BILIONEA "MIMI NAPENDA SANA MAGARI, MWAKANI NANUNUA CHOPA ILI NIWEZE KUKAGUA MIRADI YANGU KIRAHISI"
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Mwekezaji wa madini na mbunge wa jimbo la Ulanga mkoani Morogoro Salim Alaudin Hasham Amesema moja ya starehe zake anazopenda ni magari ya kifahari lakini anataka ifikapo mwaka 2022 anunue chopa itakayo muwezesha kufanya kazi zake kiurahisi.
All the Bro Salim Almasi God bless you
Kweli kabisa usipokuwa na tamaa huwezi fanikiwa ila yategemea una tamaa ya aina ipi,na challenge sio mbaya ila inakupa motisha
Nakukubali bosi wangu ila wanaokuzughuka tabia zao sinzuri wanavimba mno tofauti na wewe
Good dream boss nakuombea sana
Mwenyehela anakula mlo mmoja na asiye na hela anakula mlo mmoja, tusio na hela tujikubali tu,
Aaaaaaaah' naon unajifarij
Kwani maisha Ni kula tu acha akili za kitoto
Safi sana mbunge
Point
Jamaa anasaka sana hela.vijana tusilale.mfano huo hapo.
Kuna siri mkuu...sio lelemama!!
Yes
UKITAKJUA PESA INATUPELEKESHA,JAMAA NI BILIONEA LAKINI ANAKULA ONE MEAL PER DAY
ALIKIBA
Aliesikia maclass mante apige like😅
Acha ujinga tajiri hakosei
Huyo jamaa anachuki na diamond platinumz
Nice one
Wapi Aliikiba
Ulanga tuna mbunge aliyejaza nafasi ya ubunge tu.
Yani Kuna watu Wana hela alafu wapo simpo tuu jamaa yupo kimya
Brother je wapenda landrover ya 1953 model short wheel base .
Alikiba uko wapi kuna salamu zako huku
Huyu mtu ashanunua chopa? Chopa ni mchezo dadeki 🤣🤣🤣
Pafect
Blizzard and dufk are
Huyu jamaa kwa kaulizake za jeuri sidhani kama.atarudi eti gari ina vio kwahio lazima afunge na ukenda kutafuta kura uwambie hivohivo kama we mfanya biashala ulitakia nn kua mwakilishi wa wananchi wako ukitoka bungeni undee kufungua vioo kwa wananchi wako ndio mabosi wako.
we ulitaka afanyeje ?
Itafute amani ya bwana na bata lake ili usionee donge bata la mwezako
@@jasonclepin4833 SUALI ZURI SANA 👍👍👍👍
Wewe ukinunua gari lako; FUNGUA vioo na Toa hata MILANGO. Ni kweli WANANCHI ndio ma Boss wake, ila hahitaji kuwasujudia
✌️
Nani msimamizi wa mali za shakuru
👏👏👏👏👏💪💪🫶
try and fail but not fail to try...💪🦾🦾