Ww subiri naona anatutia hasira wapiga kula kitakachotokea mtashangaa October 28 tunawajua wapinzani wanafiki hapo anatafuta huruma kwa waliyopita na kumponda jpm kwani mtu wa kwanza kumuita jk fisadi siyo lissue aliyesema mkapa kawatukana Tena kabla mkapa hajazikwa sininyi Mlikua mnasema? Unafuki hakufanyi uwe Raisi roho nzuri ndio itakufanya mungu akuchague uraisi sivyo unavyo fikilia pole sana kwakua mwana sheria usiyeelewa kitu kama unasema hayo yote yalishafanywa Sasa unataka uraisi ili ufanye Nini? Maana naona yote yameisha mbona huwaambii watu Habari ya makapi kugeuka madola mbona huwa ambii watu Habari ya fidia za babu zetu tunazodai huko uzunguni umeshikiliwa uwanja wa chato hata maandiko mtakatifu Yana Sema Anza nyumbani kwako hatukuelewi na hata mkapa alijenga naraja mtwala ww pasuka yakua ktk maraisi wote Hakuna raisi aliyewabana mbavu wazungu kama jpm Hakuna aliyewabana mbavu nyinyi mafisadi kama jpm wivu tu tulikutuma usomee kutetea wazungu na mafisadi? Siulichagua mwenyewe somo hilo?
Wapinzani ugomvi mnautafutaga wenyewe leta sela zako maneno makali ya nini nawanao sikiliza kam hawajitabui tunataka kusikia ukiwa rais utafanya nini? Siyo kimsema mtu.
Hiyo ndege hukupanda😂😂😂😂😂😂 magufuli niwajuu hata mungu anamtambua lissu usipote mda Kama unahoja tulia kwako usije kualibu Aman ya Tanzania,,uwanja kujenga cyo shida acha bwebwe mjinga ww
Kwasababu mimi sina hela ya kupanda ndege unanunua ndege kwa keshi ndege 5 za kazi gani sa! Et watalii yaan ila mungu anaona ipo siku we tukaze boot👢👢👢👢
Umeona uwanja wa ndege chato tu. Mama yake Magufuli anaingiaje ktk uwanja wa ndege wa chato. Acha dharau mheshimiwa mgombea. Sijafurahishwa na sera zako. Sikuchagui
Bro lissu usiwaweke wazazi wake mchezo huu hauitaji hasira fanya siasa za amani niulize swali mnieleweshe nyie mmefanya nini au mnaligase gani hadi sasa tangu chama kilipoanzishwa ili tuwape kura
Raisi ni Magufuri huyu mwehu wa nini? Anadharau watu anaongea mambo ambayo hayapo hivi ndicho alichokuja kufanya Tanzania uchaguzi ukiisha anarudi ulaya tujihadhari na mtu huyu
chamakikipo miakanamiakanamiaka chadema hatawangeekamawetungeyapigiakula mana ccm tumeichoka walipo nikikundikimoja lakini wananchii ote ni wapo kwenyebyamavingene ao unao waona ccm ni ukiuliza utaskia mtoto wapolepole au utaskia mtoto mgungeflani kwaiyo wapo kwahajili yakuteteugali tuu lisu longa mzee
@@meryjohn7120 mama YESU. EBU NISAIDIE NA MIMI NIJUE UBAYA JPM KWANGU AU KWAKO. maana mi nimuoga wa kufuata mkumbo, NIKAJIKUTA NAFANANA NA WALE WATU WA LIBYA waliofuata mkumbp bila kutafakari vichwani mwao. Aya eleza JPM alivokufanyia ubaya
Huyu jamaa ameshajitolewa MUHANGA. .. ivi anaongea akijuwa ni MAITI ya muda mlefu. Kutokana na kubaki kuwa HAI anavuta punzi basi utambue Mungu ndie Aliemtaka na kumchagua awe Raisi wetu. Ukishanusurika na KIFO. ..uoga unaondoka
Ni mawazo yng tu ivi Magu asingetaka uchaguzi kutokufanyika mwaka huu angeamua tu kutumia corona kama kigezo cha uchaguzi kutokuwepo mfano tosha uganda , kwa imani yke kwa Mungu nampa pongez Mengineo Mungu atupe mtu anayemuona anafaa kwa taifa ili maana ni Mungu ndo awezaye kuona vya sirini.
Werevu wanajua kura wanampa nani, wewe umekuja kuvuruga amani ya nchi! Watu Wanataka maendeleo ya kweli sio porojo porojo! Mwaga sera zako tuone unamatarajio gani na taifa hili, isijekuwa unataka kuuza nchi. All in all mwaka huu huwezi pata uraisi Tanzania hata kwa dawa.
@@denisimaliyaweni9183 hizo nchi unazosikia uko milipuko kila siku zilianza na watu kama lissu. Ila kwa ushauri tu, mwaka huu hapati kura zitakazomtosha kuwa raisi.
Tambua kipindi cha kutoa Sera na kampeni bado....!!! Ko hawez kumwaga mchele kabla ya tukio lenyewe...!!! We subir bad anatafta wadhamin na sio Sera hizo tu, ataleta Sera kamil
In true hapo hakuna Sera kusema ya magufuli sio Sera je we umefanya mangapi kila Siku kwenye siasa ni hotuba za watu, macho ya watu yanaona kungali mchana
Tundu Ni mkosoaji mzuri tu lakin kumbuka watz tunataka maendeleo tu aijalishi tutakutana na mangapi ila tunataka kuwa na maendeleo tu ila Sera za maendeleo huna lisu.
Ujasiri wa huyu jamaa hata mm siwezi kuthubutu,huyu jamaa ni jasiri kama Simba maana anaongea hata hapepesi macho yaan yuko direct moja kwa moja,halafu sasa anaongea ukweli mtupu,Sasa sijui wana Ccm wanamchukuliaje maana walisema upinzani umekufa kabisa wamebaki wao tu ila ukitazama ndio kwanza kama umezaliwa leo tu asubuhi..!!!
Miundo mbinu Ndio uchumi hata yeye anasafiria kwa Barabara 😀 watanzania Kwa kweli ni zero sana sisi kwa hali hii tutarudi sana kule kule kuibiwa na rushwa itaanza 😀😀😀😀 ngojea waje kubeba elfu Moja kwenye mkokoteni Kama somalia Na Zimbabwe 😀😀😀😀
Rais wetu amefanya mengi sana wala hajivuni na hajigambi sasa wewe ulifanya nini na utaifanyia mini nchi yetu na watanzania wategemee nini kutoka kwako?Sera zako na nia yako ni nini?Naomba majibu.
Mikoa yenu inahesabika tena kibaya zaidi mwaka huu arusha na kilimanjaro ladha imepungua kwa hyo kupata watu iringa na mbeya wala hatushangai tuna mikoa zaidi ya 20 inatusubir magu ndo habar tz
Huyu kichaa anajuwa anaenguliwa ndio maana anatukana mama wamwenzie mpuuzi huyu nadomo lake pana kama kuma lang'ombe mwenye mimba uyu msenge shoga huyu.
Huu mchezo hauhitaji hasira . Tuvumiliane wapendwa . Ila Amani ya nchi idumu daima .
Well done
Well said Tundu lissu.
Ur very local man japo ixhu ya uvamiaji nilikua changamoto ili uchumi jpm bg up
Aaaahh!! tailah ni tailah tu
THE TRUE BOY is LISSU, NEY wa MITEGO, ROMA and All CHADEMA Members
Big up kwa TUNDU LISSU 🔥🔥🔥
Wap
Kichwa hiki
100%
CCM Mwaka hadi watamaliza hela kulipa WASANII ili kupata Watu,
Wasanii wanakuja bure
Ww subiri naona anatutia hasira wapiga kula kitakachotokea mtashangaa October 28 tunawajua wapinzani wanafiki hapo anatafuta huruma kwa waliyopita na kumponda jpm kwani mtu wa kwanza kumuita jk fisadi siyo lissue aliyesema mkapa kawatukana Tena kabla mkapa hajazikwa sininyi Mlikua mnasema? Unafuki hakufanyi uwe Raisi roho nzuri ndio itakufanya mungu akuchague uraisi sivyo unavyo fikilia pole sana kwakua mwana sheria usiyeelewa kitu kama unasema hayo yote yalishafanywa Sasa unataka uraisi ili ufanye Nini? Maana naona yote yameisha mbona huwaambii watu Habari ya makapi kugeuka madola mbona huwa ambii watu Habari ya fidia za babu zetu tunazodai huko uzunguni umeshikiliwa uwanja wa chato hata maandiko mtakatifu Yana Sema Anza nyumbani kwako hatukuelewi na hata mkapa alijenga naraja mtwala ww pasuka yakua ktk maraisi wote Hakuna raisi aliyewabana mbavu wazungu kama jpm Hakuna aliyewabana mbavu nyinyi mafisadi kama jpm wivu tu tulikutuma usomee kutetea wazungu na mafisadi? Siulichagua mwenyewe somo hilo?
CCM, POLISI, TUME YA UCHAGUZI ACHENI KUTUNYANYASA TUNATAKA KUFANYA SIASA KAMA CCM. CCM, POLISI, TUME YA UCHAGUZI TUNAOMBA WATANZANIA TUFANYE SIASA.
@@jenyyusuph4973 mwaka huu huyu mpuuz, demu wa wazungu tutamtoa hii nchi
Ss na nyie si mtaliza pesa kwa kuwalipa bodaboda
Lissu, Lissu, Lissu ✌️✌️✌️
Huyu Jamaa ni jasiri mno hongera Sana mh Lissu unaonyesha njia 🔥🔥🔥🔥
Wapinzani ugomvi mnautafutaga wenyewe leta sela zako maneno makali ya nini nawanao sikiliza kam hawajitabui tunataka kusikia ukiwa rais utafanya nini? Siyo kimsema mtu.
Well done lisu #niyeye 2020
Pole
Ukisema hivyo wana sema una watusi
Wee weeeeeeee Rais wangu uyooooooo na bado
Atakuongoza wewe
Haina shida siyo kesi kijana ila jitambue tu uko wap na unaenda wap God bless you
@@joshuayona7450 tatizo vyanzo vya mapato vyote anavipinga cjui ilan yake itatekelezwa bila pesa au ndo kuanza kuomba misaada kwa kila issue
Tundu lisu wewe ndie. Leo utashukua urais ya tz. 2020
Hiyo ndege hukupanda😂😂😂😂😂😂 magufuli niwajuu hata mungu anamtambua lissu usipote mda Kama unahoja tulia kwako usije kualibu Aman ya Tanzania,,uwanja kujenga cyo shida acha bwebwe mjinga ww
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Macho yako yanaona Kama Mimi
Masikio yako yanasikia Kama mimi.... kichinjio ninacho Mimi kwakwel nitapiga kura mapemaaaaa
Pole sana
Ndege wamejinunulia wao na familiya zao
Kwasababu mimi sina hela ya kupanda ndege unanunua ndege kwa keshi ndege 5 za kazi gani sa! Et watalii yaan ila mungu anaona ipo siku we tukaze boot👢👢👢👢
Nenda kasome ucbwatuke hovyo uchumi huujui
Umeona uwanja wa ndege chato tu. Mama yake Magufuli anaingiaje ktk uwanja wa ndege wa chato. Acha dharau mheshimiwa mgombea. Sijafurahishwa na sera zako. Sikuchagui
Bro lissu usiwaweke wazazi wake mchezo huu hauitaji hasira fanya siasa za amani niulize swali mnieleweshe nyie mmefanya nini au mnaligase gani hadi sasa tangu chama kilipoanzishwa ili tuwape kura
Kakosa maneno yakusema anaona bora ajilidhishe tuu
Ntakupenda daima rais wangu Magufuli kura yangu unayo, usiogope kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji
Raisi ni Magufuri huyu mwehu wa nini? Anadharau watu anaongea mambo ambayo hayapo hivi ndicho alichokuja kufanya Tanzania uchaguzi ukiisha anarudi ulaya tujihadhari na mtu huyu
Hutopata urais wa watu labda uongoze misukule magu ataongoza mpk achoke tunamkubali
😝
Peoples
Huwezi kuwa Rais huna sifa Hata kidogo!!
Asante Sam lais wetu mzuli nakupenda San mungu akulinde Kila uendako kote Nakuombeya uongoe paka. Mwisho wauhai wako
Safi sana
Sana baba
Lisuu unajidaganganyaa achaa
Bado tunakusubiri Tunduma Border, Chadema Ilipo Lala! Siku unaingia Tunduma Barabara hazitapitika Utashangazwa Mh Lissu.
Hatahivo the same kipofu asiyeijua njia,✍️👍✌️🤟🙌
@@newjesusnewjesus254 Sawa
Slizojenga lissu
Kumbe huy ni jinga eeeh kwahio alitaka anunue nin
Hajielewi huyo analalamika Barbara wakati analitumia KWA gari mpaka kumfikisha huko shinyanga
Huo ni wivu Tu anamaliza mate yake mdomoni agefanya kapeni za maana sio kutusi maendeleo ya mtyu yeye kafanya nn ili tukasimulie
Jamani nisaidieni hivi kampeni tayar zishaanza au uzamini ndo unatafutwa kwa njia hii?
Waziri wa barabara alikuwa JPM wakati wa mkapa na kikwete. Kwa hiyo ukisema je mkapa hakujenga au kikwete hakujenga. Ndio jpm
👏👏👏👏
Nyooo tunamwangalia raisi aliyekwepo madalakani kafanya nn
@@meryjohn7120 madarakani sio nadalakani
chamakikipo miakanamiakanamiaka chadema hatawangeekamawetungeyapigiakula mana ccm tumeichoka walipo nikikundikimoja lakini wananchii ote ni wapo kwenyebyamavingene ao unao waona ccm ni ukiuliza utaskia mtoto wapolepole au utaskia mtoto mgungeflani kwaiyo wapo kwahajili yakuteteugali tuu lisu longa mzee
@@meryjohn7120 mama YESU. EBU NISAIDIE NA MIMI NIJUE UBAYA JPM KWANGU AU KWAKO. maana mi nimuoga wa kufuata mkumbo, NIKAJIKUTA NAFANANA NA WALE WATU WA LIBYA waliofuata mkumbp bila kutafakari vichwani mwao. Aya eleza JPM alivokufanyia ubaya
Silipendi hili shoga
Hao hawakujenga kwao lakn pia hawakuifikisha tz uchumi wa kati hapo shida hakuna kikubwa tunataka maendeleo ya inchii
Uchumi wa Kati umekusaidia n. We??
Huenda wanakucheka ila hujui
Ahsante sana rais wangu #Ni Yeye 2020
Matako tu
@@yassiniferuzi2867 u square
Jamaa amemkosesha usingizi Magu!
Hahaha Lissu mbabe kweri kweri
Sas wew unaomba kura au unamchamba raisi wetu we vp
Njoo
Kyera
Haa haa
Tundu Lissu, punguza mzee. Utawakurupua watu mafichoni huko na bunduki zao za SMG na AK47 badala ya kujibu hoja.
Wewe tuambie utatufanyia nini sio unalopoka unaonekana hamunazo
Huyu jamaa ameshajitolewa MUHANGA. ..
ivi anaongea akijuwa ni MAITI ya muda mlefu.
Kutokana na kubaki kuwa HAI anavuta punzi basi utambue Mungu ndie Aliemtaka na kumchagua awe Raisi wetu.
Ukishanusurika na KIFO. ..uoga unaondoka
Hhhhhhh wejamaaa
Wabeba bunduki nao washachoka!!!
Hawana pesa ! No ongezeko la mshahara!!!😂 Wanahasira hao!!!
Jeshini kaweka ndg.yake Mabeyo! Wanahasira!
@@sikisikisiki9112 Hana sera na kiufupi hatapata chance
✌✌✌❤❤❤
Kura yangu kwa magufuli CCM ndo chama kubwa
Nakukubali sana Mzee wetu
watuwanaogopa kuongea kwajili yakutetea ugali lisuongea bwana wewe ndouna tuwakisha sisi
Mavitu
Ni mawazo yng tu ivi Magu asingetaka uchaguzi kutokufanyika mwaka huu angeamua tu kutumia corona kama kigezo cha uchaguzi kutokuwepo mfano tosha uganda , kwa imani yke kwa Mungu nampa pongez
Mengineo Mungu atupe mtu anayemuona anafaa kwa taifa ili maana ni Mungu ndo awezaye kuona vya sirini.
Werevu wanajua kura wanampa nani, wewe umekuja kuvuruga amani ya nchi! Watu Wanataka maendeleo ya kweli sio porojo porojo! Mwaga sera zako tuone unamatarajio gani na taifa hili, isijekuwa unataka kuuza nchi. All in all mwaka huu huwezi pata uraisi Tanzania hata kwa dawa.
Ww cyo mwelevu tuache sis tunaoteseka tuendeleee kumsaport lissu
@@denisimaliyaweni9183 unajitesa mwenyewe mzee, usimsingizie mtu mwingine. Nchi hii ni ya amani tena inabidi tumshukuru sana mwenyezimungu!
@@denisimaliyaweni9183 hizo nchi unazosikia uko milipuko kila siku zilianza na watu kama lissu. Ila kwa ushauri tu, mwaka huu hapati kura zitakazomtosha kuwa raisi.
Tambua kipindi cha kutoa Sera na kampeni bado....!!! Ko hawez kumwaga mchele kabla ya tukio lenyewe...!!! We subir bad anatafta wadhamin na sio Sera hizo tu, ataleta Sera kamil
@@jamesmelkiadesmpinika6337 Sasa kutafuta wadhamini na kumsema raisi wapi na wapi!
Kampeni za majungu risu umbea umeusomea ata Shera urifoji cheti
Mungu akulinde
Wewe lissu.shoga tu
✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤
In true hapo hakuna Sera kusema ya magufuli sio Sera je we umefanya mangapi kila Siku kwenye siasa ni hotuba za watu, macho ya watu yanaona kungali mchana
Mmmmm
Tangu mmeanza kampeni hatujasikia sera zaidi ya kumtaja Magufuli kila cku...hapo ndo mnafeli....toeni seraaa acheni mikelele ya kujaza watz ujinga
Point hiyo
Nakupenda bure Tundu Lissu,ebu njoo muoe dada yangu✌✌✌♥️♥️♥️
Huna Sera kuma wwee
VIVAAAAAAAAA LISU
People's power
Sisi magufuri tuuuuuu
Tuokoe lisu tunakukubali
tunakukubali rais wetu 2020
Tundu lisu acha uongo muogope mungu
We ni mwehu
Tundu Ni mkosoaji mzuri tu lakin kumbuka watz tunataka maendeleo tu aijalishi tutakutana na mangapi ila tunataka kuwa na maendeleo tu ila Sera za maendeleo huna lisu.
Na pia hyo tundu bovu afaham kuwa mkamilifu mungu pekeyake magu Kama nitapeli mwizi lakn kaifkisha tz uchumi wa kati ahache uxenge
Safi
Matako tu
Nawasihi watanzania ambao sio wanachama chama chochote tutumie busara kuchagua wagombea sahihi siasa ni maisha
Ujasiri wa huyu jamaa hata mm siwezi kuthubutu,huyu jamaa ni jasiri kama Simba maana anaongea hata hapepesi macho yaan yuko direct moja kwa moja,halafu sasa anaongea ukweli mtupu,Sasa sijui wana Ccm wanamchukuliaje maana walisema upinzani umekufa kabisa wamebaki wao tu ila ukitazama ndio kwanza kama umezaliwa leo tu asubuhi..!!!
Umefanana naye kifikra
Ujasiri ni boyoyooo tuu lakni urais hawezii
Ujasiri ni boyoyooo tuu lakni urais hawezii
Sasa we hata ukipita nani akutangaze?
Nakupenda baba
Hauna hoja usitafute huruma ya wananchi
Pamoja mzaz
Wewe panya mbona unafanya ng'ombe hiyo
Mama wa Magufuli apa anahusikaje?
Anayo yasema yatamhukumu anaongea anapitiliza akumbuke yeye ni binadamu anawakera watu uvumilivu utawashinda
Namshangaa sana huyu mpumbavu mkubwa kilema hadi wa akili
@@estermpagama9664 atapata joto tunasubir mda
ungepigwa risasi ungeujua uchungu anaoupata huyu jamaa, acha aseme ukweli
Utawafanyia mini unaowadanganya hapo
MAGUFULI ATABAKI KUWA RAIS WAKO TU,, WE KIBARAKA, NA MTUMWA WA WAZUNGU UTABAKI KUWA MPIGA KELELE TU....
Jamaniiii, kiburi cha uzima tu
Acha.uchoko
Mungu akufanyie wepesi ushinde
wew ni mpuuzi tu utashusha mpka kuzimu wee
Kumbe wee msenge sana hauna hoja
Wewe CCM Tulia Dawa ikuingie
Hapo sawa jembeeee nakukubali san
Lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu lisu by
Tokomeza mzee. Waisome namba mungu yu pamoja nasi
Mungu yupi atakuwa lisu wakati alisema yeye hamwogopi Mungu?
ohoooo
Mimi simwainiga huyu mkulu !! Nahisi na ni fisadi kwelikweli!!!
Kahama Kuna uwanja wa ndege bhana
Kelele tupu
Ila anasema ukweli ajatukana mtu iyo ndio siasa kma amjui
Jimbo lake limemushinda utaiweza Tanzania nzima rissu?!acha uchonganishi kati ya raisi na wanainchi wake amefanya kazi Nzuri sana
yule mwenye mv kichwani alituzingua!! sasa wewe ndo mgombea urais wa kweli!!
Tundulisu kama hujasoma hivi, MTU ujuae uchumi huwez mpinga jpm bila hoja yamsingi
Miundo mbinu Ndio uchumi hata yeye anasafiria kwa Barabara 😀 watanzania Kwa kweli ni zero sana sisi kwa hali hii tutarudi sana kule kule kuibiwa na rushwa itaanza 😀😀😀😀 ngojea waje kubeba elfu Moja kwenye mkokoteni Kama somalia Na Zimbabwe 😀😀😀😀
Elim bdo sana ka watz
hayo matusi mzee si unadai kuw umesoma sheriaa rfk anguuu ivi ww hizo sheriaa unazisomaga wap za kupigzana makelele ivo
Huyo ni zezeta wa Sheria tumwache
Lisu kumaa hunahoja yoyote ike
Aishe CCM wakilala wanalaliwa saa nne asubuhi October 28 kazi ipo na Mwaka huu watakufa na pressure
Wewe acha lisu jembe
🔥🔥🔥
Rais wetu amefanya mengi sana wala hajivuni na hajigambi sasa wewe ulifanya nini na utaifanyia mini nchi yetu na watanzania wategemee nini kutoka kwako?Sera zako na nia yako ni nini?Naomba majibu.
Umesahau napee
Nape hata angeuwawa siku ile anatishiwa bunduki ingewa poa tu maana ni mpuuz sana msaka tonge
Nasema piga kura Linda kura usipoweza kulinda haki yako ata kwa mungu huna haki
Hapa nilikaa na majitu ya CCM lkn kwa hatua ya leo yote yamekubali kukupigia kura...💪💪💪✌✌✌🙌
Mikoa yenu inahesabika tena kibaya zaidi mwaka huu arusha na kilimanjaro ladha imepungua kwa hyo kupata watu iringa na mbeya wala hatushangai tuna mikoa zaidi ya 20 inatusubir magu ndo habar tz
Vibaraka endeleeni kubweka matako nyie
Huyu kichaa anajuwa anaenguliwa ndio maana anatukana mama wamwenzie mpuuzi huyu nadomo lake pana kama kuma lang'ombe mwenye mimba uyu msenge shoga huyu.
We lako Kama la kuma la mamako
Unatukana au cio
Una akil ww
Magufuli mzalendo wa kweli. Lissu kifaa cha wazungu wanaotafuta kuipora Tanzania.
Karibuni Kenya jamani
Sio jasiri dishi rake rimehamia miguuni
Daa kweli mambo hayo nimapyaa