Kayumba Ft Marioo - Nimegonga Remix (OfficialVideo)
HTML-код
- Опубликовано: 12 авг 2021
- Kayumba Asosie Booking Info:
Email: kayumba.jtz@gmail.com
Catch Up With Kayumba Asosie On:
/ kayumbaasosie
audiomack.com/kayumba-og
open.spotify.com/playlist/6G7...
#kayumba #marioo #Nimegonga Видеоклипы
Yan ningependa marioo na kayumba wakawa na colabo yao 💪💪💪💪
😂😂😂😂nimerudia hapa paula kaanza kudanga bado mdg na marioo ndo aliyeimba kumbe alikua anamnyemelea ❤❤❤❤❤❤now wanaitw baba na mama jaman mung awazidishie
waliorudia zaid ya mar moja tujuanee ☺️🙌🙌
Uwiiiiii.... Nyimbo imenikuna adi Kwa moyo nivile nawapenda wote🥰😘🤗
Bila unafiki wamekutana mafundi ✊️
Marioo na wewe toa singeli yako Mana we una over pande zote aise bigup unaweza
Kayumba and marioo ❤❤❤ nawakubali San brother 🔥💯✌️ my love ❤️💯✌️
Amber Rooty 🔨 mlango wa nyuma nitagongo 😆😁🇰🇪+254Love!🔥🔥🔥🔥
Ahahaaaa mi mwnyw nimecheka kweli
@@sarahalfred6279 zuchu
😄
Sasawaa 🔥🔥🔥💣🔭Hit song From 🇹🇿Too the world 🌏.we lovethis 4m #Kenya 🇰🇪.
Nigeria ruclips.net/video/ObkUUy3PWpw/видео.html
Kayumbaaaaa nakukubali toka bss mpk ss aiseee keep on shineee mwambaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kumbe Watu TUnao mkubali kayumba wengi daaah kweli TUna watu
🔥🔥🔥🔥kayumba sijawahi kukupinga coz nakulove sanaaaaaaa😍😍umetisha sana na hiyo voice
Sasa nani anasema ngoma ni hiti tayari🔥🔥🔥🔥
Dua broo ngoma kali sana
Wazee wa kugongaa
Wazi kayumba ujawai kunibwaqa
Hatal bong la.kaz
Hongera kwa mkojani kukishika mkono kipaji cha Kayumba ❤️marioo kauaa atari ❤️😀
Kayumba
Outer kenya ❤ I wanna see you Mario dancing from leo 😂
Kaliiii all the way from 254 tupatane hapa kwa kulike
Nice
Mmetishaaaa sana
TOTO BAD & KAYUMBA OG LET'S GO TOWN 🎯🔥🤴🐐 TEACHER KONDE ⛳🎲
Jamaa yupo poa
Temboo chukuwa watotoo hawaa tupate rahaa
👍👍👆
Great
Nigeria ruclips.net/video/ObkUUy3PWpw/видео.html
Wanaaaaa mmetishaaa
Haujagonga kwangu kayumba
Like brother kayumba mariooo
Ila tuache masihara huyu #Kayumba anajua bana!
@marioo 💥💥
Biashara ya kuuza mboo..a ina changamoto sana afadhali hata ya urembo
Bonge la nyimbo na video kali sana congratulations kwwnu
Heeeeeeeey.... That song maze imeshika kwa bash waaah kayumba special...
Hii ngoma naipenda sana kuorudia #nimegongamilango
Nyie mwacheni kayumba. Please mwacheni tuu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 we Ni star nimemaliza🔥🔥🔥🔥🔥
Noma saana mzee
😂😂😂😂nishidaaa Mii nishahong sanaaaa
Balalaa hiliii
💥💥💥💯💯kayumba ameua
Hahaha daah nakubali
Hatariiiiiiiiii fireeee
Ngoma Kali Sana Hii Aiseee
Bonge la ngoma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Marioo kayumb bonge la ngoma big up Sana
Wasanii bora wa mda wotee
Wimbo mzuri sanaaaaaa
Madogo bana... Kweli generation. Bila lugha ya muelekeo wa matusi mtu haoni Kama atatoka... Sasa mwanaume unaimba ukinichukulia bwana.. tutauana... Daaaah.. RIP YOUNG BOYZ
Muuza mbogaaaa halisiii
Nyie ukuu tena wamekutana wanao jua mziki
Amber rutty alifungua nyumaa 😂😂Wangap wameskia hapo 😂😂😂
🙌😂😂😂😂
😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂
Mm apa👈👈
Goood mtu mbadi tot la mueza tanga ulivokua fund pikpik hiv ulikua wawaza mziki mwangu
Singeli Sound Good than Amapiano... hivi mbona tusifocus na singeli🤔🤔🇹🇿
Tatizo tunababaika na miziki ya kuja
Hawa jamaa nimanyoko Hadi kerooo
Hataliiiiiiiiiii
Hatimaye umetimiza ndoto za kumgonga Paula Kajala kweli kweli😂😂.
Nakubali sana mwanangu mbad na mwanangu kambayu keep respecting mziki wako umeshakua
Hit Maker!! Uko vzur brooo nakubali sanaaàaa
Kali sanaa
Mungu baba saidia hii ngoma ifike mbali Sana ngoma Kali sana
Kubwa saanaa
I love the song all the way from 254🇰🇪🇰🇪🔥🔥
Nauza mboooo
Kaka watisha na unajuw kaka we ndo msaniwangu wakwanzaaa toka kwenye katoto love brooo
Wow atareeeeeeeeeee kwann lakin kwann daaaaaaaahh mmeuwaaaaa
Tulio rudia mala mbili mbili gonga 😍💪💪
Zao bora kabisa la BSS tangu ianzishwe KAYUMBA OG... hujawahi kunidisappoint we jamaaa.. kaza mzee Nga Nga Ngaaa👊👊🤛🤛
Director directed as it is, 🔥🔥🔥
Kagonga kwa umberuty kafungua mlango wa nyuma😀😀😀😀😀
Oyoooo pigaaa kelele
Hata mi nimegonga
Nauzaa mbogaaaaaaaa zamajaniiiiii aloweeeee
Best collaboration ever ....both of them are my favorite 😍
You are good
Nigeria ruclips.net/video/ObkUUy3PWpw/видео.html
Kings, nakubali sana brothers 🤜🤛🙌💎
Kenya is a hit🚫🇰🇪💯💯💯
#Marioo anaweza sana singeli 😀😀😀, #Kayumba umeuwa tena brow lazima tukupele polisi kwa kesi ili 😀😀😀, ongereeni sana/ os meus parabéns meus talentosos, fan from Moz 🇲🇿
Showwww mmetisha
safi😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Pia mimi nimegonga sana......Milango😅😅🤭🤣🔥🔥🔥
Nyie watu nilikua sipendi singeli kabisaaaaa..... mboga nanunua Kwan shingap
Ngoma bado ni ya motooooo hatari sanaaaa
Safi sana kayumba
Mmezingua aiseeee nyiimbo gani hiyooo sasa, hiyoo sio aina ya mziki weeni mmeingia cha kike sababu kati yeenu hamna hata mmoja anajua kucheza
Unyamaaa mwingii
Mmetisha sana wajuba wng
Me hushindwa kuwatofautisha, Kazi nzuri🔥🔥🔥🔥🔥
we ni mtu bora endelea ivy kaka
Big fan of MARIOO... 💯💯
Nawapenda sana nyote @mario &Kayumba ila Mario ana genes za kiduruma from kenya
This mboga 😊😊 from 🇮🇹
👍
nakubaliiiiiiiiiiiii
bonge la songi
Big up to u guys u showed them up to the maximum
Watu wangu wamaana wamekutana full utam🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️👊👊🤝🤝🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Umeua shows kijanaa
Mmmetishaaa
Love this Tanzanian kind of music Wakenya wenye wanaojua kuzitingisha wako wapi????
Amber rutty kafungua mlango wa nyumaaa😀😀😀😀
Wote ni mafundi wa mashairi...
Goma kaliii sanaa
Nakubali
Safi kbca respect 💪
Kayumba ujawah kufel
Big up sana man
Nikampaaaka nikampaaaka viraaangii
umetisha bw mdogo
Noma ngoma kali
Ngom kaliii sana nmegoooongaaa........mlngo