Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

LAANA YA MWANAMKE INAWEZA KUMPATA MWANAUME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 ноя 2020

Комментарии • 71

  • @benjaminbenmo5616
    @benjaminbenmo5616 3 года назад +9

    Asante shehe mwenyezi mungu akujaalie sana nafatilia sana masomo yako umekua mwalimu mzuri mtu yeyote anakuelew

  • @ashalaurent4722
    @ashalaurent4722 3 года назад +4

    Maashaallah mwenyezi mungu akuongoze umri wenye faida amina

  • @saidaabdalla2854
    @saidaabdalla2854 3 года назад +4

    Jazak Allwahu khayran,
    Allwahumma barik Sheikh Othman,
    Shukran

  • @aminamashaallahsaid9893
    @aminamashaallahsaid9893 3 года назад +4

    Nakupenda sana kwa ajili ya allah

  • @user-vl4md8rj6i
    @user-vl4md8rj6i 6 месяцев назад

    Mashaallah mashaallah mola akuhifathi

  • @afric01
    @afric01 3 года назад +1

    Shukran sanaaa Sheikh Othman.... Umeongea kweli kabisa. Hiyo ndio tabia ya wanaume wengi. Na hawana usawa hata kidogo. Ndio Mana mwanamke akisikia mumewe anaoa , anaitisha talaqa. Awe muarabu awe mgiriama, make bora ni yule anae mridhisha mmewe hakas. Na mume hana haja kumsifu moja na kumkashif yule mwengine. Shukran kwa kutetea wanawake

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад

      Wa siku hiz awana uadilifu kbsa

    • @zakiafaki7682
      @zakiafaki7682 3 года назад

      Ahsante kwa Darsa yako .ALLA azidi kukupa wepesi wa kufundisha Darsa nyeingine InshaAlla.akupe umri mfefu wenye manufaa na Afya njema.InshaAlla. Amin.

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 3 года назад +6

    Na wengi wanateseka na hilo ila hawajijui 🤲 yarabb muongeze mja wako huyu umri mrefu wenye baraka tele awrze kueneza nuru yako ktk mgongo wa radhi na waponyeshe wagonjwa wetu .

  • @khdijahalmudhairb2147
    @khdijahalmudhairb2147 3 года назад

    MashaaAllah nakupenda kwajili ya Allah shekhe unanipaa elimu Sanaa jazzakahu khayra

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 3 года назад +3

    Maashallah tabaraqallah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +2

    Allah akubarki shehe Othman shukuran Kwa dawaq

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 года назад

    Maan shaallah. Kweli kabisa AFYA njema ndio kila kituu kuliko mali ulizo zichuma.

  • @shom1229
    @shom1229 3 года назад +3

    MashaAllah

  • @jasminihamisi6098
    @jasminihamisi6098 3 года назад +2

    Mashaallah kwa mafunzo mazuri

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 2 года назад

    Kweli hujakosea shekh mtihani watoto huku

  • @meddykiju8289
    @meddykiju8289 3 года назад +2

    Ni kweli sheikh haya yametukuta wengi asante

  • @fatumaaly7444
    @fatumaaly7444 2 года назад

    Mashaallah

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 3 года назад

    MashaaAllah sheikh mimi hapa ninapo fanya kazi yupo zezeta yuapendwa kuliko chochote namipia nampenda sana

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 года назад +2

    Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Masha Allah Lahwala walakuwatah illabilah. Shikamooo sheikh Othumani 100% sure

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад

    Mash Allah tabarakallah jazzakallahu kher shekh othman

  • @thomasthomas-sb5be
    @thomasthomas-sb5be 3 года назад

    Asante shekhe niombee dua mume wangu aweze kutambua majukumu yake

  • @sharmilarashid5401
    @sharmilarashid5401 3 года назад

    Masha Allah,masha Allah masha Allah asant Sana darsa nzr na inamafundisho mazr asant kwa ukumbusho Allah akulipe kher insha Allah

  • @raomy82
    @raomy82 3 года назад

    Mashllh

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla7146 3 года назад +1

    Shee c wanawake Tu,wanaume wanangombanisha mpaka watoto wao WA mama tafauti,Niko na udhaifu mume ana watoto wakiume wawili lakini mmoja kamtelekeza kisa yeye kipenzi chake niyule alizaa na mke ndugu,atakacho ndicho hupewa,maskini huyu mwengine yeye nikaa jibwa kwake mlangoni ,kukubali atarushiwa kikiisha nibasi.shekhe toa darassa la Baba wabaguzi Kwa watoto madhara yake.🇰🇪001

  • @afric01
    @afric01 3 года назад +1

    Aslm alkm wtw.... Kweli kabisa Sheikh Othman. Dada moja alimvumilia mmewe miaka. Alipo fanikiwa , alienda kuoa na akawahi kumjengea hadi nyumba, huyu wa kwanza amekodishiwa nyumba na watoto hawana pakulala room moja Sheikh wetu. Wanaume wanatesa Sheikh. Heri ukae bila na haiezekani.

  • @adanmohamed6889
    @adanmohamed6889 3 года назад +1

    Ma Sha Allah!!! Kweli kabisa Ustadh shuqran 🙏🙏🙏

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 3 года назад +1

    Wanaume wengi sana wa siku hizi wanamshindwa kumuhudumikia mke mmoja tu na watoto wao ati anakwenda kuongeza mwengine, si afunge tu. Unakuta wan'ume wengi sana wa ulimwengu huu kakusanya wake analishwa akivishwa km yy ndio aloolewa ima hana kitu au pesa yake anaeka bank anajitia watengeneze maisha (biashara au kujenga) mwisho wake anongezea mke.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 года назад

      Ulimwengu huu na maisha haya ya sasa tunayoishi km kweli unaangalia mke na wanao basi hata hayo matamanio yatapungua. Hao wenye mali wengi wao hawana nguvu kwa pirika na majuku waliyokua nayo. Unakuta wanaooa wake wengi, wengi wao ni masikini, mafukara na wenye uwezo kidogo pengine wakuangalia mke na watoto kuwasomesha na kuwatunza basi. Lkn tatizo wanaume wa siku hzi wavivu wa kujishughulisha wanakwepa huku wanakwenda kuoa kwengine. Mambo yote wanaachia wake zao majumbani. Na pengine hata nguvu za kuongeza hana sikwambii kuitunza familia yake, ilimradi ufakhari tu, fulani kaoa na yy aonekane kidume aoe. Basi km unataka kuoneka kidume lisha mkeo usimuache anahangaika mitaani kukopesha biashara na kuuza. Na wengine wanafika mpaka Uarabuni kupiga deni yy bwanamkubwa kakaa nyumbani ananenepeshwa ili aongeze mke. Wanaume wengi sana siku hzi wamegeuza mtaji kuoa wake wengi.

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 2 года назад

    Shekhe nimependa mawaidha yako mazuri.
    Hila wakina baba wapo wanaotoa watoto wao makafara. Mimi Nina ushuhuda wa kweli.
    Na Mara nyingi anatoa watoto wa mke wa kwanza

  • @rehemamdemu459
    @rehemamdemu459 3 года назад +1

    Maa shaa Allah tabaraqallah

  • @aminamooni1488
    @aminamooni1488 3 года назад

    Mashallah akupe nguvu naumri mrefu. Uzidi kutuelimisha

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 года назад +1

    Mashaallah shukran jazzakallah

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +1

    Mashallah true that

  • @asmaasmi9019
    @asmaasmi9019 3 года назад +1

    MashAllah tabaraka rahman wajazaaqa Allah kher

  • @salmaabdalla3645
    @salmaabdalla3645 3 года назад +1

    Hakika umesema kweli mvumilivu baada ya kula mbivu hula mbovu

  • @shathusuu4926
    @shathusuu4926 3 года назад

    Shukran sana shekhe wetu yani haya mawaidha nikama umenitolea mm wallah kama ni wana wasikivu wanaume niwaskie jamani

  • @user-kk8yd9sb7r
    @user-kk8yd9sb7r 9 месяцев назад

    😢😢😢

  • @aminamashaallahsaid9893
    @aminamashaallahsaid9893 3 года назад +1

    True shekh thax

  • @douachiite3070
    @douachiite3070 3 года назад

    Mashallah.Huyo niukweli.

  • @amenamaashaallahyasheikh3457
    @amenamaashaallahyasheikh3457 3 года назад

    Maa sha Allah

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +2

    Mwenyewe mke mdogo ila uke wenza waliuweza mitume na maswahaba

    • @zuwenazuwena9498
      @zuwenazuwena9498 3 года назад +1

      Uke wenza hasa kwa kizazi hiki sana nikujichumisha dhambi tuuu

  • @aminamashaallahsaid9893
    @aminamashaallahsaid9893 3 года назад +1

    The way unavyotoa mawaidha ya kunigusa moyo

  • @kiemenafishingenterprises943
    @kiemenafishingenterprises943 3 года назад

    Shekhe upo eneo gani na naweza kukupataje Shekhe wangu

    • @zohoraramadan4540
      @zohoraramadan4540 3 года назад

      Chukua namba za simu hizo hapo zinazopitabkwenye skirini umpigie hawa hawa jibugi comenti maana muda hautawayosha ni mara 1 sana wanajibu

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад +1

    Kweli kabisa

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 3 года назад +1

    Jazakallah kher.
    MA Sha Allah
    Allah ya Afiki nina swali ustadh namba namba yako.

  • @bndrbndr4223
    @bndrbndr4223 3 года назад

    From ubalikiwe Sana kwa maubiri

  • @saidahamisi8009
    @saidahamisi8009 3 года назад

    Asalmu Alekum shek nimependa ulivo sema na mola akuzidishie

  • @mamussi6872
    @mamussi6872 3 года назад +1

    Shukran kwa darsa

  • @thurayaalriyamy8635
    @thurayaalriyamy8635 3 года назад

    Maneno yako kweli shekh. Mwanangu yupo Canada mtoto wake wa miaka 6 kapiga cm polisi kashitaki mama kanigombea unaamini shekh wazee wamepewa warning kuwa akishtaki tena watawachukuwa watt wote. Tumewaambia waje za oman

  • @saidahamisi8009
    @saidahamisi8009 3 года назад

    Wazidi kunijenga kiakili shukrani

  • @shamimadam3365
    @shamimadam3365 3 года назад

    Shekhe hii ni story ya maisha yangu kabisaa but inshaAllah mola ataniwezesha

  • @zammaulidi7507
    @zammaulidi7507 3 года назад

    Wallah umesem kweli nishaona hayo yote mungu akupe kheri

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf 3 года назад

    swadakta inshallah shukran shekhe

  • @fatumaali8601
    @fatumaali8601 3 года назад +1

    Swadakta

  • @shehabusakaki3988
    @shehabusakaki3988 3 года назад

    AL MADRASATUL ISTIQAAMAH
    Kinondoni, Dar Es Salaam, Tanzania.
    Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh, uongozi wa madrasa unapenda kuwataarifu kuwa eneo la madrasa linalotumiwa kwa sasa lilitolewa kwa muda. Katika harakati la kutafuta eneo lingine, Allah amejalia kupatikana kwa eneo jipya ambapo inahitajika Tsh 15,000,000 milioni, kwa ajili ya kununua eneo hilo. Hivyo tunawaomba kuchangia upatikaji wa eneo hilo ili tuendelee kutoa elimu bora na mafundisho sahihi kama atakavyo Allah Subhana Wataala. Tumeambatanisha picha za eneo hilo.Tuma mchango wako kupitia Tigo Pesa namba 0679 983270 (RASHIDI KITADU)

  • @maryamtemba1760
    @maryamtemba1760 3 года назад

    MashaAllah darsa mzur shukran

    • @aliidrisaxmad856
      @aliidrisaxmad856 3 года назад

      Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
      52710094

    • @aliidrisaxmad856
      @aliidrisaxmad856 3 года назад

      Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
      52710094

    • @maryamtemba1760
      @maryamtemba1760 3 года назад

      @@aliidrisaxmad856 waleikum Salam Al habibi

    • @aliidrisaxmad856
      @aliidrisaxmad856 3 года назад

      Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
      52710094

    • @aliidrisaxmad856
      @aliidrisaxmad856 3 года назад

      Assalam alykum warahmatullahi wabarakatu
      52710094

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад

    Mashallah

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 3 года назад +2

    Swadakiki

  • @rauhiyanassor6129
    @rauhiyanassor6129 3 года назад +2

    MashaAllah