Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.
Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊
Hiyo nyomi had rah wale wanaosaidiwa kushinda na serekali kama alivyosema dc wa longido tumbo joto huku chadema kule kesi mahakaman ya tamisemi wasisimamie uchaguz saf sanaaaa
watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu
Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.
Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu. Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.
Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.
Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala
Kama wajumbe mpo gonga like yako
Huyu Ndio Lissu sasa,,,,...., brilliant guy
Big up rissu rais mtarajiwa
😊..😊😊😊😊😊...😊 . 😊😊😊. 😊😊😊😊😊😊.😊...😊😊😊.😊😊😊
@@jokelimasamaki2800😊.😊.😊😊. 😊😊😊.😊
.😊😊😊😊😊😊.😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 😊😊 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊.😊😊😊😊😊.😊😊😊😊
Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu MTU anajiamini sana!
Mwanaume huyo
Tena sanna
Hicho kidume haogopi kupotezwa
Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.
Mzimu uliobadiri umbo
Aise pongez kwako lisu nazani utamshinda
Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊
Lissu ni chuma lazima kivunje jiwe lile
Unajiamini hivyo
"What doesn't kill you makes you stronger"...Germany Philosopher ..Fredrich.
Ni yeye 2020
Anaakili mno
Lissu 2020 🔥💯
Mta tapatapa sana ,labda urud ubelijiji lakn sio tzn,Jpm hoyeeeee
@@rosemongi5273 Oyee! Lakini apewe nafasi kwenye vyombo vya habari kama anavyopewa JPM ili wananchi waamue
Dah! Wewe ndo Rais tunayemuhitaji
Mungu akuongoze mheshimiwa pamoja sana
Tundurisu jamani nijembe kwerikweri. Mungu akubariki popote uripo
Ilove u TUNDU LISU
rove baba tupo pamoja Yani mpaka vifo njetu mungu akituncukuwa baba mimi na wewebaba
Pambanene viongz uwepo wen✌️✌️✌️✌️ inamaan kubwa san
Nakuombey kw mung akup afya njem uendre kupambn nahaw ccm✌️
MUNGU mjalie afya njema huyu Raisi WETU mwuepushie na kila Hila za maadui wabaya.
Hiyo nyomi had rah wale wanaosaidiwa kushinda na serekali kama alivyosema dc wa longido tumbo joto huku chadema kule kesi mahakaman ya tamisemi wasisimamie uchaguz saf sanaaaa
Mimi napendekeza slaa aripata kura robotatu ya kura ariopata kikwete katika uchaguzi wa awam ya piri!
Mkutano Mzuri sana sana Tundu Lisu ni Kiboko yuko Viziri sana.
Risu☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️🙏🙏🙏🙏
Nafkri anafaa kuwa rais
Ila makamu hiyo hotuba ilitikisa Dunia mungu akutangulie
Ni yeye lisu mpambanaji kura yangu chukuwa
Unachomelea dirisha jiko la kupika eti kodi to jamani mama wetu afee na njaa kisakodi irudi Kama zamani mpo
Tundurisu usikate Tama hata kidogo banana nao hao😮😅
Semen ukwl kwa kuikosoa serekali ya ccm✌️
Mbeba maon tundu lisu✌️
Confidence💯
💕
Tuko na wewe tu mpaka kiwereweke
KAFIRANENI HUKO MBWA NYIE
Tuko nyuma yako chadema oyeeeeee
Usiokope mungu yupo🙏🙏🇹🇿
Ww lisu ni mwiba mkar wa ccm
Jamaa yupo vzr sana uyu
Mshimiwa.mbowe.kazana.usiyumbe.uwe.kama.kama.nabii.gidion.aripelika.watu.kuwa.pima.wanolamba.maji.mtoni.kam.mbwa.ndio.wapiganaji.wakipita.mto.sas.chedema.fanyeni.hivo
Wajumbe si watu wazuri!!!
Lissu upo vizuri
Sasa basi
Tundu lissu namkubali
😂😂😂 km mwabukusi
Lisu huiwezi ccm cc.m
Risu oyoooooo☑️☑️☑️☑️
Wajumbe like za kijumbe
Mungu aliye kuokoa na wauaji wako Dodoma aatakupigania na kukutunza daima.you're the chosen person
Pamoja sana
Nakuelewa tundu lissu
hakuna cha kusema zaidi! Mungu aendelee kukulinda kwa rehma zake!....!!!
Niyeye2025
Magu kawapoza kawarudisha !! Wananchi tutaendeleza spana kama wajumbe!!
watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu
Hakuna aliye omba kuwa mlemavu c kauli nzuri. Kumbuka wewe ni mlemavu mtarajiwa. Haitoshi bora kulemaa viugo kuliko akili.
hata babako anaweza kuwa kilema fala we
Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.
@@innocentcp845 waambie hao mazombi ya ccm, hawajui km ujafa ujaumbika
Dunia mapito hujafa hujaumbika
Lissu unalala wap
🤣🤣
Mulize bas jamaa
Pambanen viongz kamwe msikae kmy ✌️✌️✌️✌️
Jembe jembe..
Chuma kimesima
Rais wetu huyo
Unatuletea kikao cha miaka 5iliyopita inasaidia nini
Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu.
Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.
😂😂😂😂ruclips.net/video/_i17eP38_tc/видео.html.. mkitoboa sijui
Ogea baba kuliko rais wa ji ji na wilaya jipe moyo
Watanzania tumuelewe vizuri point zake anachoitaji ushindi wa kisiasa.ahahahaha
Kumbe mlitrajia mabilioni na kumbe sivyo....
Mh lisu unafaa uwe mgombea uraisi
And the rest and the other two were not in the office today and they were not able to make any changes to
Jamhuri ya muungano upi ? Mzee tatizo hilo.
C lolote huwezi kuwa Rais wa tanzania
Uzoefu wa Nyalandu Ni wa mashaka?
Hakuna mgombea hapo/huyo atawauza MapemA sana shaur yenu
Mmh
Sasa nahisi unataka urais chadema sio mtz
Haya sasa ma silent killers, mmesha julikana plan zenu. tabu sana
Chizi kalogwa tena hahahaha rahisi wa chadema
Huyu hafai kuwa raisi hata kidogo
Hii hotuba Nyalandu inakuhusu.
Pamoja😊
Nyarandu soma alama
We uko juu ya sheria?
Uchaguzi huru , wabunge waliendaje bungeni.
Tatizo ni uraisi matokeo ya ubunge yanahojiwa mahakamani matokeo ya uraisi hayahojiwi
Awesome meeting
Tunakuamini kiongozi
Yeah Hon. Tundu Antipas Lissu is the greatest strongly and confidence. Of course the good leadership.
Tunakuamini kaka
Congration to you
Trying and tested nimemuelewa hivi (He not sure that why he try and test.
Umekosea kidogo ndugu mjumbe Mr. Shabani, ni tried and tested, yaani amejaribiwa na kuyapata hayo majaribu,
Mbuzi Mafia kwa muza supu
Toa hoja husishutumu serikari sema utakacho wafanyia watu,
Subir akifika kwa wananchi
Atoe hoja ya namna gani?
Kura ndo zitaongea ccm itashinda kwa kishindo, wajumbe wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
@@allenmwambala6900 Ni kweli ccm itashinda,lakini ni vizuri uwanja wa kufanya siasa ukawa sawa ili malalamiko yasiwepo
Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.
Mia kwa mia
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
Asante...
HATUTAKI WANAHARAKAT IKULU.... TUNATAKA WALETA MAENDELEO KM JPM... FULL STOP
Hutaki wewe tu wanaharakati ndo walioleta hata uhuru wawaafrika muangalie Marti lutherking
Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala
ww unafaa kuwa raisi wa nchi hii kwani una majaraha na uchungu kwa madhila na kadhya kwa ulioyapata.
Wewe uko yuma kweli!!!
Siri imevija,walimchagua Lowasa kwa kutegemea mamilioni,anamsuta Mbowe.
🤣🤣🤣🤣kuna watoto walizaliwa na ubishi mkononi 😀😀Lissu kama Lissu ni master
Wewe unazungumzia siasa nilijua unazungumzia maendeleo kumbe siasa ni maslahi yako na familia yako jombaa ushachemka.*******
Sapotini tuu watuwenyewe hamna hata hela ya kula ikitokea vulugu huyo anakimbilia kwa wazunguwake nyny je mtaendawp mcklizeni tuu huyo kiaz muone
kama hau-support 🤫🤒😷
Watanzania tunajielewa ss fala wewe usituletee imla wewe jpm ni wa kipekee hana mpinzani ccm ni no1 jpm hoyeeeeeee
Wewe fala mmoja kacheze unakoche kama huyo magu anakutosha ni wewe bwege wee
mshenzi kwel ...... you're illetrate
Love you Tundu Lissu!
CCM Hawawezi kukubari mabadiriko