SHAMRASHAMRA ZA DURU YA TANO YA MAHAFALI YA 52 CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akitunuku shahada kwa wahitimu kwenye mahafali ya 52 Duru ya Tano ya Chuo hicho katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.
    Hii ilikuwa ni baada ya Dkt Kikwete kumtunuku Shahada ya Heshima Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

Комментарии •