Tanzania bado tuna watu wenye akili na wanaojielewa vizuri, lkn serikali imekumbatia machawa yasiokuwa na uwezo wowote wa kuleta mabadiliko na maendeleo ya kweli katika nyanja mbali mbali za maendeleo ya kiuchumi.
Hayo ni MAWAZO yako tu na tuache Urevi wa Akili kuona Kila unachofikiri na kuwaza kusema ww ndio Sahihi na wakisema wengine ujinga Tanzania hii ilivyo Sasa ndio maana huyu amarudi ameona anaweza kufanikiwa akiwekeza huku kwa Nini asibaki huko?
Hongera sana Dada, suala la lugha ya kingereza kwa wasomi wengi tz ni kubwa sana mtu anamaliza first degree UDSM kwenda kusoma nje masters inalazimika atumie mwaka mmoja kusoma lugha kabla hajaanza msomo rasmi hii imetokea watu wengi sana ninaowajua ila wengi huishia na degree au masters za kibongo maana nje kama UK na USA lugha kwao ni changamoto.
Wale wanakuwaga na mihemko mkoa balaa! Mara mtu wa kwetu hakuna fala! Wanajuaga wao ndo wanaakili peke yao! Ungesikia wanampongeza na kutaja kabila na anakotoka!
Very brilliant African woman. I however think, Tanzania should embrace English language with more emphasis for the benefits of her citizens who may have potential to study and work internationally.
Hongera dada .Ughaibuni ni kupata maarifa tu.maisha yako nyumbani.Wengi wetu hufikiria kuwa ughaibuni ni paradiso na kupoteza akili na uwezo wao huko wasikokubalika na wazungu.Dada huyu ndiyo mfano mzuri na kweli msomi mwenye akili safi na mzalendo.Bila uongo wazungu wanapenda watu wenye akili sana kama huyu hata kazi huko angalipata sema tu kuwa ni mzalendo sana.❤❤Ubarikiwe wazungi wazung
Nilitamani kuwa pilote saana ila Kuna mwalimu alinidanganya aliniambia nisome hgk ndo ntakuwa pilote kumbe aliniona sijui Sina uwezo wa kusoma science...Sasa hv Nimejiajiri ni boda boda
One of gravest mistake with Tanzania is, We let these brainless politicians to think and decide for us, the same brain slipped away from calculating tha value of x in classes is same brain nowadays cant solve for X in in strategic planning and logical thinking for nation problems because in every challenging situations there's an equation defining it, hawa wanasiasa warudi darasani wakatafute ile thamani ya x january shule zinakaribia kufungua
@@shyfettymtunda4619 Kuna shida kubwa sana kwa sababu kuna juhudi zakuwapigania wanawake cha ajabu kuna kizazi kinazidi Kua kijinga na kujisifia upuuzi nakuamini kwenye Maisha ya mitandaoni
@@tanzcanmediatv4473 akili dhaifu iliyoshindwa ku simplify expression darasan haiwezi kupata intelligent solution katika leadership, kuwa na watu magenius kama hawani tunu kwa taifa ila kukataa kuwatumia ndo ujinga wa taifa letu
Baada ya miaka 10 mtu anarudi bongo, kama mimi ningerudi bongo ndugu zangu wasingenielewa kabisa, hata hivyo sina mtaji wowote bongo kwa hiyo ni vigumu kurudi, bongo ni pazuri kama mtu ukiwa na pesa
Yaani labda kama hujaishi ughaibuni na hujasoma ndio unaweza kudanganywa na huyo maana , yaani mara anaongea yeye ni engineer wa ndege mara pilot mara ghafla corona imeingia kazi kakosa marekani ya kutengeneza ndege na Karudi Tanzania 🇹🇿🙈🙈🙈🤣🤣🤣🤣 huo uongo aibu naona mie , yaani hata kwenda kwa daktari wa dentist kuziba jino lako lililobomoka umeshindwa unaongelea kujenga ndege na hamna engineer wa ndege akose kazi nchi zilizoendelea labda uwe engineer wa michongo, jamani watanzania siku hizi tuko wengi ughaibuni na mkidanganya mjipange sana !
Hongera mtoto wetu wa kitanzania, nimefurahi sana kuona mwanamke mkuu namna hii..barikiwa dada yetu
Waliyo kaa mnje na kusoma mnje wanaongea kiswahil kizuri alafu kunakina Sisi wa kujifunza mtandaoni vichochoroni tunasumbua sana hongera sana dada❤
Kila baada ya maneno mawili aweka kingereza tena na ukuakifikiria aongee nini lakin bado anajikazaa akiongee 😂😂😂 kweli wa uchochoroni
Haongei kwa maringo wala maringisho hongera sana sana sana super woman 🎉
Tanzania bado tuna watu wenye akili na wanaojielewa vizuri, lkn serikali imekumbatia machawa yasiokuwa na uwezo wowote wa kuleta mabadiliko na maendeleo ya kweli katika nyanja mbali mbali za maendeleo ya kiuchumi.
Sa siunzishe serikali yako
Nauyu nae ana lakusema haazishe serikari yake kivipi wakati tunaitaji tz ijitegemee yenyewe kwenye uwekezaji pole kama nimekukera
Wanachagua vilaza ili wasujudiwe, kila kitu waseme ndio
@@magretangel5242another bogus in the country, unaambiwa ukel af unaanza kumind
Hayo ni MAWAZO yako tu na tuache Urevi wa Akili kuona Kila unachofikiri na kuwaza kusema ww ndio Sahihi na wakisema wengine ujinga Tanzania hii ilivyo Sasa ndio maana huyu amarudi ameona anaweza kufanikiwa akiwekeza huku kwa Nini asibaki huko?
Hongera sana Dada, suala la lugha ya kingereza kwa wasomi wengi tz ni kubwa sana mtu anamaliza first degree UDSM kwenda kusoma nje masters inalazimika atumie mwaka mmoja kusoma lugha kabla hajaanza msomo rasmi hii imetokea watu wengi sana ninaowajua ila wengi huishia na degree au masters za kibongo maana nje kama UK na USA lugha kwao ni changamoto.
Angekuwa mkazi wa makabila yetu yaaleeee yaaaleeeee eeeeeh.tusingemaliza kutizama hii interview mpaka mwisho.hongera sana dada.
Wale wanakuwaga na mihemko mkoa balaa! Mara mtu wa kwetu hakuna fala!
Wanajuaga wao ndo wanaakili peke yao!
Ungesikia wanampongeza na kutaja kabila na anakotoka!
@@sambulugu9988 😂🤣😅balaaa
😂😂😂😂😂
Very brilliant African woman. I however think, Tanzania should embrace English language with more emphasis for the benefits of her citizens who may have potential to study and work internationally.
Wow ♥️ I love to see a Queen shine . Wanawake wanaweza take your daughter to school
Good mtu kama huyu serkali inapaswa kumpa support kubwa!
Hongera sana dada. Much respect for the focus and vision. Very proud of you. ❤ #matundayaudiaspora
Moie. Very good Dada.... Hongera uliitengeza kesho yako kimkakati sana, unastahili kufaidi Matunda. Mungu akusimamie ukue kibiashara kama Mgomba🎉
EDUCATED AND NATURAL BEAUTY. VERY NICE.
Hongera sana dada uko juuu
Dada hongeraa nakupendaa maana Mungu akubariki sanaa jaman
Hongera dada .Ughaibuni ni kupata maarifa tu.maisha yako nyumbani.Wengi wetu hufikiria kuwa ughaibuni ni paradiso na kupoteza akili na uwezo wao huko wasikokubalika na wazungu.Dada huyu ndiyo mfano mzuri na kweli msomi mwenye akili safi na mzalendo.Bila uongo wazungu wanapenda watu wenye akili sana kama huyu hata kazi huko angalipata sema tu kuwa ni mzalendo sana.❤❤Ubarikiwe
wazungi wazung
Hesabu zina watu wake jaamaanii😊❤
Hongera sana sana VIA AVIATION. Huu uthubutu ni wa kuigwa. Big up
Hongera sn my sister namie nataman sn namie nimpeleke mwanangu Ismail
Hongera sana dada.Mungu akutunze.mi natamani uanzishe shule ya marubani. Wako vijana wa kike na kiume wanatamani sana hiyo fani.
Hongera sana sana dada .I'm inspired.
We still have real smart women's in this country
Congrats Susan Mashibe 👏🏾👏🏾👏🏾
Nilitamani kuwa pilote saana ila Kuna mwalimu alinidanganya aliniambia nisome hgk ndo ntakuwa pilote kumbe aliniona sijui Sina uwezo wa kusoma science...Sasa hv Nimejiajiri ni boda boda
😂😂😂 pole sana alikuuza
😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂
Hongera Manager wetu kwa maneno mazuri.
🎉🎉🎉🎉hii safi sana hongera mtanzania mwenzetu . Tunajivunia wewe
Tunataka uraia pacha
Congrats my dear, you are a hero God bless you
Hongera wanawake wakipambana wanaweza
Hongera sana kama mmama akupe uwezo zaidi,dada mtanzania huna majivuno.
Hongera sana mdada
Hongera sana black is beautiful wanawake tunaweza
Pongezi dadangu mungu akueke utumikie taifa
Yani sisi wa nje ndo waongeaji wazuri wa kiswahili 😊
Umeonaaaa eee
Siku hizi watu wa hapa nyumbani wakiongea kiswahili ati wanachanganya na kiingereza . Naona ni fashion . Lakini tunaharibu kiswahili chetu.
Hongera sana mdogo wetu kwa kutuheshimisha wana Mwanza.
Saf sana
One of gravest mistake with Tanzania is, We let these brainless politicians to think and decide for us, the same brain slipped away from calculating tha value of x in classes is same brain nowadays cant solve for X in in strategic planning and logical thinking for nation problems because in every challenging situations there's an equation defining it, hawa wanasiasa warudi darasani wakatafute ile thamani ya x january shule zinakaribia kufungua
Hongera Dada mungu akubariki
Ongera sana
Hongera sana dada Mungu akutunze sana
Hapo Serengeti Lounge mbona bado sana, unaweza kukutana na keki kipande kimoja tu, na juisi.
Viagreen"' nimeipenda Sanaa hiyo labda kwakua nami ni mdau wa mazingira pongezi sana kwako dada Susan kwa kuenzi mazingira.
Bravo!
Big up sana dada lkn kwa kwetu huku mhhhhhh
Asante sana nikipita hapo nakujaa
Hongera sana mkurugenzi Avia Aviation
Proud of you dadaaaaa
Hongera dada am so inspired ❤
Hongera ndg karibu Tanzania tutengenezee denge zetu ❤❤❤😂
Mwanamke na nusu 👍
Hongera sana mrembo.🎉
Hao ndio wanawake wanaopeperusha Bendera sio ile mipaka ya baa inayotafuta madanga insta nakurusha connection
❤
@@fahadfaraj6474 Ni kuwaombea tu Mungu awape ufahamu waache hizo tabia mbaya.
@@shyfettymtunda4619 Kuna shida kubwa sana kwa sababu kuna juhudi zakuwapigania wanawake cha ajabu kuna kizazi kinazidi Kua kijinga na kujisifia upuuzi nakuamini kwenye Maisha ya mitandaoni
Honger sana Dada 💙💙💙
Do you?
hongera sana binti. Tunahitaji vijana watakaofikiri nje ya box kama wewe
Hii inchi inawatu wenye akili lakin tunashindwa kuwatunia mfomo umekuwa overloaded na wanasiasa na machawa wasiojua kitu
Mfano wakiruhusu uraia pacha utaona kuna giwanda vya watanzania hapa canada nakuna wenye akili acha hasa viw
@@tanzcanmediatv4473 akili dhaifu iliyoshindwa ku simplify expression darasan haiwezi kupata intelligent solution katika leadership, kuwa na watu magenius kama hawani tunu kwa taifa ila kukataa kuwatumia ndo ujinga wa taifa letu
Nimefurah kunuona mkuu wa wilaya ilemela alikuwa mwalimu wang wa history pia hongera mwanamke mwenzetu
Hongera sana mama, you are a star among stars🤪
Big up Suzy
Ingelikuwa ni mkenya saa hii ungelikuta hata kikuyu alishasahau kisa kishi marekani miaka 5 hongera mtz kwakuto haribu lugha mama kswhl
Mwanamke mashuhuri
BIG UP DADA
Wanawake wa kawaida wana akili sanaa angekuwa kisura na makalio asingekuwa na akili hizo
Dada piga kazi piga kazi , Kusanya Pesa mwanangu , wanao kubeza achana nao
We fanya kazi ingiza Pesa
👏👏
Nenda US kachukue elimu alafu rudi wekeza apa Tz iyo nmeipenda..Elimu iko mbele tena elimu sio mchezo
Hongera dear sister 🥰
Congratulations 🎉🎉🎉
Hana ammmamama
Wale mabinti waliokuwa wanapenda kuimbiwa imbiwa tunyimbo tuzuri enzi za sec hivi siku hizi wako wapi??😮😮
Wanadanga😂😂😂
Mwanamke mashuhuri mkuu kwer kweri
Duu kumbe Jeff Bezos amewahi Kuja Tanzania , Yule Mbwa Ana MIHELA.Mingi
Super woman
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Uzae Sasa watt maana hizo pesa unamtafutia nani ,,
Hongera dada ata doto magari kingereza hakiko vzr ila anapiga Hela 😊😊
😂😂😂
Alafu hajidai! Wala hajajichubua nyie!
Aliyekuibua abarikiwe tunafurahi naamini watanzania wengi hawajajulikana
Tatizo mnapanda mti ya hovyo mpande mti ya vyakula
Alivyojieleza elimu aliyosemea na hizo degree kama umeenda shule unaona huyu mama anajaribu kutulisha matango pori 😅
Sio kweli
@@truthch1642 nimesema kama umeenda shule kwa hiyo wewe haikuhusu
Baada ya miaka 10 mtu anarudi bongo, kama mimi ningerudi bongo ndugu zangu wasingenielewa kabisa, hata hivyo sina mtaji wowote bongo kwa hiyo ni vigumu kurudi, bongo ni pazuri kama mtu ukiwa na pesa
Woo
❤❤❤❤❤
Na wala hanaga majivuno ni mtu kwelo kwelo huyu dada
Baba yake alikuwa na pesa Ruban mill-100 ada kwa mwaka mamae nainyea wapi
😂😂😂😂😂 eti unainyea wapi 😂😂😂
@@agnesjohn9382 sure
Nimempenda huyu Dada ni jembe hatarii
Africa yote inaukabila upande wa jobs in government wale wanafaa kupewa hizo jobs hawapewi that's y hata on sports Africa tuko nyuma
SASA WEWE NDO ILIBIDI UWE DIRECTOR WA KAMPUNI YA NDEGE SABABU UNAUELEWA WA PANDE ZOTE KATIKA MAENEO YA ISAFIRI WA ANGA , NA HATA KIMASOKO.,
Yaani labda kama hujaishi ughaibuni na hujasoma ndio unaweza kudanganywa na huyo maana , yaani mara anaongea yeye ni engineer wa ndege mara pilot mara ghafla corona imeingia kazi kakosa marekani ya kutengeneza ndege na Karudi Tanzania 🇹🇿🙈🙈🙈🤣🤣🤣🤣 huo uongo aibu naona mie , yaani hata kwenda kwa daktari wa dentist kuziba jino lako lililobomoka umeshindwa unaongelea kujenga ndege na hamna engineer wa ndege akose kazi nchi zilizoendelea labda uwe engineer wa michongo, jamani watanzania siku hizi tuko wengi ughaibuni na mkidanganya mjipange sana !
Doh
Doh