Mnyika ‘atiririka’ mbele ya Rais Magufuli
HTML-код
- Опубликовано: 18 дек 2018
- Mnyika ‘atiririka’ mbele ya Rais Magufuli. “Naamini Watanzania wamekuombea usiwe na kiburi, Wananchi wana malalamiko juu ya Bomoabomoa nakuomba kwa kutanguliza utu, Mwl. Nyerere alisema maendeleo ni ya vitu lakini maendeleo zaidi ni ya watu tafakari kuwalipia fidia Wananchi waliopisha ujenzi huu" - John Mnyika
Umesema kweli kamanda
Mnyika unetixha na....👏👏👏👏
Well said Mnyika
Very smart Mbunge yaaani wewe ungekuwa CCM, NAAMINI unaweza kuwa WAZIRI wa TAMISEMI
vizur Sana
Hapa kazi na Bata hakuna kusema uongo msema kweli mpenzi WA mungu hongera mnyika wewe ni jembe
Kweli japo mchungu
John mnyika mwanasiasa bora wa mwaka 2018, kaongea point 1000%
Ramadhan Seif amenifrahisha sana nina njaa lakin nimehisi kushiba, msomi hakurupuki unaeza ujute kumpa nafasi kama ile mmh
Cdm iko vizuri wakipewa nchi itasimama vizuri
Mmhh!!!🙆♂️🙆♂️
mwenye hekima na busara keep them mda wke bdo
nime kukubal sana uoga mwiko
Point
huyo ndugu huwa hapendi kuambiwa ukweli
Saf umenena
maneno yako haya Mnyika yameandikwa kwa matone ya dhahabu!!!!
Kweli kamanda ujumbe murua huo
salute, kati ya wazalendo naisi wewe ni Mmoja wao
Je.Mh Mnyika leo Mh.Rais akitaka kukuteu kuwa waziri Fulani mf. wa mambo ya ndani au Upande wa Tamisemi uko tayari kupokea Eshima hio?
Wee utapandisha mshahara
Yani hapa ndipo nme ona umuhimu wa upinzani tuna pata mawazo tofauti ya kuchangamsha
Umesema ukweli mtupu siosiri Hali ya maisha imekuwa tete sana
gooooood
Hongera sana John Mnyika. Ningekuwa kwenye Jimbo lako ningekupigia Kura yangu!!! Mnyika Hoyeeeeee!!!
Mnyika ni Jembe!!