NILIONA RAISI WA TANZANIA AKIPINDULIWA: PART-2 SANAMU YA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 264

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Месяц назад +3

    Mungu akitoa neno LAZIMA litimie. Hata ukiomba na kufunga halibadiliki !! Tusidanganyike maana Mungu hadhihakiwi na hatoi majaribio kwa unabii au maono.

  • @amenipasanga9865
    @amenipasanga9865 4 дня назад

    Hayawezi kutokea hayo ktk Taifa la Tanzania in Jesus name. Usilete unabii unaotokana na mihemko yako kuhusu siasa ya nchi yetu, as long as wapo wanaomcha Mungu kwenye hii nchi basi huo unabii umeutoa kujifurahisha maini yako.

  • @LuciaAgustino-pt5mg
    @LuciaAgustino-pt5mg 2 месяца назад +8

    Mwenyenzi mungu atuchangulie kiongozi mwenye bila upendeleo tunaomba raisi tupate asiekuwa natammaa kwa kola mwananchi wake mwenyenzi mungu tusaidie

    • @neemaprecious2308
      @neemaprecious2308 Месяц назад +2

      AMEN 🙏🇹🇿🙏

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 Месяц назад

      Hapa hakuna maono ila huyu mupuzi anatengeneza hisia za wabaya wa nchi yetu wajifikilie kuwa kumbe wanaweza kuiangusha serikali yaani mtu anakuwa na hisia zake chafu halafu wanajifanya Nabii kuhadaa watu kwa kujificha katika dini wakristo tumekuwa wajinga sana kukubali kila upuuzi bila kujua kuwa ujinga kama huu uliwahi kulitesa sana kanisa katika hisitoria.labda anataka kutueleza kuwa huwa anashiriki vikao hivyo vya siri vya kuiangusha serikali yetu.

    • @emmanuelmukondia3568
      @emmanuelmukondia3568 26 дней назад

      You can't predict the coming destruction, evil fortune tellers.

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 Месяц назад +3

    mungu aendeleee kuwatunza manabiiii 🎉🎉🎉🎉

  • @robsonndauka3076
    @robsonndauka3076 Месяц назад +1

    🎉Amina mtu Wa Mungu kwa ujumbe mzuri

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 26 дней назад +1

    Mungu akubariki mtu wa mungu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад +8

    Aondolew tuna taka Raisi mwingine hatutaki tumechoka na mauaji ya watu na watu kupotae E Mungu hatutaki kiongozi mwenye mikono ya damu wauaji wanyanyasaji E e Mungu utusaidie

    • @KhalidiBakar
      @KhalidiBakar Месяц назад

      Sikilizeni nyinyi hemu jitambueni nyinyi munatakiwa kua na rais wa Tanganyika na taifa lenu latanganyika nyinyi hamuna rais huyo ni rais wa tanzania au kisa anatoka Zanzibar chamuhimu muitafute serekali ya Tanganyika mm mwenyewe nataka nigombee urais wa tanzania Mana hio sio serekali ya Tanganyika niyetu sote hata mzanzibar anahaki ya kua rais tafuteni serekali yenu kwanza ya Tanganyika wa msione aibu kama sisi Zanzibar tunavoipigania nchi yetu ya Zanzibar

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg 2 дня назад

      Tunaomba mwenyenzi mungu atujalie katika uchaguzi ijayo tupate kiongozi mwenyekujuwa Utu wanananchi wake wawe mathamani kuliko hela yakutengenezwa Tu naasilimali zanchi kilamwananchi atumie kama mwenyezi mungu alivyo tuahidi kuzitumia

  • @BlandinaLukole
    @BlandinaLukole 6 дней назад

    Ndugu yangu kama unamtumia au kutumia neno la Mungu vibaya na ufungwe kinywa chako.

  • @victorirengo3857
    @victorirengo3857 2 месяца назад +5

    Si mkosoi
    Lakini mungu hakupigana na shetani mbinguni. Shetani alipambana na Angel Mikaeli malaika mkuu wa vita, na shetani akashindwa na kufukuzwa mbinguni,.
    Kazi ya kumfukuza shetani mbinguni alipewa Angel mikaeli .
    Shetani hawezi kupambana na mungu hata sekunde moja.
    Hilo lieleweke

  • @hopealoyce3678
    @hopealoyce3678 2 месяца назад +7

    Why cant you going straight to the msg???too much kurudia rudia the same words.....duh...

  • @pascalmgina
    @pascalmgina 11 дней назад

    Mbona kama mgonjwa wa Akili hivi. Unarudia kitu kilekile. Amen amen amen halafu kama umelewa

  • @saimonshaggy-z1r
    @saimonshaggy-z1r Месяц назад

    Yatupasa tumwombe mwenyezi mungu atuchagulie kiongozi atakaye tujali daima.amen

  • @josephatkajange-zx2tl
    @josephatkajange-zx2tl 2 месяца назад +6

    Bora yatokee tu, kwa maana uonevu umezidi!

  • @OSCARMWAIBAMBE
    @OSCARMWAIBAMBE Месяц назад +1

    Unabiii haubadilishwi Kwa maombi, tujifunze kumuuliza Mungu wapendwa wengi manabii ni makachero kutujaza uozo ili tusidai haki zetu ..

  • @brownmtofole
    @brownmtofole 2 месяца назад +5

    Nenda kafanye kazi nyingine itakayokupa heshima.Unatoa unabii wa uongo ambao umewaletea hasara watu wengi waliokuamini kuwa Dar es salaam ingeangamia wakauza mali zao na kuhama Dar es salaam.Hili ni jambo la aibu sana.Nashangaa kuona unandelea kutuletea hofu na sintofahamu kwa viongozi wetu,je unafanya haya kwa lengo gani na kwa manufaa ya nani? Hubiri neno la Mungu,usihubiri hofu hali ukijua kuwa hofu ni dhambi.

  • @lucaschacha633
    @lucaschacha633 Месяц назад

    Kumbukumbu la Torati 18:21-22
    [21]Nawe ukisema moyoni mwako, Tutajuaje neno asilolinena BWANA?
    [22]Atakaponena nabii kwa jina la BWANA, lisifuate jambo lile wala kutimia, hilo ndilo neno asilolinena BWANA; kwa kujikinai amelinena huyo nabii, usimwogope
    Mungu akulaani kama haya uliyoyasema hayakutoka kwa Bwana Mungu Mtakatifu wa Mbinguni,
    Na kama mmeyapanga kishetani mshindwe kwa jina la Yesu Kristo aliye hai.

  • @MatesoNgereja
    @MatesoNgereja 7 дней назад

    Ila hata mimi hicho unachokisema nilikiota miaka kama mitatu iliyopita na huwa nikiota basi inakuwa kweli Mungu tu atusaidie atuepushie na hicho

  • @Azizkiwayanga
    @Azizkiwayanga 13 дней назад

    Ngumu sana kuelewa😢😢

  • @BarakaMsusa-m4s
    @BarakaMsusa-m4s 8 дней назад

    Serikali iwaangalie sana hawa watu wanaipotoah jamii kamata kamata

  • @d.mediatv8147
    @d.mediatv8147 Месяц назад

    Amina mungu atukumbuke Tanzania

  • @BarakaMwakalinga-sn5sp
    @BarakaMwakalinga-sn5sp Месяц назад +3

    Sijawahi kukuelewa, una upumbavu wa kiwango kikubwa sana, mashetani yanayokuongoza hayata kuacha salama.

  • @RehemaMtono
    @RehemaMtono 2 месяца назад +5

    Mungu atupatie raisi mcha MUNGU

    • @HerriThabiti-qd5rr
      @HerriThabiti-qd5rr 2 месяца назад

      Acha uboya wataka raise wavipi ww

    • @RehemaMtono
      @RehemaMtono 2 месяца назад

      @HerriThabiti-qd5rr toka huna akili limekugusa eti

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Месяц назад

      ​@@HerriThabiti-qd5rrMakafiri ndo Porojo zao Wameja Porojo za Husuda na Chuki nyingi.
      Mbonaa hakutowa Unabii kuhusu Magu na Kifo Chake?!
      Huo unsbii Special Kwa Samia tu...🙌

    • @KhalidiBakar
      @KhalidiBakar Месяц назад

      Sikilizeni nyinyi mtasumbuka sana tu sababu rais ni muislamu na nimzanzibar chamuhimu nyinyi muidai serekali ya Tanganyika sababu hamuna rais halafu munakaa mwapiga zogo hamuna bendera ya Tanganyika mumekaa tu hemu tazameni Zanzibar umoja wao

  • @SefuSheketo
    @SefuSheketo Месяц назад +4

    we juha kwel kichwa chako kimejaa tope,atakuelewa mwehu mwenzako,

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda День назад

    Ongelea hao wengine mwache mama jamani apite asipite mwacheni sisi ni wana wa mungu jamani mwacheni

  • @IssaSalumu-fj2le
    @IssaSalumu-fj2le 28 дней назад +1

    Hii gar hazii ingii gia vizur

  • @emmynkurlu1005
    @emmynkurlu1005 24 дня назад

    Amen

  • @AbubakaliAmada
    @AbubakaliAmada 2 месяца назад +3

    Mimi ilinikuamini Dar iweimeangamia'’vipi vile vipeperushi na watu kuuza viwanja?

  • @LameckMbele
    @LameckMbele 2 месяца назад +2

    msikilize anavyo itamka bwana Yesu asifiwe njaaa kali inamtesa

  • @godypeter7299
    @godypeter7299 8 дней назад +1

    Na ashafanya nia ya kuchaguliwa na nchimbi kua wagombea CCM

  • @drnow1528
    @drnow1528 2 месяца назад +4

    wachungaji wapiga ramli

  • @HAAM670
    @HAAM670 2 месяца назад +1

    Tangu umeanza kutoa Nabii, nadhani huu ndo Unabii wa kwanza Kuelewa Vizuri kabisa. Umeongea Kwa Utulivu, lugha ya staha, kwa Mafumbo, hivi ndivyo Nabii anapaswa Ku deliver message. Pale zamani ulikuwa ukiongea too much open, ukitukana matusi watu waki comment kinyume, Sasa naona unawajibu Vizuri hata wakikukebehi. Sasa nitakufuatilia. God is still Speaking, Amos 3: 7

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  2 месяца назад

      Asante kwa kutusikiliza na kutufatilia endelea kutufatilia ujifunze zaidi.
      Ila maneno yako si mageni RUclips tunaosoma comment tumeyazoea

    • @HAAM670
      @HAAM670 2 месяца назад

      @@unyakuotv.1391 Sawa. Yanayofaa yafanyieni kazi.

  • @judithnaomy6787
    @judithnaomy6787 2 месяца назад +1

    Unabii wa mungu haupo hivyo mungu anahekima km wewe umemuona gwajima mbona hujamtafuta ukaongea nae yani unabii wako hauko sawa tatizo kubwa huna hekima

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  2 месяца назад

      Asante kwa kutufatiliaa
      Nenda wewe uliye na hekima.. itasaidia

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  2 месяца назад

      @@kingsolomoni-xp3dv asante kwa kutusikiliza naona na wewe umeshawishika kutusikiliza hongera sana utajifunza zaidi

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 2 месяца назад

    Mbona mafuriko Dar hayajatokea hadi leo? Brazil nchini fulsa ni nyingi hii umechemka bro

  • @zabronpaul7599
    @zabronpaul7599 2 месяца назад +7

    Ushaanza mambo yako....watakusweka ndani...malizia unabii wako wa kuangamia kwa Dar es salaam,hatujasahau

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  2 месяца назад +1

      @@zabronpaul7599 asante kwa kutufatilia.. tunaomba utupatie. taarifa kwa kejeli kama hii dar itakapoangamia

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 2 месяца назад

      ​@@unyakuotv.1391jamani tuna macho hatuoni usalama wa dar uko wapi

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Месяц назад

      😂😂😂Salamu zake Kwa Mbarikiwa na WA mfano wake 🙌​@@unyakuotv.1391

    • @Thecrownchurch
      @Thecrownchurch Месяц назад

      wakimsweka ndani nitamtoa

    • @KhalidiBakar
      @KhalidiBakar Месяц назад

      Jamani acheni kumponda mama samia huyo ni rais wa tanzania nasio rais wa Tanganyika hemu tafuteni kwanza nchiyenu ya Tanganyika imepelekwa wapi ifike mwisho huu ujinga wakujiita watanzania iishe hamuwaoni wenzenu wa Zanzibar kule wanarais wanabendera wanabaraza la wawakilishi na waziri wao wa fedha na makamo wawili wa rais hemu jitazameni nyinyi acheni kueneza mambo yakinga amkeni nyinyi munanchi inaitwa Tanganyika Iko wapi mm kama mzanzibar hapo nahis munapaswa murudishiwe nchi yenu na mue na rais wenu wa Tanganyika halafu kama nimuungano baadae 😊😊

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 Месяц назад +1

    Acha kudanganya wat mungu anatosha hujui anolijua yeye

  • @pastorjully3657
    @pastorjully3657 2 месяца назад +7

    Niliona dhiki kuu sana Tanzania mwaka 2021 mama akipinduliwa na viongozi wa karibu kabisa

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Месяц назад

      Kwa Nini huiombea Tanzania!

    • @monirangerera7155
      @monirangerera7155 19 дней назад

      ​@@miltonjohn9779omba wewe mwache afe apinduliwe anayo yafanya Mungu aona

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад +5

    Apinduliwe kwa jina la yesu Ee Mungu tuchagulie Raisi sahihi 2025

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 2 месяца назад +3

      Utakua salama sasa? Wewe OMBA TOBA KWAAJILI YA TAIFA LAKO

    • @kadilamore802
      @kadilamore802 2 месяца назад

      ​@@joycehaule9717toba 😂

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Месяц назад

      ​@@kingsolomoni-xp3dvwewe"" utakuwa na matatizo ya ubongo wa mbele ELIMU yake ya kukopa madeni kuingia mikataba ya kijinga cheti sio tatizo kwenye Uongozi nakufa mufano Kuna wazili mmoja cheti chake na vitu anavyo vifanya ni tofaut kabisa usikalili mavyeti ng'ombe wewe?

  • @noeleliasi8401
    @noeleliasi8401 2 месяца назад +2

    Tapeli on duties, unapenda kujiinua nguva wewe, mafuriko ya Dah wewe si ndo ulibwabwaja, JINGA KABISA WEWE

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  2 месяца назад

      Asante kwa kutusikiliza mafuriko yakifika tunaomba utujullishe pia usikae kimya

    • @noeleliasi8401
      @noeleliasi8401 2 месяца назад

      @unyakuotv.1391 huna cha kujitetea, huna unabii ni njaa tu inakusumbua, siyo wewe unaetaka 10M, jifunze kwa kina Mbarikiwa Mwakipesile na Paschal cassian utanishukuru...

    • @noeleliasi8401
      @noeleliasi8401 2 месяца назад

      @unyakuotv.1391 huna cha kujitetea, huna unabii ni njaa tu inakusumbua, siyo wewe unaetaka 10M, jifunze kwa kina Mbarikiwa Mwakipesile na Paschal cassian utanishukuru...

    • @noeleliasi8401
      @noeleliasi8401 2 месяца назад

      @unyakuotv.1391 kitu kimoja ambacho hukijui, tutaendelea kuwasikiliza ili mnavuopotosha watu, na sisi tutazidi kuwaweka kwenye mstari mnyoofu wasifuate upotofu wenu

  • @MussaMnyeti
    @MussaMnyeti 27 дней назад

    Kwani huogopi?

  • @AllyJumaMwaimu
    @AllyJumaMwaimu 6 дней назад

    Yaani mmeweka udini mbele upumbavu mtupu!!!!!

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Месяц назад +1

    Huyu jamaa anatakiwa akamatwe aminywe iliaeleze vizuri. Ni kosa kubwa sana Serikali kupuuzia kauli kama hizi zinazotishia usalama wa Taifa.

  • @FrancisNgomaitara
    @FrancisNgomaitara Месяц назад +1

    Apinduliwe TU na afie mbali

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 2 месяца назад +1

    Mwacha aende zake.

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 Месяц назад

    Namwomba Mungu ccm ianguke kama wakati wa sauli

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk Месяц назад +1

    Na iwe hivyo ni bora zaidi

  • @IssaSalumu-fj2le
    @IssaSalumu-fj2le 28 дней назад +1

    Wewe mwehu bwana

  • @RoseKimishabhalemi
    @RoseKimishabhalemi 2 месяца назад +1

    Kweli mama amefanya mambo ili achaguliwe 2025.ni kikosa kubwa sana hata wabunge wanatutesa sana wako kwaajili ya kuchaguliwa hawatujali kabisa wananchi.mfano wao kwakuwa wako juu katiba wanavunja lakini wananchi wakivunja wanafungwa majerani. Mf. Bandari n. k.

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Месяц назад

    Mimi naona wanachelewa kumpindua ilitakiwa apinduliwe kipindi cha DIP WORLD taifa linge baki salama mpka saivi tumechelewa angalia. Anatuletea lundo la madeni kwenye TANGANYIKA yetu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 месяца назад +1

    Mbona hauko straight na clear?
    Achana na kutaja makina ya watu go straight to the point!

  • @RehemaMtono
    @RehemaMtono 2 месяца назад +6

    Atoke tu yaani apinduliwe kabisaa

  • @EzekielMlinge
    @EzekielMlinge 7 дней назад

    Upuuzi mtupu

  • @abellugimba6243
    @abellugimba6243 8 дней назад

    Duuuh!!!!

  • @musafiribahati8295
    @musafiribahati8295 Месяц назад +1

    Mama anahaki ya myaka 5 ya kwake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Месяц назад

      Haki ya kutoka wapi? Ni lini alichukua fomu kugombea nafasi hiyo na akafuzu ?

    • @monirangerera7155
      @monirangerera7155 19 дней назад

      😂😂😂 unajijambia mwenyewe akipata juwa kaiba kura kafosi na kama kafosi atakuja kufa uyo raisi wako na kutakuwa na machafuko watu wataakufa vulugu wewe subulia usiwe na kiheleheleee

  • @ABM-e7f
    @ABM-e7f Месяц назад

    USHIRIKINA HUO! UONGO MTUPU HATA UNAVYO ONGEA HUJIAMINI

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 2 месяца назад +1

    Huyu mama afunguke. Wale aliowakumbatia, hajui kuwa ndiyo maadui wake wa kwanza. Na ndiyo hao wanaogombana naye katika ulimwengu wa roho lakini yeye hajui.

    • @monirangerera7155
      @monirangerera7155 19 дней назад

      Afunguke. Nini yeye sialiuwa John pombe naye atafuata tumati tuduni tudani malipo hapahapa duniani atajuwa ajuwi 😅😅😅😅

  • @RajabuMussa-h5n
    @RajabuMussa-h5n 2 месяца назад +2

    Malipo ni hapa hapa duniani

  • @SeverinMagwaya
    @SeverinMagwaya 2 месяца назад +1

    Tanzania haiwezi kupindiwa bali serikali inayoongoza nchi ya Tanzania kwa sasa inaweza kupinduliwa.
    Kupinduliwa ili iitweje au ili iwe nchi gani?

  • @mswadickbushumbiro6923
    @mswadickbushumbiro6923 Месяц назад +1

    Manabii wa uongo ndo nyinyi,mshenzi mkubwa,Acha kuchonganisha Mama na watu wake,

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 2 месяца назад +1

    Unasema kweli

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala Месяц назад

    Sasa lli la watu watano kugombea kiti ni jambo la ajabu dogo mwaka 2020 waligombea wangapi.ebu acha hesabu unakosea najua unapiga ramli

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 2 месяца назад +1

    Bangi mbaya sana😅😅😅😅😅

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda День назад

    We bwana ombea inchi mweshimu raisi wako acha uongo

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 2 месяца назад +1

    2025 kitaeleweka tumechoka😢😢

  • @GeraldLembris-jr3yz
    @GeraldLembris-jr3yz 26 дней назад

    Waziri mkuu wa mbinguni😂 mungu atuhurumie jmn

  • @EnickoSanga-z8b
    @EnickoSanga-z8b 2 месяца назад +4

    Dah watanzania wanapinga mno jamani kwanini hamuamini

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Месяц назад +1

    Hakuna cha kupinduliwa acheni uzushi na porojo, badala ya kuomba Mungu alete kiongozi amtakaye nyie mnapiga ramli.

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala Месяц назад +1

    Nia kishasema notakusaidia hesabu hakuna mAono na mama ataendelea tuu na akiendelea utakimbia nje

  • @mongogwelaanthony6867
    @mongogwelaanthony6867 29 дней назад

    Una sms SMS lakini hujui kupresent

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 2 месяца назад +1

    Bwana Yesu simama na Tanzania yetu isipinduliwe kama ni utawala mwingine MUNGU ingilia KATI viongozi wapendane jaman.UONGOZI SII VITA MUNGU PIGANIA HAWA VIONGOZI WAPENDANE BILA CHUKI.

    • @demetriangilwa2674
      @demetriangilwa2674 2 месяца назад

      Kwani atakayepindua si mtanzania? Hapo kanisa tuombee amani lakini nchi yetu inahitaji watawala wa hali Ili nchi ifurahi. Omba, ombea amani

  • @KostaJoseph
    @KostaJoseph Месяц назад

    TANZANIA IKO SALAMA ,ACHA KUTUDANGANYA

  • @BarakaMsukuma-g1q
    @BarakaMsukuma-g1q 23 дня назад

    KWA NINI USIMTAFUTE RAIS MWENYEWE AU WASAIDIZI WAKE.

  • @BibiJamy
    @BibiJamy Месяц назад

    Matapeli wakubwa kama unaona mbona ww utakufa feb hauja jua nami nimekujuza kifo chako

  • @MngwaliAllykizangwa
    @MngwaliAllykizangwa 2 месяца назад

    Hivi hawa no waganga.wa.kienyeji,maana muhuni kama huyu mungu hawezi kuweka neno kwake

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 2 месяца назад +2

    SAWA KAZI ya Mungu iendelee!

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg 2 месяца назад

      Mwenyezi mungu hujibu kwawakati wake panapokuwa hapandendewihaki

  • @songoroalamin3376
    @songoroalamin3376 Месяц назад

    We chizi amen we ndo utakutana na mazito amen duni hii imekua ya utabiri paka we

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Месяц назад

    PUMBAVU ÑABII WA UONGO VIÒNGOZI WA DINI MATAPERÌ HÀKÙNA ANAYE WA AMINIO AÇHA PORÒJO!!

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Месяц назад

    Bwana Nabii ukweli ni kwamba Kikwete alisha sema haoni mwana siasa kama Samia ,hivyo basi Samia 5 tena pia Tanzania sioni kama kuna jeshi la kupindua hilo ninalipinga x100 haliwezekani ,wa tz ni wwtu waoga sana pia wanapenda wanawake .sioni mtz atakae pigana vita wa tz kazi yao ni mdomo tu.

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis102 2 месяца назад

    Weweee

  • @KhalidiBakar
    @KhalidiBakar Месяц назад

    Jamani acheni ujinga najua kelele zote izo kisa raisi ni muislamu na anatoka Zanzibar ila mujue hamuna rais nyinyi wala bendera ya Tanganyika huyo ni rais wa tanzania musimbuguzi 😂 kutesa kwazamu😂😂

    • @aaronswai3092
      @aaronswai3092 Месяц назад

      Wewe ni mtu mjinga sana sana. Nani alikwambia dini inahusika kwenye ufalme? Niambie mfalme Sauli au Daudi walikuwa dini gani?

  • @johnpeterbarongo6445
    @johnpeterbarongo6445 Месяц назад

    Tatizo unabii wako unamashaka ulituabia Dar itamezwa na mafuriko

  • @nnkoarnold5423
    @nnkoarnold5423 Месяц назад

    Tangu nimeanza kukufuatilia yote uliyosema ni uongo hakuna lililotimia pamoja na wakati kupita kwanini usiache tu

  • @danielsinda
    @danielsinda Месяц назад

    Hakuna kitu njaa mbaya sana

  • @THOMASMPENDAKAZI
    @THOMASMPENDAKAZI 2 месяца назад +1

    Naona sikuoni ukidumu tanzania

    • @unyakuotv.1391
      @unyakuotv.1391  2 месяца назад

      Asante kwa kutufatilia,
      Huo unabii ulishatolewa 2021 na 2023
      Kuwa kuna vita 2025
      Umerudiwa kwa kuwa Mungu ametaka urudiwe

    • @nemesjosephat5612
      @nemesjosephat5612 2 месяца назад

      Wacha tuone

  • @HassanSeleman-be9wi
    @HassanSeleman-be9wi 2 месяца назад +1

    ww jitasimini kwanza muache raisi wetu mungu yupo nae DAIMA

    • @monirangerera7155
      @monirangerera7155 19 дней назад

      Sasa utaki kuambiwa ukweli atakuga raisi asifr yeye nani ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga upo yeye aliuwa John makufuli sasa zamu yakeMungu atakagi ujinga

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala Месяц назад

    Sisi waafrika sijui tumekumbwa na nini ukisikia mchungaji wa kanisa mnashindwa kumkamata na kumuhoji.

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 2 месяца назад

    Kwanini apinduliwe... Utaratibu wa Kushida madaraka Tanzania upo wazi na unafuatwa.... Hakuna anayeng'ang'ania kiti Tanzania

  • @RehemaMbilinyi-i2e
    @RehemaMbilinyi-i2e 2 месяца назад +1

    Acha kujichanganya 😂😮

  • @VeronicaSegesela-f8r
    @VeronicaSegesela-f8r 2 месяца назад

    Kwa jinsi baadhi ya mifumo ilivyo paralasi kwa kuingiliwa na wenye mamlaka mpaka wamedhoofisha baadhi yake sishangai

  • @RazakiMstafa-l4w
    @RazakiMstafa-l4w Месяц назад

    Kiama lini

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Месяц назад

      😂😂😂😂Huyo Yesu (eti Mwana wa Mungu na Mungu Mkuu) Mwenyewe hakujuwa/hajasema (hajui) lini Siku ya Kiyama ndo atajuwa huyo Tapeli tu..🙌
      Salamu zake Kwa Nabii Kiboko wa Wachawi, Nabii Tito, Zumaridi, eti Sheikh Shariff Firdous nk wa Mfano wake 😂😂😂

    • @EsterNgailo-n4h
      @EsterNgailo-n4h 29 дней назад

      Bora yesu arud

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 29 дней назад

      @EsterNgailo-n4h alafu utakuwa una zambi

  • @gabrielmwikanu1160
    @gabrielmwikanu1160 2 месяца назад

    Nabii tapeli huyo
    Hao watu wanaofukuzia kiti cha urais wataje hadharani.
    Acha uchonganishi tapeli mvuta bangi
    Waongoze waamini wako kiroho, achana na mambo ya siasa

  • @RahmSterling-x3n
    @RahmSterling-x3n Месяц назад

    Njaa inakutesa

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Месяц назад

      Haya mambo nyie waislam hauwezi kuayaelewa hata aekunde

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 2 месяца назад

    Hamna kitu apa njaa 2

  • @Phoibekileo
    @Phoibekileo Месяц назад

    Magufulii anarudii mapema wasliti wote kwaherii

  • @glorymiko6830
    @glorymiko6830 2 месяца назад

    Yuhu anatofauti gani na Tito.?! Nabii wa kuzimu.

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 месяца назад

    MADOGO MTULIE MJIFUNZE SIO MNAKURUPUKA
    RAIS SAMIA YUPO TU TENA BADO MITANO TENA. HAPINDULIWI WALA HAPINDUKI . KAKOSEA NINI MAMA WA WATU?
    TUACHENI TUKAE KWA AMANI JAMANI. MNADHALILISHA IMANI YETU MNAFANYA WOTE TUONEKANE WAJINGA KAMA NINYI

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 2 месяца назад

    Waongooooooooooooo hao wakamateni muwaweke ndanii angekuwa idi.amini ungekoma wewe

  • @ezekielmwamlinge9138
    @ezekielmwamlinge9138 Месяц назад

    Huyu ni nani mbona simuelewi mara ccm ni chaguo la mungu mara ameishika mkononi

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 lord have mercy

  • @SimbaMuamuzi-c4f
    @SimbaMuamuzi-c4f Месяц назад

    tusimpinge uyu nabii kwani huo ujasiri wakuzungumza ameupata wapi? kuhusu kuangamia kwa dar dareslam huenda waritubu walipo skia tarifa kama walivo tubu kwa NABII yona emeen

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 2 месяца назад +1

    Unasema huku unajikanyagakanyaga, na unarudiarudia maneno maana yake ni uongo mtupu.