SIJAJUA NANI ANAFANYA MAMBO YA KUTEKA WATU, HATA MIMI NAOGOPA, TAHARUKI NI KUBWA, UFANYIKE UCHUNGUZI
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) lenye makao yake makuu Ubungo Kibangu jijini Dar, Antony Lusekelo wengi wamezoea kumuita Mzee wa Upako akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam amefunguka na kuelezea namna alivyoguswa na matukio ya utekaji yanayoendelea.....
Hongera kwa ukweli baba mchungaji
KWeli kabisa bunge la sasa ni maembe kabisa...😅😅😅 linaanzia hapa, linaishia hapa😂
Ni kweli kabisa watanzania wengi tumekuwa wanafiki Sasa hivi kizuri kibaya vyote ndio ukinyoosha maneno tu maisha yako yapo hatarini mpaka unajiuliza hii Aman Gani ambayo aina uhuru wa kuongea Nyerere kaishasema zaman viongozi wasipokuwa makini kuwasikiliza wananchi wataleta hofu na hofu uzaa uoga na uoga uzaa unafiki
Mzee wa Upako umeeleza kwa maarifa ya hali ya juu mnoo. Mungu akatoe hekima ya maneno yako kutumika
Mpaka kucomment kwenye hii video tunaogopa kupotea,,, kwakweli ni taharuki
😂
ame sema ukweli yani hata mie siwez poteza mda wangu kuangalia bunnge ambalo kila anae simama ooh tumshukuru mama kwa kufanya hivi mara vile hakuna hoja za msingi ni UCHAWA TUU
Mmmmh.hadi watu wanaogopa kukoment
Upo sahihi ila vp kuhusu usalama wako baada ya kuongea??
Yule mshkaji wa mbeya pamoja na kilipa wakalud tena kumteka mbaka Leo hajulikan halipo
Mm nitategemea uongoz wa dini zote wataungana na kukemea haya matukio na kuweka maandamano ya aman
Hongera kwa kusema kweli hii tabia ya kuteka watu inaleta sifa mbaya na imeanza kutia doa nchi yetu,kama mtu amekosea ashuhulikiwe kwa mujibu wa sheria,na hii tabia lazima ifike mwisho sasa.Tanzania nchi yetu ni ya amani na hii ndio tunu tuliolithi kwa waasisi wa taifa letu.
Hii nchi ikijakuchafuka itajulikana tu
Ni selikali yetu ndio inayotuteka bhna Sio wengine njoeni mniteke nipo morogoro
Wasiojulikana washakujua😂😂😂😂
😂😂😂 jamaa ww bhana 😂😂
Ndo hapo pasta umenena naalipafani naametekw ten naisi anaeteka polesi watakuwa wanajuwa wenge wanatekw na poles namtamani raisi nyeree
Bongo kama urus tu 😂😂
tatizo ccm hawataki uwaambie ukweli nchi ovyo ila ukisema wanakuteka
💔🇹🇿 no peace ☮️ 💔 uongozi mbaya
Pamoja Na uchizi wako umezungumza ukweli😅😅
Amri ya Mungu inasema usiue
waendelee tuu sku tkikiamsha wataelewa tuu
Hii nchi ni usenge tu viongozi wote ni mbwa
Yani hivyo vyombo ndivyo vinateka watu afu mnata vifanye uchunguzi vitachunguza nini?
Wanaanzia hapa wanaishia hapa mzee kanifurahisha huyu
Mm siongei kitu ncje nkakutana na wajomba
🙏🙏
We mzee noma una akili sana
Waachie vitengo kama hawawezi ulinzi
Walituambia raising amekomesha kuzekwa watu na kupotea mbowe wakati akimsifia mama wa nchi mungu atuvushe
Ilikua muda bado sasa ndio muda wake matukio yameanza.
Wamitego yukowapi sioni ngomazake zikidunda
"alisema" song ameongea kwamba "naapa hii ya mwisho siongei tena" 😂
👍👍
Mh 😂tunatamani ku comment haki ila tunaogopa. Saiv hata comment ambayo haitowafurahisha wakubwa inakua ni ticket ya kwenda Mbinguni 😅
CCM
Wamekubakiza wewe cz unaropokaropoka hovyoo😅😅😅
Mmmh
😂😂😂😂 Bongo ni mwendo wakutekana tu
Mimi nimepoteza mjomba wangu katekwa Hadi Leo utawala wa magufuli
kwel bunge la sasa limekosa mvto
leo mzee kaongea mambo muhimu ya ukweli
Ni kipindi cha uchaguzi. Lazima Serikali ibebeshwe mzigo. Kwakua lazima pawepo na taharuki ya kwamba Serikali iliyopo madaraka imeshindwa kulinda raia wake.
Haya mambo ya utekaji yanaumiza watanzania familia yetu tumepatwa na msiba wa baba mkubwa yeye pia alitekwa wiki tatu zilizo pita jumatatu hii tumempata kafa na viungo baadhi hana inauma kuonaa serikari inachulia kawaida .
Polen
Huyu mzee anasema ukweliiii..
NINAKUPINGA NDUGU UKISEMA KUCHANA PICHA YA RAISI WAWACHWE HAPANA! RAISI NI ISHARA YA UMOJA. SYMBOL OF UNITY!!!
Stupid
So adhabu yakutekwa na kuuawa ni sawa kisa picha?tz hatuna viongozi
Pasta na wewe utatekwa mi sinipo hapa wee endelea tuu hahaha 🤣😂
mbn pete ya freemason
Hiyo n dhahabu na Tanzanite Acha umasikini wa kijinga!! unaamini mtu akiwa na dini awe n maisha duni FUCK
Natamani serikali wasikilize hii hoja
Mimi siamini kwenye Mungu Wa Mbinguni. Kwakua yeye kaumba Mbingu ndo akaishi ndani ya kiumbe chake? Kabla ya kuumba mbingu alikua wapi?
Kwahio wewe ukijenga nyumba yako hauwezi kuishi ndani yake😂 tumia akili basi au kisoda
Alikuwa huko alipo
Nan amekwambia uamini?
Mmmmnh emb fafanua kwanza
Bunge kama sizonii hi nchi itakuja chafukaa awata amini waache waendeletuu