HIGHLIGHT | PAY BACK NIGHT | KIDUNDA VS KATOMPA - WBF SUPER MIDDLE
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- HIGHLIGHT | #KidundaVsKatompa
HIvi ndivyo ilivyokuwa shughuli ya Selemani Kidunda 'Mtu M Bad' alipotawazwa bingwa mpya wa mabara, Mkanda wa WBF, super middle Weight.
#PayBackNight #UsikuWaKisasi #KikiSongea #VitasaSongea #KatompaSongea #KidundaSongea #KidundaVsKatompa #Vitasa #VitasaNight #UsikuWaVitasa
Kidunda ameonyesha uwezo na kipaji hongera sana ameshinda bila chenga good job bro
Asante Mungu kwa ushindi maana angepigwa jeshi langu linge dhalilika.
Salute camanda wangu umewakilisha vizur tanzania yetu umecheza vizur sn👊
Hongera sana kidunda umetuwakilisha vyema🇹🇿
Lakini Eric anaweza pia na mtu ana nizamu sana na Hana maneno mengi hongera Kwa ote
Nimefurahi xana hii uyu Jamaa alikuwa akijifanya anajuwa sana hongera seleman kidunda hongera tz yang
Wow Kidunda shukran kwa kutuwakilisha vyema wana kigogo DSM TANZANIA
Kiujumla huyu jamaa yangu kidunda huwa namuelewa sana hajawah kuniangusha big up sana kamanda wangu
Kidunda ndio bondia mzur kwa ngumi na ni namba moja kwa sasa tz
Jamaa kastahili kidunda ni bondia bora nchini lakini hasemwi sana kama wengine
Sijui kwanin awa ndio wakubeba nchi yetu
Kidunda ni bondia namba moja Tanzania.hakuna kama Kidunda 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
nipo pamoja na ww
Kazi nzuri Selemani Kidunda
Kwa tanzania hakuna bondia bora kama kidunda
Soja hajawai feli kizembe KIDUNDA 😍
Selemani kinunda ndiyo bondia ninae mkubali tz🔥🔥🔥🔥🔥
Kidunda ni jitu na nusu
👏👏👏Tupende vyakwetu Jamaa anajua sanaa...👏👏
Tena sana alafu mwepes sana Seleman
Kidunda mtu hatari sana tz ndio bondii no 1 tz kwa sasa
Yaani Katompa size yake Kidunda kwa hapa bongo coz Kidunda ana speed na pumzi na ngumi zake nzito. I would suggest aongeze zaidi speed na ngumi,upper cut za bondia anae inamana na mbavuni na Guard iwe intact. Pia namshauri awaangalie Dogbe wa Ghana hafu Spence nimesahau nchi na Israel Adesanya hata km yupo kick boxing atajifunza kitu,Hand speed haijawahi muangusha bondia yoyote..mifano ni Mike Tyson,Mayweather na Usyk.. Jwtz waangalie namna ya kukuza kipaji hiki, Mjeda yuko vzuri sana
kwenye guard hapo ungebold kabisa
sikupingi kaka yote umenena fact♥️💪💪💪
@@samwelmichaelchangarawe5800 hahahaaaa nadhani somo lime eleweka🤝🤝🙏🙏
@@jimmymbella997 pamoja mkuu🤝🤝🤝🙏🙏🙏
pambano tamu sana huyu jamaa kidunda namuelewaga sana
Kidunda yupo vyema, ila hachezi kwa kujilinda, anaruhusu ngumi kumuingia
Kidunda umetuwakilisha vyema Brother 🙏
Never
It's all about KIDUNDA🇹🇿
Mabondia watz muwe serious when it comes to boxing gear... Kidunda kavaa airmax ... Zinateleza na si viatu vya boxing...
Hongera sana kaka ushindi umeonekana kabsa umeshinda kaka
Kuna wale waliokuwa wanamshabikia Katompa😂nawatafuta kwa Comment. Kwenye lile Pambano lao la kwanza
Safi sana kidunda mtu mbadi lazima ukae 💪💪
Hivi ndivyo zinavotakiwa kuchezwa. Mabondia wa Tanzania wajifunze classic ngumi kutoka kwa Selemani Kidundaa. Sio mnacheza ngumi za mitaani mtu anaanguka chini unaenda kumshambulia.
Presenter of Tanzania county is kidunda very good my brother have good perform ,❤️💯🤔🤔
Kidunda ongeraaa kwa kumrudushiaa heshima dulla
Dulla Mbabe ni mzito mno hawezi toboa kwa Katompa, faida ya hand speed angalia pambano la Anthony Joshua vs Usyk... just for a refence.
Nakubal mike
Ushindi wa Wazi, Hongera sana
Anapigana vizuri ila hana haraka haraka sana
Kidunda tatizo haweki gadi ya kushoto anapigwa nyingi
Kidunda jwtz
Katompa yuko fit sana shifa sio jasili nimuoga wangumi kupigwa nandii sababu yakushindwa kwake
Kidunda japo ameshindwa lakini anapaswa kidundishwa namna ya kuji-defend maana yupo so loose ...akipata mshindani jamii ya akina Mike Tyson round ya kwanza tu anapotezwa
Ushindi wake hauna utata hongera kidunda
Huu ndio ushindi sasa sio yale makandokando mengine hongera kidunda oneofourown
Mwanangu sana MANDONGA
KIDUNDA NO1 EAST AFRICA
unatixha sana champi
Kidundaaaa wew ni noumaaa sanaaaaa
Dullah mbona we jamaa kakupiga kama mtoto sasa maneno meeengi ya nn
Kidunda hatompiga msouth........ Mark my words😅😅😅😅
Lkn ili adumu round zote inabidi viatu na uringo visitereze ...yaan kiatu apate kinachoshika vzur. OVER
Kidunda yuko sawa
Alijifanya mjanja katompa,,,,ila kakutana na kidunda mtu mbaya🤛🤛
Watangazaji vipi? Mmojammoja basi
Hongera kwa kidunda
Leo Katompa limemkuta Jambo
Ila katompa mvumilivu sana
Bondia bora lazima uwe mvumilivu, angalia "all loses" za mike Tyson ni kichapo cha kufa mtu, hamna kulegea kizembe
Duuh bado sijamaliza kuangalia ila kidunda 🔥
Maa sha ALLAH
Tunaoangalia hili pambano tujuane
najisikia vibaya sana kulikosa hili pambano but congrats selemani kwa kutuwakilisha vema
Uy ndio bondia bora ap tz
Mtu kazi yani seleman kidunda salut kwako broo
Selemani Kidunda M2 M'BADI!
MTU mbadi
Kidunda champion
Love co much kidunda
Kidunda umepambana vzr
Wanajeshi sio watu wazuri
Kidunda Ali Fanya mtu akimbie huu mchezo was boxing
Suleiman ameshinda lakini ana makosa makubwa na hatari kama mpinzani atayatumia anaweza asisau athari zake maisha yote,, kama unacheza ngumi ni lazima mikono uiweke ktk position yake,, unapo bembeza mikono ukakutana na mtu ambaye yupo faster kutupa left huwezi kupanchi hiyo ngumi,, na hata ukijaribu kuhepa ilhali mikono umeibembeza ni rahisi kuyumba na kupoteza position ambayo mpinzani kama anaweza kuitumia na kumshinda
Somo hongera kwa kushinda lakini hapo mmetupiana makonde sio boxa hizo
Mkuu sikubaliani nawe kabisa,hakuna bondia Bora duniani kama Lennon lewis na style yake ndio hii ya kidunda ,unakuwa unamtamanisha mpinzani.Style ya kidunda ndio ilimfanya ashinde mashindano ya jumuia ya madola
Hiyo ni mbinu ndio ilifanya akashinda ndio maana hutakiwi kukalili lazima uendane na mabadiriko ya pambano kulingana na mtu ambae una pambana nae 😃😃😃
Hauna experience na mchezo wa bondia ni bora ungenyamaza kimya
@@Mpakauseme ungeleta point tukajadiliana ingekua heri kuliko kudharau,, hivyo wewe siwezi kusema na wewe
@@giftmusa6543 Nimefurahia sana heshima yako kaka cozy hukudharau nilicho andika ila umetoa maoni kwa mtazamo wako.
Ila mchezo wa ngumi ni mahesabu haitoshi kurusha ngumi tu,, jiulize ni kwanini mtu akisimama sawa ni rahisi ngumi kumpeleka chini kulinganisha na yule alietanguliza mguu mmoja mbele?? Kama unapima kasi ya ngumi itokayo kwenye position na nguvu yake,, ukalinganisha na kasi ya mkono ulio elekea chini mpaka kurudi ktk position na kupanchi,, distance ya mkono ulio chini hauwezi kupita speed ya ngumi iliyotoka kwenye position hivyo utashindwa kupanchi. Wepesi wake itakuwa ni kukwepa,, ikiwa utakwepa ngumi ilhali miguu ipo sawa kwa staili ya kuruka lazima uyumbe kwa kwa sm 30 mpaka 40 kutokana na shambulio lilivyo,, kama mshambuliaji atatuma shambulio moja utayumba na kukaa sawa,, lakini hatari inakuja kama mpinzani ataleta mashambulio zaidi ya moja kwa wakati huo,,
Advantage alioipata somo ni kumzidi jamaa kila idara lakini kama atapata mtu wa uwiano sawa na kasi,, hiyo staili ni mbovu cozy lazima uumie
Seleeeeeee🤛🤛🤛
Hongera pot
Mtu kazi.
Mbulahati stand up
💪
Hakuna kubebwa Wala nn , show show
NAMSHAURI AIDAN MLIMILA MCHAMBUZI APUMGUZE MANENO MENGI KWENYE UCHAMBUZI.
AJIFUNZE KUTOKA WACHAMBUZI WA NGUMI ULAYA.
TOO MUCH WORDS NOT GOOD BROTHER
Kidunda wa moto nataka wakutanishwe na kiduku nione bingwa hapo mana kidunda c mchezo au wadau mnasemaje?
Kidunda nisamehe Sana mm nilijua huchomoki nilivoona dura alivochapwa Kama mtoto kwanzia Leo saluti kwako,, kamanda💯💯
Good
Katompa mandonga 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Nusu mtu nusu jini
Yaaa kweli vitasa
Ametisha huyu mwamba.
Kiduku na katompa sasa
Ila katompa ni hatari sana
Mashabiki ya MANDONGA MLA UNGA TUKOMENT WAPI
Yule ashazeeka asisumbue wawekezaji. Haya mambo tuambiane ukweli, hata Tyson alipo chacha na kurudi ulingoni alijiaibisha sana😳😳😏😏😏
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
MANDONGA MTU kazi
Hivi Tz katika mchezo wa ngumi ni Jogoo la shamba au ?!?
😀😄😄😁🤣😅🔥
Nzure
Bondia wa tz hakuna kitu kabisa
Wewe utakuwa si mtanzania
Sasa km hamna kitu why kashinda? 😳😳😳Hebu kanye ulale😏😏😏😏 na hio tz ni tz ya nyoko, sisi huku tunayo Tz😏😏😏😏
Uwezi sifia kisichostahili sifa
@@KiongoziMwandamiziMama unakijitabia mpaka unabinjuka
Ww boya
pongezi kwaoruclips.net/video/iYjijfV-YRw/видео.html
Om boi hujaniangusha from mburahati moja
Ayubu mbona mbona umefumba usu wangu from kitaa moja 👊
Tunamtaka uyo bondia wenu wamchongo twaha kiduku Kama anajimudu apigane na mtu kazi kidunda nusu mtu nusu bedui