UKIOTA NDOTO HIZI FANYA MAMBO YAFUATAYO|MASWALI NA MAJIBU MCH.KATEKELA|MWANZA TZ•NYASAKA B TGN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 110

  • @MohammadLudovic
    @MohammadLudovic Месяц назад +1

    Mungu awabariki sana kuwatendea wema uaminifu na maendeleo yoyote ya kumjua Mungu ni uzima wa milele

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 2 месяца назад +3

    Kujipamba kwenu kusiwe kwa utu wa nje yani kusuka nywele kuvaa dhahabu na kuvalia mavazi bali uwe utu wa moyoni usioonekana katika mapambo yasiyoharibika,yaani roho ya upole na utulivu iliyo ya thaman kuu mbele za Mungu.

  • @RebeccahKalihamwe-e6x
    @RebeccahKalihamwe-e6x 3 месяца назад +11

    Kazi yako njema pamoja na promover tv msipozimia mioyo kuna taji yenu mbinguni

  • @aliaaliamint8545
    @aliaaliamint8545 2 месяца назад +2

    Amen Amen Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho ya ufahamu ya kumshinda shetani nmebarikiwa sana shalom

  • @GodfreyMayala-y5f
    @GodfreyMayala-y5f 2 месяца назад +1

    Amen amen Sana pastor Mungu akubariki Sana

  • @SalomeMpota
    @SalomeMpota 2 месяца назад +2

    Asante mtumishi kazi yako ni njema ktk ufalme wa Mungu

  • @elizamasangula2935
    @elizamasangula2935 3 месяца назад +4

    Mungu amenisaidia sana kupitia huduma Yako,

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi 3 месяца назад +7

    Kweli muujiza huwa haujirudii kbs,miaka zaidi ya 10 iliyopita nilielekezwa kumpa bubu soda ya fanta isiyokuwa ya baridi nitamke damu ya Yesu mara7 alipokunywa tu alifunguka akaongea,ila sijawahi tena kufanya kwa bubu tena.

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 3 месяца назад +2

    Mungu atusayidiye mubalikiwe watumishi wamungu

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 3 месяца назад +5

    Amen thanks for the wonderful massage glory glory hallelujah

  • @GggyJhh-y4x
    @GggyJhh-y4x 3 месяца назад +1

    Amina mtumishi nimekuelewa vzr sana kwa majibu mazuri ya mungu ubarikiwe sana zaidi

  • @AidaKantara
    @AidaKantara 2 месяца назад +1

    Mchungaji kweli mungu amekutuma ili sisi tu okolewe mungu akubariki sana

  • @johnbosco9763
    @johnbosco9763 2 месяца назад +2

    Ubalikiwe muchungaji

  • @PeterSembeo
    @PeterSembeo 2 месяца назад +1

    Aminaa mchungaji

  • @petermwangombe6576
    @petermwangombe6576 Месяц назад

    Mungu akubariki Kwa mafundisho

  • @samsonmollel7664
    @samsonmollel7664 3 месяца назад

    Hongereni kwa huduma ya Bwana, Mungu awatunze,
    Nipo mwanza natamani tufanye ibada pamoja na familia yangu, naomba nafasi hiyo 🙏

  • @AgieTom
    @AgieTom 2 месяца назад +1

    Hakika unaweza kufanya kufanya aina zote za uovu ila mwisho wa siku utamkimbilia Yesu Kristo

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 2 месяца назад

      mimi mwenyewe nawazaga tunaweza tukaishi maisha matakatifu mwisho wa siku tukakutana na watoaji kafara wa damu za binadam mbinguni😏😏

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 3 месяца назад +1

    Amina mtumishi barikiwa sana mt❤

  • @MATRIDAEVARISTO
    @MATRIDAEVARISTO 3 месяца назад +2

    Asante mtu wa mungu

  • @SabinaEzekiel-b4c
    @SabinaEzekiel-b4c 3 месяца назад +4

    M'barikiwe sana watumishi wa Mungu Katekela na Promover.

  • @minanielikana
    @minanielikana 2 месяца назад +1

    Baba ni mala yangu ya Kwanza kugusikia
    Unahubili! Ila itabidi ni guchunguze kwa jina la Kristo Yesu.

    • @HomeboyTZ19
      @HomeboyTZ19 2 месяца назад +1

      Kajifunze kwanza kuandika ndio uguje ugamchunguze

    • @PelagiaMayengo
      @PelagiaMayengo 2 месяца назад

      elewa kuna kalama tano katika kanisa hivyo yy sio muhubili ila ni mwalim chunguza utaelewa

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 3 месяца назад +28

    Hatutakiwi kuweka chochote kichwani, maana nikumsahihisha Mungu. Tulizaliwa tukiwa hatujasukwa hivyo tubaki natural wanawake ili tuingie Mbinguni.

    • @PaulDeus-d9q
      @PaulDeus-d9q 3 месяца назад +5

      Ubarikiwe sana kwa maana,huu ndio ukweli ambao wanawake wengi wamekuwa wakiukata lakini wewe umeujua Amina sana.

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад +3

      Amina Rose Bwana Yesu akutunze

    • @GlauryHaule
      @GlauryHaule 3 месяца назад +3

      Heeeeee hili ni andiko jipya kwa hiyo tukae uchi mana hatujaja nanguo n'a tutembee kwa miguu mana huko ni kumsawazisha mungu katupa miguu tapante gari kweli tutakuwa hatuendi mbinguni

    • @RoseMayige-gn9qb
      @RoseMayige-gn9qb 3 месяца назад +2

      @GlauryHaule Acha upuuzi wa kishetani, kama huna Roho Mtakatifu basi fanya unavyowaza.

    • @olivermwakyonya5683
      @olivermwakyonya5683 2 месяца назад

      @@GlauryHaule 1Petro 3:3

  • @EmmanuelKibona-h3u
    @EmmanuelKibona-h3u 2 месяца назад +1

    Mungu atusaidie maana kwa akili hatuwezi

  • @agnethapaul6057
    @agnethapaul6057 3 месяца назад +1

    Asante tumishi wa Mungu.

  • @StevenMgeta
    @StevenMgeta Месяц назад

    Amen

  • @WillyWbakuju-by1yp
    @WillyWbakuju-by1yp 3 месяца назад

    Shalom, nashukuru Mungu sana kwa maisha Yako mtumishi

  • @Kingsalumoni
    @Kingsalumoni 3 месяца назад +1

    Amina

  • @Muhammad-jy1vx
    @Muhammad-jy1vx 2 месяца назад +1

    Mimi niliota kama nalima nikapata nyoka na kulikua na mama na ndugu mkubwa na mtoto wake,pia nikalima pande ingine kulima kujucha nyasi na mkono nikamuinua nyoka,pia kuna siku nikaota kuna nyoka kwa jikoni pembeni anataka kutoka inje mimi nikafungua atoke halafu kuna mama na mzee wake walikua huko wakaniambia nimwaje watu wanamjua,lakini akasema ni mimi nilienda kumchokosa na kulikua na mama na baba wamekaa hapo inje

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi8164 3 месяца назад

    Glory Glory Glory 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @MohammadLudovic
      @MohammadLudovic Месяц назад

      Habari zaidi kuhusu mpango wa Mungu kwa ajili ya kumjua Mungu Mungu na mtume wake basi tuendelee kujifunza na hatua hiyo ni wema sana kuwatendea haki binadamu wote ulimwenguni pote duniani kote ikiwa wewe mwenye kumcha mwenyezi Mungu kwa kila siku zote ili kuhakikisha kwamba kila mmoja wetu kwa nyakati mbalimbali katika maisha yake ya mwisho awe wa Mungu

    • @MohammadLudovic
      @MohammadLudovic Месяц назад

      Habari zaidi kuhusu mpango wa kujenga maisha mazuri sana kuwatendea wema wazazi wawili na mtume wake na kwamba kila mtu ana haki ya kumjua Mungu na mtume wake

    • @MohammadLudovic
      @MohammadLudovic Месяц назад

      Habari yako ndugu msomaji wangu hebu chukua hatua ya kumjua Mungu daima hekima ni kumcha mwenyezi Mungu na mtume wake na maendeleo yoyote ndani yake Mungu ni mwenye nguvu zote ili kuhakikisha kwamba kila mtu ana haki ya kumjua Mungu daima hekima ni kumcha bwana Mungu wako kwa ajili ya kufanya hivyo ni uzima wa milele katika kristo yesu bwana wetu

    • @MohammadLudovic
      @MohammadLudovic Месяц назад

      😮 katika maisha yako ya mkononi kwa kutuma neno hotuba kwenda kwa ajili ya kumjua Mungu ni wema mwanzo na mwisho uwe makini sana kuwatendea haki binadamu wote ulimwenguni pote na duniani kote ikiwa wewe ni mwenye kumcha mwenyezi Mungu na mtume wake na kuiepusha shetani ni adui Zahoro binadamu wote ulimwenguni pote duniani kote

    • @MohammadLudovic
      @MohammadLudovic Месяц назад

      Habari yako mwenyewe umjue Mungu na mtume wake

  • @annangowi5517
    @annangowi5517 3 месяца назад +2

    Ahsante sana Mtumishi Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa mafundisho mazuri
    Nakufuatilia sana

  • @wambimbwelo5141
    @wambimbwelo5141 26 дней назад

    Muwe mnasoma biblia vizuri na kuielewa sio mstari mmoja tu bila kusima maandiko mengi neno la Mungu na likae kwa wingi ndani yenu

  • @SabinaEzekiel-b4c
    @SabinaEzekiel-b4c 3 месяца назад

    Yesu atusaidie.

  • @KingdonPetro-il4ok
    @KingdonPetro-il4ok 3 месяца назад

    Pamoja sana nakuelewa vyema

  • @dorcascasrlos
    @dorcascasrlos 3 месяца назад +3

    Mtumishi wa Mungu, naomba unisaidie unapoota ndoto za kushindana na ng'ombe ,nguruwe,...huwa Ina maana gani??

    • @Chriss-nl6bb
      @Chriss-nl6bb 2 месяца назад

      Mpendwa kuota unashindana na wanyama una vita na ufalme wa Giza ngazi ya wachawi, suala ni je hiyo vita unashindaga au Huwa wanakuzidi?, Je Huwa unanguvu hata ya kumuita Yesu Kristo au Damu ya Yesu kwenye ndoto?,

    • @samwelmvile4129
      @samwelmvile4129 Месяц назад

      Ukiota ng'ombe ni roho ya mizimu inakufuatilia pia ukiota nguluwe unajichafua maana yake Kuna mambo unayafanya yasiyompendeza Mungu

  • @NyotaMahuvi
    @NyotaMahuvi 3 месяца назад

    Amina balikiwa

  • @wambimbwelo5141
    @wambimbwelo5141 26 дней назад

    Hivi jamani mtu anasema tulizaliwa bila kusukwa nywele nywele ni kweli sasa nikuulize mpendwa wewe ulizaliwa umevaa nguo mbona unavaa nguo na viatu na saa ya dhahabu unavaa nguo za thamani wakati neno la Mungu linakataa kuvaa nguo za thamani na saa nzuri ya dhahabu

  • @GladTolage
    @GladTolage 3 месяца назад +3

    Jamani kama mtu unaona uelew nibora tu akaachana na hizi habari sio kucomment ujinga

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 3 месяца назад +4

    Yan apo kweny mafuta ,maji,chumvi, ni utapeli tu hamna lolote, nikukosa marifa tu.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 3 месяца назад +2

    Pls sogea dar ili wa mikoani mbeya huko na watoka nje ya nchi tushifiki baraka za mathabahuni pako

  • @PeshonsMwanike
    @PeshonsMwanike 2 месяца назад

    Pastor I requested you to read

  • @GlauryHaule
    @GlauryHaule 3 месяца назад +1

    Ila kweli tupu hiiii

  • @Muhammad-jy1vx
    @Muhammad-jy1vx 2 месяца назад

    Kuna hizi michoro watu wanajichora na kuopoa mwili nazo ni za uchawi

  • @veronicawerema9367
    @veronicawerema9367 3 месяца назад +2

    Tupe ni namba kanisani hatupajuwi

  • @Terezia-k1s
    @Terezia-k1s 2 месяца назад

    Sasa mchungaji hizo pesa zilienda wapi baada ya kuokoka maana imeandikwa fedha na dhahabu ni Mali ya Bwana na nakumbuka ulipookoka ulishuhudia ulikuwa huna hela kabisa na babaako alikuwa maskini ??

  • @RudiaKassanda
    @RudiaKassanda 13 дней назад

    Eluminat je?

  • @Terezia-k1s
    @Terezia-k1s 2 месяца назад

    Sasa Mchungaji hivyo vyakula viriharibika kwa nn hukuwapatia wahitaji wavitumie hivyo vyakula? Roho was Mungu alikukataza hata kugawa kwa wahitaji???

  • @mashakahamis3523
    @mashakahamis3523 3 месяца назад

    Ni sahihi kabisa maana ata akija yule mshenz anajiita agakhan hapa tanzania ata rais mwenyew anatulia kma maji ya mtungini hivyo tunaelewa kila kitu.

  • @wambimbwelo5141
    @wambimbwelo5141 3 месяца назад +1

    Hivi na majola ya nguo tunazovaaa? Na viatu na vyakula vinavyotoka viwandani ?

    • @annabyekwaso-wt7oi
      @annabyekwaso-wt7oi 3 месяца назад

      Uwiii nimecheka sana,tunavitaka kwa damu ya Yesu,usiogope.

  • @stelapiusnkini5838
    @stelapiusnkini5838 3 месяца назад

    Mi naulizia nyasaka b ndio nyasaka ipi maana mi najua Ile nyasaka centa tu naomba kuelekezwa

  • @HalimaPaskal
    @HalimaPaskal 3 месяца назад +3

    Mtumish kwa nini hadi waimbaji wa gospel wanasuka rasta kwani wanaosuka rasta huwa hawana roho mtakatifu ama wanae huwa sielewi tu mimi wanasikia injili inahubiliwa na mbona bado wanasukia tu

    • @eliethmwanguya7118
      @eliethmwanguya7118 3 месяца назад +2

      Roho zao ngumu tu,

    • @N-J-v9j
      @N-J-v9j 3 месяца назад +2

      Mungu mwenyewe ndo atachambua as long umeesha ambiwa fuata roho yako usiige kwa wengine…. Wale wamesuka na mimi nisuke …..! Apana wewe ni wewe na Mungu wako na wale ni wale ni Mungu wao

    • @HalimaPaskal
      @HalimaPaskal 3 месяца назад +1

      @@N-J-v9j asante mungu akubariki sana sana

    • @oprahpelle2531
      @oprahpelle2531 Месяц назад

      SOMA NENO ANGALIA LASEMA NINI WALA USIANGALIE MWINGINE ANAFASIRI NINI
      MAANA MUNGU AMEKUITA KAMA ULIVYO

  • @joycensaho6527
    @joycensaho6527 3 месяца назад +2

    Wekeni tudownload

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 3 месяца назад

      Kwani hamuoni dear

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi 3 месяца назад

    Namimi ninaswali,kama ulikuwahaushi duniani hiyo pesa ilikusaidia nini na hyo ndege mbona huko kawaida kwa sasa

  • @PamojaMkalu
    @PamojaMkalu 3 месяца назад +3

    Muwe naseti mitambo vizuri ili tuwe nawapata vizuri

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 3 месяца назад

      Wanajitahidi sana regardless of udhaifu wowote

  • @umiali-c7f
    @umiali-c7f 3 месяца назад

    mchungaji ndoto za nyoka zinamana gani ktka ulimwengu wa roho, kuota ukipambna na nyoka???
    pia, kuota namna ulivyokuwa kipindi unasoma shule ya msingi inashiria nini? mfno shule ya msingi ulikuwa kiongozi, mcheshi na kadharika je hii inamana gani?

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 3 месяца назад

    PASTOR TOFAUTI YA MGANGA NA MCHAWI NI NINI????????EBU TUJULISHE.

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa simuelewagi...hiyo ndege aliluwa anatumia kwenye Dunia gani?hizo pesa alikuwa analipwa kwenye mazingira gani?

    • @eliethmwanguya7118
      @eliethmwanguya7118 3 месяца назад +7

      Kumbe hujawahi kusikiliza ushuhuda wake tangu mwanzo, siyo ndege hizi zinazopaa angani, Ni ndege ya kichawi isiyoonekana katika ulimwengu wa kawaida

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 3 месяца назад

      ​@@eliethmwanguya7118 atuulize sisi vikomazi, tumetoka mbali naye,, Hadi niliogopa kusikiza hio ushuhuda weee, lazima uote tu

    • @annabyekwaso-wt7oi
      @annabyekwaso-wt7oi 3 месяца назад +2

      Ndo namimi nimemuuliza ngoja tuone km atajibu maana hapo nachanganyikiwa km hakuwa duniani sasa hzo pesa na ndege alikuwa anavitumia wapi???

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 месяца назад +1

      Huyu hajuwi mambo ya rohoni bado

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 месяца назад

      ​@@annabyekwaso-wt7oiAnna

  • @HelenKodi
    @HelenKodi 3 месяца назад

    Mimi naomba no yako ya simu napenda kuongea na wewe Katekela

  • @preciousgrayson2021
    @preciousgrayson2021 3 месяца назад +1

    mtumishi hivi kusuka hata nywele za asili sio dhambi? maana misuko ni mingi upi unaruhusiwa? au bora kunyoa tu

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 3 месяца назад +1

      Hakuna yenye inaruhusiwa, yaaaan ever ,ata yako

    • @preciousgrayson2021
      @preciousgrayson2021 3 месяца назад

      @@Mamas-06k sawa kwa hiyo mtu akitaka abane tu inaruhusiwa au ni mwendo wa kunyoa na kuchana fupi

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 3 месяца назад

      @@preciousgrayson2021 imagine ata kubana, ni kunyoa, na kufungua,kitambaa, ukate shauri la Moja Kwa Moja no turning back in Jesus Name

    • @bonifasiemanueli21
      @bonifasiemanueli21 3 месяца назад +1

      Kusuka sio dhambi hamja muelewa

    • @sarahkishaluli6087
      @sarahkishaluli6087 3 месяца назад

      Ni dhambi/kosa pia(1Petro 3:3)​@@bonifasiemanueli21

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 16 дней назад

    Naombeni link ya gruop la watsap la promover

  • @Asanted-ml1eq
    @Asanted-ml1eq 25 дней назад

    Amen

  • @SabinaEzekiel-b4c
    @SabinaEzekiel-b4c 3 месяца назад +1

    Yesu atusaidie.

  • @elizabethwambua4383
    @elizabethwambua4383 3 месяца назад +1

    Amina