INASIKITISHA!- NILILIPWA 30,000/ ALINIDHARAU/NILIPANDA BODABODA KWENDA KWENYE PAMBANO/ NINAUZA KUKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #vitasa #masumbwi #mandonga

Комментарии • 34

  • @NiraSaire
    @NiraSaire Год назад +5

    Somba, you do your homeworks very well!! Presenters have a thing to learn from you. Congrats bro

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy2070 Месяц назад

    Nakubali kaka pamoja sana beanga pmj na somba ❤❤❤

  • @abdurrahimjumbe-jc1uf
    @abdurrahimjumbe-jc1uf Год назад +4

    Well said keep it up...

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 Год назад +1

    Said bwanga ww ni boxer real never give up,big up kwa walimu wako wamekujenga vizuri kwenye misingi ya boxer 👏🥊🙏

  • @jumajumanne4997
    @jumajumanne4997 Год назад +1

    Uyu dogo atari alimsumbua sana mwakyembe yupo vizuri 🥊💪🔥

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 месяца назад

    I like ur discipline said

  • @dmstvonline6608
    @dmstvonline6608 Год назад +2

    Very smart atafika mbali saaaana

  • @oswardybenardy3373
    @oswardybenardy3373 Год назад +1

    Champion 🏆 ✊🏿

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 Год назад +2

    Dogo yuko vzr balaaaa,
    Akaze atafika mbali

  • @EvalistTokwa-lw8hf
    @EvalistTokwa-lw8hf 11 месяцев назад

    💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥uko vizuli sana dogo nautakuwa no1 tanzania na aflika

  • @jumasamatta7847
    @jumasamatta7847 Год назад +1

    Unajua mwanangu

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад +3

    Hila boxing itakuja kuteki over tanzania
    One day na boxing watakuja kulipwa
    Mamilion mengi sanaa kwa kila pambano

  • @liaonaoliver18
    @liaonaoliver18 2 месяца назад

    nimeona mabondia, ww unaweza sana nakuweka level za akina Ibra class, Nassibu, upo vzr sn na utafika mbali sn, una mnyumbuliko mzuri sn katika boxing ambao mabondia wengi hawana,

  • @ezekieljolam4276
    @ezekieljolam4276 Год назад +3

    Nishabik yako mwamba toka nimekuona kwenye game yako mkuu

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 Год назад

    Safi Sana Champion

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад +1

    Mzinga finest

  • @YashibuMketo-qi1dn
    @YashibuMketo-qi1dn Год назад

    Faza jitahidi utafika mbalisana, kiukweli unaweza.

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 Год назад

    Huyu bondia ni hatarii

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Год назад

    Duuh huyu dogo noma

  • @fadhilmwakea1259
    @fadhilmwakea1259 Год назад

    Safi sana kitu chakuzingatia ni mazoezi kwani umenikumbusha wakati nacheza nilikua kama Askari wa kukodiwa nikipewa pesa vitani unauwezo mkubwa mno

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад +1

    👊👊

  • @NahodhaSeleman-ez3qu
    @NahodhaSeleman-ez3qu 8 месяцев назад

    Nimeona uwezo wako nimkubaa saaaan utafika mbali

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад +3

    Mafanikio hayaji ukikata tamaa, yenyewee yanamfata
    anayejituma sio kusukumwa na njaaa
    Side maweeeee
    Mwili mdogo
    Akili nyingiiiiii

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад +1

    Maweeeeeee

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Год назад

    Nakuona kama mwakinyo una malengo mazuri sio kupiganatu ila kwa elufu 30😢 hata sindano tano za figo hupati mna waonea

  • @daudarajabu5822
    @daudarajabu5822 Год назад +1

    Mambondia wanaclinyingi sana bora yeye kaeleza ukwel wengine hawa semi kabsa nabado wanaumia .30 elfu unapigania kweli

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Год назад +2

    Dogo anaupiga mwingi

  • @aloyceshirima7539
    @aloyceshirima7539 Год назад

    Huu ndo uanamme

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад +1

    Side bwanga

  • @jumasamatta7847
    @jumasamatta7847 Год назад +1

    Mbagala Kuna samatta WA mpira,na wewe utatuwakilisha ktk ngumi

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 Год назад

    Huyo dogo SAID BWANGA kama akiwa AMATEUR naziona MEDALI 🏅 Za DHAHABU MIKONONI MWAKE AKIZILETA TANZANIA
    (umri unamruhusu)

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Год назад +1

    Huyu dogo anarusha ngumi sio mchezo

  • @kizz_kido
    @kizz_kido Год назад

    👊👊