SHEKH OTHMAN MICHAEL ANUSURU NDOA ILIYOTAKA KUVUNJIKA # KWA MANENO MAZURI YAKUMTOA NYOKA PANGONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 дек 2020

Комментарии • 358

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 3 года назад +8

    Jamani ndoa yangu. Laiti ningemjua mapema sheikh leo ingekuwepo., Shukuran sheikh Allah akupe kheir zaid

  • @ahlamharoub1130
    @ahlamharoub1130 3 года назад +10

    Nasaha Kwa wanawake wenzaku kuweni na subra katika ndoa uvumilivu na ucha Mungu ndio mafanikio na Allah kuwapa Sakina ya Moyo furaha na faraja Katika ibada Alhamdu lillah kupata mume anakuinea wivu na kukuvalisha stara wanaume wengine huchukia mke Kwa ibada na mashungi na midayudh na tunaendelea kubeba nguzo ya Allah na dua tunasonga mbele kuweni wavumilivu wanawake Allah huwapa faraja na Sakina za nyoyo zenu simameni na Ibada ndio msingi wa Manish
    To all women who are going to read this massage from Ahlam Haroub in London UK I love you all my Muslim sisters for Allah sake
    Allah kajua kama tuna Moyo strong ndio akajujaalia tukabeba uja uzito na uchungu mwanaume sekunde ya uchungu hauwezi

    • @itifaqyonlinetv1558
      @itifaqyonlinetv1558  3 года назад +1

      MASHAALLAH

    • @peltrinechebet-xe2wd
      @peltrinechebet-xe2wd 11 месяцев назад

      Dada mshukur saan mugnu mungu ulionao dada wenzako tuna mitihani mizto na waume

    • @user-db3hv6zq1d
      @user-db3hv6zq1d 10 месяцев назад

      ​@@peltrinechebet-xe2wdmh, mimi nilishindwa kabisa. Miaka 20 kwenye ndowa nawatoto nlimuachia.allah aliniruzuqu watoto. Nimeondoka na2, wa 5 nikuamuachia. Bora uzima.

  • @mayaaljabry2794
    @mayaaljabry2794 3 года назад +11

    ما شاء الله عليك شيخ عثمان بارك الله فيك الله يعطيك صحة والعافية اللهم امين يا رب العالمين 🌺🌸🌺🌸🌺🌸🌺🌸🌺🌸🌺

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 года назад +8

    ""Amiin Amiin Allah awape maelewano inshaallah na shekh wetu Allah akueke""

  • @beera.g5302
    @beera.g5302 3 года назад +9

    Shukrani Shee, Mungu akupee umrii mrefuu, Hili Ni darasa tosha jmn, Mashallah!! ( jazakhaheri)

    • @modestanyaulingo5355
      @modestanyaulingo5355 3 года назад

      kweri shee mungu akubariki sana

    • @yusufmakonyo2971
      @yusufmakonyo2971 2 года назад

      Ni kweli tunajifunza mengi sn kwa shehe japo Kuna wachache wasiojielewa wasiojua umuhimu wa somo wanadai eti kwa Nini suruhu ifanyike hadharani kwa tv. Muwasaidie hao hawajielewi tu na ubinafsi

    • @athumaniwazili
      @athumaniwazili Год назад

      Shekhe asalaamwalykum shekhe ndoa yangu IPO matatani nakaribia kuondoka nisaidie mume wangu anafanya Mabaya na anaswali swala Tano namba Yako tafazari

  • @khadijasalum6031
    @khadijasalum6031 3 года назад +2

    Mashaallah, Allah akubarik shekh wetu, Alhmdulillah tunajifunza mengi sana,Allah akujalie jannat firdous amiin

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 года назад +4

    Mashallah shukrain shekhe wetu allah akujalie afya njema mashallah kwa shughuli unayo itendea haki allah atakulipa inshaallah

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад +1

    Upo vizuri shekhe mwenyezi-mungu akuweke yarabra aramin

  • @ummua5006
    @ummua5006 3 года назад +7

    Jazakumu Llaahu khairan.
    Allah akulipe kwa juhudi za kupatanisha watu.
    Amiyn.
    Sheikh nina ushauri kidogo. Sura za wanaoshtaki zinge fichika.
    Wanawake wajistiri sura na wanaume pengine wangeipa camera mgongo. Ni ushauri tu.
    Baaraka Llaahu fiik

    • @mwapeboss1380
      @mwapeboss1380 2 года назад

      Naomba unisaidiye shee namimi jotabiya yangu please help me 🙏

  • @johntay8813
    @johntay8813 3 года назад +2

    Tabarakaallah Allah akupe umri mrefu shekh wangu tunayo makubwa khaswaa ata sim wala umeshidajee atupati ila tupo kiunyonge unyonge mpaka sasa

  • @omaniomani5155
    @omaniomani5155 3 года назад +17

    Allah amrehem mume wangu. Allah amjaalie pepo 🙌

  • @eugenerutagengwa2068
    @eugenerutagengwa2068 2 года назад +3

    Shekhe nimekusikiliza sana, nikupe historia kidogo:nimemuoa mwaka 1997.Nimebadilisha dini kutoka ukiristo mwaka 1996kama nisharti la kukubaliwa posa yangu, ninadumu ktk misingi hiyo hadi leo mpaka kesho, tumeishi maisha ya raha na dhiki kama maisha yalivyo, ninamkosea mara nyingi na hujitahidi kumuomba msamaha, tumeishi kipindi chote hicho hadi niliposafiri miaka miwili mwaka 2018 hadi 2221 niliporejea nyumbani

  • @ummuhkhalfan5542
    @ummuhkhalfan5542 3 года назад +9

    Wosia kwa wanawake wenzangu tulio kwenye ndoa jamn hakuna mwanaume anaependa yeye anaongea kabla hajamaliza mke umedandia af mara nyingi mtu anaeongea kwa kudandia huwa hamaanishi kama anavyotaka kumaanisha mzungumzaji mwanamke subir mume azungumze kisha nawe utazungumza me pia nlikuwa hivyo ila Alhamdulillah Allah amenibadilisha walau naweza kustahamili akamaliza kisha nami ndo nizungumze

  • @ramaaman9173
    @ramaaman9173 2 года назад

    Mashallah,Shekh vizurisansa kipindikizurisana hatanchiza nje watuwansaidiwa na kuishi maisha ya raha na marefu,tatizoniuelewa,vizurisana Shekh

  • @rahmaalfan1776
    @rahmaalfan1776 3 года назад +5

    Alhamdulillah kathiirah sheik wetu wallah binafsi nimesaidika barrak allahu feek

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад

    Amina Thuma Amina
    Kwa Sote Tunao Pitia Mitiani Katika Ndoa Zetuuu Mungu Atufanyie Wepesi Insha Allah

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад

    Maasha Allah Shekh Mungu Akujaze Kheri Apa Duniani Na Kesho Akhera Insha Allah Akika Tumejisunza Kituuu Shukurani

  • @fetysukafetysuka8811
    @fetysukafetysuka8811 3 года назад +2

    allah akuhifadhi sana shekhe wangu nakupenda kwa ajili ya allah

  • @hamza89945
    @hamza89945 3 года назад +1

    Iman ni kitu ghali sana haipatikani mitandaoni ndugu. Hupatkani kwa juhud. Hijra na Nusra ya Makkah na madina. Lazma tutoke fysabilillah Tabligh tuipate iman. Sio kwa kulala starehe majumbani mwetu

  • @saidiasdd5043
    @saidiasdd5043 3 года назад

    Manshaalah shehe wallah alah akubariki mimwenyewe sijuwinimepatwananini kidogotuu nivunje ndoa yangu asantesana bipindibiya binanisaidia sana shukran 🤲🤲🤲🤲

  • @salimaburadmanradman9203
    @salimaburadmanradman9203 29 дней назад

    Alah Akuzidishie Kheri

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 3 года назад

    Allah akujaalie afya Na umri mrefu sheikh wetu hakika kipind hiki tunajifunza mengi mungu atupe subra ktk ndoa zetu Na atujaalie kizazi chenye kheri Na sie yaraab

  • @sharifaali2439
    @sharifaali2439 3 года назад +2

    Mashallah Allah akuzidishie kher na barka

  • @kwizeraaishaa6898
    @kwizeraaishaa6898 Год назад

    allah'akupe'umri'mrefu''shehe wetu'kwa'kutupa'nasaha''nzuri'za'ndowa

  • @eugenerutagengwa2068
    @eugenerutagengwa2068 2 года назад

    Mwanya nilioupata nikwamba mke wangu ni mgumu wa kusamehe na anaposamehe hutamka ni mdomoni tu sio kifuani inaniumiza sana shehe, nimekuwa naishi kwa kuangaika ndani ya nafsi yangu kwasababu mke wangu nampenda ila yeye kashanichoka, shekhe nakuomba unusuru ndoa yangu

  • @itifaqyonlinetv1558
    @itifaqyonlinetv1558  3 года назад +18

    MASHAALLAH

    • @khadijaomar5506
      @khadijaomar5506 3 года назад

      Masha allah mola akulinde, samahani hizo no hazionyeshi plz ziweke nyeusi ndio tuone Vizuri

    • @wardahnajmah2168
      @wardahnajmah2168 3 года назад

      Ustadhi samahan huyu dada sindie alietaka kujiuwa kwaajil ya huyu kijana jaman au sie

    • @mgenimussa808
      @mgenimussa808 3 года назад

      Majibu jmn saut mbona mulemuleeeee😵😵😵😵

    • @biubwamohd6089
      @biubwamohd6089 2 года назад

      Huyu kakanimdigo sauti yakitanga

  • @user-yb6iv1ls4g
    @user-yb6iv1ls4g 6 месяцев назад

    Mashallah sheikh tunajifunza nasaha zako Allah akulipe Kila lenye heri

  • @lilianmoyo316
    @lilianmoyo316 3 года назад +2

    Umesema kweli kaka shehe mungu akuongezee umri wa kuishi

  • @fatumahayani4671
    @fatumahayani4671 Год назад

    Mashallah Allah akuzidishie khema shekh

  • @Muhinanjowa
    @Muhinanjowa 3 года назад

    Man Sha Allah sheik Allah azidi kurefusha maisha yako ili utueke panapo stahili.

  • @ukhtyashurasakinamnyoti1786
    @ukhtyashurasakinamnyoti1786 3 года назад +2

    Wallahi nimejikuta nalia hapo bint alipopiga magoti kumuomba mumewe msamaha sijui ni raha ama nn Allah awadumishe ktk ndoa yao Masha Allah

    • @bulashimathias8368
      @bulashimathias8368 2 года назад

      Lkn shekh igetokea pade zote mbili zikashidwa kufikia mwafaka wa makubaliano upo tyr kuwapa talaka

    • @bulashimathias8368
      @bulashimathias8368 2 года назад

      Na huyo jamaa sema bado tu anampenda huyo mwanamke, lkn agekuwa hampendi, na anamchaganya kabisa hapo igekuwa ngumu mno ,kupewa talaka,wewe unafikiri miogoni mwao anashindwa kutekeleza wanarudi tena,richa ya yote kuna watoto wanaishi na mama na watoto lkn bado ni viraza tu hiyo imekaeje shekh hiyo

  • @jamilagg8858
    @jamilagg8858 3 года назад +4

    Ila shekhe me siwaamin ten Wallah

    • @ishakafaki3501
      @ishakafaki3501 3 года назад

      Nausiamnii endeleaa tuu ndugu hangu kuangaliaa mchezo wa juaa kalii kila saa 3 usikuu 😂😂😂 mnaishii sana kwa kulaririii ndio manaa

    • @jamilagg8858
      @jamilagg8858 3 года назад

      @@ishakafaki3501 Mchezo ndo Nini? I'm from 🇴🇲 Alaf mfwatilie huyu shekhe San ndo utaelew na Manish Nini Hiyo ni Edit sio uhalia kbs

    • @halimasulaimani848
      @halimasulaimani848 3 года назад

      @@jamilagg8858 hata km ni acti lkn Mada si ya kweli na ujumbe unafaidika nao? Km huamin Nenda katizame vipindi unavyoviamin!! Waalaikum salama waarahmatullah wabarakatuh

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 Год назад

      @@jamilagg8858 tulia wewe tupate SoMo wewe usiamini

  • @rayaalaisari4592
    @rayaalaisari4592 3 года назад

    Mashaallah mashaallah shekhe mwenyezi mungu Akupe Afya Na umri wenye kheir Inshaallah

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 2 года назад

    Kumbuka kuna magojwa baba utauwa mke wako nawewe mwenyewe mtamwacha mtoto yatima be care full wacha uchali chali hasira ni hasara ALLAH awape masikizano ishaallah

  • @fatmamshangama9824
    @fatmamshangama9824 3 года назад

    Shukrani sana shekh wangu mungu akujaalie umri mrefu wenye inshallaaah

  • @abdulkadrshemmela7922
    @abdulkadrshemmela7922 3 года назад +1

    Shekh uko fit sana kwa sasa amakwer kilajambo lina wakat wake

  • @FatumaBegamu-cy6ue
    @FatumaBegamu-cy6ue 5 месяцев назад

    Thank you so much for biding this couple.Alihamudullillah

  • @ashayummy2299
    @ashayummy2299 3 года назад

    mashallah mashaallah mungu akufungulie shekh baraka teleee nimependa sana
    ❤❤❤

  • @user-bm8wd3sk7i
    @user-bm8wd3sk7i 8 месяцев назад

    Mashallah shekh wayajuwa mambobarabbbbbaraالله أكبر

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 года назад

    Mashaallah..... shukran shekh kwa nasaha tunajifunza

  • @MadinaAbdallah-zb4mm
    @MadinaAbdallah-zb4mm Год назад

    Mashaallah shekh ALLAH akuzidishie hekima zaidi nimejifunza kitu ata nikija olewa nijue jins ya kumweshimu mume

  • @zainababdallah9681
    @zainababdallah9681 3 года назад +5

    Mashaallah

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +1

    Asante Sana shehe.. Allah akulipe ujira mwema..

    • @hajraabdallah4460
      @hajraabdallah4460 3 года назад

      Asalam alaykum shekhe naomba nambayako au unapatikana wapi nnashida

  • @layilaalhinai5727
    @layilaalhinai5727 3 года назад

    Jazalah khair shekh umewafunza mafunzo mazuri Sana inshallah endelea kuwafunza vijana na kina dada wote waliowana hiyo ni jambo la kheri

    • @layilaalhinai5727
      @layilaalhinai5727 3 года назад

      Mwenyezi mungu akujalie kazi njema na mafundisho ya mtume Amiin rabbilaal Amiin

  • @habibhabiba.saleh.5590
    @habibhabiba.saleh.5590 3 года назад

    Shekheh-mungu.atakulipa-kwaushauri.wako

  • @zuenahasan5260
    @zuenahasan5260 3 года назад

    Allah akupe umri sheikh in sha Allah..🤲🤲

  • @bigirimanaazza6778
    @bigirimanaazza6778 3 года назад +1

    Maashallah tabarakallah Allah awadumishie ndowa yenu

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 3 года назад

    Mashaallah.. Allah akuzidishie kheri

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад +2

    Aallah akupe umri murefu weebe manufa nakutuelimisha Amlah angeleta watu kila inci kama wewe walahi kunamambo waisilamu wangeka bila wasiwasi watuwaleo huwa hawajuwi jambo kama hili wamoja wanapinda pinda kama kusukumasukumatu watu bila kuwaonesha wapi walipatiya nawapi walokosea wengi wanaacana nyuma wanajuta kwamana wanatiya asira mbele asira ikiisha majuto

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Shekhe upo sahihi sana maashaallah maashaallah

  • @imanmwashitete5243
    @imanmwashitete5243 3 года назад

    Kwakweli shee mungu akubaliki sana kwa nasahaa hizi ndoa nyingi zitapona

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 3 года назад

    MashaAllah sheikh ALLAH atakulipa

  • @mariamsudi8845
    @mariamsudi8845 2 года назад

    Mashaallah tabalakallah shekh

  • @HassanMohamed-zg9xd
    @HassanMohamed-zg9xd Год назад

    Sheikh Baba angu kipenz cha Allah mimi naitaji kusoma quran na niwe mchamungu haswa na nilihama nini nifanye ili niepukane na mahaswi na niweze kurejea kwa Allah

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma8696 3 года назад +1

    MashaAllah sheikh Othman amekuwa mtu kheri sana kutumia hivi vikundi vyake Allah amjalie kila la kheri aendele kutuelimisha nime kuwa na fuatilia vipindi vyake nimejifunza mengi hakika kuna mafunzo mengi

  • @fatumakirowa4507
    @fatumakirowa4507 3 года назад

    Asante kwa mawaidha yako mengine nimesoma kwako

  • @zakiaali4651
    @zakiaali4651 3 года назад

    Samahani lakini mngezima nasheed au Radio wakati pale kikao kinaaza tu.
    Allah awabarik kwa kipindi chenye kuvuta kheri na kuwatuliza wana Doa waendelee kenye Doa yao imudu hadi kuzikana Alhamdulillah

  • @kezakimanahadjara5979
    @kezakimanahadjara5979 3 года назад

    Nimejifunza saana mungu akubariki

  • @elizaberthnassary8440
    @elizaberthnassary8440 3 года назад

    Mm ni mkristo lakin huyu shehe ananifariji mnooo mwenyewezi Mungu akubariki

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Год назад

    Swadakta shekhe wangu

  • @jumaahmadi
    @jumaahmadi Месяц назад

    Mashallah

  • @zainabmohammed1305
    @zainabmohammed1305 3 года назад +2

    Subhana llah

  • @shikuassi4876
    @shikuassi4876 3 года назад +2

    MashaaAllah

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 года назад +1

    Mashaallah mashaallah

  • @kwizeraaishaa6898
    @kwizeraaishaa6898 Год назад

    asalamu allaykumu mwarahmatullah wabarakatu kbx'shehe'wetu'

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 3 года назад +1

    Hunipendi 😂😂😂😂🤦‍♂️🤦‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️ nakupenda ndoaa rahaa sanaa jamniii 🤲❤💯

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 3 года назад +2

    MashaAllah

  • @aishaali8902
    @aishaali8902 3 года назад

    Mashallah sheikh Allah atakupa ujira mkubwa maana mimi ni mkenya lkni nimependa Sanaa mawaidha yko nilikua napenda kuangalia mambo ya ngoma na wasani ila nilipoanza kuangalia na kuskiza nasaha zako mashallah najikuta kupenda sana

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 2 года назад

    Nasheitwani huwa anatiya fitina zake hasbyallah waneehemal wakil

  • @mwnaidibushuti9958
    @mwnaidibushuti9958 3 года назад

    Mashalla mashalla umeni chekesha shekhe ety snifokea kisa nyunwa dawa na ndio anapenda umenikumbusha mambo mengi

  • @zulfaprotas9557
    @zulfaprotas9557 2 года назад

    Masha Allah sheikh

  • @fatmamashallahdadadidahama9824
    @fatmamashallahdadadidahama9824 3 года назад +2

    Huyu mwanaume amejieleza vzr yaaan,

  • @fatmamshangama9824
    @fatmamshangama9824 3 года назад +14

    Hy dada anaonekana ni kibri ila allaah akupe subra kaka jamn wanawake tunatakiwa tuwe na subra tusikurupuke tu tutakua tunaolewa na kuachwa kwa kutotaka kujishusha

  • @nellymsigwa6997
    @nellymsigwa6997 3 года назад

    Amina amina shee

  • @eugenerutagengwa2068
    @eugenerutagengwa2068 2 года назад

    Shekhe mm niliyekutumia historia hii sina baba, Sina mama, Sina ndugu yoyote wa kumueleza habari hii muda wote nilikuwa napeleka mambo yetu kwao, Hata kuswali hataki sasa hivi, nisimu na simu nayeye wakati yeye ndiye mwalimu wangu dini na maelekezo mengine yanayomuhusu mtume wetu,

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 3 года назад +1

    ماشاء الله تبارك الرحمن

  • @omaniomani5155
    @omaniomani5155 3 года назад +1

    Mashaa Allah tabaarak

  • @neemamochiwa7611
    @neemamochiwa7611 3 года назад +2

    Keep going

  • @ummabubakar5319
    @ummabubakar5319 3 года назад +3

    Shukraan ustadh nimefaidika.
    Allah awape maskizano mpka mukhitimishane

  • @mariamwarwa6737
    @mariamwarwa6737 3 года назад

    Mash Allah Allah akulipe kil la kher kwa Daras

  • @kindepeha9506
    @kindepeha9506 3 года назад +2

    Kwan lazima mama ntilie awe namba yako tabiaya mbaya tu
    Michepuko anasingizia muuza chakula

  • @teddyradjab5473
    @teddyradjab5473 3 года назад

    ManshAllah 🤲🤲

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 3 года назад

    Mungu atubariki kila jema lisimamae kwenye wema!!

  • @neemamochiwa7611
    @neemamochiwa7611 3 года назад +2

    MASHAALAH

  • @mwanasitikassim8890
    @mwanasitikassim8890 3 года назад +5

    Mnafiki huyu mwanamume. No. Ya.muuza chakula waichukua ya nini.?

  • @kwizeraaishaa6898
    @kwizeraaishaa6898 Год назад

    allah'atujaliye'ndowa'zetu'

  • @mwanaishandaro153
    @mwanaishandaro153 2 года назад

    Mashallah 🤲

  • @user-uf6hw6rf9t
    @user-uf6hw6rf9t 8 месяцев назад

    Subhanallah huyu dada

  • @omargbabaomar2004
    @omargbabaomar2004 3 года назад +4

    Masha Allah nipo Qatar nafatilia darasa zako sana hata mm nitasema ya kwangu baadae insha Allah

  • @aminathabagome4827
    @aminathabagome4827 Год назад

    Manshaallah alhamdulilah

  • @azizazzzz8043
    @azizazzzz8043 2 года назад

    Mashallh mashallh

  • @zubedaismali427
    @zubedaismali427 2 года назад

    ukweli sheikh naoba usaidizi kutoka Kwako, ilamimi sijuwe kama nifanyeje ukweli nilikwa naoba ku pata dawa

  • @binthamoudshariff5492
    @binthamoudshariff5492 3 года назад

    Bismillahi mashaallah

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 3 года назад +1

    Jamani ndoa hizi duuuuuuu!!!!! Ila huy dada nae ana mdomo

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 Год назад

      Mtihan sana anadhan talaka ndio suluhu,ata Sheikh ashajua tatizo lipo wapi.

  • @Amaakproduct
    @Amaakproduct 3 года назад

    Mashallah barakallah fikum

  • @maliharajabu8917
    @maliharajabu8917 3 года назад

    mashallah nasaha nzur.

  • @kindepeha9506
    @kindepeha9506 3 года назад +1

    Uyu kaka ana mchepuko alafu anaona wivu adi kwa mabinamu loh

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 3 года назад +1

      Binamu anaweza kumuoa ndo mana anaona wivu ndo maana kuna baadhi ya Makabila huozeshana wenywe yan binamu huoana

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Год назад

    Mashaallah tabarak

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Год назад

    Maa shaa Allah

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 3 года назад +2

    She he kachuwe soda kwa mangi ntakuja kulipa hayo mambo wanaume hawawafanyii wakezao labda hawala zao ndio Wana wafanyia hayo wanaume watupa changa.moto sana

    • @johntay8813
      @johntay8813 3 года назад

      Uyasemayo dada kweli mahawara ndio wamana kuliko waume hahahaha😅😅