Harmonize - Wapo (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 29 дек 2020
- Harmonize - AfroEast
Stream/Download: album.link/afroeast
Subscribe for more official content from Harmonize: / harmonize255
Follow Harmonize
Instagram: / harmonize_tz
Twitter: / harmonize_tz
Facebook: / harmonize255
TikTok: vm.tiktok.com/JYFv7PN/
Listen to Harmonize
RUclips: / harmonize255
Audiomack: audiomack.com/harmonize
Apple Music : / harmonize
Spotify : open.spotify.com/artist/1eCae...
The official RUclips channel of Harmonize. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: Harmonizemanagement@gmail.com
Call: +255 752 222 442, +255 658 135 762
#Harmonize #Wapo #Kondegang Видеоклипы
Tunaosikiliza hii ngoma 2024 gonga like
Kwa hio nko apa pekee yangu 2024
Tupo pamoja
2024 bado ukiisikilize unaamini Harmo katika mziki wa Tanzania amejenga legacy akiwa hai. Hatumnai mpaka mda huu🙌🙌🙌
wanao ifata mwezi huu wa tano wa mwaka 2024 naomba like za kond boy
Wangapi wameipenda hii nyimbo kama mimi gonga like @kondeboy jeshi💯
very lit motivational song though wengine wanaichukulia personal but hii ni ya kila mtu na sio kwa Mondi 🙏🙏🙏🙏🙏💥💥
Steve waambie wakin middle simba wasifitinishe ktk mzk
Mie ❤🔥
@Benson Baba pamoja
@@Ashley_family123 umeonaee
Huu wimbo inasikilizwa na lika wa umri yoyote✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾
Exactly 🥰
Am back to listen again in 2024 anyone is back like i bring love to @km❤❤
Ngoma bad0 ik0 juu 2 sana like it 👍👍 🔥📛👨🚒
Jeshi wimbo imetulia kabisa kama umerudia gonga like💪💪
ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html
Tafadhari Subscribe kabla 2021, ili tuwe pamoja mwaka mpya 💝🌹
ruclips.net/channel/UC9ShPmPzSH5s2Z9A-PtLEFQ
Noma
@Mr Mbega Official nice
@Mr Mbega Official hpv
Vizur sana harmonize jaman naomben ata like 60 cjawah pata ata 20 tu
Hizo 20
@@mariamselemani5208 aya asanteni
2024 mwezi march nimekuja kujikumbusha ya corona 😢
Like kama umerudi mungu ametuweka hai
Unajua sana konde boy like 10 naziomba
.Pita nakwangu ndugu👇🏻ruclips.net/channel/UCAQJAMhO3wjMn5XUjJjmSpA
Nice
Haya tumekupa mia nadhani umeridhika twende nalo mpaka huko juu
Daah Kali mnoo
Tafadhari Subscribe kabla 2021, ili tuwe pamoja mwaka mpya 💝🌹,
ruclips.net/channel/UC9ShPmPzSH5s2Z9A-PtLEFQ
Tuache utan ngoma kali. Ni moto💥
Kama unaungana na mm gonga like yako hapa 🙏🙏
Siwezi kukupa like kwasababu waijua
I like the song🎶🎶🎶🎧🎧
Kama umerudi baada ya kusikiliza #Vibaya gonga like hapa😍😍
#KMWW🐘🐘🐘🐘🐘🐘
fr fr
Tuko wengi....,😭😭@harmonizw he's such a great saul
ruclips.net/video/nlS-hrcoPjA/видео.html
It's 2024 and this song still Hits like it's new.. I've just cried since morning 💔
Huyu ndo harmo wa aiyola na matatizo..tulimmiss sana
My favorite artist mwenyezi mungu akuongoze
Gonga like kama unamkubali harmonize 💯💯💯
Amen harmonize forever
Mimi narudia harmonize he is talented,, kutoka wakati wa nyimbo kama,, matatizo,, atarudi,, nishachoka,, niambie,, Sina,, kidonda,, aiyola,, bado, kwangwaru,, nishapona,, na etc Ako vizuri huyu jamaa Ako juuu
ruclips.net/video/nlS-hrcoPjA/видео.html
I don't know why people can hate this dude he sings sense stuff always, he's active, he's great he sings the reality, Danm we love you from USA 🇺🇸
Ñ
People love evil , and hate good
Daniel From which state
@@festuskores1538 check me up in Ohio
@@DanielDePeterson thanks bro any handle to follow you
Umetisha Harmonize 😘
Japo cjaomba like, ila ngoma ni kali.
Umeonaee
Jamani naomba like,,kwa kondeboy,💥💥💥
Nimechoka kulia! Mama na Baba Mlale pema peponi! Baba hata kama hukunilea nakuombea kila siku Mwenyezi Mungu akusamehe namimi nilikusamehea kitambo! Mulale salama wazazi wangu!
Pole sana my R.I.P
Pole sana mama
Sorry
Usionge ntalia nakumbuka mbal baba yangu
Pole
Wisdom I swear ...walai this boy is guul....he is a worriorsay
Alla afsomaliga iga 👋cun
Tuko no. 1 on trending konde gang wote tupo kileleni like hapa twende sawa.
Hatupoi
Oyooo
@@manfredlilanga184 acha utani
Oyoooo🔥🔥
Kenya tuko namba 3 ...
Konde likes from Kenya🇰🇪🇰🇪...acha nikuibie siri moja konde,fanya ngoma na msanii mmoja wa gengetone Kenya ,itakuwa shidaaa
Kaliiii funga mwaka
Tafadhari Subscribe kabla 2021, ili tuwe pamoja mwaka mpya 💝🌹,
ruclips.net/channel/UC9ShPmPzSH5s2Z9A-PtLEFQ
kweli afanye na nyashinski ama mejja
@@Ashley_family123 yeah itamake sana
Sasa itabidi umeback kutoa audio juu daaa unatisha sana konde....i'm back after #vibaya konde for everyone ❣❣❣❣
After that airport interview, now I can understand your sentiments in this song. Never give up, much love from Kenya.
Harmonize ni Teacher ila Diamond anawivu sana
Teacher konde ❤️
Me too may God keep him safe and focused
As we Kenyan let support harmonize fuck wcb
Konde boy ✨🤴🏻❣️
Wallah natamani niku like mara miya ulivyo jibu kwabusara hongera
Umeonae yani mi sicoki kuisikiliza mara nyingi
"Wanatamani milele wawe wao, ukijituma wanasema unashindananao" best line of the year...... #JESHI.
Umeona ee
ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html
❤🇰🇪
@@mwabetv601 ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html
❤🇰🇪
Wawe wao maaana yake?
I love so much most ur songs
Did you know,? Currently, This is Only Audio with highest RUclips Viewers in East Africa, what a record
Absolutely
Yes here I’m with you
You guys wacha naona watu wanasema wamerudi,leo ndo mara yangu ya kwanza kuskiza huu wimbo..nimeskia kwa matatu...I can tell you imebidi nimebuy bundles.....repeat mode..i think nimeiskia mara 100 already and still counting..naona 2GB bundles itaishia hapa....TRUST ME I AM AN ARTIST IN KENYA na najua nini inamaanisha kupigwa kimziki bila sababu....KONDE HII KUBWA..BLESS UP BRO.
Hahah
Daaah! Huyu jamaa pasua kichwa .
JESHI LA MTU MMOJA KAMA 100.
Sisi ndo Wana jeshi wake Yeye general 🐘🇰🇪❣️
@@niphermukolwe9346 True
Huyu ndo HARMONIZE ninae Mjua Mimi,Kiukweli Ngoma Ni Kali Sana ,
KONDE GANG 4 EVERY BODY
Umeona ee
Kwel kbs uyu ndo tunaemutaka
Huuu ni motoooo
Motoooo
Kuimba ndoo huko siio me bf bf
Skia konde wee pamban mjini shule ❤❤❤❤this hit cools my nerves gives me a reason to work hard😢
Nani mwenzang tunao isikiliza leo bonge la ngoma 🤗🤗
Mm nasikiliza had mwaka huu2022
This is my song!!🥺❤️
Weka like kama una mpenda Kondeboy!!
Love from Kinshasa 🇨🇩
❤❌❌❌👇🏻👇🏻
ruclips.net/video/puR5FAMRCv4/видео.html
Watu Wa East Africa pitia hapa uache likes za konde boy na inspiration tosha 🔥🔥
Konde Boy to the world 🌍🌍
Tupo kwa wingi🔥🔥
😭😢😢😀daaah huu wimbo ulitoka kipindi napitia magumu 😢😢
aseeeh hii ngoma inanihusu kabisa thanks jeshi
Dak 4 na sekunde kadhaa za konde Zina ujumbe wa dunia ya Leo kwa vijana ... Gud Sana brother 🔥🔥🔥
Kabsaaa
Kama umeiludia hii ngoma zaidi ya mara moja gonga like hapa
wow thanks brother nice song
2024 anyone here?
Konde boy has got the DNA for success never settle never relax the sky is the limit no human being can put a celling but God is the only one that can decide. POWERFULL
Hao ndiyo binadamu harmonize😭😢, big up sana hii ngoma umeitendea haki🙌🙌👏👏
😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
.Pita nakwangu ndugu👇🏻ruclips.net/channel/UCAQJAMhO3wjMn5XUjJjmSpA
Hawatosheki Na vikubwa vyao, wanataman hata kidgo chako kiwe chao.* I appreciate this is really
Noma
Ths real message 🤗🤗
💃🏻💃🏻💃🏻WAPOOO🚦🚦🚦
Baba la baba umetisha sana.
This is kind of music we need 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mm pacha wako toka nchi jirani KENYA cjai pewa like plz nipe ata Kama nitano nitashukuru🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
✌✌✌hatariiiiiii
Ngoma kaii
TEMBOOOOO UMETISHAAAA BROOÓO NA WANA TUNAKUBEA MMAZURI HUKU MTAANI usiwaze JESHIIIIIIIIII
oyoooo ngoma imepaa hiyo audio tu 1 ONTRENDING like nyingi kwa konde boy mjeshi
Umeonaee
2
@@Mronlinetz ok
Kwa kusoma mashairi ya nyimbo mbalimbali yaani *Lyrics* Bonyeza herufi L apo pembeni ila nakuomba SUBSCRIBE kwenye channel yangu.
🎶🎶🎶
Huu hapa wimbo mpya wa harmonize. Tazama lyrics👇👇
ruclips.net/video/sq6xPu154BE/видео.html
You've proved that msanii ni kioo cha jamii...
This will be one of your songs that will live forever after you gone.
No hard feelings since death is a fact no compromise about it.
One day you will be a star in Africa 👊👊👊👊👊👊👊
Ngoma ni kali sana naomben hata like 5 tu
Mbona zimezidi sasa 5🔥🤣
zinakusaidia nni buda
@@kendrickdybala7622 furaha ya ngoma kali lakin like
@@WaridawaridaWarida 🤣 umeonae jesh ni🔥
@@anoldsadick7730 nimeona mpedwa🔥❤
#1 on trending toka mwaka jana kode boy for life TEMBOOO TEMBOOO TEMBOOO jeshii kama jeshii music mzur upo kode gang
Pamoja
🤗💥🤞🏻
Well done
Nice song konde. Mungu nipe ujasiri kwenye kufanya mamuzi uniamushe alfajiri kama jana na juzi
Jejeje Baia Baiaaaaaaa. Aquí fue donde comenzó el copia y pega del Avioncito🛩️
this is the original
Baba na mama wote niwazaz asanteee kwa ujumbe like Kama umemkubali konde boy harmonize
True
Jeshi,,,wapi likes za Kenya!!!
ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html
🇰🇪
Great
@Kuomoka Tv macha wapi ??
MUNGU bariki Harmonize , that is a good message gonga like 100
😍😍😍💯💯💯 mbona kond mkali sana
Mweeee npo nataka kuliaa 😭😭😭😭🙌🙌🙌 jaman naomba ata like kumi nimeeipenda munooo
Jamani konde hii ngoma kweli jamaa kaandika ni homa ya jiji..
😅😅😅😅😅
Ahahah😆😆😆
Nyota ndogo inspired this dope vibes💯🔥
Noma
True it's dope
Thanks Nyota mdogo... 0254... we love you Big
👊🏼👊🏼
Nyota anayo sipo kuwa bifu Lao na diamond bro ila jamaa mkali
Ngoma kali! harmonize ni pure talent!
Nemesikiliza usikiliza kwa mara nyengine August 2022 huu wimbo utaishi sana so nice song
Kama na wewe hii mara ya kumi hapa twende sawa 🇰🇪
Nimepitiliza mie
"Baba na mama ndo nguzo ya dunia..."This line made my night.
Na wengine wasiokuwa na baba na mama watasemaje au nguzo zao nn
@@mustafahamisi296 wakiwepo wapende wote wape haki sawa wote wasipoku pia watunze mama zako wafamilia na baba zako wa familiale na pia upende kutoa sadaka ukianzia ndani ya familia kwanza ukiwa na uwezo lakini
@@marymungi2104 sawaaaaa, asante
perfect
ruclips.net/video/VSbD72V_rCY/видео.html
Tunakupenda kaka courrage
The true physical life that Normally people live. This music sheds the accumulative perspective of me to life when I feel there is some one who feels, and undergone such circumstances...
Kuishi na watu Kazi, Kuskiza ngoma za Harmonize hapo Fiti
Umeonaee
Kama nawewe unaamn hapo ulpo wapo wanao taka ufely acha like hapa
Tena mpka ndugu zako wa dam wapo wanaokuombea ucfanikiwe uwe ni wa kulia shida kwao tu kila sku, ila hii Dunia hii waja ni noma
Nisaidie Tu , hiv mtu aki like comment yako inakuaje?? Mbona kila mtu anaomba like
Usio onewa ndonge jua hauna makeke love from 🇰🇪🇰🇪
Umeweza konde daaah...king 🤴 of music 🎶 👌
Kama hii ngoma ni kali kwako. Ngonga like...
Mwambie Diamond isiwe mzazi wa kike anacheka ilhali wakiume analia baraka zatoka kwa wote.
Kaka kama hujawahi kutelekezwa na mzaz mmoja shukuru mungu ila mbal na mond acha tu mama
@@halifaomari9553 mzazi ni mzazi. Na kama huwezi kumsamee mzazi wako utamsamee nani. Isitoshe mambo ya watu wawili huyajui. Siku zote mama zetu hufanya tuhisi baba zetu ni wabaya
@@donaldmwachongomwamburi4722swadakta
Jeesshiiii kazi Kali and that's true story nmependa huu wimbo. Nkweli wapo wasio tutakia . mi napitia changamoto nyingi sana
Kumbuka ulipotoka wewe
@@pemamusictv5270 nn ww kwan katoka wap ww hayo ni mapito tu
When things were at their very worst:
2 Suns, Cross in the sky, 2 comets will collide = don`t be afraid - repent, accept Lord`s Hand of Mercy.
The first sign - the Earth will spin faster.
The second sign concerns the sun, which will loom larger, brighter and begin to spin.
Scientists will say it was a global illusion.
Beaware - Jesus will never walk in flesh again.
After WW3 - rise of the “ man of peace“ from the East = Antichrist - the most powerful, popular, charismatic and influential leader of all time. Many miracles will be attributed to him. He will imitate Jesus in every conceivable way.
Don`t trust „pope“ Francis = the False Prophet
- will seem to rise from the dead
- will unite all Christian Churches and all Religions as one.
One World Religion = the seat of the Antichrist.
Benedict XVI is the last true pope - will be accused of a crime of which he is totally innocent.
- banking collapse was deliberately masterminded by the Antichrist
- Antichrist will step in and create a false peace in the state of Israel by joining them with palestine in an unlikely alliance.
- „He will recite extracts from My Teachings, which he will passionately proclaim from every secular stage in the world, until people sit up and take notice of him.“
The Book of Truth
mdmlastprophet.com/there-will-be-different-levels-in-the-new-paradise-of-12-nations/
Pita nakwangu ndugu👇🏻ruclips.net/channel/UCAQJAMhO3wjMn5XUjJjmSpA.
Mi ndio n upcoming Kenya afro bongo artist najua uko na moyo wa kusaidia unaonaje uki sign mkenya under kondeboy . ama Tu tufanye kolab nawe jesshiiii ama ibraah
Honestl, mpaka mwaka 2100 nitarud hapa, aliimba sana huyu mwamba
Fayaaaaaaaaaaaaa like kama tupo pamoja na HARMONIZE
Nyimbo za adab sana ambayo inafunza jamiii safi mzee Kondeee
Like twende sawa
ruclips.net/video/TRwyNISryvs/видео.html
🐘🐘🐘🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
111
@Tanga Raha ntabwenge ufise
Dah!! Leo ndo naelewa maana ya huu wimbo aisehh!!!😦
Je valide mon frère.
Tunapenda sana iwe hivo n'a tunakutakia mafanikio mema
Ingekuwa siri but wacha nionge, tena kwa sauti hadi ipote....I LOVE THIS SONG... Konde boy to tha world.
Asante
@Dj Razzy Mkali ok
Hii ndo sauti tunayo ijua harmonize hapo umerudi kimziki ulipoteza mashabiki nimerudi kwa kishindo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 gonga like twende sawa
Safi
@Mr Mbega Official noma
Mknii
Ukweli hii ndio sauti ya hamonize
👍Haswaaa
Maneno ya kweli kabisa duniani kuna watu wanakuchukia bila ya sababu hata kama utaish nao kwa roho nzuri , wao abao hawapendi kuona ukipata hata kama wao wana vikubwa kushinda ww ..
We mjaaa unajua mungu akubaliki namsikilizia hii nyimbo siichoki
For sure, is Harmonize Konde boy
#BRO TEMBO... BIG UP... HOT SONG... 🔥🔥🔥
ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html
🇰🇪🇰🇪
Motoo
Bdo video baba
Much love from Kenya, Nairobi , Mathare , Huruma , Kiamaiko. Palestin. 👊👊👊👊👊
Nimekuelewa TEMBO 🐘🐘. Continue with the resilience. Mungu yupo. 💪💪
Konde gang from Kenya❤️❤️❤️❤️sijawai pata likes 100 ukimkubali Konde piga liki
Round hii utapata tu
Kabisa
Harmo you have my support from Kenya... Kenyans please mnipee likes watanzania wajue tunawapenda
Umeweza bro 254
Hapo ulinieza kabisa 💪💪💪🔥❤️
*~NEVER GIVE UP~* Ndo ngoma yake ambye imetufnye sisi wengine huku nje tuzidi kugangana na maisha yaani tusikate tamaa kwa kufnya kazi yetu.....
He is areal fighter and ahero too...be blessed bro... We are fully here to support you
Love from 001🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Siku zote wenye Roho mbaya wapo pia na wenye roho nzuri wapo.. One love to Konde boy 🤗💥
@Mr Mbega Official yeah Katisha Sana 👌🏻
Joshua Faruq medical appeal
Kindly view and be of help by sharing that the boy can get assistance
ruclips.net/video/5pZV7erMvFc/видео.html
You can donate on paypal through samuelbonaya3@gmail.com
or Mpesa 0702019573
Contact +254702019573 on whatsapp for more information
@Mr Mbega Official SAAAAANA
💥🤞🏻🤗
Dongo safi sana hili, ukifanya bidii wanaona unashindana nao
Kabisa
ndiooo
Kama wapo wanaosikiliza na kusoma comment like
After watching his interview yake.....I now understand his pain through his music
Keep doing you konde gang!!!! nakupenda tu jeshi!!!
Walioona no 1 trending twende na like
Good thing abut HARMONIZE akona message true in this world
Mtu mmoja anashinda wcb nzima❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
💎💎
He sang with his heart, best song ever. uncomparable
ruclips.net/video/nlS-hrcoPjA/видео.html
Dadeki hii no banger congratulation harmonize..alieielewa hii anipe like twende sawa❤👌
Pamoj
👌
The song is brilliant hasa umeimba mambo ambayo tunayaona everyday .
Go vote for him on #MTVmamas
ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html
❤❤🇰🇪
@@basesabasesa8660 ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html
🇰🇪❤
ruclips.net/video/X7ONvSSKZLs/видео.html
👆👆👆👆👆👆👆
Kama ni muoga 😨 usifungue hii video 😭 tazama kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera inatisha😨😭 nimekuwekea video