HAYA NDO MASWALI YA KUMUULIZA MCHUMBA AKO KABLA UJAINGIA KATIKA NDOA ] SHEIKH OTHMAN MICHAEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 авг 2020

Комментарии • 98

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 2 года назад +3

    Katika mawaidha nmewah yasikia haya ni mazuriii sana..maashaallah ameyatoa ktk utuliiivu nimeelewa hasaaa..lau kama waume wangekuwa watueleza kwa utulivu huu basi mapenz yangekua maradufu ya haya tuliyonayo kwao..Mwenyez Mungu akujaalie afya tuzidi kujifunza kupitia ww in shaa allah..

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад +2

    Listihalla hi swala maashallah nzuri Sana yani namshukuru Sana Mungu natumia KWA mengi na jibu napata. ALLHAMDULILLAH

  • @hadijarajabu3602
    @hadijarajabu3602 3 года назад +14

    Mada mujarabuh Sheikh,ndio maana zamani ilikuwa wazazi wanaangalia nyumba ya kwenda kuoa. Ni somo zuri kwa wanaotaraji kuoa au kuolewa.
    Nimependa sana darasa hili.

  • @suzanamlelwa6352
    @suzanamlelwa6352 3 года назад +5

    Mungu atujaalie kher tuwajue wenze wetu kabla ya kuingia kwenye ndoa inshaallah

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 года назад +3

    Naam Sheikh wetu.
    Usiowe/usiolewe na mtu usiempenda.

  • @aminamichael1706
    @aminamichael1706 3 года назад +4

    Mashaallah darasa km hizi zinatujenga sn shukran sn shekh Allah akuljpe kheri

  • @bazilassey1227
    @bazilassey1227 3 года назад +5

    mashaa allah mashaa allah tupo pamoja tena baada ya kupata mtihani wa sm. Kila la heri shehe

  • @user-pl6og2nd2k
    @user-pl6og2nd2k Год назад +1

    Mashaalwaa,mwenye_ezimungu akujaalie kwa kutuelimisha ❤

  • @sofialion4925
    @sofialion4925 3 года назад +1

    MASHAALLAH mawaidha mazur nimejifunza Alhamdhulilah shukran ustardh Michael

  • @khdijahalmudhairb2147
    @khdijahalmudhairb2147 3 года назад +1

    MashaaAllah ilisomo nilipenda sanaaa shekhe wetu Allah akulipee kheir Zaid najifunza mengi sanaaa

  • @shakilashak3337
    @shakilashak3337 3 года назад +2

    Sheikh Othuman Allah akupe zaid najifunza meng san shukran

  • @swaumupaji3623
    @swaumupaji3623 3 года назад +3

    Maa shaa Allaah TabakaAllaah darsa tamu mno

  • @yassirhalimamohammedmohamm5913
    @yassirhalimamohammedmohamm5913 3 года назад +7

    MashaAllah ♥️
    Yaa'ani Leo unenifurahisha umenifungua masikio
    Shkamoo kaka

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 года назад +4

    Shukran jazaak Allah kheir kwa darasa yako nzuri.insh Allah Mungu atujaalie tuwe ni wenye kusikia na kufuata insha Allah .💕💕❤

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +7

    MASHA ALLAH ❤️

  • @fatwimabintathmanbinthawa8155
    @fatwimabintathmanbinthawa8155 3 года назад +1

    Manshaa'Allah Ya Jazzaqallahu kheir wajina wa baba angu Shukran kabisa Allah☝ akulipe kheir duniani na kesho Akher

  • @sabrahkhamis3498
    @sabrahkhamis3498 3 года назад +1

    Wallah me nikiangaliaga video zako nafurahi sana wallah

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 2 года назад +1

    MashaAllah TabarakkahAllah sheikh

  • @elizabethmwamaso218
    @elizabethmwamaso218 3 года назад +3

    Mashaallah, Shukran kwa somo zuri shehe Othuman

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 года назад +6

    Masha Allah , tabaraka Allah . Shukran jazaak Allah kheir . 💕💕💕❤

    • @terrancejeffrey6175
      @terrancejeffrey6175 2 года назад

      sorry to be offtopic but does anyone know of a method to get back into an Instagram account??
      I stupidly lost my password. I would love any help you can offer me!

    • @fatumaidd6700
      @fatumaidd6700 2 года назад

      Maasha Allah

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 3 года назад +2

    Shekh unaongea ukweli mtupu, nimejifunza mengi sana, Allah akulipe inshaallah

  • @halimamfinanga8461
    @halimamfinanga8461 3 года назад +2

    Ma Shaa Allah darsa nzur

  • @mowanaalmowana6126
    @mowanaalmowana6126 3 года назад +1

    Maasha Allah shukran Shekh umenijuza mengi

  • @ummua5006
    @ummua5006 3 года назад +3

    Kweli maneno yako sheikh wetu.
    Tuliolewa na tunaowafahamu na sio tulio wajua.
    Matokeo ni majuto ya bure.
    Ndoa ni kama kutia mkono kwenye kiza.
    الله المستعان
    جزاكم الله خيرا

  • @bisadimussa9684
    @bisadimussa9684 3 года назад +1

    Mashaallah shekhe nimefulahi San kwamawaidha yaleo

  • @makesstar7109
    @makesstar7109 3 года назад +1

    Nice leason ... tafuta mwenywe mwenza wako umjue na kumfaham tabia zipi ni njema uzipendazo mwenywe . Kwenye ndoa unaenda kuishi na akili ya mtu kwanza ndio inayojenga tabia ya mtu...

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 года назад +1

    Kuuziwa mbuzi kwenye gunia🤣🤣🤣, darsa zuri Sana jabo yachekesha. Khaa.. Shukran kwa darsa

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 3 года назад +1

    mashaailah_alihamdulila_shukulani_shekhewetu%munguakuweke

  • @ameenaameena4907
    @ameenaameena4907 3 года назад +1

    Shekh ndoa za zaman nyingi nkutafutiana hata mama na baba yangu walioana Hivyo lakin Waliishi vizur sana
    Mpaka wamezikana

  • @ramadhanisheki5985
    @ramadhanisheki5985 3 года назад +3

    Mashaallah

  • @asmaasmi9019
    @asmaasmi9019 3 года назад +3

    MashAllah tabaraka rahman nice topic and very important to all people, so filter well before marriage

  • @aminajuma3182
    @aminajuma3182 3 года назад

    Shukrani sana shekhe wetu Allah akulipe kheri na umri mrefu wenye manufaa unatunufaisha sana Sisi vijana kupitia kwako

  • @khadijafaiz1318
    @khadijafaiz1318 3 года назад

    Shukran wa Jazakallah kheyr fikum Allah akuzidishie ilmu zaidi Amiin ya Rabbil Alamin napenda sana darsa lako shukran sanaa.

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 года назад +7

    Mambo sheikh OTHMAN yaani Leo nimefurahi sana😅🤣❤❤

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 3 года назад +1

    asalaaalaykum warahmatullahi wabarakatul sheikh you never let me down kwa mawaidha yako

  • @mwanaidyibrahimu8861
    @mwanaidyibrahimu8861 3 года назад +3

    Ma shaa Allah

  • @gitonga7054
    @gitonga7054 3 года назад +1

    Mashallah Tabarakallah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +1

    Mashallahu jazaka llahu hery

  • @biashaaliserenje9639
    @biashaaliserenje9639 3 года назад +3

    Kama umegundua huyu sheikh Othman Michael anaongea kama sheikh Othman Maalim tujuane hapa🤔😍😍😍

    • @dullasaleh2447
      @dullasaleh2447 3 года назад +1

      Hilo ni kweli kabisa

    • @biashaaliserenje9639
      @biashaaliserenje9639 3 года назад +2

      @@dullasaleh2447 mi nlikuwa naskiliza kutumia earfone sasa nkashtuka nkadhani nimegusa vdeo nyengine coz simu iko mfukoni nkifanya kazi huku nasikiliza,kuangalia bado n huyohuyo sheikh wa mwanzo ila kuna mfanano wa maongezi mahali

    • @dullasaleh2447
      @dullasaleh2447 3 года назад +1

      @@biashaaliserenje9639 ndio sawa sawa, hata katika usomaji wake wa qur-an unafanana

    • @biashaaliserenje9639
      @biashaaliserenje9639 3 года назад +1

      @@dullasaleh2447 nàam swadakta!!

    • @amneothman2301
      @amneothman2301 3 года назад +1

      Swadakta

  • @jamilaissa3360
    @jamilaissa3360 3 года назад +1

    Aisee nimejifunza kitu maalim maashaallah

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 года назад

    Jazakhallahu kheiri MashaAllah

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 2 года назад

    Masha Allah shukrn sana shekhe wetu Allah akujalie umri mrefu uzidi kutuelimisha in sha Allah 🤲🙏

    • @ala1608
      @ala1608 2 года назад

      Insha Allah

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z 3 года назад

    MashaAllahu mashaAllahu mashaAllahu.jazzakh Allahu

  • @innocentvictoria454
    @innocentvictoria454 3 года назад

    Ahsant maalim wang, kwa darsa inshallah ,natamn kbl sjaow iwe ndoto yng kuonan we il nipate nasaha zaid kbl ya kuingia ktk iman hio, naomb allah anitaqalie minna dua'an ,il shauk kuonan we itimie maan ni mtyu amby nin ku appriciate san n role mode wng

    • @halimamvungi1
      @halimamvungi1 3 года назад

      Anapatikana mbona ,yuko kwake bungoni home na ofisini ni hapo ,chukua namba zake

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 года назад

    Kuna mijitu haijasoma dini inakwenda kuowa hajui hata kumdekeza mkewe kubwa ni ukali heshma hakuna. Wanaume wengi hawajui mapenzi hata kumwambia mkewe I love you hajui. Na waje ulaya wafundishwe au iwafundishe kila kitu mmme anafanya kufua kupika kulea n.k .huko znz kazi yso ubosi mwingi shekhe wape mawaidha wajue mmke anadekezwa ndio penzi.

  • @halimalikutu3790
    @halimalikutu3790 3 года назад +2

    Maashaallah sheikh leo nimejifunza allihamdulillah

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 3 года назад

    Maashallah tabaraqallah... wallah nmecheka sana

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 года назад

    Manshallah shukran 🙏👍👌❤❤

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад

    Shehe maaashallah maneno kuntu Shukran sana

  • @dotahamad6640
    @dotahamad6640 3 года назад

    MashaAllah tabarka Allah 🤲

  • @naimakhamis6448
    @naimakhamis6448 3 года назад

    Masha Allah💗

  • @adijahidi1215
    @adijahidi1215 3 года назад

    ManshaAllah

  • @munirakarisa689
    @munirakarisa689 Год назад

    Mashallah ❤️

  • @aishahusen161
    @aishahusen161 3 года назад

    Mashallah

  • @aliidrisahmad5797
    @aliidrisahmad5797 3 года назад

    Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 2 года назад

    Kweli kabisa

  • @hamzaamuri7794
    @hamzaamuri7794 5 месяцев назад

    Naomba namba za Sheikh ao za ofisini kwake ntakazo mpata kwazo

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 года назад

    Hao hata uwarambe nyayo hawawi. Mmke abembelezwe. Wanawake wengi kukaaa ndani kupika. Basi hawatafuti kazi ndio masna hakushi shida.

  • @ayubuayubu3568
    @ayubuayubu3568 3 года назад +1

    Masha Allah

  • @jumamkwelengala4599
    @jumamkwelengala4599 4 месяца назад

    Shekh kumbuka mapenzi ni hisia huwa inatokea kokote maana unaweza kuletewa chombo na ukakipenda,

  • @baybejohayna713
    @baybejohayna713 3 года назад +1

    Shekhee mm nauliza swala ya istaghari n rakaa ngap

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад +1

    😂😂nikweli kabisa

  • @fatimashillah9341
    @fatimashillah9341 3 года назад

    Mashaallah🤣🤣🤣

  • @rowhyswaleh1633
    @rowhyswaleh1633 3 года назад +1

    Shekh acheka😂kitu ndan ya box 🙄

  • @zuzuzizi3519
    @zuzuzizi3519 3 года назад

    Mwanaume kurakwao kulala kwai sasa wanaume warabu mbona myakayote kuuishi kwao na wakiowa wanareta wanaka kwao

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 2 года назад

    Talaka si inatoka moja moja au?

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 3 года назад

    🤔ajali iko nyumbani

  • @adidjauwimana7475
    @adidjauwimana7475 3 года назад

    Ukicheka unanimaliza.uwe unavaa hijabu ukitaka ceka

  • @thekickblog
    @thekickblog 3 года назад +3

    Sheik vipi wewe unacheka eti ana nyonyo Moja, it is not funny! Imenisikitisha sana

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 3 года назад +1

      Sasa wataka shekh akasirike darsa litakwenda vip na si kila anapocheka afurahia laa!

    • @wardamzuka3997
      @wardamzuka3997 3 года назад

      😆😆😆😆😆

    • @zainazaina9301
      @zainazaina9301 3 года назад

      Swadakta

  • @zainabundayizeye3195
    @zainabundayizeye3195 3 года назад

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh,maalim nimependa sana Mada Yako naomba namba yako maalim watsap yangu ni 69727669

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 года назад

    Manshallah Nakupend Kwaajil ya Allah 🙏🙏

  • @FatimaAli-ny1ve
    @FatimaAli-ny1ve 3 года назад

    Mashaallah

  • @anitacizaa413
    @anitacizaa413 2 года назад

    ManshaAllah

  • @hamdukhamis6067
    @hamdukhamis6067 2 года назад

    Mashallah

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 3 года назад

    mashaailah_alihamdulila_shukulani_shekhewetu%munguakuweke

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 3 года назад

    Mashaallah