Duh!!! LISU amjibu MAGUFULI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 20

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 3 года назад

    Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪

  • @kivuyomollel5337
    @kivuyomollel5337 3 года назад +1

    good good good good good good good good good good good good good.

  • @Ben-kc1om
    @Ben-kc1om 3 года назад +1

    Watu wote Hawa wanahudhuria mikutano ya chadema kuona Kama mgombea anafananaje, aliponaje, basi. Ila uraisi chadema hampati.

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 3 года назад +3

    Watanzania fanyeni mabadiliko tuko nyuma yenu tutawalinda. Acheni kutishwa na hawa CCM hawana msaada wowote nchi hii. Wananunua Ndege hazina pa kwenda wanaacha kufufua viwanda vyenye kutoa ajira kwa vijana. Boda boda zikichakaa mtafanya kazi gani sasa ndugu zangu. Kura zenu ni za siri mchagueni mtu atakaebadili nchi. Toka Magufuli aingie madarakani afya za Watanzania wasio wa CCM mbaya sana. CCM wananenepa tu lakini Watanzania wenye kuzalisha na kulipa kodi wanakondeana tu. Wakati CCM wanataka kuongeza ndege CHADEMA fufueni viwanda na kuwajengea Watanzania huduma muhimu.

  • @vicentsanga3046
    @vicentsanga3046 3 года назад +1

    Ukweli

  • @farajibaswaten7507
    @farajibaswaten7507 3 года назад +3

    Hakuna kitu humpati mtu hapo

    • @ommyd5517
      @ommyd5517 3 года назад

      Kwani hawa waliopo hapa ni panya au

  • @googlegoogleac9475
    @googlegoogleac9475 3 года назад +1

    Pamoja

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 3 года назад +1

    E jamani

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 3 года назад +2

    Hahaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zabronkalulu9388
    @zabronkalulu9388 3 года назад +1

    Wew mwehuuu

  • @user-cs3mk3ob5k
    @user-cs3mk3ob5k 5 месяцев назад +1

    Atakuwa Rais wa kwanza kuondoka "madarakani" Mmmmm! Unabii au??

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 года назад +4

    Umetumwa na bill gates

  • @agnesezekielezekiel5433
    @agnesezekielezekiel5433 3 года назад +1

    P1

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 3 года назад

    Mmmmh

  • @festochimulimuli8229
    @festochimulimuli8229 3 года назад

    Tazama lussu Akinukisha Leo makambako Leo
    ruclips.net/video/MjbhhfFzXB0/видео.html