VITASA | Saleh Kassim vs Said Bwanga |
HTML-код
- Опубликовано: 29 июн 2023
- USIKU WA VITASA: Hivi ndivyo bondia Said Bwanga alivyompiga Saleh Kassim kwa pointi katika pambano la raundi nane.
Ni pambano la utangulizi kuelekea pambano la Kidunda vs Mukadi katika usiku wa vitasa ndani ya ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
#UsikuWaVitasa #VitasaNight #NgumiJiwe #Boxing #Saleh Kassim #SaidBwanga Спорт
Big up champion bwanga ushindi bila kona kona 💪
huyu dogo anajua ngumi na anahimili ngumi, akikomaa atatisha familia yake vzr kuptia mchezo huu yuko vzr
Bwangaaaa
ruclips.net/video/PCjhUK8BKIM/видео.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI
Bwanga you are too far Good comrade....keep it up champ
Wazanzibari hapa kwa salehe kassimu wamepata bonge la man card kama watamjali nakumthamini bondia wao .ni bondia mkali sana.
Bwanga bondia ili game kashinda kiuwalali💪
Safi sana champion bwanga. Unajua kuchunguria. Babu kubwa
ruclips.net/video/PCjhUK8BKIM/видео.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI
Jamaa uwa sichoki kutazama mapambano yake saidi bwanga anajua mpk anajua tena nataman siku wakutane na salim mtango itakuwa game nzuri tena iwe main card
Na nilimwimbia goma hili
ruclips.net/video/PCjhUK8BKIM/видео.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI
Pambano kasim ndie Ame shinda saidi bwanga majaji wa me Amua kumpa
Said is a winer
Saidi bwanga saidi bwanga nakuona mbalisana kwenye mafanikio yako yangumi dogo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
Na nilimwimbia wimbo huu broo
ruclips.net/video/PCjhUK8BKIM/видео.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI
Bwanga unajua
💪💪🤝
Saidi bwanga bondia aliyepitishwa njia ngumu sana.Ana mustaqbali mzuri iwapo uongozi wake utasimama nae imara
ruclips.net/video/PCjhUK8BKIM/видео.htmlsi=4vHQ9JQ097rEO6cI
Huojama anahusika nangi Mana namuonaga kiramechi
Wamempendeleya alo shinda saleh kassim
Wa zenji nn mwenetu
P1
sale kassim kashinda iyo gem ata ukiangalia, ila ao majaji sijui ata vp
Sawa ndugu
Naona majaji mnataka kuharibu mchezo wa ngumi sasa sindio huo mchezo ulikua ni sare waote wamepugana achezi upuuz uko
Sawa judge mkuu duniani
Hapana said bwanga kashinda vizuri kwa mchezo huu saida kacheza vzuri na hata mpinzani wake sio mbaya pia ni mzuri
Bwanga unajua
Bwanga unajua