Harmonize - Jeshi (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 10 авг 2020
- Harmonize - AfroEast
Stream/Download: album.link/afroeast
Subscribe for more official content from Harmonize: / harmonize255
Follow Harmonize
Instagram: / harmonize_tz
Twitter: / harmonize_tz
Facebook: / harmonize255
TikTok: vm.tiktok.com/JYFv7PN/
Listen to Harmonize
RUclips: / harmonize255
Audiomack: audiomack.com/harmonize
Apple Music : / harmonize
Spotify : open.spotify.com/artist/1eCae...
Country Wizzy - Baba Official Video LInk / • Country Wizzy - Baba
The official RUclips channel of Harmonize. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: Harmonizemanagement@gmail.com
Call: +255 752 222 442, +255 658 135 762
#Harmonize #Jeshi #Kondegang Видеоклипы
😁__Kwa Master na Rita mlinifanya hasila zizidi__😁 kama umeskia huu mstali gonga like tujuane👍
I hope wanajuta mpaka we leo
Master na Rita ni kina nani?
Wewe mkenya sio😂
Kabisa ila napenda bongo flavour mbaya
Makali 😆
Yaani nyimbo hii, kwa yeyote mwenye future,sidhani anaweza pita bila kuilike watu wangu. Much love from Kenya/masailand
Umeongea ukweli
🇰🇪👌👌👌
Ninani bado anauskiliza hii ngoma 2024❤ gonga like tujuane kama ww ni team konde❤❤🎉🎉🎉🎉
Mimihapa
Hiiii
💃🏻💃🏻
Naamini mungu yupo tena naongea naye japo siskii sauti yake🤗🥺
When Harmo said.... "Tena ata siku hizi siimbi sana, Wacha washindane na ibrah" 🔥😂... Tembo Gang
ruclips.net/video/j8REdlLXeVQ/видео.html kijana, mafanikio yanakuhitaji?🤔
😂😂
shots fired!!! 10 nail😂😂
Nimecheka sana hapo
Je Unahitaji kufahamu Faida utakazo zipata kwa kula Tende katika mwili Wako,
Gusa link 👇👇 Uelimike, tafadhali Subscribe pia ruclips.net/video/jOWr7RszNFU/видео.html
"My sister sikuzi shape wananunua we bambana upate salary.🔥🔥🔥
If you love this verse...weka like⚡
LIKES ZA KUFANYIA NINI???
dogo anayependa kumuiga harmo ana nyimbo mpya
ruclips.net/video/N8A87jQhruE/видео.html
Naombeni ata like 10 tu jmani
i like this hits
"sikua na umeme wala cable, jeans mmoja tshirt na yebo hivi leo namiliki label"...............Never give up on your dream.
Kabisa
Uko vizuri sana konde
🐘🔥🇹🇿
Yaani hii imenipa funzo kubwa.. DON'T GIVE UP PEOPLE... Kazi safi konde boy.. 🇰🇪Wakenya likes hapo chini kama mnapenda kazi yake harmonize 👇
UnajuwA Sana mkali!!!
Saf jesh wanyooshe
Eti anavuta bangi pambamba mwanetu uprove wrong
Never give up na nyimbo hii ya jeshi zinanifanya nisikate tamaa gonga like Kama unamkubali jeshi
ruclips.net/video/j8REdlLXeVQ/видео.html kijana, mafanikio yanakuhitaji?🤔 Jua Leo Tafadhali;
Ingekua likes zinapeanwa more than one basi kila comment ningeipa likes million....respect the jeshi GENG ❤️❤️👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hahaha
Imekaa pooowa
Jeshii
Wanajeshi wahili camp la kond gang say yesssssayaaaa
Konde booooy... Jeeeshiiii
Nyimbo huwa inahimiza sana, na huwa ina ujumbe wa kuelewa maisha, nyimbo kama hizi huwa zina hit siku zote
Nimerudi after #vibaya 🤣🤣💯💯💯
Kama umeangalia hii ngoma zaid ya mara 1 na umekubali kuwa #JESHI kaumizaa...🔥🔥
Basi gonga like twende sawa
Walorudia iyi ngoma zaiti yamara3 tujuwane kwa like this boy he is tallentit we love you from burundi 🇧🇮
Jamani sijawai pata like hata (5) from konde boy jeshi [TEMBO]🐘🐘🐘🐘 leo anamiliki KONDE GANG LEBO🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩 I need your support please ruclips.net/video/sfYwKBkL1sU/видео.html
@@msaranga_ Sou Mocambicano repeti este video 10 vezes
jamaa ni jeshi
Doshi
ruclips.net/video/BIMrliIXGzo/видео.html
Niko hapa mambo ni moto 🔥🔥🔥
Nani ana watch uku after saga na wimbo wa vibaya 🔥🔥🔥harmonize we ni jenshi kabisa ✊✊✊
Jeshiiiiiiiiiiiiii,kutoka kwa t-shirt na yebo hadi kumiliki Lebo si mchezo✊✊
Likes za wakenya🇰🇪🇰🇪wenye wanatambua konde boy..jeshi👑💯
ABARI YAKO NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
LIKES ZA KUFANYIA NINI???
dogo anayependa kumuiga harmo ana nyimbo mpya
ruclips.net/video/N8A87jQhruE/видео.html
Hii Ngoma nimeielewa sna ilakwabongo wanafki watazua maneno,konde boy.jeshi
Iove to you ❤🇹🇿
Matusi ...0%
Lyrics ...100%
Mzuka ...100%
Beat ....100%
Hii ngoma lazima JESHI aingie 2M subscribers
Nakubqbaliii 💪 💪 lazma aingie
Lzmaaaaaaa
Agreed
Mipasho 100% one love kwa jeshi
Kabxa kabxa
Kwa Kweli Jeshi Kondeboy Katoka Mbali sana Toka nyakati za "Matatizo"Hadi Kuwa Jeshi Mad Love For This Fighting Spirit Harmonize🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hapa mwanetu konde ulikuwa na hasira sana, 2024 we bado ni jeshi ✊🏾
#One #love #kwa #wanangu wa #kitaa nyie ndo mna #nunua #CD #Sijaona kama #harmonize tanzania hiii #salute kwa #konde gang #wordwide #watashindana na #Ibra
#from #liwale
Massage kali msee katisha
@@boazmasinde2764 zaidi ya sanaaa
Jaman hii ngoma nimerudia mala 50 naomben lek zenu
More than wow 😃😃😃
Wapi likes ya KENYA 🇰🇪
Pamoja Na TZ
Hata siku hizi siimbi sana acha washindane na ibraaa...lyrics 🔥🔥🔥🔥
I was looking for this comment lol
Wewe unaesoma hii comment ipo siku utafanikiwa utafika mbali katika kila unachokifanya mtangulize Mungu kwanza alf pambana usikate tamaa! Uwe na maisha mema!
Ameen kwako pia
Amen Amen
Mia
Ameen 🙏 na kwako pia😍
Amina!
Nilijua sipendi musiki but mziki wa konde boy naufuatilia kuliko kunywa maji.jeshi congratulations from kuwait. Mungu yuko tena naongea japo sisikii yako
Pata Siri Ya kufanikiwa maishani 🛫🇹🇿 ruclips.net/video/-6GX9nB3-ow/видео.html
HipHop BongoFlav SoulMusic ni tamaduni za kusini mwa TZ kutamba. Inakuja natural kwa kondeboi. Tamba mdogo wangu
Napenda kazi zako KONDE boy,,true and interesting story of life,,,achana nao wanaokutukana Fanya kazi yako,,KONDE boy forever 🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪
*Hii* *ndo* *mara* *ya* *kumi* *nasikiza* *Ukweli* *Konde* *boyi* *jeshi* *hadi* *mimi* *nalia* *nikijipea* *morale* *nikijiita* *mimi* *pia* *jeshi* 😭😭 *natia* *bidii* 🇰🇪
Apo sasa
Team Konde Boy naomba likes zenu... LOVE from BURUNDI
Konde boy 🐘💜🤴 Sana 🐘☠️
After vibaya I came here to recall the fact akisema let them fight with ibraah! Na kweli kijana anatisha
Nakubali konde boy
Kama unaamini kondegang ni number 1 in Tz weka like tuende sawa.🇲🇿
Bado hajafkia kuw no1 lkn akkaza anaweza saiv tuc mjaze misifa
One love brother 🔥 🔥 🔥 🔥
Now ndio masanii mwny mashairi makali ndio yeye na no1..
Anaitwa mzee wakuhamasisha vijana wengi wakisasa kakupambania ndoto zao ndomana me namkubal sna harmonize aisee mungu akubariki sna jeshii💥💥🐘🇧🇮🇧🇮🇧🇮
dogo anayependa kumuiga harmo ana nyimbo mpya
ruclips.net/video/N8A87jQhruE/видео.html
Ameen aki
Well said
Pamoja
@@yahyaxavi8671 sawa tupo
Siku zote kisicho kuuwa kitakufanya uwe ngangali(what doesn't kill you can only make you stronger)👊👊👊jeshi
Jeshi🔥🔥🔥
Daaah mnaoikubal mkowapi jmn, gonga like tujuane💪💪💪
Nampenda sana uyu kwasababu ni mtu mwenye heshma na nidham sio mtu wa skendo sio malaya endelea ivyo ivyo mdogoangu ustar sio lazma uwe malaya
nakubaliana na ww chek me at fb BIN DULLY
@@abdulhalimmohamed6770 Pata Siri Ya kufanikiwa maishani 🛫🇹🇿 ruclips.net/video/-6GX9nB3-ow/видео.html
Umenena bro
this goes to all Africans ruclips.net/video/0f7owsZ6K_M/видео.html
Kabisaaa
Just came back on this to confirm your pure and strong heart after hearing your interview bro! We ndio Jeshi kabsa ✊🏿
Jeshi 🔥🔥
Kuna sababu Salam anamchukia huyu jamaa.
Harmonize ni tishio kubwa Sana kwa umaarufu wa diamond kwa kuwa anafanya mziki kwa njia tofauti Sana. Big up young man
Na ndiye anaepokea kijiti kutoka kwa diamond
Enter a Ksh 10,000 Giveaway
ruclips.net/video/22e9oF_GuH8/видео.html
Ulijuaje broo
Lol
Jeshi KONDE GENG mambo MBAYA bro uko JUU🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
N’a mimi nitaongeza bidii asante sana mungu akuzidishie wimbo huu kama unahustle huku USA lazima mtu akupongeze
Jeshi 🔥🔥🔥🔥🔥
Tembo Jeshi. Konde boy for everybody.Gonga like tukisonga
Mwanangu cheki ruclips.net/video/mnXPVbLmdHw/видео.html
Nice God bless u more
@@patrickmudaki3719 kazi nzuri
show love kaka nimesha subscribe
Style ya uimbaji na aina ya beat inaonekana umechukuwa mahadhi ya nyimbo ya whozu Mi amor na ya willy paul magnetico kisha umezisamle zote 2 na kuzicombine ndio ukapata idea ya style ya kuimba hii jeshi. Only wenye masikio ya good music ndio tunaweza kubaini hichi kitu
ruclips.net/video/mC5XCtBZ7W8/видео.html
JESHI 👽🤴💪konde boy ni JESHI 💪💪...Kama unaamini yeye ni jeshi gonga like yako hapa
Jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiii aminiaaaaaaaaa
@@radhamannandule2525 miaaa💯💯
Huu wimbo unaujumbe mzito sana na hauchoshi kusikiliza
Temboooo 🔥🔥🔥🔥
Siku zote kisichokuua kitakufanya uwe ngangariiiii,real love kwa master na lita mlifanya hasira Zizidi 🤫🤫 like za hizi lines hapA
Pw jeshiiiiiii
🤝🤝🤝
Duuuh waache washindane na ibrah coz jeshi sio level zao...........KONDE GANG FOR LIFE
Jeshi🔥❤️
Hili dude litaish miaka mingi sana
Konde boy siku hizi wanakuita "tembo"........Siku hizi huimbi wacha washindane na Ibraah.....hii ni Kali sana @Sotic gang 254 represented
''Tena siku hizi hata siimbi sana, acha washindane na ibrah" JESHI💪.
jeshii
kudadi ke
@@djbensntz7981 jeshiii
Wtu wa Simba atuna mngangano coz ligi ya Simba tembo afiki c achidane na zuchu kwaza 😏😏😏 coz ligi yke n 100% percent acheni nyinyi amufiki ukweli 😏🤫🤫🤫🤫🤫 Kode fanya yko achana na Abdul coz ahufiki na utawai fika 🤫🤫😏😏😏🤫 ifike👊👊👊👊
Hahahhh uyoo m'bayaaaaaaaa🔥🔥🔥
Jeshiiiii🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma yangu pendwa ni kikaribia kukata tama namuka tena kwa kasi ya 4G🔥🔥🔥💪💪
Nataka likes My pipoo Coz napenda huyu jamaa 100% On his Music
Unatuzinguaaaa temboo yachiaaa mzgoo huuu
jeshi,,,,konde boy jeshi this song is on fire wapi love ya 254 kwake harmonize
Eunice, ruclips.net/video/j8REdlLXeVQ/видео.html kijana, mafanikio yanakuhitaji?🤔
Konde boy mkali wao
Enter a Ksh 10,000 Giveaway
ruclips.net/video/22e9oF_GuH8/видео.html
Enter a Ksh 10,000 Giveaway
ruclips.net/video/22e9oF_GuH8/видео.html
@@ghettoqueen4716 Je Unahitaji kufahamu Faida utakazo zipata kwa kula Tende katika mwili Wako,
Gusa link 👇👇 Uelimike, tafadhali Subscribe pia ruclips.net/video/jOWr7RszNFU/видео.html
Konde boy sichoki kumsikiliza. Hii nyimbo ina ujumbe mzuri
ngoma moja kali ....haina number 2
Representing team Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 here ... Tz🇹🇿🇹🇿 show us some love bana twapenda muzik wa bongo
Kevoh wa pipeline will you mind subscribing back please
@@patiencenimmoh3956 😂😂😂
@@jayclassic5164 Kwani nimesema vibaya 😂😂🤭🤭
@@patiencenimmoh3956 mara dar dat
ruclips.net/video/B4xZQu6BU0Q/видео.html
"One love kwa wanangu wa kitaa, nyie ndo mnanunua CD" best line ever.............. No doubt
Ndo sisi🤣🤣🤣
Number one
Tujifunze kushukuru tuliko toka
🖖🏻👌🏻
🗣wanangu wa kitaaaaaaa
Naipenda hii nyimbo balaa balaa,kunavipande huku balaaa!hongera brother!
Konde boy jeshi fire bwon dem🔥🔥🔥🔥🔥
Moja ya nyimbo ambayo huwa siichoki kuisikiliza ni hii naipenda kuliko nyimbo zote za wasanij wote
Kaka unajua sana daaah
jeshiiiiii🙌🏽🙌🏽🔥🔥
Jeshi 💉💉🔥🔥🔥
Nadhani tupo wawili mkuu....
Tupo watatu
Konde boy Jeshi..........watanzania konde kigereza ameng'oa hapa ama vipi
Sometimes what you dream is what you receive....
Ila nyimbo kali
Nipe like zangu basi
Harmonize hormonize nakuita 100 times sababu wewe ni jeshi iyi nyimbo nikali bro Big up
Nani ako hapa after harmonize 🔥 interview from USA tour 🔥🔥🔥
Nishawambiag Mimi na Konde Geng milele mkanikatalia mambo sindio hayo
TUPO PAMOJA.. Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
Namimi kabisa
Jeshi gonga likee apo
Sema konde uwe funika kifua samtaimzi moja
Kwa msimu huu atukuwezi
Kuna kitu kinalipuka hap team jeshii tujuane mapema kwenye like,🐘🐘
Jeshiiiii
Jeshiiiiiii
@@zuumohamed2063 jeshhhh......
Jesh
Tembo nakupenda sana
Jeshi konde boy jeshi,ata wewe ni jeshi🔥🔥🔥🔥attittude killing💯💯💯💯🐘🐘🐘🐘tembo kama tembo...wacha washidane na ibraah🔥🔥🔥🔥
Acha washindane na Ibrah...wallahi tena wallahi..wapi likes za Konde Boy wanangu.
Ibrah atashindana tu na baba levo na Myb kdogo queen darling bt hao wengne apo WCB hawezani nao...yy bado n mtoto sna...hafki bei uyo ibrah
Waache washindane na Ibraah 😅😅🙌🙌🙌 JESHIII
Kama umepitia apa 2024 gonga like mwanagu
Kondeeeeeeboooooy . An amazing song. "Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema Niitwe Jeshi konde boy Jeshi"
Jeshi! Nmerudia hii ngoma mara kumi. Kwanza Io beat iko juu
Diamond katoa baba Yao
Harmonize ndio jeshi wa baba Yao 🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥🔥
One luv jeshi
Wapi likes zake
Yani ukisema kuwa ngoma hii sio yamdaa wotee wew bwege tena pumbavu kabsaa 👽👽🛸🛸
Hii ngoma si ya kawaida, nadhan ni the best ever
Hii mistari ya Harmonize Ni bugtha tena sana, Konde gang inashika ajabu. True love to the craft....nitafanya hima angalau niangushe kibao muruwa au collabo moja na label ya Jeshi.
Master J habari zikufikie ulisema Harmonize hajui kuimba. nimeamini hakuna kukata tamaa kila mtu asimamie anavoaminu. Kama unaniunga mkono gonga like hapa
Jeshi ni jeshi kabisa. Jamani kutoka zamani konde nikonde 🇷🇼🇷🇼 RWANDA wote wanapenda harmonize 100%%%%%%%%%%%%%%%% gonga like tuende sasa✌🏻
Jamani Jeshi unanikosha sana duh napenda sana nyimbo zako
Niwah kushangaa maneno ya sele et harmonaiz angalie kond waoneshe wote wakate tamaa kwan wao sio mungu utabili wao wakatabilie njaa zao zitaisha Lin lkn sio kond harm ndo bc kashang'aa bgp kond
Si katoka 2015 au
Wooooow 🔥🔥🔥🔥🔥
Wimbo hatari...mistari imepangika sawasawa jameni moto huuu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Balaaaaa jengine hili 💥☄️🔥🔥 Piga like kama wewe nishabiki wa Jeshi !
Konde jeshiiiii
ruclips.net/video/efGoxkrcO_I/видео.html
Kama na wew nijeshi gonga like hapa
Tenah sikuizi siimbi saana..nimeacha mshindane na Ibraaah🤣🤣🤣🤣.who is hear listening to this part#Konde to the world..gonga like tukisonga
Jeshii 🔥🔥
Woooow 🔥🔥🔥🔥
Jeshiiiiii tumekumbali team 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 weka likes if you love Jeshiiiiii
🐘🐘🐘🐘🐘
Pamoja
@@boazmasinde2764 oyoo
@@boazmasinde2764 tena
Jeshii
Two love kwa wanafiki wa insta ndo wanafanya aongezee bidiiiiii gonga like jamani kwa jesh
Sio Two love ni true love
Siku hizi wananiita tembo🎉🎉nice song
Yaani kama huna pigo za kirembo ni JESHI❤
Konde geng for life, weka like kama munaamini konde boy yupo topp sanaaaaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Konde boy jeshi uko juu
Daaaaah!! 🤗🤗🤗
Inagusa kumoyo, Konde kweli Konde shamba la madini
Best song it the bongo industry
Miaka miwili lakini wimbo bado mtamu sana..jeshi kweli..mob love
Bila shaka alie tengeneza mdundo ni hunternation Young legendary big up brother
Diamond amekua msanii wa Kawaida Sana now ashindane na Ibrah ,Konde Boy Jeshi yuko another level I say kuwa mshabik wa #jeshi ni raha lakn upande mwengne ni kiki sizizoeleweka
Wapi likes za MAJESHI wote👇
Flow Balaa fireee
Yan huu wimbo nmeshaurepeat zaid ya mara 15 ...yan dah konde umetowa sn huu wimbo