Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
LAANA YA MWANAMKE INAWEZA KUMPATA MWANAUME
- Добавить в
- Мой плейлист
- Посмотреть позже
- Поделиться
Поделиться
HTML-код
Размер видео:
- Опубликовано: 15 ноя 2020
Комментарии • 71
Следующие
Автовоспроизведение
Heated Debate | Christian Professor vs dr zakir naik about Prophet MuhammadOne Man Army
Просмотров 673 тыс.
MKEO AKIDAI TALAKA USIMLAUMU WEWE UMEFELI KUMPA AMANI YA MOYOOTHMAN MICHAEL ONLINE
Просмотров 19 тыс.
ILI MÀFANIKIO YAHARAKA YAJE MAISHANI MWAKO BAAS HUYU TENGAMANA NAYE KWANIA SAFI NA HURUMAOTHMAN MICHAEL ONLINE
Просмотров 1,3 тыс.
I ORDERED 'THE WOLVERINE CHALLENGE' IN A PACKED RESTAURANT IN CLEVELAND! | BeardMeatsFoodBeardMeatsFood
Просмотров 2,7 млн
See Tom Cruise’s EPIC Routine to Close Out the 2024 Paris Olympics | E! NewsE! News
Просмотров 886 тыс.
NFL PRESEASON DAY ONE RECAP 🔥 Caleb Williams, QB rookies & vets show out | SportsCenterNFL on ESPN
Просмотров 157 тыс.
Half in the Bag: BorderlandsRedLetterMedia
Просмотров 688 тыс.
JE? YAFAA KUMRAMBA MKEO | NDOA | TALAKA | EDA | SHEIKH OTHMAN MICHAELMASJID MTORO ONLINE TV
Просмотров 259 тыс.
Abdussamad Samadani New Islamic Speech | Karunya Prakarshanam ( കാരുണ്യ പ്രകർഷം ) |COMPASSION VISION
Просмотров 1,3 млн
🛑🇹🇬𝐋𝐞 07-08-2024 𝗖𝗵𝗲𝗶𝗸𝗵 𝗙𝗔𝗬𝗖̧𝗔𝗟 𝗞𝗢𝗔𝗥𝗔 𝐃𝐚𝐫𝐬𝐞 𝐍°51 𝐬𝐮𝐫 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐛 (𝐎𝐮𝐦𝐝𝐚𝐭𝐨𝐮𝐥-𝐀𝐡𝐤𝐚̂𝐦𝐞) 𝐇𝐚𝐝𝐡𝐢𝐬 𝐍°56Prêche Cinkasse
Просмотров 5
The Explainer | Jimi Wanjigi explains why 'Ruto must go'Citizen TV Kenya
Просмотров 15 тыс.
سورة يس، سورة الواقعة أجمل صوت هادئ استمع بنية الرزق والبركة وتيسير الأمور Surah Yasin, Al Waqiahأنا مسلم - I'm a Muslim
Просмотров 1,3 млн
WAREMBO WAZIDI KUMIMINIKA TENA WARI KWA SH OTHMAN AKINA BABA MUSITUANGUSHEOTHMAN MICHAEL ONLINE
Просмотров 35 тыс.
MWANAMKE KAMA HUNA TABIA HIZI CHAFU | JUA WEWE NI MKE MWEMA | SHEIKH OTHMAN MAALIMMASJID MTORO ONLINE TV
Просмотров 564 тыс.
MAMBO MATATU HUONGEZA RIZIKI BARAKA NA UMRI MREFUOTHMAN MICHAEL ONLINE
Просмотров 19 тыс.
Surah Yasin (Yaseen) سورة يس | Relaxing heart touching voice | Zikrullah TVZikrullah TV
Просмотров 20 млн
Хитрость старого мастера #diyGARAGE 100
Просмотров 19 тыс.
Безумно вкусная кабачковая тортилья 💚Анна Бондарь
Просмотров 55 тыс.
ДЖЕФ ВСЕМ ПОМОЖЕТ🤓Valera Ghosther
Просмотров 789 тыс.
Самый продаваемый в истории #микрофон #трамп #музыкаПослезавтра
Просмотров 1 млн
Догнали Ахмат! КадырОВЦЫ сдались в плен украинским воинам возле СуджиOm TV
Просмотров 1,1 млн
бедный дед на ламборгини проверяет силу прохожих и платит за подъем гири ч4ABRACADABRA TV
Просмотров 582 тыс.
Неделя боев в Курской области: что известно о числе войск, пленных и продвижении ВСУ. Руслан ЛевиевТелеканал Дождь
Просмотров 737 тыс.
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shortsBATEK_OFFICIAL
Просмотров 1,6 млн
Asante shehe mwenyezi mungu akujaalie sana nafatilia sana masomo yako umekua mwalimu mzuri mtu yeyote anakuelew
Maashaallah mwenyezi mungu akuongoze umri wenye faida amina
Jazak Allwahu khayran,
Allwahumma barik Sheikh Othman,
Shukran
Nakupenda sana kwa ajili ya allah
Mashaallah mashaallah mola akuhifathi
Shukran sanaaa Sheikh Othman.... Umeongea kweli kabisa. Hiyo ndio tabia ya wanaume wengi. Na hawana usawa hata kidogo. Ndio Mana mwanamke akisikia mumewe anaoa , anaitisha talaqa. Awe muarabu awe mgiriama, make bora ni yule anae mridhisha mmewe hakas. Na mume hana haja kumsifu moja na kumkashif yule mwengine. Shukran kwa kutetea wanawake
Wa siku hiz awana uadilifu kbsa
Ahsante kwa Darsa yako .ALLA azidi kukupa wepesi wa kufundisha Darsa nyeingine InshaAlla.akupe umri mfefu wenye manufaa na Afya njema.InshaAlla. Amin.
Na wengi wanateseka na hilo ila hawajijui 🤲 yarabb muongeze mja wako huyu umri mrefu wenye baraka tele awrze kueneza nuru yako ktk mgongo wa radhi na waponyeshe wagonjwa wetu .
Amiin
Amina Yarab alamin
MashaaAllah nakupenda kwajili ya Allah shekhe unanipaa elimu Sanaa jazzakahu khayra
Maashallah tabaraqallah
Allah akubarki shehe Othman shukuran Kwa dawaq
Maan shaallah. Kweli kabisa AFYA njema ndio kila kituu kuliko mali ulizo zichuma.
MashaAllah
Mashaallah kwa mafunzo mazuri
Kweli hujakosea shekh mtihani watoto huku
Ni kweli sheikh haya yametukuta wengi asante
Pole
Mashaallah
MashaaAllah sheikh mimi hapa ninapo fanya kazi yupo zezeta yuapendwa kuliko chochote namipia nampenda sana
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah. Shikamooo sheikh Othumani 100% sure
Mash Allah tabarakallah jazzakallahu kher shekh othman
Asante shekhe niombee dua mume wangu aweze kutambua majukumu yake
Masha Allah,masha Allah masha Allah asant Sana darsa nzr na inamafundisho mazr asant kwa ukumbusho Allah akulipe kher insha Allah
Mashllh
Shee c wanawake Tu,wanaume wanangombanisha mpaka watoto wao WA mama tafauti,Niko na udhaifu mume ana watoto wakiume wawili lakini mmoja kamtelekeza kisa yeye kipenzi chake niyule alizaa na mke ndugu,atakacho ndicho hupewa,maskini huyu mwengine yeye nikaa jibwa kwake mlangoni ,kukubali atarushiwa kikiisha nibasi.shekhe toa darassa la Baba wabaguzi Kwa watoto madhara yake.🇰🇪001
Aslm alkm wtw.... Kweli kabisa Sheikh Othman. Dada moja alimvumilia mmewe miaka. Alipo fanikiwa , alienda kuoa na akawahi kumjengea hadi nyumba, huyu wa kwanza amekodishiwa nyumba na watoto hawana pakulala room moja Sheikh wetu. Wanaume wanatesa Sheikh. Heri ukae bila na haiezekani.
Ma Sha Allah!!! Kweli kabisa Ustadh shuqran 🙏🙏🙏
Wanaume wengi sana wa siku hizi wanamshindwa kumuhudumikia mke mmoja tu na watoto wao ati anakwenda kuongeza mwengine, si afunge tu. Unakuta wan'ume wengi sana wa ulimwengu huu kakusanya wake analishwa akivishwa km yy ndio aloolewa ima hana kitu au pesa yake anaeka bank anajitia watengeneze maisha (biashara au kujenga) mwisho wake anongezea mke.
Ulimwengu huu na maisha haya ya sasa tunayoishi km kweli unaangalia mke na wanao basi hata hayo matamanio yatapungua. Hao wenye mali wengi wao hawana nguvu kwa pirika na majuku waliyokua nayo. Unakuta wanaooa wake wengi, wengi wao ni masikini, mafukara na wenye uwezo kidogo pengine wakuangalia mke na watoto kuwasomesha na kuwatunza basi. Lkn tatizo wanaume wa siku hzi wavivu wa kujishughulisha wanakwepa huku wanakwenda kuoa kwengine. Mambo yote wanaachia wake zao majumbani. Na pengine hata nguvu za kuongeza hana sikwambii kuitunza familia yake, ilimradi ufakhari tu, fulani kaoa na yy aonekane kidume aoe. Basi km unataka kuoneka kidume lisha mkeo usimuache anahangaika mitaani kukopesha biashara na kuuza. Na wengine wanafika mpaka Uarabuni kupiga deni yy bwanamkubwa kakaa nyumbani ananenepeshwa ili aongeze mke. Wanaume wengi sana siku hzi wamegeuza mtaji kuoa wake wengi.
Shekhe nimependa mawaidha yako mazuri.
Hila wakina baba wapo wanaotoa watoto wao makafara. Mimi Nina ushuhuda wa kweli.
Na Mara nyingi anatoa watoto wa mke wa kwanza
Maa shaa Allah tabaraqallah
Mashallah akupe nguvu naumri mrefu. Uzidi kutuelimisha
Mashaallah shukran jazzakallah
Mashallah true that
MashAllah tabaraka rahman wajazaaqa Allah kher
Hakika umesema kweli mvumilivu baada ya kula mbivu hula mbovu
Shukran sana shekhe wetu yani haya mawaidha nikama umenitolea mm wallah kama ni wana wasikivu wanaume niwaskie jamani
😢😢😢
True shekh thax
Mashallah.Huyo niukweli.
Maa sha Allah
Mwenyewe mke mdogo ila uke wenza waliuweza mitume na maswahaba
Uke wenza hasa kwa kizazi hiki sana nikujichumisha dhambi tuuu
The way unavyotoa mawaidha ya kunigusa moyo
Shekhe upo eneo gani na naweza kukupataje Shekhe wangu
Chukua namba za simu hizo hapo zinazopitabkwenye skirini umpigie hawa hawa jibugi comenti maana muda hautawayosha ni mara 1 sana wanajibu
Kweli kabisa
Jazakallah kher.
MA Sha Allah
Allah ya Afiki nina swali ustadh namba namba yako.
From ubalikiwe Sana kwa maubiri
Asalmu Alekum shek nimependa ulivo sema na mola akuzidishie
Shukran kwa darsa
Maneno yako kweli shekh. Mwanangu yupo Canada mtoto wake wa miaka 6 kapiga cm polisi kashitaki mama kanigombea unaamini shekh wazee wamepewa warning kuwa akishtaki tena watawachukuwa watt wote. Tumewaambia waje za oman
Wazidi kunijenga kiakili shukrani
Shekhe hii ni story ya maisha yangu kabisaa but inshaAllah mola ataniwezesha
Wallah umesem kweli nishaona hayo yote mungu akupe kheri
swadakta inshallah shukran shekhe
Swadakta
AL MADRASATUL ISTIQAAMAH
Kinondoni, Dar Es Salaam, Tanzania.
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh, uongozi wa madrasa unapenda kuwataarifu kuwa eneo la madrasa linalotumiwa kwa sasa lilitolewa kwa muda. Katika harakati la kutafuta eneo lingine, Allah amejalia kupatikana kwa eneo jipya ambapo inahitajika Tsh 15,000,000 milioni, kwa ajili ya kununua eneo hilo. Hivyo tunawaomba kuchangia upatikaji wa eneo hilo ili tuendelee kutoa elimu bora na mafundisho sahihi kama atakavyo Allah Subhana Wataala. Tumeambatanisha picha za eneo hilo.Tuma mchango wako kupitia Tigo Pesa namba 0679 983270 (RASHIDI KITADU)
MashaAllah darsa mzur shukran
Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
52710094
Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
52710094
@@aliidrisaxmad856 waleikum Salam Al habibi
Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
52710094
Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
52710094
Mashallah
Swadakiki
Masha Allah
MashaAllah