"NILIKUWA RUBANI MAREKANI SASA NIMERUDI NYUMBANI, KIINGEREZA CHANGU KILIKUWA KIBAYA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 135

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 8 месяцев назад +19

    Hongera mtoto wetu wa kitanzania, nimefurahi sana kuona mwanamke mkuu namna hii..barikiwa dada yetu

  • @mwajumaroya7404
    @mwajumaroya7404 8 месяцев назад +8

    Waliyo kaa mnje na kusoma mnje wanaongea kiswahil kizuri alafu kunakina Sisi wa kujifunza mtandaoni vichochoroni tunasumbua sana hongera sana dada❤

    • @user-xh5vl6eh6i
      @user-xh5vl6eh6i 7 месяцев назад +1

      Kila baada ya maneno mawili aweka kingereza tena na ukuakifikiria aongee nini lakin bado anajikazaa akiongee 😂😂😂 kweli wa uchochoroni

  • @dianakalimba
    @dianakalimba 8 месяцев назад +8

    Haongei kwa maringo wala maringisho hongera sana sana sana super woman 🎉

  • @user-kw3yb2sh3s
    @user-kw3yb2sh3s 8 месяцев назад +64

    Tanzania bado tuna watu wenye akili na wanaojielewa vizuri, lkn serikali imekumbatia machawa yasiokuwa na uwezo wowote wa kuleta mabadiliko na maendeleo ya kweli katika nyanja mbali mbali za maendeleo ya kiuchumi.

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 8 месяцев назад +2

      Sa siunzishe serikali yako

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 8 месяцев назад +7

      Nauyu nae ana lakusema haazishe serikari yake kivipi wakati tunaitaji tz ijitegemee yenyewe kwenye uwekezaji pole kama nimekukera

    • @erickzephania1030
      @erickzephania1030 8 месяцев назад +3

      Wanachagua vilaza ili wasujudiwe, kila kitu waseme ndio

    • @peterdeus6093
      @peterdeus6093 8 месяцев назад +1

      ​@@magretangel5242another bogus in the country, unaambiwa ukel af unaanza kumind

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 8 месяцев назад +1

      Hayo ni MAWAZO yako tu na tuache Urevi wa Akili kuona Kila unachofikiri na kuwaza kusema ww ndio Sahihi na wakisema wengine ujinga Tanzania hii ilivyo Sasa ndio maana huyu amarudi ameona anaweza kufanikiwa akiwekeza huku kwa Nini asibaki huko?

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 7 месяцев назад +4

    Hongera sana Dada, suala la lugha ya kingereza kwa wasomi wengi tz ni kubwa sana mtu anamaliza first degree UDSM kwenda kusoma nje masters inalazimika atumie mwaka mmoja kusoma lugha kabla hajaanza msomo rasmi hii imetokea watu wengi sana ninaowajua ila wengi huishia na degree au masters za kibongo maana nje kama UK na USA lugha kwao ni changamoto.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 8 месяцев назад +10

    Angekuwa mkazi wa makabila yetu yaaleeee yaaaleeeee eeeeeh.tusingemaliza kutizama hii interview mpaka mwisho.hongera sana dada.

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 8 месяцев назад

      Wale wanakuwaga na mihemko mkoa balaa! Mara mtu wa kwetu hakuna fala!
      Wanajuaga wao ndo wanaakili peke yao!
      Ungesikia wanampongeza na kutaja kabila na anakotoka!

    • @erickchitumbi1308
      @erickchitumbi1308 8 месяцев назад

      @@sambulugu9988 😂🤣😅balaaa

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @zara.smithwick
    @zara.smithwick 7 месяцев назад +2

    Very brilliant African woman. I however think, Tanzania should embrace English language with more emphasis for the benefits of her citizens who may have potential to study and work internationally.

  • @marthalukumay6465
    @marthalukumay6465 8 месяцев назад +6

    Wow ♥️ I love to see a Queen shine . Wanawake wanaweza take your daughter to school

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 8 месяцев назад +10

    Good mtu kama huyu serkali inapaswa kumpa support kubwa!

  • @christinelasway4092
    @christinelasway4092 8 месяцев назад +11

    Hongera sana dada. Much respect for the focus and vision. Very proud of you. ❤ #matundayaudiaspora

  • @AthumaniKimwaga
    @AthumaniKimwaga 8 месяцев назад +4

    Moie. Very good Dada.... Hongera uliitengeza kesho yako kimkakati sana, unastahili kufaidi Matunda. Mungu akusimamie ukue kibiashara kama Mgomba🎉

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 месяцев назад +12

    EDUCATED AND NATURAL BEAUTY. VERY NICE.

  • @henryyuda2989
    @henryyuda2989 8 месяцев назад +9

    Hongera sana dada uko juuu

  • @user-kc6lr3pq2c
    @user-kc6lr3pq2c 8 месяцев назад +2

    Dada hongeraa nakupendaa maana Mungu akubariki sanaa jaman

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 8 месяцев назад +4

    Hongera dada .Ughaibuni ni kupata maarifa tu.maisha yako nyumbani.Wengi wetu hufikiria kuwa ughaibuni ni paradiso na kupoteza akili na uwezo wao huko wasikokubalika na wazungu.Dada huyu ndiyo mfano mzuri na kweli msomi mwenye akili safi na mzalendo.Bila uongo wazungu wanapenda watu wenye akili sana kama huyu hata kazi huko angalipata sema tu kuwa ni mzalendo sana.❤❤Ubarikiwe
    wazungi wazung

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 8 месяцев назад +9

    Hesabu zina watu wake jaamaanii😊❤

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 8 месяцев назад +2

    Hongera sana sana VIA AVIATION. Huu uthubutu ni wa kuigwa. Big up

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 7 месяцев назад +1

    Hongera sn my sister namie nataman sn namie nimpeleke mwanangu Ismail

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 8 месяцев назад +1

    Hongera sana dada.Mungu akutunze.mi natamani uanzishe shule ya marubani. Wako vijana wa kike na kiume wanatamani sana hiyo fani.

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 8 месяцев назад +4

    Hongera sana sana dada .I'm inspired.

  • @georgendosa4025
    @georgendosa4025 8 месяцев назад +4

    We still have real smart women's in this country

  • @judithfimbo3743
    @judithfimbo3743 8 месяцев назад +4

    Congrats Susan Mashibe 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 8 месяцев назад +10

    Nilitamani kuwa pilote saana ila Kuna mwalimu alinidanganya aliniambia nisome hgk ndo ntakuwa pilote kumbe aliniona sijui Sina uwezo wa kusoma science...Sasa hv Nimejiajiri ni boda boda

  • @castromemba6311
    @castromemba6311 8 месяцев назад +2

    Hongera Manager wetu kwa maneno mazuri.

  • @neema_mollel
    @neema_mollel 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉hii safi sana hongera mtanzania mwenzetu . Tunajivunia wewe

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 8 месяцев назад +8

    Tunataka uraia pacha

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai1861 8 месяцев назад +1

    Congrats my dear, you are a hero God bless you

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 8 месяцев назад +1

    Hongera wanawake wakipambana wanaweza

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 8 месяцев назад +1

    Hongera sana kama mmama akupe uwezo zaidi,dada mtanzania huna majivuno.

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 8 месяцев назад +3

    Hongera sana mdada

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 8 месяцев назад

    Hongera sana black is beautiful wanawake tunaweza

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 8 месяцев назад +1

    Pongezi dadangu mungu akueke utumikie taifa

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 8 месяцев назад +4

    Yani sisi wa nje ndo waongeaji wazuri wa kiswahili 😊

    • @adelinachengula8519
      @adelinachengula8519 8 месяцев назад

      Umeonaaaa eee

    • @joyceKingu
      @joyceKingu 8 месяцев назад

      Siku hizi watu wa hapa nyumbani wakiongea kiswahili ati wanachanganya na kiingereza . Naona ni fashion . Lakini tunaharibu kiswahili chetu.

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 7 месяцев назад

    Hongera sana mdogo wetu kwa kutuheshimisha wana Mwanza.

  • @isacknyaga104
    @isacknyaga104 7 месяцев назад

    Saf sana

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 8 месяцев назад +10

    One of gravest mistake with Tanzania is, We let these brainless politicians to think and decide for us, the same brain slipped away from calculating tha value of x in classes is same brain nowadays cant solve for X in in strategic planning and logical thinking for nation problems because in every challenging situations there's an equation defining it, hawa wanasiasa warudi darasani wakatafute ile thamani ya x january shule zinakaribia kufungua

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg 8 месяцев назад +2

    Hongera Dada mungu akubariki

  • @estherboniphace9695
    @estherboniphace9695 8 месяцев назад +2

    Ongera sana

  • @maryjames7438
    @maryjames7438 8 месяцев назад

    Hongera sana dada Mungu akutunze sana

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 8 месяцев назад +1

    Hapo Serengeti Lounge mbona bado sana, unaweza kukutana na keki kipande kimoja tu, na juisi.

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 8 месяцев назад

    Viagreen"' nimeipenda Sanaa hiyo labda kwakua nami ni mdau wa mazingira pongezi sana kwako dada Susan kwa kuenzi mazingira.

  • @Dotto19
    @Dotto19 7 месяцев назад

    Bravo!

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 8 месяцев назад +3

    Big up sana dada lkn kwa kwetu huku mhhhhhh

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 7 месяцев назад

    Asante sana nikipita hapo nakujaa

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 8 месяцев назад

    Hongera sana mkurugenzi Avia Aviation

  • @dorahmwambemba9032
    @dorahmwambemba9032 7 месяцев назад

    Proud of you dadaaaaa

  • @ElieshMvungi-is4xp
    @ElieshMvungi-is4xp 8 месяцев назад

    Hongera dada am so inspired ❤

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 8 месяцев назад

    Hongera ndg karibu Tanzania tutengenezee denge zetu ❤❤❤😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 8 месяцев назад +8

    Mwanamke na nusu 👍
    Hongera sana mrembo.🎉

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 8 месяцев назад +2

      Hao ndio wanawake wanaopeperusha Bendera sio ile mipaka ya baa inayotafuta madanga insta nakurusha connection

    • @devothakalanda9740
      @devothakalanda9740 8 месяцев назад +1

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 8 месяцев назад

      @@fahadfaraj6474 Ni kuwaombea tu Mungu awape ufahamu waache hizo tabia mbaya.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 8 месяцев назад

      @@shyfettymtunda4619 Kuna shida kubwa sana kwa sababu kuna juhudi zakuwapigania wanawake cha ajabu kuna kizazi kinazidi Kua kijinga na kujisifia upuuzi nakuamini kwenye Maisha ya mitandaoni

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 месяцев назад +1

    Honger sana Dada 💙💙💙

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution 8 месяцев назад +1

    hongera sana binti. Tunahitaji vijana watakaofikiri nje ya box kama wewe

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 8 месяцев назад +11

    Hii inchi inawatu wenye akili lakin tunashindwa kuwatunia mfomo umekuwa overloaded na wanasiasa na machawa wasiojua kitu

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 8 месяцев назад +3

      Mfano wakiruhusu uraia pacha utaona kuna giwanda vya watanzania hapa canada nakuna wenye akili acha hasa viw

    • @peterdeus6093
      @peterdeus6093 8 месяцев назад

      @@tanzcanmediatv4473 akili dhaifu iliyoshindwa ku simplify expression darasan haiwezi kupata intelligent solution katika leadership, kuwa na watu magenius kama hawani tunu kwa taifa ila kukataa kuwatumia ndo ujinga wa taifa letu

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah2340 8 месяцев назад

    Nimefurah kunuona mkuu wa wilaya ilemela alikuwa mwalimu wang wa history pia hongera mwanamke mwenzetu

  • @tabithajanethmhella3364
    @tabithajanethmhella3364 8 месяцев назад

    Hongera sana mama, you are a star among stars🤪

  • @TrudiSchutz-og3tj
    @TrudiSchutz-og3tj 8 месяцев назад +1

    Big up Suzy

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 8 месяцев назад +1

    Ingelikuwa ni mkenya saa hii ungelikuta hata kikuyu alishasahau kisa kishi marekani miaka 5 hongera mtz kwakuto haribu lugha mama kswhl

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 месяцев назад

    Mwanamke mashuhuri

  • @bbaccabb9445
    @bbaccabb9445 8 месяцев назад

    BIG UP DADA

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 8 месяцев назад +1

    Wanawake wa kawaida wana akili sanaa angekuwa kisura na makalio asingekuwa na akili hizo

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 8 месяцев назад

    Dada piga kazi piga kazi , Kusanya Pesa mwanangu , wanao kubeza achana nao
    We fanya kazi ingiza Pesa

  • @DainesMwapela-mr4wc
    @DainesMwapela-mr4wc 8 месяцев назад

    👏👏

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 8 месяцев назад

    Nenda US kachukue elimu alafu rudi wekeza apa Tz iyo nmeipenda..Elimu iko mbele tena elimu sio mchezo

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 8 месяцев назад

    Hongera dear sister 🥰

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 8 месяцев назад

    Congratulations 🎉🎉🎉

  • @ndinafaustin6357
    @ndinafaustin6357 8 месяцев назад

    Hana ammmamama

  • @user-dk4pt6lo7q
    @user-dk4pt6lo7q 8 месяцев назад +4

    Wale mabinti waliokuwa wanapenda kuimbiwa imbiwa tunyimbo tuzuri enzi za sec hivi siku hizi wako wapi??😮😮

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 8 месяцев назад

    Mwanamke mashuhuri mkuu kwer kweri

  • @aubreykasoyaga1665
    @aubreykasoyaga1665 8 месяцев назад +1

    Duu kumbe Jeff Bezos amewahi Kuja Tanzania , Yule Mbwa Ana MIHELA.Mingi

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai1861 8 месяцев назад

    Super woman

  • @Biblia273
    @Biblia273 8 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @naimamohamed2216
    @naimamohamed2216 8 месяцев назад

    Uzae Sasa watt maana hizo pesa unamtafutia nani ,,

  • @barakakhemedi1250
    @barakakhemedi1250 8 месяцев назад

    Hongera dada ata doto magari kingereza hakiko vzr ila anapiga Hela 😊😊

  • @imanisanga-sm2hm
    @imanisanga-sm2hm 8 месяцев назад

    Alafu hajidai! Wala hajajichubua nyie!

  • @ndinafaustin6357
    @ndinafaustin6357 8 месяцев назад

    Aliyekuibua abarikiwe tunafurahi naamini watanzania wengi hawajajulikana

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 8 месяцев назад

    Tatizo mnapanda mti ya hovyo mpande mti ya vyakula

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 8 месяцев назад +1

    Alivyojieleza elimu aliyosemea na hizo degree kama umeenda shule unaona huyu mama anajaribu kutulisha matango pori 😅

    • @truthch1642
      @truthch1642 8 месяцев назад

      Sio kweli

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 8 месяцев назад

      @@truthch1642 nimesema kama umeenda shule kwa hiyo wewe haikuhusu

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 8 месяцев назад +1

    Baada ya miaka 10 mtu anarudi bongo, kama mimi ningerudi bongo ndugu zangu wasingenielewa kabisa, hata hivyo sina mtaji wowote bongo kwa hiyo ni vigumu kurudi, bongo ni pazuri kama mtu ukiwa na pesa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 8 месяцев назад

    Woo

  • @yusuphmtotela4871
    @yusuphmtotela4871 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 8 месяцев назад

    Na wala hanaga majivuno ni mtu kwelo kwelo huyu dada

  • @mdetetv6050
    @mdetetv6050 8 месяцев назад +2

    Baba yake alikuwa na pesa Ruban mill-100 ada kwa mwaka mamae nainyea wapi

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 8 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂 eti unainyea wapi 😂😂😂

    • @mdetetv6050
      @mdetetv6050 8 месяцев назад

      @@agnesjohn9382 sure

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 8 месяцев назад

    Nimempenda huyu Dada ni jembe hatarii

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 8 месяцев назад

    Africa yote inaukabila upande wa jobs in government wale wanafaa kupewa hizo jobs hawapewi that's y hata on sports Africa tuko nyuma

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 8 месяцев назад

    SASA WEWE NDO ILIBIDI UWE DIRECTOR WA KAMPUNI YA NDEGE SABABU UNAUELEWA WA PANDE ZOTE KATIKA MAENEO YA ISAFIRI WA ANGA , NA HATA KIMASOKO.,

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 8 месяцев назад

    Yaani labda kama hujaishi ughaibuni na hujasoma ndio unaweza kudanganywa na huyo maana , yaani mara anaongea yeye ni engineer wa ndege mara pilot mara ghafla corona imeingia kazi kakosa marekani ya kutengeneza ndege na Karudi Tanzania 🇹🇿🙈🙈🙈🤣🤣🤣🤣 huo uongo aibu naona mie , yaani hata kwenda kwa daktari wa dentist kuziba jino lako lililobomoka umeshindwa unaongelea kujenga ndege na hamna engineer wa ndege akose kazi nchi zilizoendelea labda uwe engineer wa michongo, jamani watanzania siku hizi tuko wengi ughaibuni na mkidanganya mjipange sana !