pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,
polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.
Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo
kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee
Kuna wengi wanalala marekani na nyumbani kwao ni tanzania bro. Acha hizo bro.. Mtu kafariki sote tunafata mkondo huo huo.. Na sisi naye tutafute pesa kama wao tukakaa sehemu nyingine ila TZ itakua home
pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,
polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.
Poleni sana familia ya Manji. Tuko pamoja, tunawapenda sana😢
Dogo ana akili sana ni isahara hata kampuni za mzee zitaenda vizuri speech nzuri
Yes yes uko sawa... Hata sauti kama ya manji kabisa
Sana Sana 🙏
R I p Yusuf manji hakika ww ulikua Bora sana mungu uipe uvumilivu na utulivu familia yake yote tuseme amen 🙏🏼🤝
Innah lillah waina ilaih raj oon. Allah awajaze subira muwe waja wa kusubiri. Nasi tuombe mwisho mwema. Ameen
Daaah, pole sanaaa ndg yetu
Pole watoto wa marehemu, Mungu awape mshikamano na mlete wajukuu watakaoendeleza
Pole sana Mahboob..
Mwanadam ni historia,kua historia njema
Pole masikini kumbe mmebaki wenyewe Mungu awtunze ,na familia ya Muheshimiwa Jakaya iendelee kuwa nanyi
Inalilah wainalilah rajiun pole sana wanafamilia
Innalillahi wainna ilayhi rajiun😢
Duuh😢😢😢
Inalilahi wa Inalilahi Rajiun poleni Sisi wote tutarejea.
Pole bro
R.i.p YUSUFU MANJI hakika ni pengo kubwa sana kwa club ya YANGA na wapenz na mashabiki wa yanga
Poleni sana familia ya mzee manji
So sad
Imauma jaman polen
Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo
Hivi kumbe nikweli manji kafa mungu amsamehe mazambi yake yote
Kwan amekufa kweli??
Hamna Amefufuka
Kafa uongo
Hajafa
manji,rostam,hao hakuna wazalendo hapo wanyonyaji2 wataka mamiladi makubwa watafuna nchi
kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee
Kwanza kajifunze kuandika vizuri kiswahili chako, kabla kuandika upuuzi wako.
@@mugheiry upuuz ni wewe kipi ambacho hujaelewa
Usiandike kutafta kiki. Mbona tundu lissu alienda kunitibia nje na sio bongo. acha chuki
tundu lissu halali atibiwe huko ila sio kuzikwa hao wahindi wanachuma2 bongo kuzikwa utasikia wamepelekwa kwao
Kuna wengi wanalala marekani na nyumbani kwao ni tanzania bro. Acha hizo bro.. Mtu kafariki sote tunafata mkondo huo huo.. Na sisi naye tutafute pesa kama wao tukakaa sehemu nyingine ila TZ itakua home