Matatizo hufanya watu kuwa wabunifu.. Tungeni nyimbo zenye lyrics za kufundisha na kuvutia.. wimbo huu una maneno mazuri maana ni kivuli cha maisha yako halisi.
Kumbe bifu nzuri huu wimbo mkali sana sana, sa rayvany hamornize angenyamaza hii ngoma Kali tungeitoa wapi Sasa? Endeleeni mtuletee ngoma.nyingine Kali kam hii na inafunza
Kaka vanny achana na hao makuma.wanawashwa..wanatafuta kiki na wasaf..wasafi oyooooh.watahangaika sana kukutafutia chuki lakin haliwez.kama ht ww unamsaport vanny boy gong like.
Nabeat jepesi kabisa kama acapella tu, jitu halina adabu Jamaa inabidi wizara ya maliasili wampore jina la tembo, tembo ni very good katika familia zao
Wasafi hmna jipya kazi vijembe na kurudisha mashambulizi, Emmmh myamaze wenyewe na mbuni mbinu zipya,Acheni utoto nyinyi ni label kubwa,wala huo sio mziki Nikujitengenezea chuki kwa mashabiki wenu cc. Jaribuni kufanya kitu ambacho ni perfect👌👌❤
Nimejitahidi kunyamaza ila mdogo wangu Vanny bwoy this thing is very big☺️. Great instrumentation, great lyrics, great melodies great everything man you're talented dogo lao keep it real binafsi nimeielewa hii chuma
Ukiachana na ugomvi wenu ambao Mimi haunihusu ila leo ndio nimegundua uwezo wenu wa Kutunga mashairi,upo vizuri Sana pamoja na nyimbo kuwa ni direct kwa Tembo wa bandani ila Ina ujumbe ambao yeyote anaweza usikiliza na kuelewa, keep it on 🙌
Tanzania mko na mambo mengi akii kule vibaya huku nyamaza mi ngoja ninyamaze huku nikijisikia vibaya from Mombasa aki ntahamia Tanzania like hata 400 jamani 😭😭😭🤝
Apa naona tu utoto sioni watu wazima walio komaa, Bifu linawasaidia nn wakati mko na majina makubwa tayari, kaeni muelezane kwenye makosa mrekebishane , love ❤️ na kusaidiana muhimu sisi waafrika. Nawaombeni sana umoja udumishwe 🙏🙏🙏🙏🙏 one love Tanzania 🇹🇿 vs Kenya 🇰🇪
Rayvany hunijuk sikujui Ila kwa sauti yako tu na mashairi yenye mafunzo kwa nyimbo zako nyingi Naomba unipe nafasi ya kukuona.nikubebe japo mgongoni tu Mara moja ili.uione furaha yangu kwako na nidhihirishe jinsi nakupenda na kwa hii ngoma umekonga moyo wangu kabisa. Mungu akuweke miaka Mia zaidi.
Tayari ipo on trending Rayvany konde dada hakuwezi why umeingia studio ukampa thamani yule ni mate yanayo kaukia ardhini dahhh now already on trending USA 💪💪💪
Harmonize alikuwa yuwaimba zake. Huyu kawa mbunifu aje akingoja Harmonize kuimba wimbo wake ndio akamjibu na hakutajwa. Ubunifu ni minding your own business not minding other people's business
Wakenya wenzangu tusaidieni watanzania kutatua hii vita... Kweli kula kuku na kifaranga ni vibaya??? Jeshii alikosea kweli... Like kwa mafans wa Kenya AMUENI
Rayvanny me chenye naeza kwambia ni heri ungenyamaza ww kaa ungekuw n busara lkn kw sababu unakaa mjinga na ata aujajua uzito wa kumiliki Brand,,,ungelijua ungejitoa uko wasafi ujipange kivyako ndo usei izo maneno zko acha kubebwa n iyo Label haikufai unajishusha hadhi broo,,,#Hayakuhusu.......Big up Konde Gang Worldwide 💯💯💯💙💙
Rayvanny Mimi Kama Shabiki wako kuanzia nimekuasi kabisa...... Hufai kuanika mwenzako hadharani kujifurahisha. Wacha kidomo Domo, sisi tumekufuata kwa ajili ya Wasafi, ukitoka Wasafi utapotea hakuna atakaye kufuata. Pumbavu
Who is watching in 2024
Huyu ray ni shidaa ngoma imetulua utadhani katunga mwaka mzima safi
Naisi ujasikiliza vibaya wewe
Nyimbo ya kuumiza akili imeimbwa kwa upole unasikia maneno vizuri kabisa, (sio lushoto kulia) kazi mzuri sana kutoka kwa vanny boy
Yani hii nyimbo nikiskiliza najikuta nakumbuka mahali flani ila basi tu ❤❤
Who is still watching in 2024❤🎉😊😊❤
Nimegundua wakenya wengi ni mashabiki wa rayvanny, weka like hapa tujuane wenzangu....
Nani kakwambia, mbna mimi mkenya na konde ndio habari ya mjini
Konde boy
@@josesombo764 sawa watu wa mmakonde, tunamheshimu kondegang pia❣️
Kama chema basi tuseme ukweli, kinachoniwacha ngizani nani anarejelewa haswa kwa huu wimbo?
Mambo
Tembo amefunga kwa banda
Anataka kula kuku na kifaranga👏👏👏🇰🇪
Ila aka kanyimbo for sure nilikapendaa, uwa sichoki kukasikiliza, sauti iliyotumika ni nzur mno
Rayvany ameweza ijapokuwa ugomvi sio suluhu ya lolote na haingependeza yeyote lakini wasanii wa bongo ni noma na ubunifu chui💪💪💪
Ngoma ya moto sana hiii V Vanny boy wewe ni NOMA...! Wale tunampenda Ray wapi LIKE zangu.🤷♀️
Kama beef inafanya mtuangushie hit kama hizi tunawaombea muendelee🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯
Fala kweli wewe😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🖖
💪💪😂😂😂
Nimependa sana
😀😀😀😀
Vanny boi 🌟keep it up ...my guys togonge likes pale team vanny boi
Matatizo hufanya watu kuwa wabunifu.. Tungeni nyimbo zenye lyrics za kufundisha na kuvutia.. wimbo huu una maneno mazuri maana ni kivuli cha maisha yako halisi.
Sauti za nyimbo za misibani
Hhhhhhh konde kimeumana
Nyimbo imejaa hekimaa ile nyingine ya kumuomba mtu asiendelee kutoa madudu yake hadharani👐👐
Dem wa vanny
Badooooooooo sana jomoniiii tuache unafki hapa rayvan hii nyimbo haimchomoi hamo bado tuko on trend team Kondeeee boyyyyyy😜😜😜😜
Mashairi bado kawazidi akili wcb #jeshi
Na hatubanduki team konde hoyeee😘😘😘
Van boy achana nayo namambo ambayo hayakuus mbona nikijana mzuri tuuunaimba vizuri unashindwa kufanya kaziyako unafatilia mambo ya kitoto
Huyu jamaa anajua Sana tena Sana, Yan ndan ya siku moja kamjibu harmo Tena kwa mistari mikali, nipeni like Kama mnamkubali chui
Kwn harmonize alikaa miez saba ndo kajb??
Unae soma comments huku unaisikiliza wimbo huu naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏❤️
😃
naomba jimbo ya daimond mpya kama. Ipo
@@bakariabdallah6417 okay
Amen
@@pascalmsuyajr.7980 shukran kakangu 💪💪❤️
Yaani Tanzania wasanii wakikosana wanajibizana na nyimbo aah I love this 🇰🇪
Kajambe uko kwan inakuhus😎 Mfyuuuuuu Sura km Kucha za ngedere
Ww yako km bundi@@suleshsultan2587
Kumbe bifu nzuri huu wimbo mkali sana sana, sa rayvany hamornize angenyamaza hii ngoma Kali tungeitoa wapi Sasa? Endeleeni mtuletee ngoma.nyingine Kali kam hii na inafunza
Sio kila muda mdomo utumika kwa maongezi tu , wakati mwingine tumia kupumua # kunyamaza like it💪💪💪
RUclips inaunguaaaaaaaaa wapi Harmonize Akuje tumwone sasa😂😂😂VANNYBOY We ni mnomaa💪💪💪💪💪💪💪💪👑👑
Wewe umesikiza nyimbo ya tembo ama ukuruputwa tuh..
@@ragnusempireworldwide7583 ongeza saut hajasikia vizuri paka huyo 😏😏😏😏
Bongo mtaniua😂😂 ray amezidi ......tumngoje harmonize naye atoe yake .....
Love all the way from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Alishatoa kitambo
Umechelewa huyu kajibu kiherere hatoshi ATA simba haezi tetemesha Tembo msituni
Ovyoooo hata Hailet maana , wew mbna hujanyamaza, kweli nyani haoni kundule,, Mambo ipo kule #Vibaya, ATTITUDE,
Jamani huyu jamaa ananibembeleza Inga sio mm anaye nichamba,daah sauti ya upole mashaalla,wooow,
Congo nawapata vizuri naombeni like zenu🤗🤗
Macho hayana pazia ...ulimwona anavutia...💙💙💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Ray Kenyan 💙
Kaka vanny achana na hao makuma.wanawashwa..wanatafuta kiki na wasaf..wasafi oyooooh.watahangaika sana kukutafutia chuki lakin haliwez.kama ht ww unamsaport vanny boy gong like.
Aty Harmonize anadai kula kuku na vifaranga🇰🇪🇰🇪 it's a wise saying from our neighborhood 255🇰🇪wapi like ya Kenya my fellow Kenyans🇰🇪
Msanii mwenye kipaji chake cha kipekee🔥🔥🔥Big up Vannyboy🤙🤙🤙
Yaaani nmejua wabongo mapenzi inafanya mtoe ngoma ata kali zaidi😂😂😂🎶🎶🔥🔥🔥🔥wacha #nyamaze sababu sina la maana😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
ruclips.net/video/1_H4h28m0bE/видео.html
Bora angenyamaza au sio!😮
Hii Ni vita ya atari ndugu zangu sisi nikunyamanza na kuwasikiriza wao Daaah nlm gonga lik
Huyu Vanny ,,,, kweli Ni chui🔥🔥,, next level music,,, nipewe zangu likes💪,,,,
Huyu msanii anajua kuimba kuliko maelezo pia anahekima Sana 🙏🙏
Anachojua ni kipi xx apo hyu ni muimba taarabu2
@@gery.97robart61 kuliko tembo
Acha zako ww
Nabeat jepesi kabisa kama acapella tu, jitu halina adabu Jamaa inabidi wizara ya maliasili wampore jina la tembo, tembo ni very good katika familia zao
@@arsenewenga5829 kumbe ww jaman unashabikia mtu sio nyimbo
Mdogo wangu Kama unajiamini next level Ni Kali kushinda kondegang jitenge kabisa na wcb ubanje mwenyewe tukunauwo
Hayupo kushindana na mtu baali kufanya vitu vya kumpatia mafanikio
Nimekam kusoma comments 🤣🤣🤣 ray nakupenda bure💞💞💞🇰🇪🇰🇪
Weka pombe ,sigara chini tuongee. Ulisema mengi ulitaka nipotee. Ulimwengu n kama chuo😂💪💪#nyamaza
Jaman sijawai pata hata likes 500.nipeni kwa ajili ya chui
ruclips.net/video/wSNFtLCvZTI/видео.html🙏🙏
Wasafi hmna jipya kazi vijembe na kurudisha mashambulizi, Emmmh myamaze wenyewe na mbuni mbinu zipya,Acheni utoto nyinyi ni label kubwa,wala huo sio mziki Nikujitengenezea chuki kwa mashabiki wenu cc. Jaribuni kufanya kitu ambacho ni perfect👌👌❤
Na, NYAMAZA tu nikingoja kuidowloadi NYAMAZA kwenye playlist yangu! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Itafika lini???
Ulimwengu ni kama chuo! Daaah! 🤔🤔👌👌👌✌🔥🔥
Mmmh kweli maana inapendeza saan #254
Fact
He is my best song writer with perfect vocal ...sauti kaumbwa nayo, ubunifu kazaliwa nao
Very true
Nampenda mpaka nachanganyikiwa
Mungu alimtunuku.anabembeleza kama.aslay.
@@caslidajosephat8912 huyu ni zaidi ya aslay
Nimejitahidi kunyamaza ila mdogo wangu Vanny bwoy this thing is very big☺️. Great instrumentation, great lyrics, great melodies great everything man you're talented dogo lao keep it real binafsi nimeielewa hii chuma
Kweli bro
Nyamaza bro
Nimegudua mashapiki wate wakenya wa ravnnyn 🎤🎤🎧🐅🐅
safi nyimbo kali ya kufunza kabsa NLM and WCB for my life
Vanny boy multipurpose artist anaweza kuimba kila aina y mziki tunaomkubali tugong like hapo
Mi sauti tuu,I like it
Yaani #Simba 🦁 yeye ka achia uwanja watoto wake 🐘 na 🐯 duuh!😔
Nishida
Ukiachana na ugomvi wenu ambao Mimi haunihusu ila leo ndio nimegundua uwezo wenu wa Kutunga mashairi,upo vizuri Sana pamoja na nyimbo kuwa ni direct kwa Tembo wa bandani ila Ina ujumbe ambao yeyote anaweza usikiliza na kuelewa, keep it on 🙌
Daaah Rayvanny kweli anafundisha so hii ni dunia tunavaa tueshimu wazazi wetu naombeni like za chui 😎👂✊
Aty ajez....?c inaflow kuflow 🔥🔥, 🔥, wadau nany anapitia kwa comments akasikia utamu wa ngoma ✋,gonga like
Hongera sana vany boy kwa kazi nzuri sana yaani umejituma kwakweli 👌👌😘👌♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🎈🎈🎈🎈🎈Hiyo nijipu ulilo toboa
Hongera Sana vanny boy kwa kazi nzuri
Naipenda hii wimbo sana
Hakuna hasira kwa industry 😂 nipe nikupe.. likes🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Vanny Kama vanny daaah tungojee Tuone huu muchezo utaishia wapi?? Jameni nipe likes sijafikisha hata 50
Tanzania mko na mambo mengi akii kule vibaya huku nyamaza mi ngoja ninyamaze huku nikijisikia vibaya from Mombasa aki ntahamia Tanzania like hata 400 jamani 😭😭😭🤝
Apa naona tu utoto sioni watu wazima walio komaa, Bifu linawasaidia nn wakati mko na majina makubwa tayari, kaeni muelezane kwenye makosa mrekebishane , love ❤️ na kusaidiana muhimu sisi waafrika. Nawaombeni sana umoja udumishwe 🙏🙏🙏🙏🙏 one love Tanzania 🇹🇿 vs Kenya 🇰🇪
The means of hip-hop is just like dis
Hewa jamaa hawafanyi hip hop
🔥🔥🔥 kma unasikiliza huku unasoma comment dondosha like
Sure kabisa bora kunyamaza coz ukiongea sawa na unajiosha,,,,,yaaaaan sio tu kusema mabaya ya mwenzako..#BORA #ANGENYAMAZA
Likes nyingi #Van Fans
Rayvanny my favorite African Artist nakupenda sana , listening from 🇿🇲🇺🇸
From USA duuh macho yangu tu
Hata Mimi nakubali sn huyu jamaa
Eeee
Aahh Rayvany big love to you
Nyimbo tamu ,
Sio mikelele ya Yule chibonge
Hili ni funzo kwa baba wote wa kambo 🤣🤣🤣😄🙊💯vannyboy utaniuwa#@ NYAMAZA
RUclips kumewaka😂😂huu mchezo ni mtamu ajabu nipeni likes za #Nyamaza
But yataisha tu la muhimu n kumaliza hisia kutoka moyoni NLM 🦅🦅🦅
@Dogo charlie 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 mbona kenya hakuna uu mchezo.....
Usiogope brow me apa nimeamua kuacha ata kula nifuatilie huu ugomvi ndo nisipitwe ata chembe ya udaku....
Nyamaza yenyewe mbovu beat🤮🤮
Kikiiiiiiiikiiii Kumbe ray ana majabu hivi duh😀
Nani anaskiza then kwenda kwa harmonize kuskiza kule pia ? Natakatu likes 100 jameni East Africans ❤️❤️❤️
Usiwaze team wcb k town one
Ngoja ninyamaze
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Which language is this ?? ruclips.net/video/31v4umVeBT4/видео.html
Hii ndio rada unamaliza huku mbio kaa Harmonize
babaaa I like the truth in that song people should learn to have respect .... kwani baadaye ndo wameona uzuri wa kitu
Hiii ndo yenywe ss team ray tuko wap jmn amken jmm
Bhana weeeeeeeee
Jamaniiiiiiii bongo siondoki Ata robo nipen like zenu fasta nizid kubaki bongo🤣🤣🤣🤣
YOU KNOW WHAAAT🔥🔥🔥🔥🔥
#vanisakaka unesikia hiyo tembo kafugwa kwa banda.....anataka kula kuku na vifaranga
Ni kama ile yangu "Ni vibaya tembo kula mbuzi na mwana" nadhan hapa itakua imekuja kua na mantiki though ulinipa kosa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@realnine.. ha ha sikuelewa hiyo mbuzi🤣🤣 Safiii saana 🔥🔥
You know whatttttt,🔥🔥🔥. Noma hii🇰🇪🙏🏾
@@Vanisikaka 😂😂😂😂😂😂😂😂
Rayvany uko chini Tena sana kafagie kwako msenge wewe...jeshi to the kimziki hufiki hapo
mnapotoa hizi comment muwe mnakumbuka kuwa Rayvanny ni B.E.T winner😂😂😂😂
❤️🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa
Kwaza rudi shule ndio ukajue kuandika winner.
Raymond kama Werner tu
Dah tumegomaaa🤣🤣🤣🤣
Wakenya in the house wapi likes zangu 👏
Hii nayo najua meant for Harmonize 😂😂😂😂Let the dude get the message
🇰🇪💪
Huu ni ujinga ndio maana Alikiba ni King yeye huwa haongei
wewe kweli utopolo dah
Hii ni ujinga....team harmo
@@ericadi2547 I agree💙👊
hahaha tembo anaefugwa kwa banda😅😅😅 huu mwaka wamoto🔥🔥🔥 jamani bongo sihami mimi
Rayvany hunijuk sikujui Ila kwa sauti yako tu na mashairi yenye mafunzo kwa nyimbo zako nyingi Naomba unipe nafasi ya kukuona.nikubebe japo mgongoni tu Mara moja ili.uione furaha yangu kwako na nidhihirishe jinsi nakupenda na kwa hii ngoma umekonga moyo wangu kabisa. Mungu akuweke miaka Mia zaidi.
Rayvanny hapo sasa mwambie bro!!!!!! Like za rayvany watu wangu
Sauti tu inaniuwa mimi jameni ray tuoneye huruma kwaiyi voice 🔥🔥🔥
Tayari ipo on trending Rayvany konde dada hakuwezi why umeingia studio ukampa thamani yule ni mate yanayo kaukia ardhini dahhh now already on trending USA 💪💪💪
Huna lolote, konde sio level yake baba...kondegang 4life💪
Uko chini vanny...
Sikiiza ngoma vibaya ya tembo..
Kenyan love for konde
Tembo anaefugwa kwa banda anataka kula kuku na kifaranga😂 like basi kama ume appreciate creativity..🤗
Hakuna kitu hapob
Hamna kitu hapo kabisa ☹️😏❌🚫
😂🙊💯🤣🤣
Anataka au tayari😀😀😀😀😀😀
ruclips.net/video/Gdl-e1AqaX8/видео.html 🤣🤣🤣🤣
Kweli Bora angenyamaza... Rayvanny I like your creativity. Kwa kiswahili tunaiita ubunifu au sio...? Wapi likes za kwangu jamani?
Yah jamaa ni fundi
Harmonize alikuwa yuwaimba zake. Huyu kawa mbunifu aje akingoja Harmonize kuimba wimbo wake ndio akamjibu na hakutajwa. Ubunifu ni minding your own business not minding other people's business
😂 ruclips.net/video/9VINaNBAlFU/видео.html
Sibishani mie... Wacha nikojowe nikalale
Ni wangapi tumekuja kusoma comments tu!
👍
Mi niwakusoma comments tu
Mimi hapa
Mwambie baba ungekua karbu ningekup ata busu 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰😘😘😘😘
🙋
Mbona bado unasema mengi ukitaka nipotee😌
From USA 🇺🇸, ray never disappoint his people, #nyamanza tu tusiendembale njomba nchumali
wale wasomaji wa comments gonga like tujuane🤗🤗
Tupo weng tyu
Nipogo tu masikio yamenisimama nasoma comments
Kweli Tanzania tuna big talents aisee...tuna wanamuziki wawili wametunga nyimbo in one day🤣🙌
Hyo inaitwa kampa kampa tena! Bao ni 1-1
Hahahaha kweli kabisa
Hii utopolo bna🤣🤣🤣
@@braggadachu1723 😂😂😂😂😂😂😂😂
wapu huuuu siyo mtamu hata kidogo beat mbovu kwanza
You never disappoint rayvanny kama wampenda ray ebu weka like kwa wingi kweli macho hayana pasia🤔
Aya Sasa msitu umechafukwa chui kajitokeza sas anaonyesha mungurumo wake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣like kwa chui wakee 🏋️♀️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daah chui Leo umejuwa kutukamata wapenda udaku mbn Mambo pambe tu likes za chui jamani
Wakenya wenzangu tusaidieni watanzania kutatua hii vita... Kweli kula kuku na kifaranga ni vibaya??? Jeshii alikosea kweli... Like kwa mafans wa Kenya AMUENI
Kivyangu ikishajipa imejipa.... Sio
Jeshi ako sawa ukiacha nn kufwatilia
Mwewa ukula kifaranga kama kuku amenda kutangatanga meaning hajue kutacare of her 🐣.
Zikiwa edible unakula hadi yai😂😂
Vifaranga kwanza lazma viwe vitamu sio @harmonize
Rayvanny me chenye naeza kwambia ni heri ungenyamaza ww kaa ungekuw n busara lkn kw sababu unakaa mjinga na ata aujajua uzito wa kumiliki Brand,,,ungelijua ungejitoa uko wasafi ujipange kivyako ndo usei izo maneno zko acha kubebwa n iyo Label haikufai unajishusha hadhi broo,,,#Hayakuhusu.......Big up Konde Gang Worldwide 💯💯💯💙💙
not really remember umoja ni nguvu. not only the name been together to feed the community with good songs
Alieona kua rayvanny kaimba kama saida kalori tujuane hapa😁😁
😃
Huyo ndo nani
Hahaha
Mtapata tabu sana konde hawezekani ni nouma sana anapambana na Kijiji.
😄😄😄
najua wakenya tuko,ku-compare ni gaani kali!,hehehe
kali tushaijua😂😂
Kari hatar alaf angalia viewers utajua tofauti ya ngoma kari ipi na ipi
Vibayaa mse 🔥🔥🔥❤️
Mbona kama wamekuonea sana unalalamika kaka
vanny bwai
Kweli chui noma kabc ‼️✌🏾ngoma yangu ya mwisho iyi kabla ya kufunga ✌🏾🤞🏾
mutafunga liti
Rayvanny Mimi Kama Shabiki wako kuanzia nimekuasi kabisa...... Hufai kuanika mwenzako hadharani kujifurahisha. Wacha kidomo Domo, sisi tumekufuata kwa ajili ya Wasafi, ukitoka Wasafi utapotea hakuna atakaye kufuata. Pumbavu
Weka boxer wapi???
Likes za rayvanny ziko wapi😂😂💞
,,
😂😂😂😂😂
Boxer usiweke pembeni😜😜
Aise Kama umependa hii reply nipe likes
libayaaaaaaa kama la mazishi
Team vanny boy mko wapiii🥵
Tupo
Here 🙌🏼😂❤️
Tupoooo
Tuko apa
Weng sana
Ibraah ,, unaweza kafukuzwa wasafi usainiwe konde,, ryvanny ,,, Bora ungenyamaza😂😂😂 sisemi kitu
Wadaku wenzangu kutoka 254 gonga 👍
😂😂😂😂😂😂am loving the air. Full of drama,,,, aaaah Konde boy, Ibraah, chui🔥🔥🔥. Nahamia TZ mie
Hahahaha apokwa udaku kunavile nilikwama
😂😂😂😂 what a name 🤦
Hii ni noma
Which language is this ?? ruclips.net/video/31v4umVeBT4/видео.html
When Rayvanny said "Weka pombe sigara chini subiri tuongee; zima kijiti marijuana za nini ngoja tuongee" I felt that 😂😂😂😂😂
What does the same phrase mean?
Rayvany hajatajwa kwa ngoma ya harmonize,sasa bona anajiongelesha??😆😆😆😆
I don't understand swahili,,, translate for me in english
@@ELISSKGTV Sasa mbona unahaha😂chuiiii
@@mubuukwanunawa857 Rayvany is mad because harmonize is successful 😆😆😆
likes za vanny boy nakupenda bure
😄😄
Kenyans we rule everywhere si IMF pia kwa majirani sisi ndio kusema kama wampenda Ray ndugu yetu usipite bila like🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️