Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nimependa unavyomshirikisha Mungu kwenye kazi yako barikiwa sana. Amina❤❤❤
🙏🙏🙏Ubarikiwe na wewe♥️♥️
Amina mama mchungaji Asanteh sana kwa elimu madam
Asante sana kwa mafundisho ,,,ila nimefuatiliya hadi mwisho sijajuwa ni kku wangapi umeongelleya
Asante kwa kunifungua ability
Tunafurahi kwa kutujuza❤❤❤
Asante sana kwa kutufundisha Hila nauliza hivi wanakaa kwenye bluder kwa muda Gani?
Nashukuru sana na mfuko unauzwa bei gani
Hii ni Habari njema sanaMungu akubariki
🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Naunatumia chakula gan
Asante Kwa somo
@@HadiaSimai ❤❤🙏🙏
Thank you so much ❤
I appriciate Sir. ♥️♥️👏👏
Mmh nimekuelewa sana dada akee
@@AllyMchonjo 🙏🙏🙏🥰🥰
Mungu akubariki sana
🙏🙏♥️♥️
Asante Sana Dada vp kuhusu dawa?
Mbozi ni elfu kumi😊
Nimefurahi kusikia somo nilikuwa naenda kinyume asante kwa kunfungua akili
Asante kwa elimu nzuri. Je,unawalisha chakula aina gani,mash au pilet mwanzo mwisho?
Pillets
Huo mfuko una kg ngap na nibei gan?
Unauza wakiwa na wiki ngapi?
Asante sana kadala..una jua kuelekez vema.Naomba niulize ukiwa unatka kuanza na kuku200.je vifaranga wazuri wanapatikana wapi
Silverland company♥️♥️
Upo mkoa gan
Maadam ninakupata kwa umakini,some linaeleweka
@@JohnMagesse 🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Wana kilo ngapi?
Elfu 9000 unauza wapi au unachinja mwenyewe na uko mkoa gani? Siamini motivation za uongo
Mjinga weee nikudanganye wewe unisaidie nini? Njoo uone Thomas faith. Nauza 10000 na sichinji take it from me if like.
Huo ni uingo mkubwa, au unaongelea mfuko mifuko ya tsh 3 ya magufuli? Maana mfuko mmoja ni 86,000 × 5 😢 na bei yakifaranga je? Faida inakuaje hapo acha uzushi.
Bei imepanda mwaka huu
@emmanuelmahenge02 toka mwaka jana chakula kilikuwa juu kuazia 80 had saiv 89
10000 kwa kuku? Sijui huko uliko ila dsm ni 6500 @1
Ujambo kuku wangu wamedumaa wana wiki ya tatu bado waridhishi nakuomba unisaidie
Nahitaji vifaranga
@@mrsnjonjolosiwema343 😁😁😁😁
mi natamani kuifanya biashara ya kukuza kuku lkn nashindwa niànzie wap yan sielewi na kwa kadrio la çhin naanza na shingap
@@Bles-x1v Anzia hapohapo hakuna kuogopa
Naomba namba dada
@@KephlenTitus IPO hapo juu
elf kumi unauzia wapi
Huku ninakoishi🥰🥰🥰
Mifuko 4 kwa kuku wangapi?
Sikiliza vizuri video hadii mwisho
Dada hbr kipimo Cha grows naomba tuma video ya kipimo nione
@@FrancisOsward-hy8kk scrow down zipo huko chini 🥰🥰
Kwenye maji umeweka nini?
Vitamin🌹🌹
Mfuko wa Kilo ngapi Kg ?
@@antonyhomanga4527 Nilishaeleza
Dada kuku wangu hawakui nifanyaje msada afadhali
Vip washaaza kukua
Weka joto si unaona wanavyojilundika pamoja
MFUKO BEI GN
Aaweee kaulize dukani
Sokolako unauza wap Kwa bei iyo
Aaaa! 😁😁😁😁
Huo mfuko unakilo ngap
Kilo 50♥️♥️
Hawa kuku dar tunauza 6200 sasa uliniambia nilishe mifuko mitano SI itakula kwangu
@@beatricechami1404 Sinui inakuaje hapo Ila bidhaa ikiwa Bora bei unapanga wewe Hilo ndio najua
Dar mnauza ndege 😂😂
@@Rhoda-z7b Njiwa
Yaan kuku mia @mifuko 5?wakat kuku400 mifuko 10...na bei elf6,000 mpk 5800 kwa dar,,
@@TussaMbilinyi hao ni njiwa
Mifuko Kumi hapana aisee ndege hao
@@beatricechami1404 Kama mnauzawa wiki 3 sawa hao ni njiwa
Wewe dada muogope Mungu kuku mia nne mifuko kumi du hao sio broila
Bei ya chakula ikoje huko kwak
85,000 mfuko
Ooh ok
Nimependa unavyomshirikisha Mungu kwenye kazi yako barikiwa sana. Amina❤❤❤
🙏🙏🙏Ubarikiwe na wewe♥️♥️
Amina mama mchungaji
Asanteh sana kwa elimu madam
Asante sana kwa mafundisho ,,,ila nimefuatiliya hadi mwisho sijajuwa ni kku wangapi umeongelleya
Asante kwa kunifungua ability
Tunafurahi kwa kutujuza❤❤❤
Asante sana kwa kutufundisha Hila nauliza hivi wanakaa kwenye bluder kwa muda Gani?
Nashukuru sana na mfuko unauzwa bei gani
Hii ni Habari njema sana
Mungu akubariki
🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Naunatumia chakula gan
Asante Kwa somo
@@HadiaSimai ❤❤🙏🙏
Thank you so much ❤
I appriciate Sir. ♥️♥️👏👏
Mmh nimekuelewa sana dada akee
@@AllyMchonjo 🙏🙏🙏🥰🥰
Mungu akubariki sana
🙏🙏♥️♥️
Asante Sana Dada vp kuhusu dawa?
Mbozi ni elfu kumi😊
Nimefurahi kusikia somo nilikuwa naenda kinyume asante kwa kunfungua akili
Asante kwa elimu nzuri. Je,unawalisha chakula aina gani,mash au pilet mwanzo mwisho?
Pillets
Huo mfuko una kg ngap na nibei gan?
Unauza wakiwa na wiki ngapi?
Asante sana kadala..una jua kuelekez vema.
Naomba niulize ukiwa unatka kuanza na kuku200.je vifaranga wazuri wanapatikana wapi
Silverland company♥️♥️
Upo mkoa gan
Maadam ninakupata kwa umakini,some linaeleweka
@@JohnMagesse 🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Wana kilo ngapi?
Elfu 9000 unauza wapi au unachinja mwenyewe na uko mkoa gani? Siamini motivation za uongo
Mjinga weee nikudanganye wewe unisaidie nini? Njoo uone Thomas faith. Nauza 10000 na sichinji take it from me if like.
Huo ni uingo mkubwa, au unaongelea mfuko mifuko ya tsh 3 ya magufuli? Maana mfuko mmoja ni 86,000 × 5 😢 na bei yakifaranga je? Faida inakuaje hapo acha uzushi.
Bei imepanda mwaka huu
@emmanuelmahenge02 toka mwaka jana chakula kilikuwa juu kuazia 80 had saiv 89
10000 kwa kuku? Sijui huko uliko ila dsm ni 6500 @1
Ujambo kuku wangu wamedumaa wana wiki ya tatu bado waridhishi nakuomba unisaidie
Nahitaji vifaranga
@@mrsnjonjolosiwema343 😁😁😁😁
mi natamani kuifanya biashara ya kukuza kuku lkn nashindwa niànzie wap yan sielewi na kwa kadrio la çhin naanza na shingap
@@Bles-x1v Anzia hapohapo hakuna kuogopa
Naomba namba dada
@@KephlenTitus IPO hapo juu
elf kumi unauzia wapi
Huku ninakoishi🥰🥰🥰
Mifuko 4 kwa kuku wangapi?
Sikiliza vizuri video hadii mwisho
Dada hbr kipimo Cha grows naomba tuma video ya kipimo nione
@@FrancisOsward-hy8kk scrow down zipo huko chini 🥰🥰
Kwenye maji umeweka nini?
Vitamin🌹🌹
Mfuko wa Kilo ngapi Kg ?
@@antonyhomanga4527 Nilishaeleza
Dada kuku wangu hawakui nifanyaje msada afadhali
Vip washaaza kukua
Weka joto si unaona wanavyojilundika pamoja
MFUKO BEI GN
Aaweee kaulize dukani
Sokolako unauza wap Kwa bei iyo
Aaaa! 😁😁😁😁
Huo mfuko unakilo ngap
Kilo 50♥️♥️
Hawa kuku dar tunauza 6200 sasa uliniambia nilishe mifuko mitano SI itakula kwangu
@@beatricechami1404 Sinui inakuaje hapo Ila bidhaa ikiwa Bora bei unapanga wewe Hilo ndio najua
Dar mnauza ndege 😂😂
@@Rhoda-z7b Njiwa
Yaan kuku mia @mifuko 5?wakat kuku400 mifuko 10...na bei elf6,000 mpk 5800 kwa dar,,
@@TussaMbilinyi hao ni njiwa
Mifuko Kumi hapana aisee ndege hao
@@beatricechami1404 Kama mnauzawa wiki 3 sawa hao ni njiwa
Wewe dada muogope Mungu kuku mia nne mifuko kumi du hao sio broila
Bei ya chakula ikoje huko kwak
85,000 mfuko
Ooh ok