🔴
HTML-код
- Опубликовано: 20 апр 2024
- 🔴#Live: MAKONDA AWASHA MOTO - AWASIMAMISHA WATUMISHI -''HUWEZI KUJIELEZA - UMEPATAJE HII NAFASI?''
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Wewe dogo makonda siku zote nilikuwa nakuombea tulimiss hizi hekaheka nakupenda dogo mama akimaliza mda wake hakika wewe ni hazina ya taifa letu pia ni kiboko wa wazembe mafisadi pia katika ubunifu hakuna wakukufikia ktk nchii ubarikiwe sana mungu wa mbinguni akubariki sanaaa!
Mheshimiwa makonda tunakuombea Dua nyingi sn .umenyooka kama rula hongera sn kwa kazi nzuri sn
I Salute you Mhe Makonda 🌹👍🏽👌🏽💯 Mwenyezi Mungu Akuongoze 🤲🥰🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mama doctor Samia mungu akubariki sana kwa maono yako naomba makonda asibadiliike kulingana na mazingira mama huyu ni mchapa kazi mana God bless you!❤
I salute you my brother makonda . God bless you sir
Makonda Mungu akubariki sana!! Wakulete Mwanza ili nasi tunufaike!
Mweshimiwa Makonda. Hongera zako. Unafanya vema sana. Na nao wataalamu wa barabara bila mitaro, kazi chafu. Ni loop hole zao zikiharibika wanashangilia wapate kapiga dili. Kwa ujumla hakuna darasa hapo. Mungu akubariki. Kazi iendelee.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Hi watching from kenya
Makonda ni saa 8 usiku sasa sijalala jinsi ninavyokufuatilia I salute you ni kiongozi bora na si bora kiongozi nakufunika kwa Damu ya Yesu Kristo Mwana wa Mungu Aliye Hai. Mama yetu Mungu amekuongoza kumteua tena huyu Kijana wetu Mungu anakupenda saana Mama TZ sasa Imechemka wakuu wa Mikoa wengine watakuwa nao na amsha amsha na ufuatiliaji kwani uongo mwingi kwa wakurugenzi walijisahau saana uwajibikaji
Si mtupatie huyo makonda hapa kwetu kenya?
Nakupenda makonde
Jamaa yuko vizuri sana....!
Mkurugenzi umejieleza vizr na kazi yako ni nzuri MUNGU akubariki
Daaa makonda mdogo wangu mungu akulinde na husda akupe maisha malefu rais wetu wa baadae asante
Unafaa kutunukiwa Ph. D ya heshima ya uongozi. Hongera sana RC Makonda
God bless you
Waamshe hao viongozi
Wana kiusingizi
Toka tumtoke Magufuli
Hakika analiamsha jiji la Arusha
Makonda na sifa ya kuwa kiongozi maana kwa wale waliosoma blue taxonomy au blue print sahivi tunahitaji level ya juu yaani applying, Creating 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 waeleze vizuri
Big up broh ure in good and blessed way
Congratulations bécasse thé way you manage your people is si right
Makonda atabaki kuwa makonda tu hawezekaniki tumpe inchi jamani tusonge mbele
I WISH VIKAO VYOTE VYA WAKUU WA MIKOA VIWE LIVE KAMA HIVI
Usife usioze Mh.. Makonda. Mungu akulinde utokapo na uingiapo na popote utakapokanyaga Mungu Babaakutangulie.wewe Musa hakika umekuja kutukomboa Watanganyika k ...
Nakuonea huruma makonda wangu kupambana na watu walioko nyuma yapazia but watanzania asilimia / 80 ya watanzania wanakukubali
Big up sana Makonda mungu ukubariki sana
Huyu kiongozi the way anavyoongoza kikao na kuhoji maswali yenye mantiki na kubaini longo longo, hakika utaona kwamba ni kiongozi makini sana sana na anaeelewa zaidi ya anaowaongoza .... Excellent 👏👏👏
Nimewahi kusema Mungu Mbariki Makonda
Mungu ana makusudi mema na huyu mtu ndo maana wabaya hawampendi....!
Sina baya na makonda mwanangu sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mwana siyo sinich
Mama samia nakupa hongera na maono yako ya kuona mbali nakusifia sanaaaa hapa umecheza Bibi kumteua Makonda kweli Mungu ana makusudi nzuri sanaaaa kuifufua Ccm ya Chama kwanza mtu baadae Mungu skupe afya njema 2024 2025 2530 kweli Tanzania ni nchi ya amani
Nakukubali makonda
Kiongozi wangu muda wote💪💪
Ni viongozi wa chache katika inchi hii wenye fikra kama ulizonazo Makonda na Samia angelikuwa anafanya kama hayo tunge mielewa
Mungu akupe guvu katika kazi uliyo pewe na mungu
Good question, unapataje hii nafasi
Watu wanaomsema vibaya Makonda hua wananishangaza sana. Huyu jamaa Angekua waziri mkuu tungeendelea sana
0:28
VIONGOZI WAKUIGE KUCHAPA KAZI WA MALENGO , HUKU UKISHIRIKISHA MAWAZO YA WATU UNAOWAONGOZA. MUNGU ATAKUJAALIA NA UONEVU HAUTAKUWEPO
Mwanangu yaan kwenye peg yako bila kukuona sina amani hata kidogo kama kwenye peg yangu ya Timu ya Simba siwezi kulala hata kidogo bila kuwaona.Yaan we unaweza uongozi kama dada Sendega RC Manyala mnatisha sana.❤❤❤❤ 👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏
makonda❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akuzidishie kk
makonda Mungu akuta ngulie kazi yako njema
Hongera mkuu bado kuna madudu tupambane
Hiki ni chuma kilicho andaliwa na mungu mwenyewe hongera sana Arusha tegemeeni mambo makubwa sana kupitia mwamba huyu huyu
Sure ...ila ni wachache wanaelewa hilo ...!
Hakika unacha ziada Mungu aendelee kukulinda.
Makonda safi sana
Fanya kazi yako kaka
Mungu akubariki makonda, nakuombea uje mkoa wa Geita.
Mama ulichelewa wapi kumuingiza makonda selikalini?
Makonda hanaga unafiki laiti laiti watendaji wote wangelikuwa hivi, hii nchii ingekuwa mbali sana ila viongozi wengi niwasaka tonge
Daa makonda mungu akutunze utumishi wako na sawasawa.
Ilojitu latarula linaonekana kunamtu kariweka sasa halijui hata,kujieleza asante kk enderea kututolea madudu
Kumbe viongozi ni vilaza hawajui tofauti yakutengeneza na kujenga
Magufulification in makonda aliyeon hili lik zng
Mama doctor Samia kwa maono yako nakuonba nakuomba Sabaya mnyoosha inchi mama mfikirie❤
Point
Big up makonda tunakuamiini sana
Mweshimiwa Mkuu wa Mkoa barabara zetu za mitaani hazifai hata mgonjwa kupeleka hosipitali ni kazi kubwa.
10:28 Nice makonda
Safi makonda
I still have questions about Makonda's approach to government officials. As a leader, you must share your expectations in your colleague's speech and not force someone to speak what you think, even if you haven't directed them on what to say in their speech.
Uyu baba makonda ni mwamba na apendi wanyonge wakionewa leo sisi bodaboda ametuacha tunatembea kifua mbele chapa kazi baba najua mafisadi awatapenda unachokifanya ila mwezimungu ndio atakaekulinda kwanguvu zote asante.
Nakukubali sana makonda namuona mzee magu huyu hapa.mungu akulinde brothe,ila broo mmetusahau sana vinyozi hamtupi Frusa kabisa hata kutunzungumzia .
Karibu sana Arusha
Mnkonda anaweza
Daah, Makonda anajua kubana....kambana Eng wa maji hadi makofi aliyopigiwa yamepotea.....!!!!
Muheshimiwa makonda hiyo rohoya ko nzuri ulokua nayo .mm nakubashiri utafika hadi nafasi ya uraisi mungu akulinde nakila baya
Hongera sana RC Makonda kwa maono ya kuiendeleza Arusha. Karibu sana Arusha.
Tungekuwa na wakuu wa mikoa 10 tuu wa aina ya Makonda watendaji wazembe wa nchi hii wangeomba poo
Hili kimbilio la lugha ya et wananchi wa kawaida mara eti wananchi hawa masikini toka maneno haya yasemwe yamtusaidia nini ka si maigizo yale yale ni kama kujigeuza umagu katika kutafuta kiki zile zile na watu bado wanagalagala kwenye tope lilelile this is mamba life styles!!.
Mwamba🤛🤛
Makonda yani kunaroho ya urais
Lakini zile hotel alizofunga Buldoza wakati ule alipoamua kuua utalii Arusha,Leo zingejenga zingine nyingi tu! Ukisema tumeletewa royal tour tuchangamke, nyumba haziwezi kuoteshwa kama uyoga!
Makonda nakukubali sana wewe Kama wewe Kwa sababu nimkweri. Ila CCM. Hapana
Makonda ni chaguo la Mungu.Ana akili kubwa sana
Mh. Makonda kujenga na kurekebisha Barbara Ni kwamba Kuna watu wahenga Barbara na watu wakuangalia Barbara kila siku Zina Hali gani. Zamani Sana kulikuwa na neno PWD kwa utani Ni Punda Wengi Duniani hao ndiyo kwa Leo ndiyo TARURA lakini hakuna kitu Bora wabaki idara ya ujenzi.
Piga kazi Comrade
Ila jamaa yuko vizuri, sema tu wengine hawampendi coz hapendi maujinga kama uzembe wanyonge kuonewa na zaidi wivu tu....!
Hili ni bunge kamili
Mokonda 👍
Hongera Sana Brother Makonda Tupo pamoja na wewe Msaidie Mheshimiwa Rais Usisikilize maneno ya wanafki Mtegemee Mungu Tu na Umsaidie mama yetu Rais Samia
Drk Rais Samia hakukosea kulipata jembe kama hili ni bonge la msaada mkubwa katka mafanikio yote ya raisi👏👏👏🤩
Chuma nguvu moja 💪💪💪💪
Makonda mafisadi wamekupiga Vita ktk nafasi ya utendaji wa chama cha CCM . Lakini umetisha kaka unachapa kazi. Mama anaona pia atatambua wewe mtoto wake. Sio mchezo
Ndungu yetu makonda watanzania tuna kuitaji kuwa makini naviongozi wenzio makini ndungu
Makonda yupo vzr
Halmashari ya Arusha ni wapigaji
Makonda hapendi vitu shallow shallow kwa viongozi....!
Naomba namba mhe. Paul makonda
SAWA kiongozi huna mbaya😂😂
wange kuwa wanaonyesha hiyo miladi
Bro nakupenda Kwa umakin wako Niko nje ya NCH KITI chako hicho Nami naamin utakuwa Rais siku moja❤❤
Aiwezekani ata awezi kuwa Raisi
Arusha tunaenda kubarikiwa
Makonda kiboko hata mama atakuachia kijiti makonda oyeeeee
Hapo patamu
Washa moto Ndg Makonda Arusha ina mtu na Nusu.
Mbona kama naanza kumwelewa Makonda?
makonda mjanja sana ,saivi Tanzania nzima ina mfatiliaa uraisi nikugusa tu
Suala la uraisi sio jambo ndogo kuliko kawaida. Aguse kama fomu yenyewe atapewa kujaza
Acha kuongea kishabiki wewe.. eti urais ni kugusa tu.. khaaa we vp wewe? ikiwa alitaka tu kugombea ubunge magufuli alimkata jina lake na akamtumbua juu Kwa juu.. Leo ndio apewe urais ?? Unadhanj urais ni cheo Cha kupewa tu mtu hivyo hivyo?
@@ibrahimally8073 umenikumbusha Mbali Ndugu, Ilikuepo Na Ipo Shida Mahala.
Mh. Ebu mwambie na RC wa mbeya afuatilie tasafu ulipaji wao c halali mama mmoja kipofu anaishi na binti wanamlipa sh 20,000/- kwa miezi tele sio kila mwezi
Soko La Madini Lirudi Arusha Makonda Mji Uchangamkee.
pambanaa baba Makondaa
Uzuri wako mh. Makonda, ni muwazi! Hahitaji majungo. Ni hago Kwa hapo. Lakini pia ni mfundishaji, lakini pia anafanya kazi kwa vitendo.
Wapigaji tu hao
makonda wakupeleke shinyanga au Geita tunaibiwa mno