Rayvanny - Nyamaza (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Follow Rayvanny On:
    Twitter : / rayvanny
    Instagram : / rayvanny
    For Bookings:
    Email: rayvanny@wcbwasafi.com

Комментарии • 8 тыс.

  • @Mossetmanman-e4z
    @Mossetmanman-e4z 3 месяца назад +12

    Who is watching in 2024

  • @samwelnwaka7602
    @samwelnwaka7602 3 года назад +24

    Huyu ray ni shidaa ngoma imetulua utadhani katunga mwaka mzima safi

  • @sidearsenal666
    @sidearsenal666 3 года назад +25

    Nyimbo ya kuumiza akili imeimbwa kwa upole unasikia maneno vizuri kabisa, (sio lushoto kulia) kazi mzuri sana kutoka kwa vanny boy

  • @OliviaDaniel-y2q
    @OliviaDaniel-y2q 6 месяцев назад +6

    Yani hii nyimbo nikiskiliza najikuta nakumbuka mahali flani ila basi tu ❤❤

  • @Mossetmanman-e4z
    @Mossetmanman-e4z 3 месяца назад +8

    Who is still watching in 2024❤🎉😊😊❤

  • @vannybwoy2216
    @vannybwoy2216 3 года назад +340

    Nimegundua wakenya wengi ni mashabiki wa rayvanny, weka like hapa tujuane wenzangu....

    • @josesombo764
      @josesombo764 3 года назад +8

      Nani kakwambia, mbna mimi mkenya na konde ndio habari ya mjini

    • @osaybrian2126
      @osaybrian2126 3 года назад +2

      Konde boy

    • @vannybwoy2216
      @vannybwoy2216 3 года назад

      @@josesombo764 sawa watu wa mmakonde, tunamheshimu kondegang pia❣️

    • @andrewmasavi8270
      @andrewmasavi8270 3 года назад +1

      Kama chema basi tuseme ukweli, kinachoniwacha ngizani nani anarejelewa haswa kwa huu wimbo?

    • @babe4851
      @babe4851 3 года назад +2

      Mambo

  • @duncanomanga4742
    @duncanomanga4742 3 года назад +18

    Tembo amefunga kwa banda
    Anataka kula kuku na kifaranga👏👏👏🇰🇪

  • @zinaidastalin7443
    @zinaidastalin7443 3 года назад +3

    Ila aka kanyimbo for sure nilikapendaa, uwa sichoki kukasikiliza, sauti iliyotumika ni nzur mno

  • @tomdesnippermchelsea8717
    @tomdesnippermchelsea8717 3 года назад +10

    Rayvany ameweza ijapokuwa ugomvi sio suluhu ya lolote na haingependeza yeyote lakini wasanii wa bongo ni noma na ubunifu chui💪💪💪

  • @asmahussein2779
    @asmahussein2779 3 года назад +26

    Ngoma ya moto sana hiii V Vanny boy wewe ni NOMA...! Wale tunampenda Ray wapi LIKE zangu.🤷‍♀️

  • @Steppinmunga
    @Steppinmunga 3 года назад +46

    Kama beef inafanya mtuangushie hit kama hizi tunawaombea muendelee🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯

  • @collincemcapola463
    @collincemcapola463 Год назад +4

    Vanny boi 🌟keep it up ...my guys togonge likes pale team vanny boi

  • @lulandala
    @lulandala 3 года назад +12

    Matatizo hufanya watu kuwa wabunifu.. Tungeni nyimbo zenye lyrics za kufundisha na kuvutia.. wimbo huu una maneno mazuri maana ni kivuli cha maisha yako halisi.

  • @Kamugajr15
    @Kamugajr15 3 года назад +46

    Nyimbo imejaa hekimaa ile nyingine ya kumuomba mtu asiendelee kutoa madudu yake hadharani👐👐

  • @esthershaban6103
    @esthershaban6103 3 года назад +15

    Badooooooooo sana jomoniiii tuache unafki hapa rayvan hii nyimbo haimchomoi hamo bado tuko on trend team Kondeeee boyyyyyy😜😜😜😜

    • @joshfaulu2156
      @joshfaulu2156 3 года назад

      Mashairi bado kawazidi akili wcb #jeshi

    • @carolynenjoki7854
      @carolynenjoki7854 3 года назад +2

      Na hatubanduki team konde hoyeee😘😘😘

  • @farajijonass9226
    @farajijonass9226 3 года назад +1

    Van boy achana nayo namambo ambayo hayakuus mbona nikijana mzuri tuuunaimba vizuri unashindwa kufanya kaziyako unafatilia mambo ya kitoto

  • @geofreyjordan7166
    @geofreyjordan7166 3 года назад +14

    Huyu jamaa anajua Sana tena Sana, Yan ndan ya siku moja kamjibu harmo Tena kwa mistari mikali, nipeni like Kama mnamkubali chui

  • @ramaahke512
    @ramaahke512 3 года назад +346

    Unae soma comments huku unaisikiliza wimbo huu naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏❤️

  • @celestinengetich6904
    @celestinengetich6904 3 года назад +29

    Yaani Tanzania wasanii wakikosana wanajibizana na nyimbo aah I love this 🇰🇪

    • @suleshsultan2587
      @suleshsultan2587 3 года назад

      Kajambe uko kwan inakuhus😎 Mfyuuuuuu Sura km Kucha za ngedere

    • @ben-lc8nw
      @ben-lc8nw 2 месяца назад

      Ww yako km bundi​@@suleshsultan2587

  • @caslidajosephat8912
    @caslidajosephat8912 3 года назад +2

    Kumbe bifu nzuri huu wimbo mkali sana sana, sa rayvany hamornize angenyamaza hii ngoma Kali tungeitoa wapi Sasa? Endeleeni mtuletee ngoma.nyingine Kali kam hii na inafunza

  • @greenoh1104
    @greenoh1104 3 года назад +25

    Sio kila muda mdomo utumika kwa maongezi tu , wakati mwingine tumia kupumua # kunyamaza like it💪💪💪

  • @oduoredwin69
    @oduoredwin69 3 года назад +13

    RUclips inaunguaaaaaaaaa wapi Harmonize Akuje tumwone sasa😂😂😂VANNYBOY We ni mnomaa💪💪💪💪💪💪💪💪👑👑

  • @latifaau6356
    @latifaau6356 3 года назад +13

    Bongo mtaniua😂😂 ray amezidi ......tumngoje harmonize naye atoe yake .....
    Love all the way from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @rhodangama
      @rhodangama 3 года назад

      Alishatoa kitambo

    • @mjombasheebz6197
      @mjombasheebz6197 3 года назад

      Umechelewa huyu kajibu kiherere hatoshi ATA simba haezi tetemesha Tembo msituni

  • @mwajumachitivi6330
    @mwajumachitivi6330 3 года назад +2

    Ovyoooo hata Hailet maana , wew mbna hujanyamaza, kweli nyani haoni kundule,, Mambo ipo kule #Vibaya, ATTITUDE,

  • @remtymsangi6365
    @remtymsangi6365 3 года назад +18

    Jamani huyu jamaa ananibembeleza Inga sio mm anaye nichamba,daah sauti ya upole mashaalla,wooow,

  • @yusuphcharles1497
    @yusuphcharles1497 3 года назад +119

    Congo nawapata vizuri naombeni like zenu🤗🤗

  • @kundiboi2115
    @kundiboi2115 3 года назад +14

    Macho hayana pazia ...ulimwona anavutia...💙💙💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Ray Kenyan 💙

  • @deosixkawishe6062
    @deosixkawishe6062 3 года назад +2

    Kaka vanny achana na hao makuma.wanawashwa..wanatafuta kiki na wasaf..wasafi oyooooh.watahangaika sana kukutafutia chuki lakin haliwez.kama ht ww unamsaport vanny boy gong like.

  • @danielkoin3194
    @danielkoin3194 3 года назад +15

    Aty Harmonize anadai kula kuku na vifaranga🇰🇪🇰🇪 it's a wise saying from our neighborhood 255🇰🇪wapi like ya Kenya my fellow Kenyans🇰🇪

  • @stanleymusyoka6038
    @stanleymusyoka6038 3 года назад +24

    Msanii mwenye kipaji chake cha kipekee🔥🔥🔥Big up Vannyboy🤙🤙🤙

  • @caroljoshua2202
    @caroljoshua2202 3 года назад +26

    Yaaani nmejua wabongo mapenzi inafanya mtoe ngoma ata kali zaidi😂😂😂🎶🎶🔥🔥🔥🔥wacha #nyamaze sababu sina la maana😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @asololacomedy495
      @asololacomedy495 3 года назад

      ruclips.net/video/1_H4h28m0bE/видео.html

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +3

    Bora angenyamaza au sio!😮

  • @mobrighttz193
    @mobrighttz193 3 года назад +16

    Hii Ni vita ya atari ndugu zangu sisi nikunyamanza na kuwasikiriza wao Daaah nlm gonga lik

  • @alvinmwendwa8356
    @alvinmwendwa8356 3 года назад +31

    Huyu Vanny ,,,, kweli Ni chui🔥🔥,, next level music,,, nipewe zangu likes💪,,,,

  • @asilimpya31
    @asilimpya31 3 года назад +41

    Huyu msanii anajua kuimba kuliko maelezo pia anahekima Sana 🙏🙏

    • @gery.97robart61
      @gery.97robart61 3 года назад +2

      Anachojua ni kipi xx apo hyu ni muimba taarabu2

    • @arsenewenga5829
      @arsenewenga5829 3 года назад

      @@gery.97robart61 kuliko tembo

    • @issayassni8909
      @issayassni8909 3 года назад

      Acha zako ww

    • @geeva99
      @geeva99 3 года назад

      Nabeat jepesi kabisa kama acapella tu, jitu halina adabu Jamaa inabidi wizara ya maliasili wampore jina la tembo, tembo ni very good katika familia zao

    • @gery.97robart61
      @gery.97robart61 3 года назад

      @@arsenewenga5829 kumbe ww jaman unashabikia mtu sio nyimbo

  • @euticasmburu6880
    @euticasmburu6880 3 года назад +3

    Mdogo wangu Kama unajiamini next level Ni Kali kushinda kondegang jitenge kabisa na wcb ubanje mwenyewe tukunauwo

    • @bmdesigner5545
      @bmdesigner5545 3 года назад

      Hayupo kushindana na mtu baali kufanya vitu vya kumpatia mafanikio

  • @yvonnembithe7303
    @yvonnembithe7303 3 года назад +52

    Nimekam kusoma comments 🤣🤣🤣 ray nakupenda bure💞💞💞🇰🇪🇰🇪

  • @nelsononditi9521
    @nelsononditi9521 3 года назад +27

    Weka pombe ,sigara chini tuongee. Ulisema mengi ulitaka nipotee. Ulimwengu n kama chuo😂💪💪#nyamaza

  • @Mr_loveness
    @Mr_loveness 3 года назад +115

    Jaman sijawai pata hata likes 500.nipeni kwa ajili ya chui

    • @thecomedian8626
      @thecomedian8626 3 года назад

      ruclips.net/video/wSNFtLCvZTI/видео.html🙏🙏

  • @joanitharweikiza2416
    @joanitharweikiza2416 3 года назад +1

    Wasafi hmna jipya kazi vijembe na kurudisha mashambulizi, Emmmh myamaze wenyewe na mbuni mbinu zipya,Acheni utoto nyinyi ni label kubwa,wala huo sio mziki Nikujitengenezea chuki kwa mashabiki wenu cc. Jaribuni kufanya kitu ambacho ni perfect👌👌❤

  • @maureenkanana5829
    @maureenkanana5829 3 года назад +28

    Na, NYAMAZA tu nikingoja kuidowloadi NYAMAZA kwenye playlist yangu! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    Itafika lini???
    Ulimwengu ni kama chuo! Daaah! 🤔🤔👌👌👌✌🔥🔥

  • @amirmugo1850
    @amirmugo1850 3 года назад +45

    He is my best song writer with perfect vocal ...sauti kaumbwa nayo, ubunifu kazaliwa nao

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 3 года назад +15

    Nimejitahidi kunyamaza ila mdogo wangu Vanny bwoy this thing is very big☺️. Great instrumentation, great lyrics, great melodies great everything man you're talented dogo lao keep it real binafsi nimeielewa hii chuma

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Год назад +2

    Nimegudua mashapiki wate wakenya wa ravnnyn 🎤🎤🎧🐅🐅

  • @amlialoyce619
    @amlialoyce619 3 года назад +11

    safi nyimbo kali ya kufunza kabsa NLM and WCB for my life

  • @athumanibakari9336
    @athumanibakari9336 3 года назад +13

    Vanny boy multipurpose artist anaweza kuimba kila aina y mziki tunaomkubali tugong like hapo

  • @adrienmaxpayajr.1799
    @adrienmaxpayajr.1799 3 года назад +12

    Yaani #Simba 🦁 yeye ka achia uwanja watoto wake 🐘 na 🐯 duuh!😔

  • @shomviyanga943
    @shomviyanga943 3 года назад +2

    Ukiachana na ugomvi wenu ambao Mimi haunihusu ila leo ndio nimegundua uwezo wenu wa Kutunga mashairi,upo vizuri Sana pamoja na nyimbo kuwa ni direct kwa Tembo wa bandani ila Ina ujumbe ambao yeyote anaweza usikiliza na kuelewa, keep it on 🙌

  • @onebillionere2014
    @onebillionere2014 3 года назад +17

    Daaah Rayvanny kweli anafundisha so hii ni dunia tunavaa tueshimu wazazi wetu naombeni like za chui 😎👂✊

  • @tonnykorir9120
    @tonnykorir9120 3 года назад +22

    Aty ajez....?c inaflow kuflow 🔥🔥, 🔥, wadau nany anapitia kwa comments akasikia utamu wa ngoma ✋,gonga like

  • @lukandamizasimbi44
    @lukandamizasimbi44 3 года назад +10

    Hongera sana vany boy kwa kazi nzuri sana yaani umejituma kwakweli 👌👌😘👌♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🎈🎈🎈🎈🎈Hiyo nijipu ulilo toboa

  • @MarykaburaNyambura
    @MarykaburaNyambura Год назад +3

    Naipenda hii wimbo sana

  • @Nnke-pd1zw
    @Nnke-pd1zw 3 года назад +139

    Hakuna hasira kwa industry 😂 nipe nikupe.. likes🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @evishorts4543
    @evishorts4543 3 года назад +48

    Vanny Kama vanny daaah tungojee Tuone huu muchezo utaishia wapi?? Jameni nipe likes sijafikisha hata 50

  • @aliyah.m.hussein941
    @aliyah.m.hussein941 3 года назад +8

    Tanzania mko na mambo mengi akii kule vibaya huku nyamaza mi ngoja ninyamaze huku nikijisikia vibaya from Mombasa aki ntahamia Tanzania like hata 400 jamani 😭😭😭🤝

  • @alikarisa9606
    @alikarisa9606 3 года назад +6

    Apa naona tu utoto sioni watu wazima walio komaa, Bifu linawasaidia nn wakati mko na majina makubwa tayari, kaeni muelezane kwenye makosa mrekebishane , love ❤️ na kusaidiana muhimu sisi waafrika. Nawaombeni sana umoja udumishwe 🙏🙏🙏🙏🙏 one love Tanzania 🇹🇿 vs Kenya 🇰🇪

    • @markminja2871
      @markminja2871 3 года назад

      The means of hip-hop is just like dis

    • @alikarisa9606
      @alikarisa9606 3 года назад

      Hewa jamaa hawafanyi hip hop

  • @arafaally9192
    @arafaally9192 3 года назад +10

    🔥🔥🔥 kma unasikiliza huku unasoma comment dondosha like

  • @mjasiriamaliforum6815
    @mjasiriamaliforum6815 3 года назад +8

    Sure kabisa bora kunyamaza coz ukiongea sawa na unajiosha,,,,,yaaaaan sio tu kusema mabaya ya mwenzako..#BORA #ANGENYAMAZA
    Likes nyingi #Van Fans

  • @phirij56
    @phirij56 3 года назад +93

    Rayvanny my favorite African Artist nakupenda sana , listening from 🇿🇲🇺🇸

  • @donatenyoni2682
    @donatenyoni2682 2 года назад +4

    Aahh Rayvany big love to you
    Nyimbo tamu ,
    Sio mikelele ya Yule chibonge

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 года назад +15

    Hili ni funzo kwa baba wote wa kambo 🤣🤣🤣😄🙊💯vannyboy utaniuwa#@ NYAMAZA

  • @DogoCharlie
    @DogoCharlie 3 года назад +1451

    RUclips kumewaka😂😂huu mchezo ni mtamu ajabu nipeni likes za #Nyamaza

    • @machukaclinton8038
      @machukaclinton8038 3 года назад +12

      But yataisha tu la muhimu n kumaliza hisia kutoka moyoni NLM 🦅🦅🦅

    • @magdahsweetie7595
      @magdahsweetie7595 3 года назад +19

      @Dogo charlie 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 mbona kenya hakuna uu mchezo.....

    • @kingmossaic254
      @kingmossaic254 3 года назад +12

      Usiogope brow me apa nimeamua kuacha ata kula nifuatilie huu ugomvi ndo nisipitwe ata chembe ya udaku....

    • @patiencenimmoh3956
      @patiencenimmoh3956 3 года назад +7

      Nyamaza yenyewe mbovu beat🤮🤮

    • @afokanobaybofficial584
      @afokanobaybofficial584 3 года назад +12

      Kikiiiiiiiikiiii Kumbe ray ana majabu hivi duh😀

  • @nancysunday9356
    @nancysunday9356 3 года назад +187

    Nani anaskiza then kwenda kwa harmonize kuskiza kule pia ? Natakatu likes 100 jameni East Africans ❤️❤️❤️

  • @priscillahobonyo299
    @priscillahobonyo299 3 года назад +7

    babaaa I like the truth in that song people should learn to have respect .... kwani baadaye ndo wameona uzuri wa kitu

  • @irenewilfred7767
    @irenewilfred7767 3 года назад +20

    Hiii ndo yenywe ss team ray tuko wap jmn amken jmm

  • @fleythevoiceofficall5314
    @fleythevoiceofficall5314 3 года назад +63

    Jamaniiiiiiii bongo siondoki Ata robo nipen like zenu fasta nizid kubaki bongo🤣🤣🤣🤣

  • @Vanisikaka
    @Vanisikaka 3 года назад +25

    YOU KNOW WHAAAT🔥🔥🔥🔥🔥

    • @realnine..
      @realnine.. 3 года назад

      #vanisakaka unesikia hiyo tembo kafugwa kwa banda.....anataka kula kuku na vifaranga

    • @realnine..
      @realnine.. 3 года назад

      Ni kama ile yangu "Ni vibaya tembo kula mbuzi na mwana" nadhan hapa itakua imekuja kua na mantiki though ulinipa kosa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Vanisikaka
      @Vanisikaka 3 года назад

      @@realnine.. ha ha sikuelewa hiyo mbuzi🤣🤣 Safiii saana 🔥🔥

    • @suzzannemark4545
      @suzzannemark4545 3 года назад +2

      You know whatttttt,🔥🔥🔥. Noma hii🇰🇪🙏🏾

    • @realnine..
      @realnine.. 3 года назад

      @@Vanisikaka 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @leonardgichia6393
    @leonardgichia6393 3 года назад +1

    Rayvany uko chini Tena sana kafagie kwako msenge wewe...jeshi to the kimziki hufiki hapo

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 3 года назад +60

    mnapotoa hizi comment muwe mnakumbuka kuwa Rayvanny ni B.E.T winner😂😂😂😂

  • @BrianmediaCreatives
    @BrianmediaCreatives 3 года назад +120

    Wakenya in the house wapi likes zangu 👏
    Hii nayo najua meant for Harmonize 😂😂😂😂Let the dude get the message

  • @xaviermbilinyi7841
    @xaviermbilinyi7841 3 года назад +11

    hahaha tembo anaefugwa kwa banda😅😅😅 huu mwaka wamoto🔥🔥🔥 jamani bongo sihami mimi

  • @caslidajosephat8912
    @caslidajosephat8912 3 года назад

    Rayvany hunijuk sikujui Ila kwa sauti yako tu na mashairi yenye mafunzo kwa nyimbo zako nyingi Naomba unipe nafasi ya kukuona.nikubebe japo mgongoni tu Mara moja ili.uione furaha yangu kwako na nidhihirishe jinsi nakupenda na kwa hii ngoma umekonga moyo wangu kabisa. Mungu akuweke miaka Mia zaidi.

  • @piusnyomahe6559
    @piusnyomahe6559 3 года назад +35

    Rayvanny hapo sasa mwambie bro!!!!!! Like za rayvany watu wangu

  • @bahatiselestin5182
    @bahatiselestin5182 3 года назад +27

    Sauti tu inaniuwa mimi jameni ray tuoneye huruma kwaiyi voice 🔥🔥🔥

  • @Chapesamedia
    @Chapesamedia 3 года назад +15

    Tayari ipo on trending Rayvany konde dada hakuwezi why umeingia studio ukampa thamani yule ni mate yanayo kaukia ardhini dahhh now already on trending USA 💪💪💪

    • @behindzscenes3826
      @behindzscenes3826 3 года назад

      Huna lolote, konde sio level yake baba...kondegang 4life💪

  • @calvincarl6334
    @calvincarl6334 3 года назад +1

    Uko chini vanny...
    Sikiiza ngoma vibaya ya tembo..
    Kenyan love for konde

  • @vinniechriss7933
    @vinniechriss7933 3 года назад +143

    Tembo anaefugwa kwa banda anataka kula kuku na kifaranga😂 like basi kama ume appreciate creativity..🤗

  • @BrightDesignersTV
    @BrightDesignersTV 3 года назад +43

    Kweli Bora angenyamaza... Rayvanny I like your creativity. Kwa kiswahili tunaiita ubunifu au sio...? Wapi likes za kwangu jamani?

    • @perfectmelodiz3345
      @perfectmelodiz3345 3 года назад

      Yah jamaa ni fundi

    • @rono7993
      @rono7993 3 года назад +2

      Harmonize alikuwa yuwaimba zake. Huyu kawa mbunifu aje akingoja Harmonize kuimba wimbo wake ndio akamjibu na hakutajwa. Ubunifu ni minding your own business not minding other people's business

    • @m.jbluesea2711
      @m.jbluesea2711 3 года назад

      😂 ruclips.net/video/9VINaNBAlFU/видео.html

    • @BrightDesignersTV
      @BrightDesignersTV 3 года назад

      Sibishani mie... Wacha nikojowe nikalale

  • @benjaminsagwe19
    @benjaminsagwe19 3 года назад +122

    Ni wangapi tumekuja kusoma comments tu!

  • @jamespiniel6291
    @jamespiniel6291 2 года назад +2

    Mbona bado unasema mengi ukitaka nipotee😌

  • @emmnzey713
    @emmnzey713 3 года назад +24

    From USA 🇺🇸, ray never disappoint his people, #nyamanza tu tusiendembale njomba nchumali

  • @augostinopaul3601
    @augostinopaul3601 3 года назад +301

    wale wasomaji wa comments gonga like tujuane🤗🤗

  • @esthermutabuzi4582
    @esthermutabuzi4582 3 года назад +44

    Kweli Tanzania tuna big talents aisee...tuna wanamuziki wawili wametunga nyimbo in one day🤣🙌

  • @nancykeirah6996
    @nancykeirah6996 3 года назад +6

    You never disappoint rayvanny kama wampenda ray ebu weka like kwa wingi kweli macho hayana pasia🤔

  • @najmabajun4290
    @najmabajun4290 3 года назад +15

    Aya Sasa msitu umechafukwa chui kajitokeza sas anaonyesha mungurumo wake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣like kwa chui wakee 🏋️‍♀️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ancyrom6929
    @ancyrom6929 3 года назад +61

    Daah chui Leo umejuwa kutukamata wapenda udaku mbn Mambo pambe tu likes za chui jamani

  • @UkambaTV
    @UkambaTV 3 года назад +42

    Wakenya wenzangu tusaidieni watanzania kutatua hii vita... Kweli kula kuku na kifaranga ni vibaya??? Jeshii alikosea kweli... Like kwa mafans wa Kenya AMUENI

    • @UkambaTV
      @UkambaTV 3 года назад +2

      Kivyangu ikishajipa imejipa.... Sio

    • @nicholasmwashi9553
      @nicholasmwashi9553 3 года назад +3

      Jeshi ako sawa ukiacha nn kufwatilia

    • @moulemoule6983
      @moulemoule6983 3 года назад +4

      Mwewa ukula kifaranga kama kuku amenda kutangatanga meaning hajue kutacare of her 🐣.

    • @qalmma
      @qalmma 3 года назад +3

      Zikiwa edible unakula hadi yai😂😂

    • @UkambaTV
      @UkambaTV 3 года назад +2

      Vifaranga kwanza lazma viwe vitamu sio @harmonize

  • @ramruwahkilumo3467
    @ramruwahkilumo3467 3 года назад +2

    Rayvanny me chenye naeza kwambia ni heri ungenyamaza ww kaa ungekuw n busara lkn kw sababu unakaa mjinga na ata aujajua uzito wa kumiliki Brand,,,ungelijua ungejitoa uko wasafi ujipange kivyako ndo usei izo maneno zko acha kubebwa n iyo Label haikufai unajishusha hadhi broo,,,#Hayakuhusu.......Big up Konde Gang Worldwide 💯💯💯💙💙

    • @josephkimeu9019
      @josephkimeu9019 3 года назад

      not really remember umoja ni nguvu. not only the name been together to feed the community with good songs

  • @kevicristian2738
    @kevicristian2738 3 года назад +154

    Alieona kua rayvanny kaimba kama saida kalori tujuane hapa😁😁

  • @Kenyanewsalertstv
    @Kenyanewsalertstv 3 года назад +434

    najua wakenya tuko,ku-compare ni gaani kali!,hehehe

  • @yussufyrn1590
    @yussufyrn1590 3 года назад +10

    Kweli chui noma kabc ‼️✌🏾ngoma yangu ya mwisho iyi kabla ya kufunga ✌🏾🤞🏾

  • @ShockMusyokiKasee
    @ShockMusyokiKasee 3 года назад

    Rayvanny Mimi Kama Shabiki wako kuanzia nimekuasi kabisa...... Hufai kuanika mwenzako hadharani kujifurahisha. Wacha kidomo Domo, sisi tumekufuata kwa ajili ya Wasafi, ukitoka Wasafi utapotea hakuna atakaye kufuata. Pumbavu

  • @jeriahogari7708
    @jeriahogari7708 3 года назад +45

    Weka boxer wapi???
    Likes za rayvanny ziko wapi😂😂💞

  • @Screenstarz
    @Screenstarz 3 года назад +25

    Aise Kama umependa hii reply nipe likes

    • @lizy8412
      @lizy8412 3 года назад +1

      libayaaaaaaa kama la mazishi

  • @turlinesuzana666
    @turlinesuzana666 3 года назад +46

    Team vanny boy mko wapiii🥵

  • @edikay254
    @edikay254 3 года назад +3

    Ibraah ,, unaweza kafukuzwa wasafi usainiwe konde,, ryvanny ,,, Bora ungenyamaza😂😂😂 sisemi kitu

  • @jymo5339
    @jymo5339 3 года назад +163

    Wadaku wenzangu kutoka 254 gonga 👍

    • @hullahachesa2271
      @hullahachesa2271 3 года назад +2

      😂😂😂😂😂😂am loving the air. Full of drama,,,, aaaah Konde boy, Ibraah, chui🔥🔥🔥. Nahamia TZ mie

    • @INKATVONLINE
      @INKATVONLINE 3 года назад

      Hahahaha apokwa udaku kunavile nilikwama

    • @lavenderagutu9806
      @lavenderagutu9806 3 года назад +1

      😂😂😂😂 what a name 🤦

    • @kapombesenior6486
      @kapombesenior6486 3 года назад +2

      Hii ni noma

    • @100ksubscribersmissionforc4
      @100ksubscribersmissionforc4 3 года назад

      Which language is this ?? ruclips.net/video/31v4umVeBT4/видео.html

  • @DapstremEntertainment
    @DapstremEntertainment 3 года назад +40

    When Rayvanny said "Weka pombe sigara chini subiri tuongee; zima kijiti marijuana za nini ngoja tuongee" I felt that 😂😂😂😂😂

    • @mubuukwanunawa857
      @mubuukwanunawa857 3 года назад

      What does the same phrase mean?

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV 3 года назад +2

      Rayvany hajatajwa kwa ngoma ya harmonize,sasa bona anajiongelesha??😆😆😆😆

    • @mubuukwanunawa857
      @mubuukwanunawa857 3 года назад

      I don't understand swahili,,, translate for me in english

    • @eysherqdout8361
      @eysherqdout8361 3 года назад

      @@ELISSKGTV Sasa mbona unahaha😂chuiiii

    • @ELISSKGTV
      @ELISSKGTV 3 года назад

      @@mubuukwanunawa857 Rayvany is mad because harmonize is successful 😆😆😆

  • @mwaijackline7403
    @mwaijackline7403 3 года назад +58

    likes za vanny boy nakupenda bure

  • @danielkoin3194
    @danielkoin3194 3 года назад +3

    Kenyans we rule everywhere si IMF pia kwa majirani sisi ndio kusema kama wampenda Ray ndugu yetu usipite bila like🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️