Bajeti ya kuku wa mayai 100 | Layers 100

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Katika video hii utajifunza Gharama ya kufuga kuku wa mayai 100 kuanzia siku 1 mpaka wiki ya 23
    Ukihitaji vifaranga wa mayai agiza katika namba hii 065963232
    Aina ya vifaranga: BOVANS BROWN
    Bei :2500
    Oda kwasasa imefika tarehe 07/09/2022
    Gharama ambazo nimeziainisha katika video hii hazihusishi GHARAMA YA KUJENGA BANDA NA VYOMBO

Комментарии • 57

  • @josephmigila
    @josephmigila 2 года назад +1

    oya umetisha mzee thanks so much kwa maelezo mazuri

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Ni neema ya Mungu anayeniwezesha kufanya🙏

  • @aminamjili7303
    @aminamjili7303 7 дней назад

    Naomba kufahamu kwa kuku 600, hadi kutaga atakuwa imetumika sh ngap

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 дня назад

      ruclips.net/video/z0frFqmHCzI/видео.html

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135 9 месяцев назад

    Umetisha

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 Месяц назад

    PIA NAOMBA HIYO VIDEO YA KULISHA KUKU WA MAYAI

  • @erastoshelukindo932
    @erastoshelukindo932 2 года назад

    Habari yko,nahitaji chati ya namna ya ulishaji wa kuku broiler na chotara kuanzia siku moja nakuendela .

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Nitumie meseji whatsapp 0659632332

  • @Shirimatunda
    @Shirimatunda Год назад

    naomba namba

  • @mariandamu7379
    @mariandamu7379 Год назад +1

    Naomba namba za cm npo mbeya nafuga kuku ila sina uzoefu napia nahitaji vifaranga. Asante.

    • @LayersPro
      @LayersPro  Год назад

      Wasiliana nasi kwenye namba hizi 0659632332/0752912132

  • @fahadsalum1749
    @fahadsalum1749 2 месяца назад

    Napataje hii bajeti in pdf?

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk 9 месяцев назад

    Hongera sana mkuu

  • @harrymbogo
    @harrymbogo Год назад

    How to calculate the profit with chicken you have..(I need a way& formula)

    • @LayersPro
      @LayersPro  Год назад

      Kindly check this video
      ruclips.net/video/xctmTCz2E60/видео.html

  • @sihabahusseinmdee1102
    @sihabahusseinmdee1102 Год назад

    kuku 100 wanatakiwa watoe trei ngapi za mayai?

  • @dionizmajoka6750
    @dionizmajoka6750 2 года назад +1

    kuna kitabu ulichokiandaa?

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Bado sina kitabu

    • @dionizmajoka6750
      @dionizmajoka6750 2 года назад

      ooh sawa sawa, nikitaka ramani ya banda nitaipataje

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      ruclips.net/video/LbmUhG1I0Ts/видео.html

  • @hosianapierre5087
    @hosianapierre5087 5 месяцев назад

    Nipo geita

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 Месяц назад

    BOS NAOMBA HIINBADGET KWENYE PDF
    NAHITAJI KUFUGA TAFADHALI

  • @mwangaliamaselemani87
    @mwangaliamaselemani87 2 года назад

    Habar kiongoz naweza kupata namba za mawasiliano

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад

    Asante

  • @asuntangunyali7177
    @asuntangunyali7177 2 года назад

    Hiyo mfuko wa vitamin ni kama chakula au????

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Vitamin ni sehemu ya chakula lakini mara nyingi huwa zinapotea Kutokana na mazingira ya uhifadhi wa chakula etc ndio tunatumia hizo za maji

  • @japharymwiru1412
    @japharymwiru1412 2 года назад +1

    Kuku mia wa mayai watosha kukaa kwene banda la ukubwa gani

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Banda la kuku 100
      Urefu mita 6
      Upana mita 3

    • @annabadi131
      @annabadi131 2 года назад

      na mimi naomba kuuliza banda la kuku 500 ni ukubwa gani? Na gharama zake naomba kuzijua

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      @@annabadi131 urefu mita 12 upana mita 6
      Au Vyovyote utakavyoona inafaa ila uwe na 71 square meters

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      @@annabadi131 Gharama tafuta mtu akuandalie, huwa wanachaji pesa kidogo kuandaa michoro,Bajeti ya kujenga etc

    • @natashamwenera2874
      @natashamwenera2874 Год назад

      Kaka abari umesema kuku 100 wanakula kilo 4.5 kwa siku jee jioni unawapa kiasi gani tena sijaelewa

  • @mariamshirima4067
    @mariamshirima4067 2 года назад

    Naomba unipigie hesabu ya kuku300 mimi nina viombo na banda

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Karibu Mary, kujua Gharama ya kuku 300 zidisha mara tatu hiyo Bajeti ya kuku 100

    • @mariamshirima4067
      @mariamshirima4067 2 года назад

      @@LayersPro asante nitafanya hivo

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад

    Mtaalam wa kukushauri lazima kwani ?

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Ni muhimu sana ila sio lazima, ni hiari yako

  • @ronaselekwa146
    @ronaselekwa146 2 года назад

    kwanini unawasha taa wiki 12

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Angalia somo kamili kuhusu mwanga ruclips.net/video/qh1XJZxSSV4/видео.html

  • @bakarymsangeni9958
    @bakarymsangeni9958 2 года назад

    Naomba nitumie hizo chat kuazia wiki ya kwanza mpaka watakapo anza kutaga

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Nitumie meseji whatsapp 0659632332

  • @johnalphonce8600
    @johnalphonce8600 2 года назад

    Nahitaji bajeti km hio ulioiandika ya kuku 400

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Ipo hii video ya kuku wa mayai 1000
      ruclips.net/video/l5xdahwQZrU/видео.html

  • @dionizmajoka6750
    @dionizmajoka6750 2 года назад

    naomba nitafte kwa Email yangu

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Sijakuelewa ndugu, Je unahitaji nini?

  • @evangomera9565
    @evangomera9565 2 года назад

    Kuku ngapi kabisa inalipa ? Kusudi mutu Adi Choke kwa bure

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад

      Minimum ni 1000, lakini kwa kadri ya uwezo wako kimtaji, maarifa uliyonayo, uzoefu, usimamizi etc

    • @LayersPro
      @LayersPro  2 года назад +2

      Angalia hizi video 2 utapata kitu kikubwa
      1.ruclips.net/video/Z5heZxL98Zc/видео.html
      2.ruclips.net/video/l5xdahwQZrU/видео.html

  • @aminamjili7303
    @aminamjili7303 3 месяца назад +1

    wiki ya pili hadi ya sita unatumia mifuko 2 tu🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄

    • @LayersPro
      @LayersPro  3 месяца назад +1

      Sahihi kulingana na hiyo idadi ya kuku

    • @aminamjili7303
      @aminamjili7303 3 месяца назад

      @@LayersPro oky sawa, so kama una kuku 600 , unazidisha mara 6 eeeh

  • @IANJEREMIAH-tj3mu
    @IANJEREMIAH-tj3mu Год назад

    Uko Dom sehem gani maelezo yako ni mazur mno

    • @LayersPro
      @LayersPro  Год назад

      Majengo Sokoni wasiliana nami kwenye namba hizi 0659632332/0752912132