Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 35

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 2 месяца назад +1

    pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,

  • @abroadconnectededucationlt5435
    @abroadconnectededucationlt5435 2 месяца назад +1

    polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 3 месяца назад +3

    Poleni sana familia ya Manji. Tuko pamoja, tunawapenda sana😢

  • @nsubisimwasandende-kl9vy
    @nsubisimwasandende-kl9vy 3 месяца назад +10

    Dogo ana akili sana ni isahara hata kampuni za mzee zitaenda vizuri speech nzuri

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 месяца назад +2

      Yes yes uko sawa... Hata sauti kama ya manji kabisa

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 3 месяца назад +2

      Sana Sana 🙏

  • @LovenesLuhanga
    @LovenesLuhanga 3 месяца назад +4

    R I p Yusuf manji hakika ww ulikua Bora sana mungu uipe uvumilivu na utulivu familia yake yote tuseme amen 🙏🏼🤝

  • @SaudaAngelo
    @SaudaAngelo 3 месяца назад +2

    Innah lillah waina ilaih raj oon. Allah awajaze subira muwe waja wa kusubiri. Nasi tuombe mwisho mwema. Ameen

  • @YohanaCharles-ry1kh
    @YohanaCharles-ry1kh 3 месяца назад +3

    Daaah, pole sanaaa ndg yetu

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila 2 месяца назад

    Pole watoto wa marehemu, Mungu awape mshikamano na mlete wajukuu watakaoendeleza

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 3 месяца назад +3

    Pole sana Mahboob..

  • @SadiaAlly-i9t
    @SadiaAlly-i9t 3 месяца назад +3

    Mwanadam ni historia,kua historia njema

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila 2 месяца назад

    Pole masikini kumbe mmebaki wenyewe Mungu awtunze ,na familia ya Muheshimiwa Jakaya iendelee kuwa nanyi

  • @MwenyeheriMwegeru
    @MwenyeheriMwegeru 3 месяца назад +2

    Inalilah wainalilah rajiun pole sana wanafamilia

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 3 месяца назад +4

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun😢

  • @TatuCharles-f5m
    @TatuCharles-f5m 3 месяца назад +2

    Duuh😢😢😢

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 2 месяца назад

    Inalilahi wa Inalilahi Rajiun poleni Sisi wote tutarejea.

  • @daarularqammkaku153
    @daarularqammkaku153 3 месяца назад

    Pole bro

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p 2 месяца назад

    R.i.p YUSUFU MANJI hakika ni pengo kubwa sana kwa club ya YANGA na wapenz na mashabiki wa yanga

  • @tukuyufm.
    @tukuyufm. 2 месяца назад

    Poleni sana familia ya mzee manji

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 3 месяца назад

    So sad

  • @VumiliaMtenda
    @VumiliaMtenda 3 месяца назад

    Imauma jaman polen

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila 2 месяца назад

    Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 месяца назад

    Hivi kumbe nikweli manji kafa mungu amsamehe mazambi yake yote

  • @tumsifumassawe1273
    @tumsifumassawe1273 3 месяца назад

    Kwan amekufa kweli??

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 2 месяца назад

    manji,rostam,hao hakuna wazalendo hapo wanyonyaji2 wataka mamiladi makubwa watafuna nchi

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 2 месяца назад

    kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee

    • @mugheiry
      @mugheiry 2 месяца назад

      Kwanza kajifunze kuandika vizuri kiswahili chako, kabla kuandika upuuzi wako.

    • @josephmkinga9509
      @josephmkinga9509 2 месяца назад

      @@mugheiry upuuz ni wewe kipi ambacho hujaelewa

    • @zaminalimehdi8970
      @zaminalimehdi8970 2 месяца назад

      Usiandike kutafta kiki. Mbona tundu lissu alienda kunitibia nje na sio bongo. acha chuki

    • @josephmkinga9509
      @josephmkinga9509 Месяц назад

      tundu lissu halali atibiwe huko ila sio kuzikwa hao wahindi wanachuma2 bongo kuzikwa utasikia wamepelekwa kwao

    • @zaminalimehdi8970
      @zaminalimehdi8970 Месяц назад

      Kuna wengi wanalala marekani na nyumbani kwao ni tanzania bro. Acha hizo bro.. Mtu kafariki sote tunafata mkondo huo huo.. Na sisi naye tutafute pesa kama wao tukakaa sehemu nyingine ila TZ itakua home