WALI WA PILAU MANDI
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Chakula kutosha watu 3-5
Viungo vya kuku
Vipande 16 vya sehem ya miguu na mapaja au kuku mzima
Pilau masala kjk 1 cha kulia
Kitunguu thom na tangawizi mbichi ilosagwa kjk 1 cha kulia
Viungo vya wali
Mchele wa basmati vikombe 2 na 1/2
Mafuta ya kupia vjk 3 vya kulia
Kitunguu maji 1 cha kiasi
Bizari nyembamba/bizari ya uzile kjk 1 cha chai au zaidi
Jani la bay 1 ( kama utapenda)
Hilik kiasi chembe 5
Vijiti vya mdalasini kiasi 3
Pilipili manga nzima kiasi chembe 8-10 au zaidi
Maji au supu ya kuku kisi vikombe 4
Pilipili mbichi kiasi 1-2 kama utapenda
Majani ya kotmiri kiasi 1/2 kikombe
Chumvi kiasi
THIS RECIPE IN ENGLISH • PILAU MANDI IN ENGLISH
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas www.youtube.co...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
www.instagram....
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK ruclips.net/video/MfhJ2Zql8Rw/видео.html
Shukrani sana mummy... Nitajaribu kupikia watoto wangu... You never dissapoint, nimejifunza kupika vyakula vya aina tofauti kupitia wewe.... Allah akubarik
Ahsante sana kwa support
Masha Allah Tamu
Shukran, karibu sana dada
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
Mambo mazurii
Masha Allah Allah aijalie kazi yako ya mkono
Shukran
Mashallah Barakallah 😍🤩👌🏽 nimeipendaa hii
Inaonekana test nzuri sana Maa sha Allah! Shukran sana kipenzi.
Mashaallah very nice
Wallah hii mke wangu alikua akiisubiri kwa hamu kutoka kwako dada fathiya😘😜
alhamdulilah right on time
Chakula kinavutia jameni!! I prefer hii version ya pilau mandi 👌👌.
Yes dear I have been doing this for a while, its simple and best of both worlds
Mashallah mapishi Rahisi na tamu asanti sana😋😋😋
Shukran
Wow!!! Thank u so much for a new recipe I will try this tomorrow inshaalah
Hope you enjoy
Mashallah 😋ck nitakayoifanya nitafanya cheetind day kama wewe🤣🤣🤣Yaan tucheeting mana kiharufu cha mandi ukitaka usitake utakula tu😍😘😋
Nakwambia, harufu nzuri mpka wapi sijui
Ma Shaa Allah Tabaraka Rahman shukran Aunty for sharing. ❤️
Allah barik.
Mashallah ❤️
Thanks dear
Wooow ManshAllah nitajaribu hivi hivi Mama aksante umenifunza kweli.
MashAllah very nice nitajaribu shukraan
Mashallah Allah ibarik fiki
Maashallah nimepika leo wali mtam ajab, shukran jazakallahul kheir 😋😘😍
Alhamdulilah Ahsante sana kwa support 🌹🙏🏽🌹😴🌹
Nice one mashaallah I'll try
Jazakallah khayran
Asante na wewe pia Kwa kutufunza mapishi
Mashallah akubarik Allah 🤲
Nzuri sana
Maashaa-Allaah.Shukran.
You making cooking look so easy,sijawahi choka kukufatilia
Shukran usichoke it is easy dear . Ahsante sana kwa support
Mashaallah sister
Shukran Jazzaka llahu lkhair ❤
Asalam aleikum I made this yesterday for lunch. It turned out so delicious Ma shaa Allah the pot got cleaned. Jazakh Allah Kheir for this amazing recipe
Thank you so much for the wonderful feedback am glad you all enjoyed it. Thank you for your support 😘
Maashallah napenda sana recipe zako nitapika hii this weekend in shaa Allah 😋yummy
Shukran, Inshallah utapenda
Hata mimi weekend hii lazima niipike..so yummy..be blessed dada
Hakuna lolote
Shukran
Unzuri Sanaa mashahallah
Masha Allah.look delicious.yummu yummy ❤️
Thank you so much 😊
MaShaAllah.... Must try...
Inshallah
Ma shaa Allah
Masha Allah naweka like kabla sijaangalia yote video najua hutuangushi sister
Shukran kwa support
Wajib
Mashallah nice meal
Mashaallah
Maa shaa Allah
Mashaallah mapishi mazuri Sanaa😍
Shukran ukhty
Mash allah nakupendea hapo
Unatuletea mapishi wakati mzuri ili tuyajaribu week end
Naisikia harufu yake yakunukia kwa mbali ...
Shukran sana
Mashallah
Masha'Allah
Shukran Habibty
Maashaallah
Welcome back 💝
Thanks God bless you
You too
Inakaa tamu sana haki 😋😋
Masha allah mapishi matamu dada
Mashaa Allah yummy yummy 😋😋😋
Mashaallah ♥️👌😋😋😋
Maa shaa Allah tabarak Allah 😘
Maa shaa Allah
Yummy in my tummy
Thank you dear
Most welcome
Mashaa Allah namba simu
Ma shaa Allah your cooking pots are gorgeous what brand please
it's been a while since I saw you comment, I think they are called Mr Saffron they are from citrus tv
Mashaallah 😋😋😋
Love it
Asante mamy
Mashallah
Mashaallah samahn naomba kuuliza kwa asie kua na oven je inakuaje
Pika pilau ya kawaida halafu kuku mkaange kidogo apate rangi halafu fukiza kwa kupambia na mkaa juu
Moto kwa oven nyuz myotonic ngp
Moto ni 180C kiasi dakika 20
Walyem mssalam warrahmathuallah wabarakathu mum shukran kwa kutufuza
Ahsante sana kwa suport
@@aromaofzanzibar karibu sna tuko pamoja 🤝
Allah akubarik.........yaani napenda sana kuangalia mapishi yako than namuomba Allah napika namm alhmdulilah mume wangu ameridhika nacho Allah akulipe mema
@@rukiawabilela2856 alhamdulilah shukran kwa support 🌹
Mashallah ♥️ ♥️ ♥️
😋😋😋😋
Yummy 😋😋😋
Thank you 😊
MashaAllah 😋
Nataka hasa kujua Hayo makaa jmn
Hayo ni makaa ya haraka haraka tu lakini unaweza kutumia mkaa wowote tu utapata ladha sawa sawa , haya makaa tunatumia kwa kufukizia udi
I like you, sometimes you forget Swahili words which makes me laugh- where did you buy your pans from? I like them a lot, enjoy your pilau must try this method thank you sister ❤
It’s so funny that you noticed that. I got my pans from Oman they are sold on Citrus Tv
@@aromaofzanzibar oh ok don’t think we can get this type of pan in the UK
Subiri mrejesho kutoka kwa Safia Jikoni 🤣🤣🤣
Inshallah tena haraka 😂😂
Salam aleykum hbbty
Mashaa Allah chakula kinavutia
Hbbty hpo ulipotia kwnye oven umeeka moto wa grill or moto wa chini plz ⁉️
Wa aleikum musalaam, nineweka moto wa juu na chini pamoja
Kuna utofauti gani wa kuweka vitunguu mafuta yakiwa ya moto na kuweka mafuta yakiwa bado hayajapata moto?
Inapelekea utofauti wa ladha ama
Hakuna tofauti kwenye ladha Bali itachukua mda zaidi kama binefaham swali lako
Yaani, nilijiona mshindi kula Boflo na Supu usiku huu, lakini kwa hiyo “Mandi” umenipata!😀
Pole sana itabidi ubadili hewa sasa
🔥🙏❤️
A,alaykum..pilau mandi unaweza kutumia nyama badala ya kuku ?
Wa aelikum Musalaam, ndio unaweza kutumia nyama
@@aromaofzanzibar shukran
Cheating day 😂, I would also cheat 😅
Yes sometimes we have to 😂
MASHALLAH
Unaweza kutia karot n boga
Jaribu
Maji yaliyo tumika ku chemsha mchele ni ya baridi
Ndio ni ya kwaida tu
@@aromaofzanzibar Asante
Unatumia nini kwa kufukuzia wali Jima naomba kujua ndio ninunue.
Mkaa
:Uroekeke " ni kiswahili
I hope so 😁
Ruqiyo office subskreb ruqiyo 👉🙏🙏🙏🙏🇸🇴👉🙏
Maa shaa Allah
Masha'Allah
Mashallah
😋👍🏻❤
Mashallah
Alhamdulilah