SIJAJUA NANI ANAFANYA MAMBO YA KUTEKA WATU, HATA MIMI NAOGOPA, TAHARUKI NI KUBWA, UFANYIKE UCHUNGUZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) lenye makao yake makuu Ubungo Kibangu jijini Dar, Antony Lusekelo wengi wamezoea kumuita Mzee wa Upako akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam amefunguka na kuelezea namna alivyoguswa na matukio ya utekaji yanayoendelea.....

Комментарии • 60

  • @shafee9128
    @shafee9128 10 дней назад +4

    Hongera kwa ukweli baba mchungaji

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 10 дней назад +8

    KWeli kabisa bunge la sasa ni maembe kabisa...😅😅😅 linaanzia hapa, linaishia hapa😂

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 10 дней назад +3

    Ni kweli kabisa watanzania wengi tumekuwa wanafiki Sasa hivi kizuri kibaya vyote ndio ukinyoosha maneno tu maisha yako yapo hatarini mpaka unajiuliza hii Aman Gani ambayo aina uhuru wa kuongea Nyerere kaishasema zaman viongozi wasipokuwa makini kuwasikiliza wananchi wataleta hofu na hofu uzaa uoga na uoga uzaa unafiki

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM 7 дней назад +1

    Mzee wa Upako umeeleza kwa maarifa ya hali ya juu mnoo. Mungu akatoe hekima ya maneno yako kutumika

  • @FINGATanzania
    @FINGATanzania 10 дней назад +8

    Mpaka kucomment kwenye hii video tunaogopa kupotea,,, kwakweli ni taharuki

  • @user-ih7go2qq6k
    @user-ih7go2qq6k 4 дня назад +1

    ame sema ukweli yani hata mie siwez poteza mda wangu kuangalia bunnge ambalo kila anae simama ooh tumshukuru mama kwa kufanya hivi mara vile hakuna hoja za msingi ni UCHAWA TUU

  • @Jukwaa-7
    @Jukwaa-7 10 дней назад +7

    Mmmmh.hadi watu wanaogopa kukoment

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 9 дней назад +4

    Upo sahihi ila vp kuhusu usalama wako baada ya kuongea??

  • @JoshuaMwanilwa
    @JoshuaMwanilwa 5 дней назад +1

    Yule mshkaji wa mbeya pamoja na kilipa wakalud tena kumteka mbaka Leo hajulikan halipo

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 4 дня назад

    Mm nitategemea uongoz wa dini zote wataungana na kukemea haya matukio na kuweka maandamano ya aman

  • @HemedyLukindo-y9h
    @HemedyLukindo-y9h 10 дней назад

    Hongera kwa kusema kweli hii tabia ya kuteka watu inaleta sifa mbaya na imeanza kutia doa nchi yetu,kama mtu amekosea ashuhulikiwe kwa mujibu wa sheria,na hii tabia lazima ifike mwisho sasa.Tanzania nchi yetu ni ya amani na hii ndio tunu tuliolithi kwa waasisi wa taifa letu.

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 4 дня назад +1

    Hii nchi ikijakuchafuka itajulikana tu

  • @JohnKipalile-bq9ec
    @JohnKipalile-bq9ec 4 дня назад +1

    Ni selikali yetu ndio inayotuteka bhna Sio wengine njoeni mniteke nipo morogoro

    • @alhaqq-tv
      @alhaqq-tv 4 дня назад

      Wasiojulikana washakujua😂😂😂😂

    • @emiliankomba5217
      @emiliankomba5217 4 дня назад

      😂😂😂 jamaa ww bhana 😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 10 дней назад +3

    Ndo hapo pasta umenena naalipafani naametekw ten naisi anaeteka polesi watakuwa wanajuwa wenge wanatekw na poles namtamani raisi nyeree

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 10 дней назад +5

    Bongo kama urus tu 😂😂

  • @user-od8tg1yt3g
    @user-od8tg1yt3g 4 дня назад

    tatizo ccm hawataki uwaambie ukweli nchi ovyo ila ukisema wanakuteka

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 6 дней назад +1

    💔🇹🇿 no peace ☮️ 💔 uongozi mbaya

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 9 дней назад +4

    Pamoja Na uchizi wako umezungumza ukweli😅😅

  • @EmanuelMartinArra
    @EmanuelMartinArra 9 дней назад +1

    Amri ya Mungu inasema usiue

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 4 дня назад

    waendelee tuu sku tkikiamsha wataelewa tuu

  • @beratsanoo5778
    @beratsanoo5778 4 дня назад

    Hii nchi ni usenge tu viongozi wote ni mbwa

  • @officialmandoto
    @officialmandoto 10 дней назад +1

    Yani hivyo vyombo ndivyo vinateka watu afu mnata vifanye uchunguzi vitachunguza nini?

  • @McT-m1m
    @McT-m1m 4 дня назад

    Wanaanzia hapa wanaishia hapa mzee kanifurahisha huyu

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 5 дней назад

    Mm siongei kitu ncje nkakutana na wajomba

  • @SubiraGido-v3l
    @SubiraGido-v3l 5 дней назад

    🙏🙏

  • @waporimediatv5627
    @waporimediatv5627 5 дней назад

    We mzee noma una akili sana

  • @Gavi_255
    @Gavi_255 4 дня назад

    Waachie vitengo kama hawawezi ulinzi

  • @RithaCephas-xt8io
    @RithaCephas-xt8io 9 дней назад

    Walituambia raising amekomesha kuzekwa watu na kupotea mbowe wakati akimsifia mama wa nchi mungu atuvushe

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 5 дней назад

      Ilikua muda bado sasa ndio muda wake matukio yameanza.

  • @DM_15
    @DM_15 9 дней назад +2

    Wamitego yukowapi sioni ngomazake zikidunda

    • @randomclips5474
      @randomclips5474 6 дней назад

      "alisema" song ameongea kwamba "naapa hii ya mwisho siongei tena" 😂

  • @andreaemanuely1895
    @andreaemanuely1895 10 дней назад

    👍👍

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 5 дней назад

    Mh 😂tunatamani ku comment haki ila tunaogopa. Saiv hata comment ambayo haitowafurahisha wakubwa inakua ni ticket ya kwenda Mbinguni 😅

  • @bosstvkenya
    @bosstvkenya 4 дня назад

    CCM

  • @SATZ-news
    @SATZ-news 5 дней назад

    Wamekubakiza wewe cz unaropokaropoka hovyoo😅😅😅

  • @user-ez9vi4pf3g
    @user-ez9vi4pf3g 5 дней назад

    Mmmh

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 10 дней назад +1

    😂😂😂😂 Bongo ni mwendo wakutekana tu

  • @MarkiJoseph
    @MarkiJoseph 9 дней назад

    Mimi nimepoteza mjomba wangu katekwa Hadi Leo utawala wa magufuli

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 4 дня назад

    kwel bunge la sasa limekosa mvto

  • @christophermatupila7165
    @christophermatupila7165 9 дней назад

    leo mzee kaongea mambo muhimu ya ukweli

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 10 дней назад

    Ni kipindi cha uchaguzi. Lazima Serikali ibebeshwe mzigo. Kwakua lazima pawepo na taharuki ya kwamba Serikali iliyopo madaraka imeshindwa kulinda raia wake.

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv 9 дней назад

    Haya mambo ya utekaji yanaumiza watanzania familia yetu tumepatwa na msiba wa baba mkubwa yeye pia alitekwa wiki tatu zilizo pita jumatatu hii tumempata kafa na viungo baadhi hana inauma kuonaa serikari inachulia kawaida .

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 6 дней назад

    Huyu mzee anasema ukweliiii..

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 6 дней назад

    NINAKUPINGA NDUGU UKISEMA KUCHANA PICHA YA RAISI WAWACHWE HAPANA! RAISI NI ISHARA YA UMOJA. SYMBOL OF UNITY!!!

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 5 дней назад

      Stupid

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 5 дней назад

      So adhabu yakutekwa na kuuawa ni sawa kisa picha?tz hatuna viongozi

  • @paulodraughts36
    @paulodraughts36 10 дней назад

    Pasta na wewe utatekwa mi sinipo hapa wee endelea tuu hahaha 🤣😂

  • @lucasathanas9554
    @lucasathanas9554 9 дней назад +1

    mbn pete ya freemason

    • @geofreyj.1986
      @geofreyj.1986 9 дней назад

      Hiyo n dhahabu na Tanzanite Acha umasikini wa kijinga!! unaamini mtu akiwa na dini awe n maisha duni FUCK

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 7 дней назад

    Natamani serikali wasikilize hii hoja

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 10 дней назад

    Mimi siamini kwenye Mungu Wa Mbinguni. Kwakua yeye kaumba Mbingu ndo akaishi ndani ya kiumbe chake? Kabla ya kuumba mbingu alikua wapi?

  • @FrenkMushi-i7f
    @FrenkMushi-i7f 10 дней назад

    Bunge kama sizonii hi nchi itakuja chafukaa awata amini waache waendeletuu