"RAIS MAGUFULI ASITUSIMANGE KWA KUNUNUA NDEGE NA KUJENGA BARABARA" - TUNDU LISSU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 562

  • @alphoncembasa1775
    @alphoncembasa1775 4 года назад +45

    Huu mchezo hauhitaji hasira . Tuvumiliane wapendwa . Ila Amani ya nchi idumu daima .

  • @tecnonkwenda8240
    @tecnonkwenda8240 4 года назад +8

    Well done

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 года назад +23

    Well said Tundu lissu.

    • @fanuelyngajilo6107
      @fanuelyngajilo6107 4 года назад

      Ur very local man japo ixhu ya uvamiaji nilikua changamoto ili uchumi jpm bg up

    • @malegesinyeura6897
      @malegesinyeura6897 4 года назад

      Aaaahh!! tailah ni tailah tu

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 4 года назад +43

    THE TRUE BOY is LISSU, NEY wa MITEGO, ROMA and All CHADEMA Members

  • @irenechuwa1524
    @irenechuwa1524 4 года назад +20

    Big up kwa TUNDU LISSU 🔥🔥🔥

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад +13

    Kichwa hiki

  • @simonimwaso9788
    @simonimwaso9788 4 года назад +10

    100%

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 4 года назад +36

    CCM Mwaka hadi watamaliza hela kulipa WASANII ili kupata Watu,

    • @frankkimboka7491
      @frankkimboka7491 4 года назад

      Wasanii wanakuja bure

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 4 года назад +2

      Ww subiri naona anatutia hasira wapiga kula kitakachotokea mtashangaa October 28 tunawajua wapinzani wanafiki hapo anatafuta huruma kwa waliyopita na kumponda jpm kwani mtu wa kwanza kumuita jk fisadi siyo lissue aliyesema mkapa kawatukana Tena kabla mkapa hajazikwa sininyi Mlikua mnasema? Unafuki hakufanyi uwe Raisi roho nzuri ndio itakufanya mungu akuchague uraisi sivyo unavyo fikilia pole sana kwakua mwana sheria usiyeelewa kitu kama unasema hayo yote yalishafanywa Sasa unataka uraisi ili ufanye Nini? Maana naona yote yameisha mbona huwaambii watu Habari ya makapi kugeuka madola mbona huwa ambii watu Habari ya fidia za babu zetu tunazodai huko uzunguni umeshikiliwa uwanja wa chato hata maandiko mtakatifu Yana Sema Anza nyumbani kwako hatukuelewi na hata mkapa alijenga naraja mtwala ww pasuka yakua ktk maraisi wote Hakuna raisi aliyewabana mbavu wazungu kama jpm Hakuna aliyewabana mbavu nyinyi mafisadi kama jpm wivu tu tulikutuma usomee kutetea wazungu na mafisadi? Siulichagua mwenyewe somo hilo?

    • @rinovarthiliwi1314
      @rinovarthiliwi1314 4 года назад +1

      CCM, POLISI, TUME YA UCHAGUZI ACHENI KUTUNYANYASA TUNATAKA KUFANYA SIASA KAMA CCM. CCM, POLISI, TUME YA UCHAGUZI TUNAOMBA WATANZANIA TUFANYE SIASA.

    • @revocatusjohn651
      @revocatusjohn651 4 года назад

      @@jenyyusuph4973 mwaka huu huyu mpuuz, demu wa wazungu tutamtoa hii nchi

    • @ibtysophy3467
      @ibtysophy3467 4 года назад +1

      Ss na nyie si mtaliza pesa kwa kuwalipa bodaboda

  • @abdallahmanyungu2825
    @abdallahmanyungu2825 4 года назад +21

    Lissu, Lissu, Lissu ✌️✌️✌️

  • @simonmali9336
    @simonmali9336 4 года назад +13

    Huyu Jamaa ni jasiri mno hongera Sana mh Lissu unaonyesha njia 🔥🔥🔥🔥

  • @simongalahenga6858
    @simongalahenga6858 4 года назад +5

    Wapinzani ugomvi mnautafutaga wenyewe leta sela zako maneno makali ya nini nawanao sikiliza kam hawajitabui tunataka kusikia ukiwa rais utafanya nini? Siyo kimsema mtu.

  • @willybayyo6806
    @willybayyo6806 4 года назад +4

    Well done lisu #niyeye 2020

  • @anthonyraphael6197
    @anthonyraphael6197 4 года назад +10

    Ukisema hivyo wana sema una watusi

  • @joshuayona7450
    @joshuayona7450 4 года назад +19

    Wee weeeeeeee Rais wangu uyooooooo na bado

    • @izraelyherman4467
      @izraelyherman4467 4 года назад

      Atakuongoza wewe

    • @joshuayona7450
      @joshuayona7450 4 года назад

      Haina shida siyo kesi kijana ila jitambue tu uko wap na unaenda wap God bless you

    • @revocatusjohn651
      @revocatusjohn651 4 года назад

      @@joshuayona7450 tatizo vyanzo vya mapato vyote anavipinga cjui ilan yake itatekelezwa bila pesa au ndo kuanza kuomba misaada kwa kila issue

    • @lucasoloserian2535
      @lucasoloserian2535 4 года назад

      Tundu lisu wewe ndie. Leo utashukua urais ya tz. 2020

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 4 года назад +2

    Hiyo ndege hukupanda😂😂😂😂😂😂 magufuli niwajuu hata mungu anamtambua lissu usipote mda Kama unahoja tulia kwako usije kualibu Aman ya Tanzania,,uwanja kujenga cyo shida acha bwebwe mjinga ww

  • @fanuelwatson2850
    @fanuelwatson2850 4 года назад +2

    Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @wangestephen9467
    @wangestephen9467 4 года назад +26

    Macho yako yanaona Kama Mimi
    Masikio yako yanasikia Kama mimi.... kichinjio ninacho Mimi kwakwel nitapiga kura mapemaaaaa

  • @wamburajohanes952
    @wamburajohanes952 4 года назад +2

    Pole sana

  • @muselematiku2100
    @muselematiku2100 4 года назад +22

    Ndege wamejinunulia wao na familiya zao

    • @majanmstapaha1960
      @majanmstapaha1960 4 года назад +1

      Kwasababu mimi sina hela ya kupanda ndege unanunua ndege kwa keshi ndege 5 za kazi gani sa! Et watalii yaan ila mungu anaona ipo siku we tukaze boot👢👢👢👢

    • @fanuelyngajilo6107
      @fanuelyngajilo6107 4 года назад

      Nenda kasome ucbwatuke hovyo uchumi huujui

  • @lajumaofficial3629
    @lajumaofficial3629 4 года назад +2

    Umeona uwanja wa ndege chato tu. Mama yake Magufuli anaingiaje ktk uwanja wa ndege wa chato. Acha dharau mheshimiwa mgombea. Sijafurahishwa na sera zako. Sikuchagui

  • @msingisamwel6438
    @msingisamwel6438 4 года назад +3

    Bro lissu usiwaweke wazazi wake mchezo huu hauitaji hasira fanya siasa za amani niulize swali mnieleweshe nyie mmefanya nini au mnaligase gani hadi sasa tangu chama kilipoanzishwa ili tuwape kura

    • @monicamsafiri2413
      @monicamsafiri2413 4 года назад

      Kakosa maneno yakusema anaona bora ajilidhishe tuu

  • @sophialaurent2876
    @sophialaurent2876 4 года назад +4

    Ntakupenda daima rais wangu Magufuli kura yangu unayo, usiogope kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 4 года назад

      Raisi ni Magufuri huyu mwehu wa nini? Anadharau watu anaongea mambo ambayo hayapo hivi ndicho alichokuja kufanya Tanzania uchaguzi ukiisha anarudi ulaya tujihadhari na mtu huyu

  • @saidjamalybatesi9144
    @saidjamalybatesi9144 4 года назад +6

    Hutopata urais wa watu labda uongoze misukule magu ataongoza mpk achoke tunamkubali

  • @allyshamkwale3511
    @allyshamkwale3511 4 года назад +5

    Peoples

  • @joearm5551
    @joearm5551 4 года назад +6

    Huwezi kuwa Rais huna sifa Hata kidogo!!

  • @jafethruben167
    @jafethruben167 4 года назад +1

    Asante Sam lais wetu mzuli nakupenda San mungu akulinde Kila uendako kote Nakuombeya uongoe paka. Mwisho wauhai wako

  • @Tanzaniawildcats
    @Tanzaniawildcats 4 года назад +1

    Safi sana

  • @swaibumachumaa8953
    @swaibumachumaa8953 4 года назад

    Sana baba

  • @masimentikanduu2330
    @masimentikanduu2330 4 года назад +2

    Lisuu unajidaganganyaa achaa

  • @simbaphonez
    @simbaphonez 4 года назад +14

    Bado tunakusubiri Tunduma Border, Chadema Ilipo Lala! Siku unaingia Tunduma Barabara hazitapitika Utashangazwa Mh Lissu.

  • @yamoidichomelo5056
    @yamoidichomelo5056 4 года назад +2

    Kumbe huy ni jinga eeeh kwahio alitaka anunue nin

    • @syliverTV5G
      @syliverTV5G 4 года назад

      Hajielewi huyo analalamika Barbara wakati analitumia KWA gari mpaka kumfikisha huko shinyanga

    • @winfridajames7824
      @winfridajames7824 4 года назад

      Huo ni wivu Tu anamaliza mate yake mdomoni agefanya kapeni za maana sio kutusi maendeleo ya mtyu yeye kafanya nn ili tukasimulie

  • @mgoamkiza9632
    @mgoamkiza9632 4 года назад +3

    Jamani nisaidieni hivi kampeni tayar zishaanza au uzamini ndo unatafutwa kwa njia hii?

  • @kizitototo8923
    @kizitototo8923 4 года назад +5

    Waziri wa barabara alikuwa JPM wakati wa mkapa na kikwete. Kwa hiyo ukisema je mkapa hakujenga au kikwete hakujenga. Ndio jpm

    • @luluamri370
      @luluamri370 4 года назад

      👏👏👏👏

    • @meryjohn7120
      @meryjohn7120 4 года назад

      Nyooo tunamwangalia raisi aliyekwepo madalakani kafanya nn

    • @luluamri370
      @luluamri370 4 года назад +1

      @@meryjohn7120 madarakani sio nadalakani

    • @selemanikwasa2780
      @selemanikwasa2780 4 года назад

      chamakikipo miakanamiakanamiaka chadema hatawangeekamawetungeyapigiakula mana ccm tumeichoka walipo nikikundikimoja lakini wananchii ote ni wapo kwenyebyamavingene ao unao waona ccm ni ukiuliza utaskia mtoto wapolepole au utaskia mtoto mgungeflani kwaiyo wapo kwahajili yakuteteugali tuu lisu longa mzee

    • @kizitototo8923
      @kizitototo8923 4 года назад

      @@meryjohn7120 mama YESU. EBU NISAIDIE NA MIMI NIJUE UBAYA JPM KWANGU AU KWAKO. maana mi nimuoga wa kufuata mkumbo, NIKAJIKUTA NAFANANA NA WALE WATU WA LIBYA waliofuata mkumbp bila kutafakari vichwani mwao. Aya eleza JPM alivokufanyia ubaya

  • @tz7976
    @tz7976 4 года назад +1

    Silipendi hili shoga

  • @salimvandee9210
    @salimvandee9210 4 года назад +1

    Hao hawakujenga kwao lakn pia hawakuifikisha tz uchumi wa kati hapo shida hakuna kikubwa tunataka maendeleo ya inchii

    • @Wil949
      @Wil949 4 года назад

      Uchumi wa Kati umekusaidia n. We??

  • @kassidpandu9806
    @kassidpandu9806 4 года назад +5

    Huenda wanakucheka ila hujui

  • @michasonjudge7348
    @michasonjudge7348 4 года назад +5

    Ahsante sana rais wangu #Ni Yeye 2020

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 4 года назад +4

    Jamaa amemkosesha usingizi Magu!

  • @jaymandy1914
    @jaymandy1914 4 года назад +2

    Hahaha Lissu mbabe kweri kweri

  • @vicentdeogratias1110
    @vicentdeogratias1110 4 года назад +1

    Sas wew unaomba kura au unamchamba raisi wetu we vp

  • @anoliasmundali297
    @anoliasmundali297 4 года назад +1

    Njoo
    Kyera

  • @robathzingu1650
    @robathzingu1650 4 года назад +26

    Haa haa
    Tundu Lissu, punguza mzee. Utawakurupua watu mafichoni huko na bunduki zao za SMG na AK47 badala ya kujibu hoja.

    • @sikisikisiki9112
      @sikisikisiki9112 4 года назад +2

      Wewe tuambie utatufanyia nini sio unalopoka unaonekana hamunazo

    • @amosmoses7800
      @amosmoses7800 4 года назад +5

      Huyu jamaa ameshajitolewa MUHANGA. ..
      ivi anaongea akijuwa ni MAITI ya muda mlefu.
      Kutokana na kubaki kuwa HAI anavuta punzi basi utambue Mungu ndie Aliemtaka na kumchagua awe Raisi wetu.
      Ukishanusurika na KIFO. ..uoga unaondoka

    • @karistosimwaka9756
      @karistosimwaka9756 4 года назад +1

      Hhhhhhh wejamaaa

    • @raphaelsamwel2640
      @raphaelsamwel2640 4 года назад +1

      Wabeba bunduki nao washachoka!!!
      Hawana pesa ! No ongezeko la mshahara!!!😂 Wanahasira hao!!!
      Jeshini kaweka ndg.yake Mabeyo! Wanahasira!

    • @revocatusjohn651
      @revocatusjohn651 4 года назад

      @@sikisikisiki9112 Hana sera na kiufupi hatapata chance

  • @happymahenge4450
    @happymahenge4450 4 года назад +1

    ✌✌✌❤❤❤

  • @fadhiliabasi575
    @fadhiliabasi575 3 года назад +1

    Kura yangu kwa magufuli CCM ndo chama kubwa

  • @shebynizedaudi336
    @shebynizedaudi336 4 года назад +4

    Nakukubali sana Mzee wetu

  • @selemanikwasa2780
    @selemanikwasa2780 4 года назад +19

    watuwanaogopa kuongea kwajili yakutetea ugali lisuongea bwana wewe ndouna tuwakisha sisi

  • @heavensent2526
    @heavensent2526 4 года назад +1

    Ni mawazo yng tu ivi Magu asingetaka uchaguzi kutokufanyika mwaka huu angeamua tu kutumia corona kama kigezo cha uchaguzi kutokuwepo mfano tosha uganda , kwa imani yke kwa Mungu nampa pongez
    Mengineo Mungu atupe mtu anayemuona anafaa kwa taifa ili maana ni Mungu ndo awezaye kuona vya sirini.

  • @Kiramostoretz.shop.
    @Kiramostoretz.shop. 4 года назад +5

    Werevu wanajua kura wanampa nani, wewe umekuja kuvuruga amani ya nchi! Watu Wanataka maendeleo ya kweli sio porojo porojo! Mwaga sera zako tuone unamatarajio gani na taifa hili, isijekuwa unataka kuuza nchi. All in all mwaka huu huwezi pata uraisi Tanzania hata kwa dawa.

    • @denisimaliyaweni9183
      @denisimaliyaweni9183 4 года назад

      Ww cyo mwelevu tuache sis tunaoteseka tuendeleee kumsaport lissu

    • @Kiramostoretz.shop.
      @Kiramostoretz.shop. 4 года назад +1

      @@denisimaliyaweni9183 unajitesa mwenyewe mzee, usimsingizie mtu mwingine. Nchi hii ni ya amani tena inabidi tumshukuru sana mwenyezimungu!

    • @Kiramostoretz.shop.
      @Kiramostoretz.shop. 4 года назад +1

      @@denisimaliyaweni9183 hizo nchi unazosikia uko milipuko kila siku zilianza na watu kama lissu. Ila kwa ushauri tu, mwaka huu hapati kura zitakazomtosha kuwa raisi.

    • @jamesmelkiadesmpinika6337
      @jamesmelkiadesmpinika6337 4 года назад

      Tambua kipindi cha kutoa Sera na kampeni bado....!!! Ko hawez kumwaga mchele kabla ya tukio lenyewe...!!! We subir bad anatafta wadhamin na sio Sera hizo tu, ataleta Sera kamil

    • @Kiramostoretz.shop.
      @Kiramostoretz.shop. 4 года назад +1

      @@jamesmelkiadesmpinika6337 Sasa kutafuta wadhamini na kumsema raisi wapi na wapi!

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 4 года назад +1

    Kampeni za majungu risu umbea umeusomea ata Shera urifoji cheti

  • @anthonymwidongo9818
    @anthonymwidongo9818 4 года назад +4

    Mungu akulinde

  • @athumankigomba427
    @athumankigomba427 4 года назад +3

    Wewe lissu.shoga tu

  • @sefaniakalinga3456
    @sefaniakalinga3456 4 года назад +3

    ✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤

  • @kedronhaisule6708
    @kedronhaisule6708 4 года назад +1

    In true hapo hakuna Sera kusema ya magufuli sio Sera je we umefanya mangapi kila Siku kwenye siasa ni hotuba za watu, macho ya watu yanaona kungali mchana

  • @openesisraelnatai2013
    @openesisraelnatai2013 4 года назад +2

    Mmmmm

  • @juliethgervas3194
    @juliethgervas3194 4 года назад +1

    Tangu mmeanza kampeni hatujasikia sera zaidi ya kumtaja Magufuli kila cku...hapo ndo mnafeli....toeni seraaa acheni mikelele ya kujaza watz ujinga

  • @zahiruhamisi4182
    @zahiruhamisi4182 4 года назад

    Nakupenda bure Tundu Lissu,ebu njoo muoe dada yangu✌✌✌♥️♥️♥️

  • @husseinibrahim8965
    @husseinibrahim8965 4 года назад +2

    Huna Sera kuma wwee

  • @mragahpallangyo6261
    @mragahpallangyo6261 4 года назад +2

    VIVAAAAAAAAA LISU

  • @fadhiliswaleh9940
    @fadhiliswaleh9940 4 года назад

    People's power

  • @christophermhanga2319
    @christophermhanga2319 4 года назад +2

    Sisi magufuri tuuuuuu

  • @frankgibore9813
    @frankgibore9813 4 года назад +1

    Tuokoe lisu tunakukubali

  • @ramadhanshaban4596
    @ramadhanshaban4596 4 года назад

    tunakukubali rais wetu 2020

  • @agustinocharles7310
    @agustinocharles7310 3 года назад

    Tundu lisu acha uongo muogope mungu

  • @dianabutit8862
    @dianabutit8862 4 года назад +3

    We ni mwehu

  • @josephatsebastian6910
    @josephatsebastian6910 4 года назад +1

    Tundu Ni mkosoaji mzuri tu lakin kumbuka watz tunataka maendeleo tu aijalishi tutakutana na mangapi ila tunataka kuwa na maendeleo tu ila Sera za maendeleo huna lisu.

    • @salimvandee9210
      @salimvandee9210 4 года назад

      Na pia hyo tundu bovu afaham kuwa mkamilifu mungu pekeyake magu Kama nitapeli mwizi lakn kaifkisha tz uchumi wa kati ahache uxenge

  • @greenzabron5107
    @greenzabron5107 4 года назад +6

    Safi

  • @tumainimapesa6870
    @tumainimapesa6870 4 года назад +1

    Nawasihi watanzania ambao sio wanachama chama chochote tutumie busara kuchagua wagombea sahihi siasa ni maisha

  • @meshacksamsonmexher3377
    @meshacksamsonmexher3377 4 года назад +8

    Ujasiri wa huyu jamaa hata mm siwezi kuthubutu,huyu jamaa ni jasiri kama Simba maana anaongea hata hapepesi macho yaan yuko direct moja kwa moja,halafu sasa anaongea ukweli mtupu,Sasa sijui wana Ccm wanamchukuliaje maana walisema upinzani umekufa kabisa wamebaki wao tu ila ukitazama ndio kwanza kama umezaliwa leo tu asubuhi..!!!

  • @fabiolapanga8680
    @fabiolapanga8680 4 года назад +3

    Sasa we hata ukipita nani akutangaze?

  • @mescombilinyi9558
    @mescombilinyi9558 4 года назад

    Nakupenda baba

  • @sebastianmwita103
    @sebastianmwita103 4 года назад +1

    Hauna hoja usitafute huruma ya wananchi

  • @reginaldfaustine8689
    @reginaldfaustine8689 4 года назад +2

    Pamoja mzaz

  • @kabalozeking3879
    @kabalozeking3879 4 года назад +10

    Mama wa Magufuli apa anahusikaje?

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 4 года назад +2

      Anayo yasema yatamhukumu anaongea anapitiliza akumbuke yeye ni binadamu anawakera watu uvumilivu utawashinda

    • @petermwacha9909
      @petermwacha9909 4 года назад +1

      Namshangaa sana huyu mpumbavu mkubwa kilema hadi wa akili

    • @revocatusjohn651
      @revocatusjohn651 4 года назад

      @@estermpagama9664 atapata joto tunasubir mda

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 4 года назад

      ungepigwa risasi ungeujua uchungu anaoupata huyu jamaa, acha aseme ukweli

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 4 года назад +2

    Utawafanyia mini unaowadanganya hapo

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 4 года назад +5

    MAGUFULI ATABAKI KUWA RAIS WAKO TU,, WE KIBARAKA, NA MTUMWA WA WAZUNGU UTABAKI KUWA MPIGA KELELE TU....

  • @bujikulugiko1399
    @bujikulugiko1399 4 года назад

    Mungu akufanyie wepesi ushinde

  • @kongoeelias3505
    @kongoeelias3505 4 года назад +5

    wew ni mpuuzi tu utashusha mpka kuzimu wee

    • @tumainmerchades256
      @tumainmerchades256 4 года назад +1

      Kumbe wee msenge sana hauna hoja

    • @gola382
      @gola382 4 года назад +1

      Wewe CCM Tulia Dawa ikuingie

  • @lawyerrajabu4381
    @lawyerrajabu4381 4 года назад

    Hapo sawa jembeeee nakukubali san

  • @rizikikimaro9232
    @rizikikimaro9232 4 года назад

    Lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu by

  • @majanmstapaha1960
    @majanmstapaha1960 4 года назад +1

    Tokomeza mzee. Waisome namba mungu yu pamoja nasi

    • @izraelyherman4467
      @izraelyherman4467 4 года назад

      Mungu yupi atakuwa lisu wakati alisema yeye hamwogopi Mungu?

  • @timothhamisi5946
    @timothhamisi5946 4 года назад

    ohoooo

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 года назад +3

    Mimi simwainiga huyu mkulu !! Nahisi na ni fisadi kwelikweli!!!

  • @chibagoloth9288
    @chibagoloth9288 4 года назад

    Kahama Kuna uwanja wa ndege bhana

  • @MwalimuRichardMwangi.7202
    @MwalimuRichardMwangi.7202 4 года назад +2

    Kelele tupu

  • @faustinepeter3139
    @faustinepeter3139 4 года назад +4

    Ila anasema ukweli ajatukana mtu iyo ndio siasa kma amjui

  • @algenomodesthmsamba3046
    @algenomodesthmsamba3046 4 года назад +3

    Jimbo lake limemushinda utaiweza Tanzania nzima rissu?!acha uchonganishi kati ya raisi na wanainchi wake amefanya kazi Nzuri sana

  • @frankedwardingingo3397
    @frankedwardingingo3397 4 года назад +3

    yule mwenye mv kichwani alituzingua!! sasa wewe ndo mgombea urais wa kweli!!

  • @fanuelyngajilo6107
    @fanuelyngajilo6107 4 года назад +1

    Tundulisu kama hujasoma hivi, MTU ujuae uchumi huwez mpinga jpm bila hoja yamsingi

    • @abdalahhamadi3499
      @abdalahhamadi3499 4 года назад

      Miundo mbinu Ndio uchumi hata yeye anasafiria kwa Barabara 😀 watanzania Kwa kweli ni zero sana sisi kwa hali hii tutarudi sana kule kule kuibiwa na rushwa itaanza 😀😀😀😀 ngojea waje kubeba elfu Moja kwenye mkokoteni Kama somalia Na Zimbabwe 😀😀😀😀

    • @fanuelyngajilo6107
      @fanuelyngajilo6107 4 года назад

      Elim bdo sana ka watz

  • @yusuphsimon575
    @yusuphsimon575 4 года назад +3

    hayo matusi mzee si unadai kuw umesoma sheriaa rfk anguuu ivi ww hizo sheriaa unazisomaga wap za kupigzana makelele ivo

  • @kulwambegaz8521
    @kulwambegaz8521 4 года назад

    Lisu kumaa hunahoja yoyote ike

  • @rabunacharles3637
    @rabunacharles3637 4 года назад +3

    Aishe CCM wakilala wanalaliwa saa nne asubuhi October 28 kazi ipo na Mwaka huu watakufa na pressure

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel4388 4 года назад

    Rais wetu amefanya mengi sana wala hajivuni na hajigambi sasa wewe ulifanya nini na utaifanyia mini nchi yetu na watanzania wategemee nini kutoka kwako?Sera zako na nia yako ni nini?Naomba majibu.

  • @goodluckyabsalom516
    @goodluckyabsalom516 4 года назад +4

    Umesahau napee

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 4 года назад +2

      Nape hata angeuwawa siku ile anatishiwa bunduki ingewa poa tu maana ni mpuuz sana msaka tonge

  • @fatumahamis166
    @fatumahamis166 3 года назад

    Nasema piga kura Linda kura usipoweza kulinda haki yako ata kwa mungu huna haki

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 4 года назад +5

    Hapa nilikaa na majitu ya CCM lkn kwa hatua ya leo yote yamekubali kukupigia kura...💪💪💪✌✌✌🙌

    • @ibtysophy3467
      @ibtysophy3467 4 года назад

      Mikoa yenu inahesabika tena kibaya zaidi mwaka huu arusha na kilimanjaro ladha imepungua kwa hyo kupata watu iringa na mbeya wala hatushangai tuna mikoa zaidi ya 20 inatusubir magu ndo habar tz

    • @mwitagabriel7854
      @mwitagabriel7854 4 года назад

      Vibaraka endeleeni kubweka matako nyie

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.389 4 года назад +3

    Huyu kichaa anajuwa anaenguliwa ndio maana anatukana mama wamwenzie mpuuzi huyu nadomo lake pana kama kuma lang'ombe mwenye mimba uyu msenge shoga huyu.

  • @goutamagapapa6057
    @goutamagapapa6057 4 года назад

    Magufuli mzalendo wa kweli. Lissu kifaa cha wazungu wanaotafuta kuipora Tanzania.

  • @rosezumba9912
    @rosezumba9912 4 года назад

    Karibuni Kenya jamani

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 4 года назад +1

    Sio jasiri dishi rake rimehamia miguuni

  • @frankjohn334
    @frankjohn334 4 года назад

    Daa kweli mambo hayo nimapyaa