbiriiii Allah akuifadhi

  • @malkiamariamvuga3342
    @malkiamariamvuga3342 3 года назад

    MUNGU akubariki sana shekh Othman nimefurahi sana

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin6235 3 года назад +1

    Walikumssalam shuku ran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera

  • @maynunahussein2390
    @maynunahussein2390 2 года назад

    Takbir allahu Akbar 👌

  • @azizazzzz8043
    @azizazzzz8043 3 года назад

    Mashallh love this walai 💖💖

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 3 года назад

    Hahahahaaaa hahahahaaaa hapo kwenye porojo umbea alaa

  • @rubyhamisi2035
    @rubyhamisi2035 3 года назад

    mashaallah 😍😍nmependa somo

  • @aminaabdallah3689
    @aminaabdallah3689 3 года назад

    Mashallah nasaha nzuri sana allah akulipe shekhe

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 3 года назад +2

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @yohanaalocye4291
    @yohanaalocye4291 3 года назад +3

    Kwli shehe mm lanzima kulinza kama kuna mwingine

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 года назад

    Mm sijaingiya kwenye ndowa nilikuwa sijuwi lazima nipate mtu anifunze bass

  • @fatumamustafa9138
    @fatumamustafa9138 3 года назад

    Asante shekhe Allah kuongezee elemu

  • @kinanajuma7692
    @kinanajuma7692 3 года назад +2

    Maa sha Allah

  • @omanlover5470
    @omanlover5470 3 года назад +1

    Mashallah mashallah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 года назад

    Mm siwezi kusahau mtu akinifanyia ubaya au wema siwezi kusahau

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 3 года назад

    Shekheir ndoa zimekuwa na migongano kwa hii dalili 1 wapo wa kwamba kiama kipo karibu ,maaana hii Mtume Muhammad s.a.w amesema mwisho wa dunia watu wataipenda dunia kuliko Akheira wataacha Qur-an na kutawaliwa maasi kwaio shekheir Ndoa kwa sasa lazima zitakuwa hazipo maana tayar tume Acha dini yetu hakuna chengine chochote Na utabiri umesha toka ila tumche Allah ili tupate radhi zake

  • @aminaabdiazi3447
    @aminaabdiazi3447 3 года назад

    Mashaalah I loved or words

  • @halimamasoud357
    @halimamasoud357 3 года назад +1

    Mashallah Allah akuzidixhie

  • @ashaabdulkarim1802
    @ashaabdulkarim1802 3 года назад

    Maashaallah baarakallah 🤲

  • @Sir_Moo26
    @Sir_Moo26 3 года назад +1

    Allah akuongezee zaidi insha Allah

  • @HidayaRamadhani-n7r
    @HidayaRamadhani-n7r 10 месяцев назад

    Shekhe ukovizur sana

  • @maynunahussein2390
    @maynunahussein2390 2 года назад

    Mashacllah 🙏🌹

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +1

    Mashaa Allah tabarakallah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 года назад

    Mashaalah shekhe

  • @sefubin4270
    @sefubin4270 3 года назад +2

    Mansha Allah

  • @Issa-bn9rg
    @Issa-bn9rg Год назад +1

    SHEKWAVI

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад

    Shukran saana Allah akulipekher

  • @jacobmunoru8186
    @jacobmunoru8186 3 года назад

    Agano kati ya mume na mke...wakiongozwa na mwenyenzi Mungu

  • @arafahabund2465
    @arafahabund2465 3 года назад +1

    Manshallah

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад +1

    maashaallah maashaallah 🥰♥

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 3 года назад

    Mashaallah allah akuzidishie elm

  • @zinabzinabo8916
    @zinabzinabo8916 3 года назад

    Masha Allah sheikh Allah 🙏🙏🙏

  • @twix1404
    @twix1404 3 года назад

    Ma ash Allah

  • @ndayushimiyerungarunga8438
    @ndayushimiyerungarunga8438 2 года назад

    Umewongeya kweli

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 3 года назад

    Maa shaa Allah lkn sheikh nna wasi na hilo tumbo lako pamoja na mwili wako. Kila siku nataka kusema lkn leo Allah amenipa kauli. Unajua tumbo lako ninakua kubwa kuliko mwili wako. Pia wana afya wanasema uhakikishe mzunguko wa tumbo usiwe mkubwa kuliko mzunguko wa tumbo kwa sabbu unaeza kupata matatizo ya moyo/pressure. Allah akuepushe na maradhi, amiin.

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 2 года назад

    MashaaAllah

  • @nurudinamchome6852
    @nurudinamchome6852 3 года назад

    Maharus wa kiislamu jitahidini kujistiri

  • @ashatiti2422
    @ashatiti2422 3 года назад

    Mashallah

  • @mwakaathumani4793
    @mwakaathumani4793 3 года назад

    Mashaalls takabarakaaallah

  • @rachelsanjo5101
    @rachelsanjo5101 3 года назад

    Amen ubalikwe sana

  • @fatumambeyu1016
    @fatumambeyu1016 3 года назад

    Okey well come

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 3 года назад

    Mashaallah tabaraka allah

  • @salhaaa4996
    @salhaaa4996 3 года назад

    Maashallah maashallah

  • @mauaomari7607
    @mauaomari7607 3 года назад +1

    Mashalla

  • @aydaawadh388
    @aydaawadh388 3 года назад

    Mashaallah shukraaaaan

  • @asminathuman3113
    @asminathuman3113 3 года назад +1

    Mashallah ❤️♥️♥️👌

  • @mwajumasadallah600
    @mwajumasadallah600 3 года назад

    MashaAllah

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 3 года назад +1

    Wallahi shekh Nakupenda kwa Ajiili ya Allah ukweli mtupu

    • @naimaathumani2538
      @naimaathumani2538 3 года назад

      S wote hao wasotka kushirikishwa wengine wakiona mke yuko n wanaume ndio hujitia hpo eti kwkua anawengi wanao mtka atakua mtamu

  • @dinemohamed9842
    @dinemohamed9842 3 года назад

    Mashaallah ukweli

  • @manishhassan05
    @manishhassan05 3 года назад

    Salaam🙏more ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 3 года назад

    Masha allah