Mabondia Said Mkola na Said Bwanga wamekutana ndani ya studio za Azam TV na kutunishiana misuli wenyewe kwa wenyewe huku kila mmoja akitamba kwa namna yake.
Mkola upunguze sana papara na usiweke akili yako kutegemea sana nguvu zako.Bali utumie Akili sana unacheza na bondia anaefikiria kufika mbali hivyo uwe makini sana
Nakupenda Mkola ila Kwa Bwanga Umekwisha bro😅
😂😂😂😂😂ameyakanyanga said mkola
Hahaha mkola kapotea mapema 😂😂😂
Bwanga mawe
Mkola umeyakanyaga😢
Kwenye maneno mkola tushampiga sasa waukae tukampige na ulingon
Bwangaa muto msimzalau bwanga moto chini
Mkola hana maajabu kwa bwanga
Sikupingi damu yang
Mkola upunguze sana papara na usiweke akili yako kutegemea sana nguvu zako.Bali utumie Akili sana unacheza na bondia anaefikiria kufika mbali hivyo uwe makini sana
Pambano lini?
Pambano hili nampa mkola🥊🥊
Unamjua Bwanga 😂😂😂