Dua kwa ajili ya Yusuf Manji, Kikwete, watoto wake wazungumza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • Tazama tukio lote la dua kwa jili ya kumuombea aliyekuwa Mwenyekiti na Mfadhili wa Yanga SC, Yusuf Manji iliyofanyika ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam.
    Rais mstaafu Jakaya Kikwete azungumza ukaribu wake na Manji.
  • СпортСпорт

Комментарии • 17

  • @andrewjosephhezron23
    @andrewjosephhezron23 14 дней назад +2

    I am Roman Catholic but I love this mufti.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 14 дней назад +3

    Waislam ni harum kufanya haya matatu:
    a). kumdhuru mtu
    b). Kufanya dhuluma
    c). Kumvunjia mtu heshima (disrepect)
    kasema huyu mufti 9:09-12:42

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 14 дней назад +1

    Mufti Allah akuhifadhi naningekuwa karibu yako ningekuja kusoma kwako umeongea maneno mazito sana kwa mtu mwenye akili.mwanadamu ni hasidi mbaya sana kwani Allah s.w. kujaalia masikini na tajiri yeye ni mjinga? Wewe mwanadamu unataka wote wawe sawa hizo mali unagawa wewe?huo ni ujinga!mufti ameongea maneno ya hekima kwa mwenye akili na mwerevu ameelewa. Allah s.w tunamuomba awahifadhi watoto na hao watoto
    Bado ni wadogo hizo ninyama tu.wasipowahurumiwa watapoteza maisha kama baba yao .sote tupokee dua ya mufti Aaaamin yarabbil aalamina.

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 14 дней назад

    ... I was very young when everything was happening ...
    Huo mstari uzingatie sana.

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 14 дней назад +5

    Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 14 дней назад +1

    Azimio la arusha linakinzana na uislamu

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 14 дней назад +1

    Waislamu sisi tumezoea kudhalilishana nakutiana aibu kila siku muislamu mwenzako kakosea muite mueleze mkosoe pale alikokosea siyo lazima mpaka umpekeke polisi akae lokap kitu kidogo tu unamdhalilisha muislam mwenzie mpaka mwisho ushushe heshima yake mpaka mali aione chungu mangapi tunamkosea mungu kama hamna toba na msamaha hakuna mtu angeingia peponi .mtu akikosea kidogo tu tayari kwenye vyombo vya habari na polisi .unaambiwa ukihifadhi aibu ya mwenzako nawewe mungu atahifadhi yakwako wewe huna aibu? Mueleze mtu umekisea hapa rekebisha pale huo ndiyo ubinadamu .yusufu manji asikosee kwani yeye mungu? Mungu peke yake ndiye hakosei na ndiye kakamilika .ridhika na mungu alichokukadiria.sasa hivi watu walivyomahasidi wataanza kuwasakama watoto nakuwawekea vikwazo.ombi langu kwa watu wote pawe toba na msamaha na huruma pia iwepo.huwezi kuwaridhisha binadamu wote.hata mungu pia baadhi yao hawaridhiki nae pamoja nakuwaumba nakuwapa kila kitu bado wengine wanamuabudu asiyekuwa mungu.

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 14 дней назад

    Ya Allah tusamehe makosa yetu, tupe subra na nguvu

  • @shutheprincess4633
    @shutheprincess4633 14 дней назад +1

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 14 дней назад

    1:13 🙌

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 13 дней назад

    Toeni ktk mali yake kidogo mumjengee mskiti hapo mbagala kuu iwe sadaka yake marehemu inaitwa sadakatul jaria. Mskiti uitwe yusuph manji masjid

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 14 дней назад

    ✌️👍🙏.

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 13 дней назад

    sasa hii dua ya kumrehem au mkutano

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 14 дней назад

    Mufti amesema hapa hadithi ya mtume s.a.w msidhuriane msidhulumu msitiane aibu mimi nawewe tujiangalie sifa hizi tatu hatuna? Umesikia mwenzako amekufa ni meseji hiyo kwamba nawewe ujipange utaondokaje? Unakwenda nanini?haowatakaokupokea watakupokea kwa mapokezi gani?na mola wako atakutizamaje au atakuhukumu vipi?motoni au peponi ? mwenzako anakufa unamjadili na kumsema vibaya unajua nawewe utasemwa vipi?usipoteze muda kila mtu ajiandae na safari hiyo unamsema mwenzako vibaya kumbe kesho nawewe unazikwa .

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 14 дней назад +1

    Wahindi ni watu wa kimkakati sana kuwasimamisha hawa watoto lipo kusudi lao.