BIRIANI/BIRIYANI LA KUFUKIZWA
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Mahitaji
Chakula kutosha kiasi wa watu 4-6
Vitunguu maji kiasi pound 2/970 grams mpka kilo1
Nyama ya ng'ombe au yoyote kiasi pound 2/970 mpka kilo1
Maziwa ya mtindi kiasi bila ladha - kikombe 1
Nyanya ya mkebe - kibati 1 kidogo kiasi vjk 4 vya kulia au zaidi
Masala ya biriani kiasi vjk 2 vya kulia ( punguza au zidisha)
Kitunguu thom kiasi chembe 10-12 au paste vjk 2 vya kulia
Tangawizi mbichi kiashi kjk 1 cha kulia
Papai bichi au kavu la kusaga kiasi 1/2 kikombe
Majani ya nanaa ( 1/4 kikombe)
Majani ya dania ( 1/2 kikombe)
Maji ya ndim/limao kiasi kjk 1 cha kulia ( unaweza kupunguza au kuzidisha kiasi chako)
Pilipili mbichi ( kama utapenda )
Nyanya kiasi 3-4
Mbatata kiasi 6 zilokatwa 1/2 ( kama utapenda)
Chumvi kiasi
Upikaji wa wali
Mchele kiasi 1/2 kilo au zaidi ( inategemea na mchele)
Zafarani kiasi 1/4 kjk cha chai
Maji ya wardi kiasi vjk 3 vya kulia
Masala nzima ( mdalasini, hiliki, n.k)
Chumvi kiasi
THIS RECIPE IN ENGLISH • AMAZING SMOKED BIRIANI...
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas www.youtube.co...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
www.instagram....
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world
Mashalah tabarakah mapishi ajaab ntajaribu allah akuhifadhi una tufahamisha vizuri mapishi yako jazakillah
Asalam aleykum... My teacher still learning a lot from your dear Allah barik
Kuroweka mchele na chumvi nme learn kwako wali wowote ninaopika narowekea chumvi thank you mamy jazakallah ❤❤❤
Allahumma Barik
Mashaallah habibty. Allah azidi kukubariki
Mashallah Allah barik
Mashaallah habibtiy biriyani inaonesha ni tam sana Allah akubarik akuzidishie kheri
Amin kwetu sote ya rabb
Mashaallah Haruf adi uku👌👌
Naam
ماشاء الله تبارك الرحمن
MashaAllah ❤️ plan for today in Sha Allah, Shukran
All the best
Mash allah mash allah tabarak rahman nakuombea kila la kheir juu yako na family yako
Shukran sana kwa mapishi maZur tupo pamoja daima
Shukran, you always have the nicest things to say....I truly appreciate being appreciated
@@aromaofzanzibar Shukran dear
Mashaallah shukran jazakallah habbibty 🥰😘😘
Masha Allah...that was fantastic
Mashaallah, it's amazing dishes ✌️🥰💯
Thank you so much 😊
Muzori sana thank you
Maskaallah
mashalAh very nice receipe thnx sister we learn many thnx mngu akujaze kheri akupe umry uzidi kutufundisha
Shukran, amin kwetu sote. Thanks for your support
Mashallah yummy yummy 😋
Mashaallah mashaallah tabaraka Allah inaonesha nzuri thank you
Shukran
Asante Kwa biriani tamu
Ahsatte wewe kwa support
Asante sana
MashaAllah ❤
Ma sha Allah hbbt
Maashallah maashallah Maashallah
Jazakallah khayran
Mashallah Allah akuzidishie
Amin kwetu sote
MASHALLAH!! MASHALLAH!! I May ALLAH bless your hands.I wish ur my mam singekula Kwa mtu yoyote only urs 😘💕🌹
So sweet, thank you!
Manshallah ❤️
Nyama ya kizanzibar fresh itaiva bila maji jaman
Ukiroweka kwa papai sioni tatizo
Maa shaa Allah tabarak Allah 🥰
We just made this. Delicious and easy to follow 🙏🏿
Hope you liked it
Nilikula biriani for breakfast 😋 could not wait.
Mansha allah ❤❤
Maa shaa Allah, shukran
Mashallah
fatma issa alkindy
mashaallah nzuri sana in shaa alla nita jaribu
Hapo Sijaelewa rosti si ina nyama
ndio
Allah Abarik mikono yako Amiin
Amin , shukran
yummy !
Masha allah 😘❤😘nilikuwa nimepanga kupika naan lkn nimebadilisha mamuzi 😁😁😁nitaleta mrejesho in sha allah kwa Instagram
Inshallah nitangojea
😍😍
😍😍😍😍😍
Thanks my sweety
😋😋😋😋😋😋😋😋😋
❤️😘🔥🙏
🌹😘🙏🏽
MashAllah nzuri umetumia mafuta gani kufukiza??
Mafuta nilokaangia vitunguu , unaweza kutumia samli pia
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK ruclips.net/video/ns9xP10buUI/видео.html
yani we mama unajua kupika mpaka kero ,napenda sauti yako mimi
Ahsante sana kwa support 🌹😘
Naomba niandikie vifaa vilivyotumika
Nimeandika hapo chini kwenye description box chini ya tarehe
Please what spices do you mix for the Biriani masala please
Here is the link ruclips.net/video/GvThvELD0iU/видео.html
Alsalaam aleikum majani ya nanaa in English?
Mint
Masala ya birian consists of what and what dada?
Link ya video biriani masala ruclips.net/video/GvThvELD0iU/видео.html
Jaman hilo biriyan laliwa mtaa gan tuje haloo??
Mbona umechekewa
Majani ya Nana's na Dania inaitwaje kwa English?
Mint and coriander
Kwa nyama hujaweka maji?
Sijaweka
daa aroma nn maana ya biriyani ya kufukiza.una fukiza na nn...
Kufukiza ni hivyo nilivyo onyesha hapo kuweka kaa la moto na mfuta halafu nikafunika
una weka mafuta ya aina gani sasa mpaka ilo biriyani lina fanya kunukia vizuri....
@@aminamwasu7689 mafuta nilikaangia kitunguu au samli