Historia ya LES WA NYIKA Kuundwa Umalaya Ulichangia, Kupendwa na MASHUGA MAMI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • #leswanyika #simbawanyika #zilipendwa

Комментарии • 19

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 2 месяца назад +2

    wimbo wa kwanza kutungwa na Les wanyika unaitwa Jesca

  • @pascalkazungu8798
    @pascalkazungu8798 Год назад +1

    Ahsante sana kwa briefing ya Less na simba wanyika, mi nilikuwa mshabiki mkubwa sana wa less wanyika, na nilimpenda sana Prof Omar kwa ile rithim guitar alivyokuwa anaicharaza, na uongozi wake kwenye band ya less wanyika. Cheers

  • @veronicamkhuyu6580
    @veronicamkhuyu6580 Месяц назад +1

    Nishawai kusikia hitoria
    hii, ndugu hawa ni wa tatu Willson, peter, na. George

  • @user-xk8dy7kq6q
    @user-xk8dy7kq6q 8 месяцев назад +1

    Thanks for briefly

  • @abduldjay3034
    @abduldjay3034 2 года назад +1

    🙏🏽🙏🏽👏👏👏

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 года назад +3

    Bila shaka aliyetekwa kimapenzi na sugar mummy ni Wilson peter Kinyonga na siyo William peter kinyonga, William alikuwa mdogo wao, Hawa akina kinyonga walikuwa watatu, Wilson, George na William.

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  3 года назад

      Asante kwa masahisho

    • @sebajohn9058
      @sebajohn9058 Год назад

      Aliyepo Leo ni mdogo wao wiliamu pita kinyonga

    • @danaseb1620
      @danaseb1620 Год назад

      mtangazaji hayupo makini

  • @JoshuaMsaka-f5e
    @JoshuaMsaka-f5e 5 месяцев назад +1

    Rekebisha taarifa hii. Kiongozi WA bendi alikuwa WILSON PETER SIO William
    Les Wanyika ipo Hadi Leo inaongozwa na Tom Malanga na Sijali Zua
    Please make correcttion

  • @marymusera8035
    @marymusera8035 5 месяцев назад

    Like

  • @sekanicanory9915
    @sekanicanory9915 Год назад

    ❤🧡💛💚💯👍👍👍👍👍🌹🌻🌷

  • @gaspermaliselof5231
    @gaspermaliselof5231 3 года назад +1

    Mziki ulikua Zamani xiyo xaxa matuxi na majivuno

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  3 года назад +1

      Umegundua hlo

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 8 месяцев назад

      Kweli kabisa siku hizi ni kukataviuno tu hakuna mashiri mazuri kama zamani

  • @allyopi6101
    @allyopi6101 Год назад

    Kwaiyo nani yupohai hadileo

  • @stephenmwangi2327
    @stephenmwangi2327 3 года назад

    Nisaidie kupata Wimbo sirikutu

    • @BONGOLEO
      @BONGOLEO  3 года назад

      Nitumie namba yako niku2mie