Katika mawaidha nmewah yasikia haya ni mazuriii sana..maashaallah ameyatoa ktk utuliiivu nimeelewa hasaaa..lau kama waume wangekuwa watueleza kwa utulivu huu basi mapenz yangekua maradufu ya haya tuliyonayo kwao..Mwenyez Mungu akujaalie afya tuzidi kujifunza kupitia ww in shaa allah..
Mada mujarabuh Sheikh,ndio maana zamani ilikuwa wazazi wanaangalia nyumba ya kwenda kuoa. Ni somo zuri kwa wanaotaraji kuoa au kuolewa. Nimependa sana darasa hili.
sorry to be offtopic but does anyone know of a method to get back into an Instagram account?? I stupidly lost my password. I would love any help you can offer me!
Kweli maneno yako sheikh wetu. Tuliolewa na tunaowafahamu na sio tulio wajua. Matokeo ni majuto ya bure. Ndoa ni kama kutia mkono kwenye kiza. الله المستعان جزاكم الله خيرا
Nice leason ... tafuta mwenywe mwenza wako umjue na kumfaham tabia zipi ni njema uzipendazo mwenywe . Kwenye ndoa unaenda kuishi na akili ya mtu kwanza ndio inayojenga tabia ya mtu...
@@dullasaleh2447 mi nlikuwa naskiliza kutumia earfone sasa nkashtuka nkadhani nimegusa vdeo nyengine coz simu iko mfukoni nkifanya kazi huku nasikiliza,kuangalia bado n huyohuyo sheikh wa mwanzo ila kuna mfanano wa maongezi mahali
Ahsant maalim wang, kwa darsa inshallah ,natamn kbl sjaow iwe ndoto yng kuonan we il nipate nasaha zaid kbl ya kuingia ktk iman hio, naomb allah anitaqalie minna dua'an ,il shauk kuonan we itimie maan ni mtyu amby nin ku appriciate san n role mode wng
Kuna mijitu haijasoma dini inakwenda kuowa hajui hata kumdekeza mkewe kubwa ni ukali heshma hakuna. Wanaume wengi hawajui mapenzi hata kumwambia mkewe I love you hajui. Na waje ulaya wafundishwe au iwafundishe kila kitu mmme anafanya kufua kupika kulea n.k .huko znz kazi yso ubosi mwingi shekhe wape mawaidha wajue mmke anadekezwa ndio penzi.
Katika mawaidha nmewah yasikia haya ni mazuriii sana..maashaallah ameyatoa ktk utuliiivu nimeelewa hasaaa..lau kama waume wangekuwa watueleza kwa utulivu huu basi mapenz yangekua maradufu ya haya tuliyonayo kwao..Mwenyez Mungu akujaalie afya tuzidi kujifunza kupitia ww in shaa allah..
Listihalla hi swala maashallah nzuri Sana yani namshukuru Sana Mungu natumia KWA mengi na jibu napata. ALLHAMDULILLAH
Mada mujarabuh Sheikh,ndio maana zamani ilikuwa wazazi wanaangalia nyumba ya kwenda kuoa. Ni somo zuri kwa wanaotaraji kuoa au kuolewa.
Nimependa sana darasa hili.
Mashaalah sheik osman amina abdileh
Mungu atujaalie kher tuwajue wenze wetu kabla ya kuingia kwenye ndoa inshaallah
Naam Sheikh wetu.
Usiowe/usiolewe na mtu usiempenda.
Mashaallah darasa km hizi zinatujenga sn shukran sn shekh Allah akuljpe kheri
mashaa allah mashaa allah tupo pamoja tena baada ya kupata mtihani wa sm. Kila la heri shehe
Mashaalwaa,mwenye_ezimungu akujaalie kwa kutuelimisha ❤
MASHAALLAH mawaidha mazur nimejifunza Alhamdhulilah shukran ustardh Michael
MashaaAllah ilisomo nilipenda sanaaa shekhe wetu Allah akulipee kheir Zaid najifunza mengi sanaaa
Sheikh Othuman Allah akupe zaid najifunza meng san shukran
Maa shaa Allaah TabakaAllaah darsa tamu mno
MashaAllah ♥️
Yaa'ani Leo unenifurahisha umenifungua masikio
Shkamoo kaka
Alhamdulillah. Kweli kabisaa
Mashaallah Allah akuhifadhi
😄😄😄😄😄
Shukran jazaak Allah kheir kwa darasa yako nzuri.insh Allah Mungu atujaalie tuwe ni wenye kusikia na kufuata insha Allah .💕💕❤
mashallah mashaallah
MASHA ALLAH ❤️
Manshaa'Allah Ya Jazzaqallahu kheir wajina wa baba angu Shukran kabisa Allah☝ akulipe kheir duniani na kesho Akher
Wallah me nikiangaliaga video zako nafurahi sana wallah
MashaAllah TabarakkahAllah sheikh
Mashaallah, Shukran kwa somo zuri shehe Othuman
Hello
Masha Allah , tabaraka Allah . Shukran jazaak Allah kheir . 💕💕💕❤
sorry to be offtopic but does anyone know of a method to get back into an Instagram account??
I stupidly lost my password. I would love any help you can offer me!
Maasha Allah
Shekh unaongea ukweli mtupu, nimejifunza mengi sana, Allah akulipe inshaallah
Ma Shaa Allah darsa nzur
Maasha Allah shukran Shekh umenijuza mengi
Kweli maneno yako sheikh wetu.
Tuliolewa na tunaowafahamu na sio tulio wajua.
Matokeo ni majuto ya bure.
Ndoa ni kama kutia mkono kwenye kiza.
الله المستعان
جزاكم الله خيرا
😂😂😂😂😂😂😂
Mashaallah shekhe nimefulahi San kwamawaidha yaleo
Nice leason ... tafuta mwenywe mwenza wako umjue na kumfaham tabia zipi ni njema uzipendazo mwenywe . Kwenye ndoa unaenda kuishi na akili ya mtu kwanza ndio inayojenga tabia ya mtu...
Kuuziwa mbuzi kwenye gunia🤣🤣🤣, darsa zuri Sana jabo yachekesha. Khaa.. Shukran kwa darsa
mashaailah_alihamdulila_shukulani_shekhewetu%munguakuweke
Shekh ndoa za zaman nyingi nkutafutiana hata mama na baba yangu walioana Hivyo lakin Waliishi vizur sana
Mpaka wamezikana
Mashaallah
MashAllah tabaraka rahman nice topic and very important to all people, so filter well before marriage
Waswahili tupoo
Mashallah
Shukrani sana shekhe wetu Allah akulipe kheri na umri mrefu wenye manufaa unatunufaisha sana Sisi vijana kupitia kwako
Shukran wa Jazakallah kheyr fikum Allah akuzidishie ilmu zaidi Amiin ya Rabbil Alamin napenda sana darsa lako shukran sanaa.
Mambo sheikh OTHMAN yaani Leo nimefurahi sana😅🤣❤❤
asalaaalaykum warahmatullahi wabarakatul sheikh you never let me down kwa mawaidha yako
Ma shaa Allah
Mashallah Tabarakallah
Mashallahu jazaka llahu hery
Kama umegundua huyu sheikh Othman Michael anaongea kama sheikh Othman Maalim tujuane hapa🤔😍😍😍
Hilo ni kweli kabisa
@@dullasaleh2447 mi nlikuwa naskiliza kutumia earfone sasa nkashtuka nkadhani nimegusa vdeo nyengine coz simu iko mfukoni nkifanya kazi huku nasikiliza,kuangalia bado n huyohuyo sheikh wa mwanzo ila kuna mfanano wa maongezi mahali
@@biashaaliserenje9639 ndio sawa sawa, hata katika usomaji wake wa qur-an unafanana
@@dullasaleh2447 nàam swadakta!!
Swadakta
Aisee nimejifunza kitu maalim maashaallah
Jazakhallahu kheiri MashaAllah
Masha Allah shukrn sana shekhe wetu Allah akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha in sha Allah 🤲🙏
Insha Allah
MashaAllahu mashaAllahu mashaAllahu.jazzakh Allahu
Ahsant maalim wang, kwa darsa inshallah ,natamn kbl sjaow iwe ndoto yng kuonan we il nipate nasaha zaid kbl ya kuingia ktk iman hio, naomb allah anitaqalie minna dua'an ,il shauk kuonan we itimie maan ni mtyu amby nin ku appriciate san n role mode wng
Anapatikana mbona ,yuko kwake bungoni home na ofisini ni hapo ,chukua namba zake
Kuna mijitu haijasoma dini inakwenda kuowa hajui hata kumdekeza mkewe kubwa ni ukali heshma hakuna. Wanaume wengi hawajui mapenzi hata kumwambia mkewe I love you hajui. Na waje ulaya wafundishwe au iwafundishe kila kitu mmme anafanya kufua kupika kulea n.k .huko znz kazi yso ubosi mwingi shekhe wape mawaidha wajue mmke anadekezwa ndio penzi.
Maashaallah sheikh leo nimejifunza allihamdulillah
Maashallah tabaraqallah... wallah nmecheka sana
Manshallah shukran 🙏👍👌❤❤
Shehe maaashallah maneno kuntu Shukran sana
MashaAllah tabarka Allah 🤲
Masha Allah💗
ManshaAllah
Mashallah ❤️
Mashallah
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Kweli kabisa
Naomba namba za Sheikh ao za ofisini kwake ntakazo mpata kwazo
Hao hata uwarambe nyayo hawawi. Mmke abembelezwe. Wanawake wengi kukaaa ndani kupika. Basi hawatafuti kazi ndio masna hakushi shida.
Masha Allah
Shekh kumbuka mapenzi ni hisia huwa inatokea kokote maana unaweza kuletewa chombo na ukakipenda,
Shekhee mm nauliza swala ya istaghari n rakaa ngap
Huwa ni rakaa 2...
😂😂nikweli kabisa
Mashaallah🤣🤣🤣
Shekh acheka😂kitu ndan ya box 🙄
Mwanaume kurakwao kulala kwai sasa wanaume warabu mbona myakayote kuuishi kwao na wakiowa wanareta wanaka kwao
Talaka si inatoka moja moja au?
🤔ajali iko nyumbani
Ukicheka unanimaliza.uwe unavaa hijabu ukitaka ceka
Sheik vipi wewe unacheka eti ana nyonyo Moja, it is not funny! Imenisikitisha sana
Sasa wataka shekh akasirike darsa litakwenda vip na si kila anapocheka afurahia laa!
😆😆😆😆😆
Swadakta
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh,maalim nimependa sana Mada Yako naomba namba yako maalim watsap yangu ni 69727669
Manshallah Nakupend Kwaajil ya Allah 🙏🙏
Mashaallah
ManshaAllah
Mashallah
mashaailah_alihamdulila_shukulani_shekhewetu%munguakuweke
Mashaallah