INASIKITISHA!- NILILIPWA 30,000/ ALINIDHARAU/NILIPANDA BODABODA KWENDA KWENYE PAMBANO/ NINAUZA KUKU
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#vitasa #masumbwi #mandonga
Somba, you do your homeworks very well!! Presenters have a thing to learn from you. Congrats bro
Nakubali kaka pamoja sana beanga pmj na somba ❤❤❤
Well said keep it up...
Said bwanga ww ni boxer real never give up,big up kwa walimu wako wamekujenga vizuri kwenye misingi ya boxer 👏🥊🙏
Uyu dogo atari alimsumbua sana mwakyembe yupo vizuri 🥊💪🔥
I like ur discipline said
Very smart atafika mbali saaaana
Champion 🏆 ✊🏿
Dogo yuko vzr balaaaa,
Akaze atafika mbali
💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥uko vizuli sana dogo nautakuwa no1 tanzania na aflika
Unajua mwanangu
Hila boxing itakuja kuteki over tanzania
One day na boxing watakuja kulipwa
Mamilion mengi sanaa kwa kila pambano
nimeona mabondia, ww unaweza sana nakuweka level za akina Ibra class, Nassibu, upo vzr sn na utafika mbali sn, una mnyumbuliko mzuri sn katika boxing ambao mabondia wengi hawana,
Nishabik yako mwamba toka nimekuona kwenye game yako mkuu
Safi Sana Champion
Mzinga finest
Faza jitahidi utafika mbalisana, kiukweli unaweza.
Huyu bondia ni hatarii
Duuh huyu dogo noma
Safi sana kitu chakuzingatia ni mazoezi kwani umenikumbusha wakati nacheza nilikua kama Askari wa kukodiwa nikipewa pesa vitani unauwezo mkubwa mno
👊👊
Nimeona uwezo wako nimkubaa saaaan utafika mbali
Mafanikio hayaji ukikata tamaa, yenyewee yanamfata
anayejituma sio kusukumwa na njaaa
Side maweeeee
Mwili mdogo
Akili nyingiiiiii
Maweeeeeee
Nakuona kama mwakinyo una malengo mazuri sio kupiganatu ila kwa elufu 30😢 hata sindano tano za figo hupati mna waonea
Mambondia wanaclinyingi sana bora yeye kaeleza ukwel wengine hawa semi kabsa nabado wanaumia .30 elfu unapigania kweli
Dogo anaupiga mwingi
Huu ndo uanamme
Side bwanga
Mbagala Kuna samatta WA mpira,na wewe utatuwakilisha ktk ngumi
Inshaallah
Huyo dogo SAID BWANGA kama akiwa AMATEUR naziona MEDALI 🏅 Za DHAHABU MIKONONI MWAKE AKIZILETA TANZANIA
(umri unamruhusu)
Huyu dogo anarusha ngumi sio mchezo
👊👊