Nasaha Kwa wanawake wenzaku kuweni na subra katika ndoa uvumilivu na ucha Mungu ndio mafanikio na Allah kuwapa Sakina ya Moyo furaha na faraja Katika ibada Alhamdu lillah kupata mume anakuinea wivu na kukuvalisha stara wanaume wengine huchukia mke Kwa ibada na mashungi na midayudh na tunaendelea kubeba nguzo ya Allah na dua tunasonga mbele kuweni wavumilivu wanawake Allah huwapa faraja na Sakina za nyoyo zenu simameni na Ibada ndio msingi wa Manish To all women who are going to read this massage from Ahlam Haroub in London UK I love you all my Muslim sisters for Allah sake Allah kajua kama tuna Moyo strong ndio akajujaalia tukabeba uja uzito na uchungu mwanaume sekunde ya uchungu hauwezi
@@peltrinechebet-xe2wdmh, mimi nilishindwa kabisa. Miaka 20 kwenye ndowa nawatoto nlimuachia.allah aliniruzuqu watoto. Nimeondoka na2, wa 5 nikuamuachia. Bora uzima.
Ni kweli tunajifunza mengi sn kwa shehe japo Kuna wachache wasiojielewa wasiojua umuhimu wa somo wanadai eti kwa Nini suruhu ifanyike hadharani kwa tv. Muwasaidie hao hawajielewi tu na ubinafsi
Jazakumu Llaahu khairan. Allah akulipe kwa juhudi za kupatanisha watu. Amiyn. Sheikh nina ushauri kidogo. Sura za wanaoshtaki zinge fichika. Wanawake wajistiri sura na wanaume pengine wangeipa camera mgongo. Ni ushauri tu. Baaraka Llaahu fiik
Shekhe nimekusikiliza sana, nikupe historia kidogo:nimemuoa mwaka 1997.Nimebadilisha dini kutoka ukiristo mwaka 1996kama nisharti la kukubaliwa posa yangu, ninadumu ktk misingi hiyo hadi leo mpaka kesho, tumeishi maisha ya raha na dhiki kama maisha yalivyo, ninamkosea mara nyingi na hujitahidi kumuomba msamaha, tumeishi kipindi chote hicho hadi niliposafiri miaka miwili mwaka 2018 hadi 2221 niliporejea nyumbani
Wosia kwa wanawake wenzangu tulio kwenye ndoa jamn hakuna mwanaume anaependa yeye anaongea kabla hajamaliza mke umedandia af mara nyingi mtu anaeongea kwa kudandia huwa hamaanishi kama anavyotaka kumaanisha mzungumzaji mwanamke subir mume azungumze kisha nawe utazungumza me pia nlikuwa hivyo ila Alhamdulillah Allah amenibadilisha walau naweza kustahamili akamaliza kisha nami ndo nizungumze
Iman ni kitu ghali sana haipatikani mitandaoni ndugu. Hupatkani kwa juhud. Hijra na Nusra ya Makkah na madina. Lazma tutoke fysabilillah Tabligh tuipate iman. Sio kwa kulala starehe majumbani mwetu
Allah akujaalie afya Na umri mrefu sheikh wetu hakika kipind hiki tunajifunza mengi mungu atupe subra ktk ndoa zetu Na atujaalie kizazi chenye kheri Na sie yaraab
Mwanya nilioupata nikwamba mke wangu ni mgumu wa kusamehe na anaposamehe hutamka ni mdomoni tu sio kifuani inaniumiza sana shehe, nimekuwa naishi kwa kuangaika ndani ya nafsi yangu kwasababu mke wangu nampenda ila yeye kashanichoka, shekhe nakuomba unusuru ndoa yangu
Na huyo jamaa sema bado tu anampenda huyo mwanamke, lkn agekuwa hampendi, na anamchaganya kabisa hapo igekuwa ngumu mno ,kupewa talaka,wewe unafikiri miogoni mwao anashindwa kutekeleza wanarudi tena,richa ya yote kuna watoto wanaishi na mama na watoto lkn bado ni viraza tu hiyo imekaeje shekh hiyo
@@jamilagg8858 hata km ni acti lkn Mada si ya kweli na ujumbe unafaidika nao? Km huamin Nenda katizame vipindi unavyoviamin!! Waalaikum salama waarahmatullah wabarakatuh
Kumbuka kuna magojwa baba utauwa mke wako nawewe mwenyewe mtamwacha mtoto yatima be care full wacha uchali chali hasira ni hasara ALLAH awape masikizano ishaallah
Aallah akupe umri murefu weebe manufa nakutuelimisha Amlah angeleta watu kila inci kama wewe walahi kunamambo waisilamu wangeka bila wasiwasi watuwaleo huwa hawajuwi jambo kama hili wamoja wanapinda pinda kama kusukumasukumatu watu bila kuwaonesha wapi walipatiya nawapi walokosea wengi wanaacana nyuma wanajuta kwamana wanatiya asira mbele asira ikiisha majuto
Sheikh Baba angu kipenz cha Allah mimi naitaji kusoma quran na niwe mchamungu haswa na nilihama nini nifanye ili niepukane na mahaswi na niweze kurejea kwa Allah
MashaAllah sheikh Othman amekuwa mtu kheri sana kutumia hivi vikundi vyake Allah amjalie kila la kheri aendele kutuelimisha nime kuwa na fuatilia vipindi vyake nimejifunza mengi hakika kuna mafunzo mengi
Samahani lakini mngezima nasheed au Radio wakati pale kikao kinaaza tu. Allah awabarik kwa kipindi chenye kuvuta kheri na kuwatuliza wana Doa waendelee kenye Doa yao imudu hadi kuzikana Alhamdulillah
Mashallah sheikh Allah atakupa ujira mkubwa maana mimi ni mkenya lkni nimependa Sanaa mawaidha yko nilikua napenda kuangalia mambo ya ngoma na wasani ila nilipoanza kuangalia na kuskiza nasaha zako mashallah najikuta kupenda sana
Hy dada anaonekana ni kibri ila allaah akupe subra kaka jamn wanawake tunatakiwa tuwe na subra tusikurupuke tu tutakua tunaolewa na kuachwa kwa kutotaka kujishusha
Shekhe mm niliyekutumia historia hii sina baba, Sina mama, Sina ndugu yoyote wa kumueleza habari hii muda wote nilikuwa napeleka mambo yetu kwao, Hata kuswali hataki sasa hivi, nisimu na simu nayeye wakati yeye ndiye mwalimu wangu dini na maelekezo mengine yanayomuhusu mtume wetu,
She he kachuwe soda kwa mangi ntakuja kulipa hayo mambo wanaume hawawafanyii wakezao labda hawala zao ndio Wana wafanyia hayo wanaume watupa changa.moto sana
Jamani ndoa yangu. Laiti ningemjua mapema sheikh leo ingekuwepo., Shukuran sheikh Allah akupe kheir zaid
Sasaiv aipo kwan pole
Mtafute mke
Nasaha Kwa wanawake wenzaku kuweni na subra katika ndoa uvumilivu na ucha Mungu ndio mafanikio na Allah kuwapa Sakina ya Moyo furaha na faraja Katika ibada Alhamdu lillah kupata mume anakuinea wivu na kukuvalisha stara wanaume wengine huchukia mke Kwa ibada na mashungi na midayudh na tunaendelea kubeba nguzo ya Allah na dua tunasonga mbele kuweni wavumilivu wanawake Allah huwapa faraja na Sakina za nyoyo zenu simameni na Ibada ndio msingi wa Manish
To all women who are going to read this massage from Ahlam Haroub in London UK I love you all my Muslim sisters for Allah sake
Allah kajua kama tuna Moyo strong ndio akajujaalia tukabeba uja uzito na uchungu mwanaume sekunde ya uchungu hauwezi
MASHAALLAH
Dada mshukur saan mugnu mungu ulionao dada wenzako tuna mitihani mizto na waume
@@peltrinechebet-xe2wdmh, mimi nilishindwa kabisa. Miaka 20 kwenye ndowa nawatoto nlimuachia.allah aliniruzuqu watoto. Nimeondoka na2, wa 5 nikuamuachia. Bora uzima.
ما شاء الله عليك شيخ عثمان بارك الله فيك الله يعطيك صحة والعافية اللهم امين يا رب العالمين 🌺🌸🌺🌸🌺🌸🌺🌸🌺🌸🌺
Amin
""Amiin Amiin Allah awape maelewano inshaallah na shekh wetu Allah akueke""
Shukrani Shee, Mungu akupee umrii mrefuu, Hili Ni darasa tosha jmn, Mashallah!! ( jazakhaheri)
kweri shee mungu akubariki sana
Ni kweli tunajifunza mengi sn kwa shehe japo Kuna wachache wasiojielewa wasiojua umuhimu wa somo wanadai eti kwa Nini suruhu ifanyike hadharani kwa tv. Muwasaidie hao hawajielewi tu na ubinafsi
Shekhe asalaamwalykum shekhe ndoa yangu IPO matatani nakaribia kuondoka nisaidie mume wangu anafanya Mabaya na anaswali swala Tano namba Yako tafazari
Mashaallah, Allah akubarik shekh wetu, Alhmdulillah tunajifunza mengi sana,Allah akujalie jannat firdous amiin
Mashallah shukrain shekhe wetu allah akujalie afya njema mashallah kwa shughuli unayo itendea haki allah atakulipa inshaallah
Asante
Upo vizuri shekhe mwenyezi-mungu akuweke yarabra aramin
Jazakumu Llaahu khairan.
Allah akulipe kwa juhudi za kupatanisha watu.
Amiyn.
Sheikh nina ushauri kidogo. Sura za wanaoshtaki zinge fichika.
Wanawake wajistiri sura na wanaume pengine wangeipa camera mgongo. Ni ushauri tu.
Baaraka Llaahu fiik
Naomba unisaidiye shee namimi jotabiya yangu please help me 🙏
Tabarakaallah Allah akupe umri mrefu shekh wangu tunayo makubwa khaswaa ata sim wala umeshidajee atupati ila tupo kiunyonge unyonge mpaka sasa
Allah amrehem mume wangu. Allah amjaalie pepo 🙌
Ameen
Amiin
Ameeeeeeen🙏
Amin
Ameen
Shekhe nimekusikiliza sana, nikupe historia kidogo:nimemuoa mwaka 1997.Nimebadilisha dini kutoka ukiristo mwaka 1996kama nisharti la kukubaliwa posa yangu, ninadumu ktk misingi hiyo hadi leo mpaka kesho, tumeishi maisha ya raha na dhiki kama maisha yalivyo, ninamkosea mara nyingi na hujitahidi kumuomba msamaha, tumeishi kipindi chote hicho hadi niliposafiri miaka miwili mwaka 2018 hadi 2221 niliporejea nyumbani
😂😂😂😂😂
Kumaliziaa Heee Ulivo Rengea Nyumbani Kilicho Fwata
Wosia kwa wanawake wenzangu tulio kwenye ndoa jamn hakuna mwanaume anaependa yeye anaongea kabla hajamaliza mke umedandia af mara nyingi mtu anaeongea kwa kudandia huwa hamaanishi kama anavyotaka kumaanisha mzungumzaji mwanamke subir mume azungumze kisha nawe utazungumza me pia nlikuwa hivyo ila Alhamdulillah Allah amenibadilisha walau naweza kustahamili akamaliza kisha nami ndo nizungumze
Mashallah,Shekh vizurisansa kipindikizurisana hatanchiza nje watuwansaidiwa na kuishi maisha ya raha na marefu,tatizoniuelewa,vizurisana Shekh
Alhamdulillah kathiirah sheik wetu wallah binafsi nimesaidika barrak allahu feek
Amina Thuma Amina
Kwa Sote Tunao Pitia Mitiani Katika Ndoa Zetuuu Mungu Atufanyie Wepesi Insha Allah
Maasha Allah Shekh Mungu Akujaze Kheri Apa Duniani Na Kesho Akhera Insha Allah Akika Tumejisunza Kituuu Shukurani
allah akuhifadhi sana shekhe wangu nakupenda kwa ajili ya allah
Iman ni kitu ghali sana haipatikani mitandaoni ndugu. Hupatkani kwa juhud. Hijra na Nusra ya Makkah na madina. Lazma tutoke fysabilillah Tabligh tuipate iman. Sio kwa kulala starehe majumbani mwetu
Manshaalah shehe wallah alah akubariki mimwenyewe sijuwinimepatwananini kidogotuu nivunje ndoa yangu asantesana bipindibiya binanisaidia sana shukran 🤲🤲🤲🤲
Alah Akuzidishie Kheri
Allah akujaalie afya Na umri mrefu sheikh wetu hakika kipind hiki tunajifunza mengi mungu atupe subra ktk ndoa zetu Na atujaalie kizazi chenye kheri Na sie yaraab
Mashallah Allah akuzidishie kher na barka
Alhamdulillah Rabbi l
allah'akupe'umri'mrefu''shehe wetu'kwa'kutupa'nasaha''nzuri'za'ndowa
Mwanya nilioupata nikwamba mke wangu ni mgumu wa kusamehe na anaposamehe hutamka ni mdomoni tu sio kifuani inaniumiza sana shehe, nimekuwa naishi kwa kuangaika ndani ya nafsi yangu kwasababu mke wangu nampenda ila yeye kashanichoka, shekhe nakuomba unusuru ndoa yangu
MASHAALLAH
Masha allah mola akulinde, samahani hizo no hazionyeshi plz ziweke nyeusi ndio tuone Vizuri
Ustadhi samahan huyu dada sindie alietaka kujiuwa kwaajil ya huyu kijana jaman au sie
Majibu jmn saut mbona mulemuleeeee😵😵😵😵
Huyu kakanimdigo sauti yakitanga
Mashallah sheikh tunajifunza nasaha zako Allah akulipe Kila lenye heri
Umesema kweli kaka shehe mungu akuongezee umri wa kuishi
Amina Thuma Amina
Mashallah Allah akuzidishie khema shekh
Man Sha Allah sheik Allah azidi kurefusha maisha yako ili utueke panapo stahili.
Wallahi nimejikuta nalia hapo bint alipopiga magoti kumuomba mumewe msamaha sijui ni raha ama nn Allah awadumishe ktk ndoa yao Masha Allah
Lkn shekh igetokea pade zote mbili zikashidwa kufikia mwafaka wa makubaliano upo tyr kuwapa talaka
Na huyo jamaa sema bado tu anampenda huyo mwanamke, lkn agekuwa hampendi, na anamchaganya kabisa hapo igekuwa ngumu mno ,kupewa talaka,wewe unafikiri miogoni mwao anashindwa kutekeleza wanarudi tena,richa ya yote kuna watoto wanaishi na mama na watoto lkn bado ni viraza tu hiyo imekaeje shekh hiyo
Ila shekhe me siwaamin ten Wallah
Nausiamnii endeleaa tuu ndugu hangu kuangaliaa mchezo wa juaa kalii kila saa 3 usikuu 😂😂😂 mnaishii sana kwa kulaririii ndio manaa
@@ishakafaki3501 Mchezo ndo Nini? I'm from 🇴🇲 Alaf mfwatilie huyu shekhe San ndo utaelew na Manish Nini Hiyo ni Edit sio uhalia kbs
@@jamilagg8858 hata km ni acti lkn Mada si ya kweli na ujumbe unafaidika nao? Km huamin Nenda katizame vipindi unavyoviamin!! Waalaikum salama waarahmatullah wabarakatuh
@@jamilagg8858 tulia wewe tupate SoMo wewe usiamini
Mashaallah mashaallah shekhe mwenyezi mungu Akupe Afya Na umri wenye kheir Inshaallah
Kumbuka kuna magojwa baba utauwa mke wako nawewe mwenyewe mtamwacha mtoto yatima be care full wacha uchali chali hasira ni hasara ALLAH awape masikizano ishaallah
Shukrani sana shekh wangu mungu akujaalie umri mrefu wenye inshallaaah
Shekh uko fit sana kwa sasa amakwer kilajambo lina wakat wake
Thank you so much for biding this couple.Alihamudullillah
mashallah mashaallah mungu akufungulie shekh baraka teleee nimependa sana
❤❤❤
Mashallah shekh wayajuwa mambobarabbbbbaraالله أكبر
Mashaallah..... shukran shekh kwa nasaha tunajifunza
Mashaallah shekh ALLAH akuzidishie hekima zaidi nimejifunza kitu ata nikija olewa nijue jins ya kumweshimu mume
Ameen
Kama uko tayari Nina kaka yangu hapa
Mashaallah
Tabaaraka Allah
Asante Sana shehe.. Allah akulipe ujira mwema..
Asalam alaykum shekhe naomba nambayako au unapatikana wapi nnashida
Jazalah khair shekh umewafunza mafunzo mazuri Sana inshallah endelea kuwafunza vijana na kina dada wote waliowana hiyo ni jambo la kheri
Mwenyezi mungu akujalie kazi njema na mafundisho ya mtume Amiin rabbilaal Amiin
Shekheh-mungu.atakulipa-kwaushauri.wako
Allah akupe umri sheikh in sha Allah..🤲🤲
Maashallah tabarakallah Allah awadumishie ndowa yenu
Amin
Mashaallah.. Allah akuzidishie kheri
Aallah akupe umri murefu weebe manufa nakutuelimisha Amlah angeleta watu kila inci kama wewe walahi kunamambo waisilamu wangeka bila wasiwasi watuwaleo huwa hawajuwi jambo kama hili wamoja wanapinda pinda kama kusukumasukumatu watu bila kuwaonesha wapi walipatiya nawapi walokosea wengi wanaacana nyuma wanajuta kwamana wanatiya asira mbele asira ikiisha majuto
shukran
Shekhe upo sahihi sana maashaallah maashaallah
Kwakweli shee mungu akubaliki sana kwa nasahaa hizi ndoa nyingi zitapona
MashaAllah sheikh ALLAH atakulipa
Mashaallah tabalakallah shekh
Sheikh Baba angu kipenz cha Allah mimi naitaji kusoma quran na niwe mchamungu haswa na nilihama nini nifanye ili niepukane na mahaswi na niweze kurejea kwa Allah
MashaAllah sheikh Othman amekuwa mtu kheri sana kutumia hivi vikundi vyake Allah amjalie kila la kheri aendele kutuelimisha nime kuwa na fuatilia vipindi vyake nimejifunza mengi hakika kuna mafunzo mengi
Asante kwa mawaidha yako mengine nimesoma kwako
Samahani lakini mngezima nasheed au Radio wakati pale kikao kinaaza tu.
Allah awabarik kwa kipindi chenye kuvuta kheri na kuwatuliza wana Doa waendelee kenye Doa yao imudu hadi kuzikana Alhamdulillah
Nimejifunza saana mungu akubariki
Mm ni mkristo lakin huyu shehe ananifariji mnooo mwenyewezi Mungu akubariki
Swadakta shekhe wangu
Mashallah
Subhana llah
MashaaAllah
Mashaallah mashaallah
asalamu allaykumu mwarahmatullah wabarakatu kbx'shehe'wetu'
Hunipendi 😂😂😂😂🤦♂️🤦♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️ nakupenda ndoaa rahaa sanaa jamniii 🤲❤💯
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣kazi ipo
😅😅😅
MashaAllah
Warangi nao shida
Mashallah sheikh Allah atakupa ujira mkubwa maana mimi ni mkenya lkni nimependa Sanaa mawaidha yko nilikua napenda kuangalia mambo ya ngoma na wasani ila nilipoanza kuangalia na kuskiza nasaha zako mashallah najikuta kupenda sana
Uko kama mimi🇧🇮
Karibu Tanzania
Nasheitwani huwa anatiya fitina zake hasbyallah waneehemal wakil
Mashalla mashalla umeni chekesha shekhe ety snifokea kisa nyunwa dawa na ndio anapenda umenikumbusha mambo mengi
Masha Allah sheikh
Huyu mwanaume amejieleza vzr yaaan,
Hy dada anaonekana ni kibri ila allaah akupe subra kaka jamn wanawake tunatakiwa tuwe na subra tusikurupuke tu tutakua tunaolewa na kuachwa kwa kutotaka kujishusha
Umeona hakuna mwanaume anapenda kujibizwa huyu dada mjeur sanaaaa mwenzie kanyamaza ye kidomo domo juu hakuna ndo inayokwend kwa hali hii
Kweli dada yani hata mwanaume kakukwaza vp inabd uwe bubu
Kabisa
Umesema kweli huyu binti anakasoro
Nikwel kabisa ana kibri kwel
Amina amina shee
Shekhe mm niliyekutumia historia hii sina baba, Sina mama, Sina ndugu yoyote wa kumueleza habari hii muda wote nilikuwa napeleka mambo yetu kwao, Hata kuswali hataki sasa hivi, nisimu na simu nayeye wakati yeye ndiye mwalimu wangu dini na maelekezo mengine yanayomuhusu mtume wetu,
ماشاء الله تبارك الرحمن
Mashaa Allah tabaarak
Keep going
don't worry
Shukraan ustadh nimefaidika.
Allah awape maskizano mpka mukhitimishane
Ameen
Mash Allah Allah akulipe kil la kher kwa Daras
Kwan lazima mama ntilie awe namba yako tabiaya mbaya tu
Michepuko anasingizia muuza chakula
ManshAllah 🤲🤲
Mungu atubariki kila jema lisimamae kwenye wema!!
🙏
MASHAALAH
Tabaaraka Allah
Mnafiki huyu mwanamume. No. Ya.muuza chakula waichukua ya nini.?
Wakati wauza chakula ni weni
😂😂😂
allah'atujaliye'ndowa'zetu'
Mashallah 🤲
Subhanallah huyu dada
Masha Allah nipo Qatar nafatilia darasa zako sana hata mm nitasema ya kwangu baadae insha Allah
Alhamdulillah Rabbi l
Manshaallah alhamdulilah
Mashallh mashallh
ukweli sheikh naoba usaidizi kutoka Kwako, ilamimi sijuwe kama nifanyeje ukweli nilikwa naoba ku pata dawa
Bismillahi mashaallah
Jamani ndoa hizi duuuuuuu!!!!! Ila huy dada nae ana mdomo
Mtihan sana anadhan talaka ndio suluhu,ata Sheikh ashajua tatizo lipo wapi.
Mashallah barakallah fikum
Ameen
mashallah nasaha nzur.
Uyu kaka ana mchepuko alafu anaona wivu adi kwa mabinamu loh
Binamu anaweza kumuoa ndo mana anaona wivu ndo maana kuna baadhi ya Makabila huozeshana wenywe yan binamu huoana
Mashaallah tabarak
Maa shaa Allah
She he kachuwe soda kwa mangi ntakuja kulipa hayo mambo wanaume hawawafanyii wakezao labda hawala zao ndio Wana wafanyia hayo wanaume watupa changa.moto sana
Uyasemayo dada kweli mahawara ndio wamana kuliko waume hahahaha😅😅