Mashallah asante kwa maelekezo mazur yan ni kama unamwelekeza mtoto homework unaelezea in deeply hata kama MTU kachoka lazima awe interested kukusikiliza yan nakupenda sana we Dada nataman siku uweke video na picha yako angalau nikuone una roho nzuri japo hatufahamian mungu akutunze
Alhamdullillah🙏🙏🙏🙏🙏asante sana sana dear,MashaAllah una roho nzuri sana pia,ni wachache sana wanaokubali kazi ya mtu na kumwambia kwa upendo...InshaAllah iko siku nitafanya ivo kipenzi ili mnijue pia🙏🙏 Asante sana kwa support yako,nafurahi kujua naeleweka kwa asilimia kubwa😘😘😘😘
My kwako mm sinaga swali make unatoa maelezo kanq kwamba uko ktk ufahamu wangu,,,, pilau hilo kibokooo na idd litanikoma, cm pembeni nagelezeq mpaka kieleweke. Barikiwa my love
😘😘😘alhamdullilah🙏 kipenzi changu ,kwanza MashaAllah dear kwa kuelewa kila kitu.. Shukran sana kwa support yako,yaaani nakupenda kupita maelezo,uwepo wako kwa channel yangu nauthamini sana,unanipa faraja na tumaini kubwa sana kupitia comment zako,Allah akuongezee furaha katika maisha yako kama unavyoongeza furaha katika maisha yangu.. Asante sana kwa kila kitu..nakupenda sana,sana
Asante sana dada kwa kujitolea kutufunza hapa mtandaoni...mimi mwenyewe ni mpishi pia lakini kuna mengine sikuwa najua lakini sasa hivi nina huwezo wa kuandaa pilau tamu saana....shukrani kwa hiyo
Mmm pilau ajab taamu, lakini dada umesahau kusema moto kiasi gani nathani wengi wana choma sufuria kwa kuweka moto juu , kwahivyo tafadhali waeleze pia kiasi ya moro asante.
Kwenye shughuli zetu wachaga huwezi kukosa hii saladi ni taamu mnooo ina test kwa pilau ni😋😋😋😋
Maa shaa Allah,namie ntajaribu in shaa Allah
Mm huwa siweki nyanya kwa pilau na huwa tamu aki nakwambia 😘🥰
Pilau Kwa macho tu ni tamuuu. Jee ukila SI utajing'ata dole,,hongera mpishi upo vizuri jikoni
Nakupendaga Sana najifunza meng San kwako kupitia wew nmefany biashara na inanilipa vzur tu
Mchele mbna mrefu sana
Supu ndo inayolainisha,au kuivisha viaz,njege,namchele,aksanteamiii❤
Asante nilikuwa sijui kutengeneza sarad nilijaribu na pilau kama hilo tamu had raha
😍😍😍😊hongera sana
MASSHALLAH. NIMEIPENDA🥰👏
Asante mumy nimejifunza na nmejaribu ni tamu sanaa
MashaAllah 😘 hongera sana,na Asante kwa support
@@kekiplus1andonlynaomba namba yako ya simu ikiwa hutajali
Jaman dada Asante na me nimepika hili pilau kwa maelezo yako jaman ni Tami Sana uwii sijawah pika pilau tam Kama like jaman🙏
Aaq
Je uliweka gigiliani inakuwaje
@@alexandernduya5999 sikuweka
Ata me nimepik namna hiii
Apo kaniongezea karafuu ya unga na uzira wa unga!
Wow nice recipe nmeipenda sana be blessed ❤
We dada umenikosha pilau yako ni amaizing nimeipenda, hongera.
Ku- pikka ningummu, watching from uganda Kampala ✊ ✊ ✊ ✊
Aimed nimeipend xana😊😊😊😊hongera
Asante sana somo limeeleweka
Naipenda sana kupika vyakula kitamu asanti kwa kutufunza
Asante kwa mafundisho ya pishi tamu❤❤
Asante mum omen funza nitaijaribu Leo Amen..
Mashallah asante kwa maelekezo mazur yan ni kama unamwelekeza mtoto homework unaelezea in deeply hata kama MTU kachoka lazima awe interested kukusikiliza yan nakupenda sana we Dada nataman siku uweke video na picha yako angalau nikuone una roho nzuri japo hatufahamian mungu akutunze
Alhamdullillah🙏🙏🙏🙏🙏asante sana sana dear,MashaAllah una roho nzuri sana pia,ni wachache sana wanaokubali kazi ya mtu na kumwambia kwa upendo...InshaAllah iko siku nitafanya ivo kipenzi ili mnijue pia🙏🙏
Asante sana kwa support yako,nafurahi kujua naeleweka kwa asilimia kubwa😘😘😘😘
Nikweli huyu Dada anamaelekezo mazur nimejifunza keki juz kwakufuata utaratibu jaman nimepika keki tam na kupamba vizur nampenda Sana huyu Dada🥰
Nimekuelewa
Asante kwa maelezo yako
Asante nimepata kitu kipya mpz
Yaan upishi wako exactly like ma mom...ad mm nmezowea pika ivy😍
Nimependa pishi lako asante
Supu hakika Akona ladha ya nyama 👍👍👍👍
Asante nimependa pishi lako
Mashallah rafiki pilau nzri snaa nitampikia mume wangu
Na juice ya passion
🍐🍉🍇umeyasahau nuru
Natamani niwe mume wako niinjoi
Waooo asant saaan dada anguu kwa kwel weee fundiii
Asante sana nimejaribi saiyi 🙏🙏
My kwako mm sinaga swali make unatoa maelezo kanq kwamba uko ktk ufahamu wangu,,,, pilau hilo kibokooo na idd litanikoma, cm pembeni nagelezeq mpaka kieleweke. Barikiwa my love
😘😘😘alhamdullilah🙏 kipenzi changu ,kwanza MashaAllah dear kwa kuelewa kila kitu..
Shukran sana kwa support yako,yaaani nakupenda kupita maelezo,uwepo wako kwa channel yangu nauthamini sana,unanipa faraja na tumaini kubwa sana kupitia comment zako,Allah akuongezee furaha katika maisha yako kama unavyoongeza furaha katika maisha yangu..
Asante sana kwa kila kitu..nakupenda sana,sana
Dada Asante sanaaa
Ubarikiw mpishi nimekupenda
Alafu dada nataka kujifunza mengi sana kutoka kwako asante
Asante kwa darasa la mapishi ubarikiwe
Asante Kwa pishi mzuri
Asante kwa ujuzi was pilau
Mimi nimewahi na kiukwel nitama atary❤❤
Asnt ubarikiwe Kaz yako Ni njema nakupend snaa.
Asante sana kwa support
Tutajie ivyo viungo kwa kingereza🙏
❤❤ nimependa pishi
Hakika pilau yoko imenivutia dear na inaelekea nitamu kuliko maelezo. Hongera sanaaa
Nimekupenda kbx
Asantee kwa somo zur
Wow, nmependa mapishi
Ni nzuri nataka kuuliza kuhusu tuu la Nazi unaweka wakati gani
Nime pendasana pilau Yako Asante sana
asante dada kwa maelekezo yako maana kuna wengine ilo pilau ukipikiwa utacheka 😅😅pilau maji😂😂 na maarage
🤣🤣🤣
Asantee kipenzi
Asante Sana mipishi bomba...hongera
Wow very nice good job
Una sauti tamu kushinda hiyo pilau😁😁...ila ahsante kwa kutufunza upishi🙏
Duuh
Acha umalaya kaka😂😂
Eiii😅😂😂😂wababa
😂😂😂khaaa
Asante sana dada kwa kujitolea kutufunza hapa mtandaoni...mimi mwenyewe ni mpishi pia lakini kuna mengine sikuwa najua lakini sasa hivi nina huwezo wa kuandaa pilau tamu saana....shukrani kwa hiyo
Karibu sana mpishi mwenzangu, na Asante sana kwa sapoti yako
Mm vipimo ndio vinanishinda kama Michele kg 1 unatumia unga pilau kiasi gani?
Wooooooh ni nzuri
Shukran sana naenda kupika kesho
Asante.nimeshiba.
Nzuri sana
Nimejifunza sana. Shukrani✅❤️
👏👏👏
Wow jamani nikirudi Kenya nitapikia mume wangu hivyo hivyo nimependa venye unapika ❤
Supu ya nyama inafanya pilau inakuwa na ladha nzuri mno tofauti na maji
Nice one ila umefanya haraka kuweka njegere wakati wa kupalia ndio unapaswa kuweka ili isiwe na rangi mbayana kulegea zaidi
nyama, vitunguu, pilau masala,
Jee unaweza kuweka vitunguu saumu vingi
Uko vizuri pia je kama nataka kuweka zabibu naweka mda gani pindi napika
Shukran kwa mafunzo
Very nice keep educating us
Good job👊👊🤝👍
Chakula kimoja mapishi mbali mbali poa upo vzr
Umejitahid sana dada
Linaoneka tamu sana mimi sijaiona hiyo salad irudie
Bizari nyembamba initwa aje na kizungu tafathali Asante.
Cumin seeds
Njegere hizo za mkoa gani mmmh maaana nahofia Mimi haziwezi kuiva
Asante kwa maelekezo Id imekaribia nitapika hivyo
Nimependa
Jamani napenda kupika sana mimi mwenziyo😊😅
Wow now got the full recipe so nice
Nimeipenda sana
Wooow inakaa tamu nitajaribu inshallaah
Sawa kabisa
Woooi nzuli
Asante sana yaani unajua ❤❤❤❤
Ameizing hiyo Dada ila hiyo saladi namm nishatengeneza iko vyemaaa tuu
👌👌nadodokwa na mate.hicho chakula ni kitamu
Mashaallah nimeipenda sana hii resipy
MashaaAllah my love nishaeka kwa ile menu yangu ya eid😘😘shikamoo njegere
MashaaAllah mmoja mmoja mchele😋😋carrots love napenda sana hii pilau nitumie tu😝umenipa mtihani sanaa.. Hio salad ni pambeee
Njegere noma sana
Hahaha,inakufuata iyo sasa hivi😂😂😂ila itafika imeoza🙆🙆🙆
@@HadijaSheban need
Uko vizuri mke wangu amependa na anafatilia Kwa ukaribu sana
Mashaallah napend Sana kupika vizri
Hongera mrembo jamani nitam sana hatakwa macho
Salami alekum
Pilau zuri mama
Mashaallah
Nimependa na napenda nijifunze mapishi kutoka kwako😍
Nimekupenda kwa mafundisho mazuri
Huo ni muchele upi maan ni mrefu kama basimat embu tuambie dear
Mmm pilau ajab taamu, lakini dada umesahau kusema moto kiasi gani nathani wengi wana choma sufuria kwa kuweka moto juu , kwahivyo tafadhali waeleze pia kiasi ya moro asante.
Thanks dear but kindly can you translate in English especially the spicies
Nzuri sana napenda vyakula vizur kama hivyooo
Una weza ku upload picha za viungo pls
Ahsante
Huu mchele nii huu huu au kuna mchele tofauti
Keki plus utabak mawinguni masomo yako huwa yanaeleweka kwangu Mungu akutunze utufundishe zaid
asante dada nani kexh napika
Can't wait to try so simple
Thanks kwa maelekezo