WALI WA PILAU MANDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Chakula kutosha watu 3-5
    Viungo vya kuku
    Vipande 16 vya sehem ya miguu na mapaja au kuku mzima
    Pilau masala kjk 1 cha kulia
    Kitunguu thom na tangawizi mbichi ilosagwa kjk 1 cha kulia
    Viungo vya wali
    Mchele wa basmati vikombe 2 na 1/2
    Mafuta ya kupia vjk 3 vya kulia
    Kitunguu maji 1 cha kiasi
    Bizari nyembamba/bizari ya uzile kjk 1 cha chai au zaidi
    Jani la bay 1 ( kama utapenda)
    Hilik kiasi chembe 5
    Vijiti vya mdalasini kiasi 3
    Pilipili manga nzima kiasi chembe 8-10 au zaidi
    Maji au supu ya kuku kisi vikombe 4
    Pilipili mbichi kiasi 1-2 kama utapenda
    Majani ya kotmiri kiasi 1/2 kikombe
    Chumvi kiasi
    THIS RECIPE IN ENGLISH • PILAU MANDI IN ENGLISH
    Aroma of Zanzibar social media
    / fathiya.ismail
    / aromaofzanzibar
    Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas www.youtube.co...
    Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
    www.instagram....
    Music courtesy / contemplative-middle-e...
    This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world

Комментарии • 133

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar  2 года назад +1

    IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK ruclips.net/video/MfhJ2Zql8Rw/видео.html

  • @jackyshizzle397
    @jackyshizzle397 Год назад +2

    Shukrani sana mummy... Nitajaribu kupikia watoto wangu... You never dissapoint, nimejifunza kupika vyakula vya aina tofauti kupitia wewe.... Allah akubarik

  • @malkiafoods
    @malkiafoods Год назад

    Masha Allah Tamu

  • @rahimasaid6721
    @rahimasaid6721 Год назад +4

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 3 месяца назад

    Mambo mazurii

  • @MwanaidiMohammed-bm6qg
    @MwanaidiMohammed-bm6qg Год назад

    Masha Allah Allah aijalie kazi yako ya mkono

  • @abdhully3974
    @abdhully3974 2 года назад +3

    Mashallah Barakallah 😍🤩👌🏽 nimeipendaa hii

  • @fatmasalim7132
    @fatmasalim7132 2 года назад +1

    Inaonekana test nzuri sana Maa sha Allah! Shukran sana kipenzi.

  • @fatmafoum5227
    @fatmafoum5227 Год назад +1

    Mashaallah very nice

  • @jonfx1330
    @jonfx1330 2 года назад +1

    Wallah hii mke wangu alikua akiisubiri kwa hamu kutoka kwako dada fathiya😘😜

  • @jikonimagic
    @jikonimagic 2 года назад +1

    Chakula kinavutia jameni!! I prefer hii version ya pilau mandi 👌👌.

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  2 года назад

      Yes dear I have been doing this for a while, its simple and best of both worlds

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 Год назад +1

    Mashallah mapishi Rahisi na tamu asanti sana😋😋😋

  • @sarahshibonje1201
    @sarahshibonje1201 Год назад +1

    Wow!!! Thank u so much for a new recipe I will try this tomorrow inshaalah

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 2 года назад +2

    Mashallah 😋ck nitakayoifanya nitafanya cheetind day kama wewe🤣🤣🤣Yaan tucheeting mana kiharufu cha mandi ukitaka usitake utakula tu😍😘😋

  • @ayshahassan5573
    @ayshahassan5573 2 года назад

    Ma Shaa Allah Tabaraka Rahman shukran Aunty for sharing. ❤️
    Allah barik.

  • @Yummycuisine269_230
    @Yummycuisine269_230 2 года назад

    Mashallah ❤️

  • @learnwithaalia8950
    @learnwithaalia8950 2 года назад

    Wooow ManshAllah nitajaribu hivi hivi Mama aksante umenifunza kweli.

  • @habibaguledguled1926
    @habibaguledguled1926 2 года назад

    MashAllah very nice nitajaribu shukraan

  • @rizikiswaleh917
    @rizikiswaleh917 2 года назад

    Mashallah Allah ibarik fiki

  • @tauhidasheha1118
    @tauhidasheha1118 2 года назад

    Maashallah nimepika leo wali mtam ajab, shukran jazakallahul kheir 😋😘😍

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  2 года назад

      Alhamdulilah Ahsante sana kwa support 🌹🙏🏽🌹😴🌹

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 2 года назад

    Nice one mashaallah I'll try

  • @a.856
    @a.856 2 года назад +1

    Jazakallah khayran

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 2 года назад

    Asante na wewe pia Kwa kutufunza mapishi

  • @khadijanassor5730
    @khadijanassor5730 2 года назад

    Mashallah akubarik Allah 🤲

  • @janethmalimbwi5597
    @janethmalimbwi5597 Год назад

    Nzuri sana

  • @khalefabdallah3680
    @khalefabdallah3680 Год назад

    Maashaa-Allaah.Shukran.

  • @hildamalimba6942
    @hildamalimba6942 2 года назад +1

    You making cooking look so easy,sijawahi choka kukufatilia

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  2 года назад +1

      Shukran usichoke it is easy dear . Ahsante sana kwa support

  • @zu3339
    @zu3339 Год назад

    Mashaallah sister

  • @salma5187
    @salma5187 2 года назад

    Shukran Jazzaka llahu lkhair ❤

  • @cylthianabarbara7122
    @cylthianabarbara7122 Год назад

    Asalam aleikum I made this yesterday for lunch. It turned out so delicious Ma shaa Allah the pot got cleaned. Jazakh Allah Kheir for this amazing recipe

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  Год назад +1

      Thank you so much for the wonderful feedback am glad you all enjoyed it. Thank you for your support 😘

  • @tauhidasheha1118
    @tauhidasheha1118 2 года назад +1

    Maashallah napenda sana recipe zako nitapika hii this weekend in shaa Allah 😋yummy

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 7 месяцев назад

    Shukran

  • @sadiakhan6815
    @sadiakhan6815 2 года назад

    Unzuri Sanaa mashahallah

  • @taflamohsin2195
    @taflamohsin2195 Год назад

    Masha Allah.look delicious.yummu yummy ❤️

  • @shakilaosman220
    @shakilaosman220 2 года назад

    MaShaAllah.... Must try...

  • @khadijamatar3945
    @khadijamatar3945 2 года назад

    Ma shaa Allah

  • @maryamswaleh548
    @maryamswaleh548 2 года назад +1

    Masha Allah naweka like kabla sijaangalia yote video najua hutuangushi sister

  • @khadijaishau352
    @khadijaishau352 2 года назад

    Mashallah nice meal

  • @sadasada7283
    @sadasada7283 Год назад +1

    Mashaallah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад

    Maa shaa Allah

  • @maimunaerreyskitchen6997
    @maimunaerreyskitchen6997 Год назад

    Mashaallah mapishi mazuri Sanaa😍

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 года назад

    Mash allah nakupendea hapo
    Unatuletea mapishi wakati mzuri ili tuyajaribu week end
    Naisikia harufu yake yakunukia kwa mbali ...
    Shukran sana

  • @halimascoastalcuisine4746
    @halimascoastalcuisine4746 Год назад

    Masha'Allah

  • @zubedaally4458
    @zubedaally4458 Год назад

    Shukran Habibty

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 2 года назад

    Maashaallah

  • @AntoinetteMarie530
    @AntoinetteMarie530 Год назад

    Welcome back 💝

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 Год назад

    Thanks God bless you

  • @husseinjongo7588
    @husseinjongo7588 Год назад

    Inakaa tamu sana haki 😋😋

  • @aminahamad3428
    @aminahamad3428 Год назад

    Masha allah mapishi matamu dada

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 2 года назад

    Mashaa Allah yummy yummy 😋😋😋

    • @aminamm9684
      @aminamm9684 2 года назад

      Mashaallah ♥️👌😋😋😋

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 2 года назад

    Maa shaa Allah tabarak Allah 😘

  • @nooor1120
    @nooor1120 Год назад

    Maa shaa Allah
    Yummy in my tummy
    Thank you dear

  • @cylthianabarbara7122
    @cylthianabarbara7122 Год назад

    Ma shaa Allah your cooking pots are gorgeous what brand please

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  Год назад +1

      it's been a while since I saw you comment, I think they are called Mr Saffron they are from citrus tv

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Год назад

    Mashaallah 😋😋😋

  • @videomaker2139
    @videomaker2139 Год назад

    Love it

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 года назад

    Asante mamy

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya794 2 года назад

    Mashallah

  • @zuriathkajala2370
    @zuriathkajala2370 Год назад

    Mashaallah samahn naomba kuuliza kwa asie kua na oven je inakuaje

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  Год назад

      Pika pilau ya kawaida halafu kuku mkaange kidogo apate rangi halafu fukiza kwa kupambia na mkaa juu

  • @aishaibrahim7891
    @aishaibrahim7891 11 месяцев назад

    Moto kwa oven nyuz myotonic ngp

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 2 года назад

    Walyem mssalam warrahmathuallah wabarakathu mum shukran kwa kutufuza

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  2 года назад

      Ahsante sana kwa suport

    • @siriyangu4724
      @siriyangu4724 2 года назад

      @@aromaofzanzibar karibu sna tuko pamoja 🤝

    • @rukiawabilela2856
      @rukiawabilela2856 2 года назад

      Allah akubarik.........yaani napenda sana kuangalia mapishi yako than namuomba Allah napika namm alhmdulilah mume wangu ameridhika nacho Allah akulipe mema

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  2 года назад

      @@rukiawabilela2856 alhamdulilah shukran kwa support 🌹

  • @jamilaabdulla7052
    @jamilaabdulla7052 2 года назад

    Mashallah ♥️ ♥️ ♥️

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp Год назад

    Yummy 😋😋😋

  • @umlee9895
    @umlee9895 2 года назад +1

    MashaAllah 😋

  • @janethmalimbwi5597
    @janethmalimbwi5597 Год назад

    Nataka hasa kujua Hayo makaa jmn

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  Год назад

      Hayo ni makaa ya haraka haraka tu lakini unaweza kutumia mkaa wowote tu utapata ladha sawa sawa , haya makaa tunatumia kwa kufukizia udi

  • @fatimadalrymple669
    @fatimadalrymple669 4 месяца назад

    I like you, sometimes you forget Swahili words which makes me laugh- where did you buy your pans from? I like them a lot, enjoy your pilau must try this method thank you sister ❤

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 месяца назад +1

      It’s so funny that you noticed that. I got my pans from Oman they are sold on Citrus Tv

    • @fatimadalrymple669
      @fatimadalrymple669 4 месяца назад

      @@aromaofzanzibar oh ok don’t think we can get this type of pan in the UK

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar Год назад

    Subiri mrejesho kutoka kwa Safia Jikoni 🤣🤣🤣

  • @maryoum7019
    @maryoum7019 2 года назад

    Salam aleykum hbbty
    Mashaa Allah chakula kinavutia
    Hbbty hpo ulipotia kwnye oven umeeka moto wa grill or moto wa chini plz ⁉️

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  2 года назад

      Wa aleikum musalaam, nineweka moto wa juu na chini pamoja

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Год назад

    Kuna utofauti gani wa kuweka vitunguu mafuta yakiwa ya moto na kuweka mafuta yakiwa bado hayajapata moto?
    Inapelekea utofauti wa ladha ama

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  Год назад

      Hakuna tofauti kwenye ladha Bali itachukua mda zaidi kama binefaham swali lako

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад

    Yaani, nilijiona mshindi kula Boflo na Supu usiku huu, lakini kwa hiyo “Mandi” umenipata!😀

  • @asyaabdulghani3183
    @asyaabdulghani3183 2 года назад

    🔥🙏❤️

  • @FatmaAli-mk3im
    @FatmaAli-mk3im Год назад

    A,alaykum..pilau mandi unaweza kutumia nyama badala ya kuku ?

  • @sulaimanal-mani3704
    @sulaimanal-mani3704 2 года назад

    Cheating day 😂, I would also cheat 😅

  • @Jlosinawi
    @Jlosinawi 2 года назад

    MASHALLAH

  • @yussuffuom5619
    @yussuffuom5619 2 года назад

    Unaweza kutia karot n boga

  • @user-hh8mw2zw3o
    @user-hh8mw2zw3o Год назад

    Maji yaliyo tumika ku chemsha mchele ni ya baridi

  • @kasungukivoto8078
    @kasungukivoto8078 Год назад

    Unatumia nini kwa kufukuzia wali Jima naomba kujua ndio ninunue.

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 2 года назад

    :Uroekeke " ni kiswahili

  • @ruqiyooffice3664
    @ruqiyooffice3664 2 года назад

    Ruqiyo office subskreb ruqiyo 👉🙏🙏🙏🙏🇸🇴👉🙏

  • @thuthasworldworld137
    @thuthasworldworld137 2 года назад

    Maa shaa Allah

  • @rizikirajab7082
    @rizikirajab7082 2 года назад

    Masha'Allah

  • @mkaparoad2666
    @mkaparoad2666 2 года назад

    Mashallah

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 2 года назад

    😋👍🏻❤

  • @asyaibrahim8612
    @asyaibrahim8612 2 года назад

    Mashallah