SAID MKOLA Amvunja ALI KAMWE Mbavu, Amlipua IBRAHIM CLASS - "NITAMPA BWANGA ILI UACHE NGUMI"
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- SAID MKOLA Amvunja ALI KAMWE Mbavu, Amlipua IBRAHIM CLASS - "NITAMPA BWANGA ILI UACHE NGUMI"
MABONDIA wote watakaocheza pambano la 'DAR BOXING DERBY' Juni 29, 2024 wametembelea makao makuu ya Yanga kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali.
Mbali na matembezi klabu ya Yanga pia wamekuridhia kushirikiana na Peaktime Media katika maandalizi ya pambano hilo litakalochezwa katika viwanja vya Posta jijini Dar.
Kiukweli me namkubali saidi bwanga ila mkola kanifurahisha alivyoongea lakini kwa bwanga hatoboi
Mwisho wa Siku umepigwa😅...kweli mdomo huponza mwili
Said mkola nimepend maneno yako lakin 29 kuchezea utachezea tyu said bwanga tumemtuma kazi na tunamuamin atafany kama tulivyomuagiza
Tunahamu ya kumuona mdose fighter kwenye runinga
Vita yakina wajina
Namna hiyo atuongei sana taarabu 😂😂tunatema sumu mikononi sio mdomoni