Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪
Watanzania fanyeni mabadiliko tuko nyuma yenu tutawalinda. Acheni kutishwa na hawa CCM hawana msaada wowote nchi hii. Wananunua Ndege hazina pa kwenda wanaacha kufufua viwanda vyenye kutoa ajira kwa vijana. Boda boda zikichakaa mtafanya kazi gani sasa ndugu zangu. Kura zenu ni za siri mchagueni mtu atakaebadili nchi. Toka Magufuli aingie madarakani afya za Watanzania wasio wa CCM mbaya sana. CCM wananenepa tu lakini Watanzania wenye kuzalisha na kulipa kodi wanakondeana tu. Wakati CCM wanataka kuongeza ndege CHADEMA fufueni viwanda na kuwajengea Watanzania huduma muhimu.
Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪
good good good good good good good good good good good good good.
Watu wote Hawa wanahudhuria mikutano ya chadema kuona Kama mgombea anafananaje, aliponaje, basi. Ila uraisi chadema hampati.
Watanzania fanyeni mabadiliko tuko nyuma yenu tutawalinda. Acheni kutishwa na hawa CCM hawana msaada wowote nchi hii. Wananunua Ndege hazina pa kwenda wanaacha kufufua viwanda vyenye kutoa ajira kwa vijana. Boda boda zikichakaa mtafanya kazi gani sasa ndugu zangu. Kura zenu ni za siri mchagueni mtu atakaebadili nchi. Toka Magufuli aingie madarakani afya za Watanzania wasio wa CCM mbaya sana. CCM wananenepa tu lakini Watanzania wenye kuzalisha na kulipa kodi wanakondeana tu. Wakati CCM wanataka kuongeza ndege CHADEMA fufueni viwanda na kuwajengea Watanzania huduma muhimu.
Ukweli
Hakuna kitu humpati mtu hapo
Kwani hawa waliopo hapa ni panya au
Pamoja
E jamani
Hahaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wew mwehuuu
Mamako
Atakuwa Rais wa kwanza kuondoka "madarakani" Mmmmm! Unabii au??
Siasa tu
Umetumwa na bill gates
Wanakudanganya bado sana hatutaki machafuko
P1
Mmmmh
Tazama lussu Akinukisha Leo makambako Leo
ruclips.net/video/MjbhhfFzXB0/видео.html