Habibu Pengo apigwa na aliyemlilia (Said Mkola) | VITASA | Mfalme Kwenye Ufalme Wake - 22/04/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Alimlilia hatimaye wamekutana na amekalishwa, Tazama Bondia,Said Mkola alivyomkalisha Habibu Pengo kwa pointi kwenye usiku wa #MfalmeKwenyeUfalmewake.

Комментарии • 26

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 Год назад +1

    Mkola wee n maxter🔥🔥💪🏾 dadek😳

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Год назад

    Pengo mtu mbishi duh Much ❤ Azam tv

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 Год назад +1

    Team mkola nipo

  • @ticianmarando9027
    @ticianmarando9027 Год назад +1

    pambano lao halikuwa nzuri sana,kukimbia na kushikana kwingi,the winner has to really change his fighting tactics ,maana akikutana na wababe anakaa mapema sana, pengo afanye mazoezi sana ale vizuri,apunguze vilevi he will prosper

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 Год назад +1

    Kiukweli huyo Said Mkola yuko vizuri sana, akitengenezwa atafika mbali kimataifa

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 Год назад +2

    Huyu pengo sura yake duh

  • @goodluck-fh2qh
    @goodluck-fh2qh Год назад

    Aliliaa sana pambano uyo

  • @mwinyiabdallah4383
    @mwinyiabdallah4383 Год назад +1

    Huyu mtangazi mmoja mshabiki Ile mbaya bondia wake kapigwa

  • @Thomas-qi3gq
    @Thomas-qi3gq Год назад +2

    Pengo apunguze bangi

  • @thegreat6626
    @thegreat6626 Год назад +2

    Kilicho nifurahisha ni uwezo wa Pengo kutumia kichwa chake kupangua ngumi 😄😄😄

  • @joachimkadege
    @joachimkadege Год назад +2

    pengo n mzur na ni talent,ila huyu dogo ana mbinu ndio zilizo muumiza pengo.pengo alikamia game

    • @nimrodsigulu6249
      @nimrodsigulu6249 Год назад

      Hebu kuweni serious Basi nyie wenzetu mnaangalia ngumi.zipi? Pengo ana talent???😀😀

  • @GeofreyNdewario-pp9hx
    @GeofreyNdewario-pp9hx Год назад

    Piga jitu

  • @gustavompemba1781
    @gustavompemba1781 Год назад +1

    Ato mlilia tena

  • @cassanovarcousin7973
    @cassanovarcousin7973 Год назад +3

    Pengo Kampa dogo Kiki nae dogo aonekane mjinii hapa ila kwa pengo ninae mjuwa mimi huyo mtot asinge fika round zote hizo pia mwane2 pengo anazinguw ku change gym nd ina mkost mala leo huku kesh huku unaznguw

  • @JohannesLaurian
    @JohannesLaurian 5 месяцев назад

    Huyo bondia anafanana kiberiti ambacho kitatumika kuteketeza wavuta bange sikuya jehanamu

  • @calenmichael6853
    @calenmichael6853 Год назад +1

    😂😂😂 hapo kwanza ncheke

  • @AminaAbdalah-wx8tv
    @AminaAbdalah-wx8tv Год назад

    Duh uyu kwel pengo Mana sio kwa sula iyo

  • @andemarley2705
    @andemarley2705 Год назад +1

    😅😅😅😅😅😅

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Год назад +1

    hakuna bondia hapo mtu kaisha kbs huyo na mibangi n pombe