TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA

Комментарии • 135

  • @michaelmwaluko2882
    @michaelmwaluko2882 4 года назад +18

    Kama wajumbe mpo gonga like yako

  • @maxesh5135
    @maxesh5135 4 года назад +19

    Huyu Ndio Lissu sasa,,,,...., brilliant guy

    • @jokelimasamaki2800
      @jokelimasamaki2800 4 года назад +2

      Big up rissu rais mtarajiwa

    • @ngassajikwelo
      @ngassajikwelo 23 дня назад

      😊..😊😊😊😊😊...😊 . 😊😊😊. 😊😊😊😊😊😊.😊...😊😊😊.😊😊😊

    • @ngassajikwelo
      @ngassajikwelo 23 дня назад

      ​@@jokelimasamaki2800😊.😊.😊😊. 😊😊😊.😊

    • @ngassajikwelo
      @ngassajikwelo 23 дня назад

      .😊😊😊😊😊😊.😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 😊😊 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊.😊😊😊😊😊.😊😊😊😊

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад +15

    Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @danielmanyama4504
    @danielmanyama4504 4 года назад +17

    Huyu MTU anajiamini sana!

  • @bonaventurasheshe961
    @bonaventurasheshe961 4 года назад +18

    Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.

  • @WakwetuWakwet
    @WakwetuWakwet 2 месяца назад +1

    Aise pongez kwako lisu nazani utamshinda

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 6 месяцев назад +2

    Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊

  • @masoudsalum9514
    @masoudsalum9514 4 года назад +5

    Lissu ni chuma lazima kivunje jiwe lile

  • @joshuakimario1528
    @joshuakimario1528 4 года назад +5

    Unajiamini hivyo

  • @messageofloveandhope4249
    @messageofloveandhope4249 4 года назад +4

    "What doesn't kill you makes you stronger"...Germany Philosopher ..Fredrich.

  • @primostemba
    @primostemba 4 года назад +6

    Ni yeye 2020

  • @primostemba
    @primostemba 4 года назад +8

    Lissu 2020 🔥💯

    • @rosemongi5273
      @rosemongi5273 4 года назад

      Mta tapatapa sana ,labda urud ubelijiji lakn sio tzn,Jpm hoyeeeee

    • @kokombwana8625
      @kokombwana8625 4 года назад

      @@rosemongi5273 Oyee! Lakini apewe nafasi kwenye vyombo vya habari kama anavyopewa JPM ili wananchi waamue

  • @mkalimwenziotz5696
    @mkalimwenziotz5696 4 года назад +2

    Dah! Wewe ndo Rais tunayemuhitaji

  • @moseslaizer538
    @moseslaizer538 4 года назад +4

    Mungu akuongoze mheshimiwa pamoja sana

  • @TanoEmanuel
    @TanoEmanuel Месяц назад

    Tundurisu jamani nijembe kwerikweri. Mungu akubariki popote uripo

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 4 года назад +6

    Ilove u TUNDU LISU

    • @DulaMudi
      @DulaMudi 2 месяца назад

      rove baba tupo pamoja Yani mpaka vifo njetu mungu akituncukuwa baba mimi na wewebaba

  • @JOHNNYAMHANGAMACHUGU
    @JOHNNYAMHANGAMACHUGU Месяц назад

    Pambanene viongz uwepo wen✌️✌️✌️✌️ inamaan kubwa san

  • @JOHNNYAMHANGAMACHUGU
    @JOHNNYAMHANGAMACHUGU Месяц назад

    Nakuombey kw mung akup afya njem uendre kupambn nahaw ccm✌️

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад

    MUNGU mjalie afya njema huyu Raisi WETU mwuepushie na kila Hila za maadui wabaya.

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 28 дней назад

    Hiyo nyomi had rah wale wanaosaidiwa kushinda na serekali kama alivyosema dc wa longido tumbo joto huku chadema kule kesi mahakaman ya tamisemi wasisimamie uchaguz saf sanaaaa

  • @DeusMbalamwezi
    @DeusMbalamwezi 16 дней назад

    Mimi napendekeza slaa aripata kura robotatu ya kura ariopata kikwete katika uchaguzi wa awam ya piri!

  • @alfredmwaswenya
    @alfredmwaswenya Месяц назад

    Mkutano Mzuri sana sana Tundu Lisu ni Kiboko yuko Viziri sana.

  • @ElyotKyando
    @ElyotKyando 24 дня назад +1

    Risu☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️🙏🙏🙏🙏

  • @allygregory8682
    @allygregory8682 4 года назад +3

    Nafkri anafaa kuwa rais

  • @edwindezidery632
    @edwindezidery632 Месяц назад

    Ila makamu hiyo hotuba ilitikisa Dunia mungu akutangulie

  • @GideonMambo-f2l
    @GideonMambo-f2l 13 дней назад

    Ni yeye lisu mpambanaji kura yangu chukuwa

  • @leonardrafaelimungunimwema5284
    @leonardrafaelimungunimwema5284 Год назад +1

    Unachomelea dirisha jiko la kupika eti kodi to jamani mama wetu afee na njaa kisakodi irudi Kama zamani mpo

  • @TanoEmanuel
    @TanoEmanuel Месяц назад

    Tundurisu usikate Tama hata kidogo banana nao hao😮😅

  • @JOHNNYAMHANGAMACHUGU
    @JOHNNYAMHANGAMACHUGU Месяц назад

    Semen ukwl kwa kuikosoa serekali ya ccm✌️

  • @JOHNNYAMHANGAMACHUGU
    @JOHNNYAMHANGAMACHUGU Месяц назад

    Mbeba maon tundu lisu✌️

  • @Z002-e7u
    @Z002-e7u 4 года назад +4

    Confidence💯
    💕

  • @MutalemwaBiashara
    @MutalemwaBiashara 4 месяца назад

    Tuko na wewe tu mpaka kiwereweke

  • @jaffaralimakame1533
    @jaffaralimakame1533 29 дней назад

    KAFIRANENI HUKO MBWA NYIE

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo Месяц назад

    Tuko nyuma yako chadema oyeeeeee

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz Месяц назад

    Usiokope mungu yupo🙏🙏🇹🇿

  • @ShaibuYahaya-v4b
    @ShaibuYahaya-v4b Месяц назад

    Ww lisu ni mwiba mkar wa ccm

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c Месяц назад

    Jamaa yupo vzr sana uyu

  • @evelina9621
    @evelina9621 3 месяца назад

    Mshimiwa.mbowe.kazana.usiyumbe.uwe.kama.kama.nabii.gidion.aripelika.watu.kuwa.pima.wanolamba.maji.mtoni.kam.mbwa.ndio.wapiganaji.wakipita.mto.sas.chedema.fanyeni.hivo

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 года назад +3

    Wajumbe si watu wazuri!!!

  • @MakameAly
    @MakameAly Месяц назад

    Lissu upo vizuri

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 7 месяцев назад

    Sasa basi

  • @JohnS.mwafubo
    @JohnS.mwafubo 6 месяцев назад +1

    Tundu lissu namkubali

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c Месяц назад

    😂😂😂 km mwabukusi

  • @RajabuSeify
    @RajabuSeify 19 дней назад

    Lisu huiwezi ccm cc.m

  • @ElyotKyando
    @ElyotKyando 24 дня назад

    Risu oyoooooo☑️☑️☑️☑️

  • @primostemba
    @primostemba 4 года назад +10

    Wajumbe like za kijumbe

  • @johnisrael1968
    @johnisrael1968 4 года назад +1

    Mungu aliye kuokoa na wauaji wako Dodoma aatakupigania na kukutunza daima.you're the chosen person

  • @jacobkajeje7920
    @jacobkajeje7920 Год назад +1

    Pamoja sana

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 9 месяцев назад +1

    Nakuelewa tundu lissu

  • @mwinyitoreira2339
    @mwinyitoreira2339 4 года назад +1

    hakuna cha kusema zaidi! Mungu aendelee kukulinda kwa rehma zake!....!!!

  • @WakwetuWakwet
    @WakwetuWakwet 2 месяца назад

    Niyeye2025

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 года назад

    Magu kawapoza kawarudisha !! Wananchi tutaendeleza spana kama wajumbe!!

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 4 года назад +1

    watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu

    • @innocentcp845
      @innocentcp845 4 года назад

      Hakuna aliye omba kuwa mlemavu c kauli nzuri. Kumbuka wewe ni mlemavu mtarajiwa. Haitoshi bora kulemaa viugo kuliko akili.

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 года назад

      hata babako anaweza kuwa kilema fala we

    • @innocentcp845
      @innocentcp845 4 года назад +1

      Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 года назад

      @@innocentcp845 waambie hao mazombi ya ccm, hawajui km ujafa ujaumbika

    • @ZuhuraAmiri-u1u
      @ZuhuraAmiri-u1u 20 дней назад

      Dunia mapito hujafa hujaumbika

  • @joshuakimario1528
    @joshuakimario1528 4 года назад +2

    Lissu unalala wap

  • @JOHNNYAMHANGAMACHUGU
    @JOHNNYAMHANGAMACHUGU Месяц назад

    Pambanen viongz kamwe msikae kmy ✌️✌️✌️✌️

  • @japhetyanania8589
    @japhetyanania8589 4 года назад +1

    Jembe jembe..

  • @mfaumeseif5872
    @mfaumeseif5872 4 года назад +1

    Chuma kimesima

  • @modestmasuba4155
    @modestmasuba4155 4 года назад +1

    Rais wetu huyo

  • @hamisijuma8124
    @hamisijuma8124 Год назад

    Unatuletea kikao cha miaka 5iliyopita inasaidia nini

  • @robertkato5868
    @robertkato5868 4 года назад

    Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu.
    Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.

  • @depaolo3461
    @depaolo3461 4 года назад

    😂😂😂😂ruclips.net/video/_i17eP38_tc/видео.html.. mkitoboa sijui

  • @leonardrafaelimungunimwema5284

    Ogea baba kuliko rais wa ji ji na wilaya jipe moyo

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 года назад

    Watanzania tumuelewe vizuri point zake anachoitaji ushindi wa kisiasa.ahahahaha

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 года назад

    Kumbe mlitrajia mabilioni na kumbe sivyo....

  • @dullawax8799
    @dullawax8799 Год назад

    Mh lisu unafaa uwe mgombea uraisi

  • @awadhsaleh2354
    @awadhsaleh2354 4 года назад

    And the rest and the other two were not in the office today and they were not able to make any changes to

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 года назад

    Jamhuri ya muungano upi ? Mzee tatizo hilo.

  • @allenmwambala6900
    @allenmwambala6900 4 года назад

    C lolote huwezi kuwa Rais wa tanzania

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 года назад

    Uzoefu wa Nyalandu Ni wa mashaka?

  • @djaysamtzm950
    @djaysamtzm950 4 года назад

    Hakuna mgombea hapo/huyo atawauza MapemA sana shaur yenu

  • @lugembesweya3288
    @lugembesweya3288 4 года назад

    Sasa nahisi unataka urais chadema sio mtz

  • @nessa4899
    @nessa4899 4 года назад

    Haya sasa ma silent killers, mmesha julikana plan zenu. tabu sana

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 4 года назад

    Chizi kalogwa tena hahahaha rahisi wa chadema

  • @frankmaestro9726
    @frankmaestro9726 4 года назад

    Huyu hafai kuwa raisi hata kidogo

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 года назад

    Hii hotuba Nyalandu inakuhusu.

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 2 месяца назад

    Pamoja😊

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 4 года назад

    Nyarandu soma alama

  • @allenmwambala6900
    @allenmwambala6900 4 года назад

    We uko juu ya sheria?

  • @norbertkauzeni1324
    @norbertkauzeni1324 4 года назад

    Uchaguzi huru , wabunge waliendaje bungeni.

    • @asafudaudi1230
      @asafudaudi1230 4 года назад

      Tatizo ni uraisi matokeo ya ubunge yanahojiwa mahakamani matokeo ya uraisi hayahojiwi

  • @Tanzaniawildcats
    @Tanzaniawildcats 4 года назад

    Awesome meeting

  • @neemamahenge376
    @neemamahenge376 4 года назад

    Tunakuamini kiongozi

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 4 года назад

    Yeah Hon. Tundu Antipas Lissu is the greatest strongly and confidence. Of course the good leadership.

  • @dullahdullah5499
    @dullahdullah5499 4 года назад

    Tunakuamini kaka

  • @eliudmahali3619
    @eliudmahali3619 3 года назад

    Congration to you

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 года назад

    Trying and tested nimemuelewa hivi (He not sure that why he try and test.

    • @kato_tz
      @kato_tz 4 года назад

      Umekosea kidogo ndugu mjumbe Mr. Shabani, ni tried and tested, yaani amejaribiwa na kuyapata hayo majaribu,

  • @pasikomwafongo4679
    @pasikomwafongo4679 4 года назад

    Mbuzi Mafia kwa muza supu

  • @allenmwambala6900
    @allenmwambala6900 4 года назад

    Toa hoja husishutumu serikari sema utakacho wafanyia watu,

    • @chondebabatz5477
      @chondebabatz5477 4 года назад

      Subir akifika kwa wananchi

    • @kokombwana8625
      @kokombwana8625 4 года назад

      Atoe hoja ya namna gani?

    • @allenmwambala6900
      @allenmwambala6900 4 года назад

      Kura ndo zitaongea ccm itashinda kwa kishindo, wajumbe wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

    • @kokombwana8625
      @kokombwana8625 4 года назад

      @@allenmwambala6900 Ni kweli ccm itashinda,lakini ni vizuri uwanja wa kufanya siasa ukawa sawa ili malalamiko yasiwepo

    • @allenmwambala6900
      @allenmwambala6900 4 года назад

      Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.

  • @adamkaogo1931
    @adamkaogo1931 4 года назад

    Mia kwa mia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 месяцев назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.

  • @fabianycharles3954
    @fabianycharles3954 4 года назад

    Asante...

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 4 года назад +1

    HATUTAKI WANAHARAKAT IKULU.... TUNATAKA WALETA MAENDELEO KM JPM... FULL STOP

    • @adamnasib7928
      @adamnasib7928 4 года назад +2

      Hutaki wewe tu wanaharakati ndo walioleta hata uhuru wawaafrika muangalie Marti lutherking

    • @kobelochamanga9757
      @kobelochamanga9757 4 года назад

      Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala

    • @suleimanrashid58
      @suleimanrashid58 4 года назад

      ww unafaa kuwa raisi wa nchi hii kwani una majaraha na uchungu kwa madhila na kadhya kwa ulioyapata.

    • @sonuswai7596
      @sonuswai7596 4 года назад

      Wewe uko yuma kweli!!!

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 года назад

    Siri imevija,walimchagua Lowasa kwa kutegemea mamilioni,anamsuta Mbowe.

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣kuna watoto walizaliwa na ubishi mkononi 😀😀Lissu kama Lissu ni master

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 года назад +1

    Wewe unazungumzia siasa nilijua unazungumzia maendeleo kumbe siasa ni maslahi yako na familia yako jombaa ushachemka.*******

  • @piusraymond8226
    @piusraymond8226 4 года назад +1

    Sapotini tuu watuwenyewe hamna hata hela ya kula ikitokea vulugu huyo anakimbilia kwa wazunguwake nyny je mtaendawp mcklizeni tuu huyo kiaz muone

    • @Z002-e7u
      @Z002-e7u 4 года назад

      kama hau-support 🤫🤒😷

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 4 года назад

    Watanzania tunajielewa ss fala wewe usituletee imla wewe jpm ni wa kipekee hana mpinzani ccm ni no1 jpm hoyeeeeeee

    • @dottomkumba262
      @dottomkumba262 4 года назад +1

      Wewe fala mmoja kacheze unakoche kama huyo magu anakutosha ni wewe bwege wee

    • @Z002-e7u
      @Z002-e7u 4 года назад

      mshenzi kwel ...... you're illetrate

  • @emilianpasiens7919
    @emilianpasiens7919 4 года назад

    Love you Tundu Lissu!