HIGHLIGHT | PAY BACK NIGHT | KIDUNDA VS KATOMPA - WBF SUPER MIDDLE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • HIGHLIGHT | #KidundaVsKatompa
    HIvi ndivyo ilivyokuwa shughuli ya Selemani Kidunda 'Mtu M Bad' alipotawazwa bingwa mpya wa mabara, Mkanda wa WBF, super middle Weight.
    #PayBackNight #UsikuWaKisasi #KikiSongea #VitasaSongea #KatompaSongea #KidundaSongea #KidundaVsKatompa #Vitasa #VitasaNight #UsikuWaVitasa

Комментарии • 133

  • @omaryshafii1284
    @omaryshafii1284 2 года назад +6

    Kidunda ameonyesha uwezo na kipaji hongera sana ameshinda bila chenga good job bro

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla608 2 года назад +7

    Asante Mungu kwa ushindi maana angepigwa jeshi langu linge dhalilika.

  • @christianosimba6083
    @christianosimba6083 2 года назад +8

    Salute camanda wangu umewakilisha vizur tanzania yetu umecheza vizur sn👊

  • @elishangomele9937
    @elishangomele9937 2 года назад +9

    Hongera sana kidunda umetuwakilisha vyema🇹🇿
    Lakini Eric anaweza pia na mtu ana nizamu sana na Hana maneno mengi hongera Kwa ote

  • @iddyjuma6967
    @iddyjuma6967 2 года назад +5

    Nimefurahi xana hii uyu Jamaa alikuwa akijifanya anajuwa sana hongera seleman kidunda hongera tz yang

  • @aminamwangile4020
    @aminamwangile4020 2 года назад +3

    Wow Kidunda shukran kwa kutuwakilisha vyema wana kigogo DSM TANZANIA

  • @lazarogatahwa1106
    @lazarogatahwa1106 2 года назад +2

    Kiujumla huyu jamaa yangu kidunda huwa namuelewa sana hajawah kuniangusha big up sana kamanda wangu

  • @Izikiel55
    @Izikiel55 2 года назад +2

    Kidunda ndio bondia mzur kwa ngumi na ni namba moja kwa sasa tz

  • @ibrahimabdallah8076
    @ibrahimabdallah8076 2 года назад +10

    Jamaa kastahili kidunda ni bondia bora nchini lakini hasemwi sana kama wengine

  • @kamugishaernest6227
    @kamugishaernest6227 2 года назад +4

    Kidunda ni bondia namba moja Tanzania.hakuna kama Kidunda 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @casmirmakoye3017
    @casmirmakoye3017 2 года назад +1

    Kazi nzuri Selemani Kidunda

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani9159 9 месяцев назад +1

    Kwa tanzania hakuna bondia bora kama kidunda

  • @soudmnyamacharlieshortfunn8831
    @soudmnyamacharlieshortfunn8831 2 года назад +8

    Soja hajawai feli kizembe KIDUNDA 😍

  • @kimbyarungwe4959
    @kimbyarungwe4959 2 года назад +1

    Selemani kinunda ndiyo bondia ninae mkubali tz🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 Год назад +1

    Kidunda ni jitu na nusu

  • @manpierre571
    @manpierre571 2 года назад +6

    👏👏👏Tupende vyakwetu Jamaa anajua sanaa...👏👏

  • @farajaanderson4463
    @farajaanderson4463 2 года назад +4

    Kidunda mtu hatari sana tz ndio bondii no 1 tz kwa sasa

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 2 года назад +9

    Yaani Katompa size yake Kidunda kwa hapa bongo coz Kidunda ana speed na pumzi na ngumi zake nzito. I would suggest aongeze zaidi speed na ngumi,upper cut za bondia anae inamana na mbavuni na Guard iwe intact. Pia namshauri awaangalie Dogbe wa Ghana hafu Spence nimesahau nchi na Israel Adesanya hata km yupo kick boxing atajifunza kitu,Hand speed haijawahi muangusha bondia yoyote..mifano ni Mike Tyson,Mayweather na Usyk.. Jwtz waangalie namna ya kukuza kipaji hiki, Mjeda yuko vzuri sana

  • @hamadali1696
    @hamadali1696 2 года назад +1

    pambano tamu sana huyu jamaa kidunda namuelewaga sana

  • @mrben227
    @mrben227 Год назад +1

    Kidunda yupo vyema, ila hachezi kwa kujilinda, anaruhusu ngumi kumuingia

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 года назад +9

    Kidunda umetuwakilisha vyema Brother 🙏

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 2 года назад +1

    Mabondia watz muwe serious when it comes to boxing gear... Kidunda kavaa airmax ... Zinateleza na si viatu vya boxing...

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 2 года назад +1

    Hongera sana kaka ushindi umeonekana kabsa umeshinda kaka

  • @lama6310
    @lama6310 2 года назад +5

    Kuna wale waliokuwa wanamshabikia Katompa😂nawatafuta kwa Comment. Kwenye lile Pambano lao la kwanza

  • @emmajud1237
    @emmajud1237 2 года назад +2

    Safi sana kidunda mtu mbadi lazima ukae 💪💪

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 2 года назад +1

    Hivi ndivyo zinavotakiwa kuchezwa. Mabondia wa Tanzania wajifunze classic ngumi kutoka kwa Selemani Kidundaa. Sio mnacheza ngumi za mitaani mtu anaanguka chini unaenda kumshambulia.

  • @fredymbawala6291
    @fredymbawala6291 2 года назад

    Presenter of Tanzania county is kidunda very good my brother have good perform ,❤️💯🤔🤔

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 года назад +4

    Kidunda ongeraaa kwa kumrudushiaa heshima dulla

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 2 года назад +1

      Dulla Mbabe ni mzito mno hawezi toboa kwa Katompa, faida ya hand speed angalia pambano la Anthony Joshua vs Usyk... just for a refence.

  • @yasinimohammed2213
    @yasinimohammed2213 2 года назад

    Nakubal mike

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 года назад +2

    Ushindi wa Wazi, Hongera sana

  • @gervaslukaya1637
    @gervaslukaya1637 Год назад +1

    Anapigana vizuri ila hana haraka haraka sana

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад +3

    Kidunda tatizo haweki gadi ya kushoto anapigwa nyingi

  • @jjmwanga1246
    @jjmwanga1246 8 месяцев назад +1

    Kidunda jwtz

  • @ismailgumbo289
    @ismailgumbo289 2 года назад +1

    Katompa yuko fit sana shifa sio jasili nimuoga wangumi kupigwa nandii sababu yakushindwa kwake

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 2 года назад +1

    Kidunda japo ameshindwa lakini anapaswa kidundishwa namna ya kuji-defend maana yupo so loose ...akipata mshindani jamii ya akina Mike Tyson round ya kwanza tu anapotezwa

  • @fatumabhallo8518
    @fatumabhallo8518 2 года назад +1

    Ushindi wake hauna utata hongera kidunda

  • @johnsonkibadeni5053
    @johnsonkibadeni5053 2 года назад +1

    Huu ndio ushindi sasa sio yale makandokando mengine hongera kidunda oneofourown

  • @themanwithnoname5824
    @themanwithnoname5824 2 года назад +2

    Mwanangu sana MANDONGA

  • @abdulhilaal3671
    @abdulhilaal3671 2 года назад +2

    KIDUNDA NO1 EAST AFRICA

  • @joshuadavid7937
    @joshuadavid7937 2 года назад +1

    unatixha sana champi

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 года назад +2

    Kidundaaaa wew ni noumaaa sanaaaaa

  • @jumaomari1185
    @jumaomari1185 Год назад +1

    Dullah mbona we jamaa kakupiga kama mtoto sasa maneno meeengi ya nn

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 6 месяцев назад

    Kidunda hatompiga msouth........ Mark my words😅😅😅😅
    Lkn ili adumu round zote inabidi viatu na uringo visitereze ...yaan kiatu apate kinachoshika vzur. OVER

  • @badstartz8715
    @badstartz8715 2 года назад +2

    Kidunda yuko sawa

  • @mosiuledi4598
    @mosiuledi4598 2 года назад +1

    Alijifanya mjanja katompa,,,,ila kakutana na kidunda mtu mbaya🤛🤛

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад +1

    Watangazaji vipi? Mmojammoja basi

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 2 года назад +1

    Hongera kwa kidunda

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 2 года назад +3

    Leo Katompa limemkuta Jambo

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 2 года назад +3

    Ila katompa mvumilivu sana

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 2 года назад

      Bondia bora lazima uwe mvumilivu, angalia "all loses" za mike Tyson ni kichapo cha kufa mtu, hamna kulegea kizembe

  • @eliamandella7983
    @eliamandella7983 2 года назад +1

    Duuh bado sijamaliza kuangalia ila kidunda 🔥

  • @ibraabuemu9231
    @ibraabuemu9231 Год назад

    Maa sha ALLAH

  • @sembulimsangi2603
    @sembulimsangi2603 2 года назад +1

    Tunaoangalia hili pambano tujuane

  • @geofreyngaga5330
    @geofreyngaga5330 2 года назад

    najisikia vibaya sana kulikosa hili pambano but congrats selemani kwa kutuwakilisha vema

  • @abouayman8713
    @abouayman8713 2 года назад +1

    Uy ndio bondia bora ap tz

  • @abdulshebe5689
    @abdulshebe5689 2 года назад +1

    Mtu kazi yani seleman kidunda salut kwako broo

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 2 года назад +2

    Selemani Kidunda M2 M'BADI!

  • @stevenkimaro65
    @stevenkimaro65 Год назад +1

    MTU mbadi

  • @costakamwaya2980
    @costakamwaya2980 2 года назад

    Love co much kidunda

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 2 года назад +1

    Kidunda umepambana vzr

  • @mretamreta8058
    @mretamreta8058 2 года назад +2

    Wanajeshi sio watu wazuri

  • @fujowaya2315
    @fujowaya2315 2 года назад +1

    Kidunda Ali Fanya mtu akimbie huu mchezo was boxing

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 2 года назад +4

    Suleiman ameshinda lakini ana makosa makubwa na hatari kama mpinzani atayatumia anaweza asisau athari zake maisha yote,, kama unacheza ngumi ni lazima mikono uiweke ktk position yake,, unapo bembeza mikono ukakutana na mtu ambaye yupo faster kutupa left huwezi kupanchi hiyo ngumi,, na hata ukijaribu kuhepa ilhali mikono umeibembeza ni rahisi kuyumba na kupoteza position ambayo mpinzani kama anaweza kuitumia na kumshinda
    Somo hongera kwa kushinda lakini hapo mmetupiana makonde sio boxa hizo

    • @giftmusa6543
      @giftmusa6543 2 года назад +2

      Mkuu sikubaliani nawe kabisa,hakuna bondia Bora duniani kama Lennon lewis na style yake ndio hii ya kidunda ,unakuwa unamtamanisha mpinzani.Style ya kidunda ndio ilimfanya ashinde mashindano ya jumuia ya madola

    • @mwigakatumpula5695
      @mwigakatumpula5695 2 года назад +1

      Hiyo ni mbinu ndio ilifanya akashinda ndio maana hutakiwi kukalili lazima uendane na mabadiriko ya pambano kulingana na mtu ambae una pambana nae 😃😃😃

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Hauna experience na mchezo wa bondia ni bora ungenyamaza kimya

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 2 года назад

      @@Mpakauseme ungeleta point tukajadiliana ingekua heri kuliko kudharau,, hivyo wewe siwezi kusema na wewe

    • @sulaymanwaziri4455
      @sulaymanwaziri4455 2 года назад

      @@giftmusa6543 Nimefurahia sana heshima yako kaka cozy hukudharau nilicho andika ila umetoa maoni kwa mtazamo wako.
      Ila mchezo wa ngumi ni mahesabu haitoshi kurusha ngumi tu,, jiulize ni kwanini mtu akisimama sawa ni rahisi ngumi kumpeleka chini kulinganisha na yule alietanguliza mguu mmoja mbele?? Kama unapima kasi ya ngumi itokayo kwenye position na nguvu yake,, ukalinganisha na kasi ya mkono ulio elekea chini mpaka kurudi ktk position na kupanchi,, distance ya mkono ulio chini hauwezi kupita speed ya ngumi iliyotoka kwenye position hivyo utashindwa kupanchi. Wepesi wake itakuwa ni kukwepa,, ikiwa utakwepa ngumi ilhali miguu ipo sawa kwa staili ya kuruka lazima uyumbe kwa kwa sm 30 mpaka 40 kutokana na shambulio lilivyo,, kama mshambuliaji atatuma shambulio moja utayumba na kukaa sawa,, lakini hatari inakuja kama mpinzani ataleta mashambulio zaidi ya moja kwa wakati huo,,
      Advantage alioipata somo ni kumzidi jamaa kila idara lakini kama atapata mtu wa uwiano sawa na kasi,, hiyo staili ni mbovu cozy lazima uumie

  • @hamidamkoma4764
    @hamidamkoma4764 2 года назад +2

    Seleeeeeee🤛🤛🤛

  • @adambajun7649
    @adambajun7649 2 года назад

    Hongera pot

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 года назад

    Mtu kazi.

  • @octoojay8261
    @octoojay8261 2 года назад +1

    Mbulahati stand up

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 2 года назад +1

    Hakuna kubebwa Wala nn , show show

  • @user-ql7rm2zw4d
    @user-ql7rm2zw4d Месяц назад

    NAMSHAURI AIDAN MLIMILA MCHAMBUZI APUMGUZE MANENO MENGI KWENYE UCHAMBUZI.
    AJIFUNZE KUTOKA WACHAMBUZI WA NGUMI ULAYA.
    TOO MUCH WORDS NOT GOOD BROTHER

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 2 года назад +2

    Kidunda wa moto nataka wakutanishwe na kiduku nione bingwa hapo mana kidunda c mchezo au wadau mnasemaje?

    • @eddykatamba1008
      @eddykatamba1008 Год назад

      Kidunda nisamehe Sana mm nilijua huchomoki nilivoona dura alivochapwa Kama mtoto kwanzia Leo saluti kwako,, kamanda💯💯

  • @neemaismail6066
    @neemaismail6066 2 года назад

    Good

  • @mashaka_son
    @mashaka_son 2 года назад +1

    Katompa mandonga 🤣🤣🤣

  • @ommyclassbeyb9313
    @ommyclassbeyb9313 2 года назад +1

    Nusu mtu nusu jini

  • @saidiniger5084
    @saidiniger5084 2 года назад +2

    Yaaa kweli vitasa

  • @BenMula36925
    @BenMula36925 2 года назад

    Ametisha huyu mwamba.

  • @clemencelazaro7891
    @clemencelazaro7891 2 года назад +2

    Kiduku na katompa sasa

  • @noahjunior7144
    @noahjunior7144 2 года назад

    Ila katompa ni hatari sana

  • @karibubongo-tv636
    @karibubongo-tv636 2 года назад

    Mashabiki ya MANDONGA MLA UNGA TUKOMENT WAPI

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 2 года назад

      Yule ashazeeka asisumbue wawekezaji. Haya mambo tuambiane ukweli, hata Tyson alipo chacha na kurudi ulingoni alijiaibisha sana😳😳😏😏😏

    • @kamanzicrouch3881
      @kamanzicrouch3881 2 года назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 года назад

    MANDONGA MTU kazi

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 года назад +1

    Hivi Tz katika mchezo wa ngumi ni Jogoo la shamba au ?!?

  • @festo_njambilo
    @festo_njambilo 2 года назад +1

    😀😄😄😁🤣😅🔥

  • @mumaheza151
    @mumaheza151 2 года назад

    Nzure

  • @solomonlucas4112
    @solomonlucas4112 2 года назад +1

    Bondia wa tz hakuna kitu kabisa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Wewe utakuwa si mtanzania

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi 2 года назад

      Sasa km hamna kitu why kashinda? 😳😳😳Hebu kanye ulale😏😏😏😏 na hio tz ni tz ya nyoko, sisi huku tunayo Tz😏😏😏😏

    • @solomonlucas4112
      @solomonlucas4112 2 года назад

      Uwezi sifia kisichostahili sifa

    • @solomonlucas4112
      @solomonlucas4112 2 года назад

      @@KiongoziMwandamiziMama unakijitabia mpaka unabinjuka

    • @alexmichael9747
      @alexmichael9747 2 года назад

      Ww boya

  • @benrhymes_1229
    @benrhymes_1229 2 года назад

    pongezi kwaoruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html

    • @georgempondela8858
      @georgempondela8858 2 года назад

      Om boi hujaniangusha from mburahati moja

    • @georgempondela8858
      @georgempondela8858 2 года назад

      Ayubu mbona mbona umefumba usu wangu from kitaa moja 👊

    • @ikramzamando810
      @ikramzamando810 Год назад

      Tunamtaka uyo bondia wenu wamchongo twaha kiduku Kama anajimudu apigane na mtu kazi kidunda nusu mtu nusu bedui