Dj Seven Worldwide x Kayumba - Nampenda (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 фев 2023
- Official Music Video for “Nampenda” by Dj Seven Worldwide x @BigBinoOg
Listen to “AMAPIANO VIBES (ALBUM)” here: www.boomplay.com/albums/26032...
Subscribe to Dj Seven Worldwide: / djsevenworldwide
Follow Dj Seven Worldwide:
Instagram: / djsevenworldwide
Digital Branding & Marketing: Mavin Inc.
Instagram: / mavinmagmt
Email: mavinmagmt@gmail.com
WhatsApp/Call: +255759628220
Dj Seven Worldwide x Kayumba - Nampenda Lyrics
Verse 1:
Bado nauhai nahema
Na sina moyo wa bandia
Aya maumivu unayonipatia
Lamata kuhadithia§
Kwa haraka zangu nilidema
Bora ningesubiria
Mi nimeloa chapachapa mwenzangu kashika njia
Kumbe nilizama kwakudhani naogelea
Muungwana nikachutama
Cha uvungu mikufikia
Yale aliyonifunza mama si yanayonitokea
Nyuma nikaacha zana
Kichwa kichwa nikaingia
Chorus:
Bado hanifariji
Uku nashikwa na baridi
We mbona kaidi
Si wakunifanya haya
Kwa macho na ushahidi
Wenzangu wanaofaidi
Bora zangu bidii si wakunifanya aya
Mwenzenu nampenda
Bado navumilia
Aninyanyase sawa
Bado navumilia
Anajua nampenda
Bado navumilia
Nitasubiri
Bado navumilia
Verse 2:
Nazidi kumpatia
Japo yeye haoni
Na naongeza namjazia
Afunge kibidoni
Ila bado anisababishia
Homa ya tumbo (ya tumbo)
Akikirikiki penzi kikumbo kikumbo
Kikubwa sina ila haba nakupa unachotaka taka
Majirani wanabwata umenilisha limbwata limbwata
Mwenye maumivu nangata
Sema nini unataka (unataka)
Au unataka kuniacha
Chorus:
Bado hanifariji
Uku nashikwa na baridi
We mbona kaidi
Si wakunifanya haya
Kwa macho na ushahidi
Wenzangu wanaofaidi
Bora zangu bidii si wakunifanya aya
Mwenzenu nampenda
Bado navumilia
Aninyanyase sawa
Bado navumilia
Anajua nampenda
Bado navumilia
Nitasubiri
Bado navumilia
#djsevenworldwide #nampenda #kayumba Видеоклипы
Kifupi ni kwamba Kayumba saivi Ni Level Tofauti Na vile Tulivyodhania Like nyingi kwake
Kama KWELI unakubali hii ngoma nipe like zangu
Kwani Ngoma niyako ju tukupee likes Bro 😁😁😂
Chukua zote🤣🤣nimeikubali Ngoma 👍💜
Bigapu sana
Good so much kayumba
@@thomasmalega3375 9
Duuh huyu bwana niwamoto ....sijui kanijuaje nayapitia haya... big shout-out to kayumba✨
Seven gonga like kwa best dj Never happened in this Tanzania
Nampenda 🔥🔥🔥💪
Kali sana❤❤❤
@@HassanAli-kr3jd kali kinoma kaka🔥🔥🔥
Hatari Sana Aiseeee Noma Sana Nakubali 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Kayumba unyamwezi mwingi saluti kwako❤❤❤❤💯💯🎥🎥🎥🎥
Nyimbo nzuli hakika ndio ukubwa w bss nyimbo nivina
Unyama ni mwingi
Kayumba is one of good artist in tz 👌
Huyu kayumba huyu na aogopwe💪💥💪💪💥💥💥
Nisha ikubali mwotooo sana
I've travelled from tiktok to RUclips to enjoy this banger!
Kayumba saut ya kuimbia unayoo nakukubali sana lakn ...management yako haijajua namna ya kuki bland aiseee....unazidiwa na mario daah ...anyway😍😍😍 good music 🎧🎧🎧
Nakubali sana brother dj seven
Hii naikubali sana Kayumba
B boy ameuwa Sana hii beat
Is kayumba and Barnaba brothers, they are taking bongo music to the next level ❤❤❤❤
Kayumba isn't pregnant but he always delivers ❤️💥🔥🔥🔥🔥🎼 Banger!!💯❤️💥🔥🔥
Kayumba unauwa ujawayi niangusha mpesa kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
kayumba hajaanguka toka amejipata anabalaa 2 love to my boy
Kama vile huu wimbo ame niimbia mimi, I wish wanikubalie nifanye remix nao ni eleze hisia zangu, wenda nafsiyangu itatulia
Pole 😭😭😱
Big fan of tha talented boy kayumba
Ooooh sweet yammiiiiiii music mpka Kwa moyoooo 🪗🎹🥁🎸
Kayumba amemfanana chimano wa Sautisol 😂🔨
WALETEEE BABAAA
Ngoma kalii🎶🎵🎶🎵🎶🎧🎤🎤🎵🎶
❤❤❤❤nouma saaaana👍
Nitashangaa kama kweli unamkubali kayumba na dj seven halafu utilities yutube ya madiwa rongomba
Ngoma zako nazi kumbali
Nipeni like zangu
kaka mkbwaaa
Alafu Sisi wote Tunge mpenda Kayumba Kwa Percentage moja tu
Already on my My Status
I love you Kayumba
Ngoma kali sana hii Kayumba unajua kaka🙏🙏
Is dj seven world wide 🎶🎶🎶🎶💥💥💥💥💥💥💥💥
Nikubali 🇰🇪
Kali sanaaaaaaaaaa
Namkubali san kayumba
Mwamba ni balaaaa
More fire song keep up kayumba
Angekaa harmonize humu ingekua hatariii
Sou fã da voz do menina kayumba
Big up my brother
Ngoma ikosawa haipingi
Wazii!big up I will continue following
Siwez kueleza vila napenda nyimbo za huyu Kayumba . ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wimbo mkaliiii
Kayumba kayumba kayumba 🔥🔥
Tumpe maua yake ⚘⚘⚘⚘
A big salute to you brothers 💕 more than expected 🌹🌹,trustie of success 🔥🔥🔥
Unanyama Sana hunaga Kaz mbovu na hujawah kukosea kaka nakubal sana
Kayumba fundi kweli kweli
Kayumba umetish🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯
Kali sana ,I pray siku moja nije fanya kazi nawewe mzee
Ngoma kali sana 💥💥@dj seven
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
B boy on the beat,,,hatari sana uyu mwamba
Good boys kazi zenu Mungu alibariki
Unajua bwana kilakona
Yuzzo apewe ulinzi 🔥🙌🙌🙌
Ama upewe udaktari wa heshima
Ngoma poa sanaaaaaaaa ❤️❤️
Vipi kayumbe aingie konde gang
Kayumbaa
Kayymba ata awaimbie kuku mimi talkubalitu 👍👍😝😝
Yes ❤❤❤
Nzuri
Sanamu la directoryuzzo lijengwe posta
Hap saw kaka upo vzr ❤
Kubwa na nusu...hayumbi kayumba💪🔥
Kayumba Unazidi kung'aa Africa Mashariki Kwa Kazi Nzuri Kaza Mwanangu Kenya Tuko nyuma Yako 🇰🇪🇹🇿
Wow so sweet
Uko vizur hakuna ulipokosea
Picha kali saaana my brother❤❤❤
eu ate nao sei porque que Kayumba nao ta sendo dado credito que ele merece ele e um talento sem comparacao
Ngoma kali mno
Kayumba ni moto wa kuotea mbali
😊😊
All the way from tiktok❤this song is mwaaaaaaaa❤❤
Director Washei On It was here
Daah kayumba fundi kwakwel
DJ seven nomaa
From 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩big up💪💪💪💪💪
Kayumba angekuwa WCB angelikuwa mtu hatari sana kwenye industry ya mziki wa Bongo na kimataifa zaidi. He's so talented.
Imeendaaa iii
Nice one 🔥🔥
Dj 7
Konde gang beats 💯💯
Kayumba wewe 👌👌🇰🇪
Kayumba namkubali hayumbi
this song is so lit 🔥 😩
🔥🔥🔥🔥
Jiniii
Moto sana.....keep up guys
fiiiiiiire
haaatare
I like kayumba songs 😞🥰😌
Popstar 😂 😍 king 👑
Hii nymb so pow iko vzr kwakwel
Wagwan kaka kayumba💪💪aminia G
Jamani nimerudia mara 10
Nauona uandishi wa killy
Wooow
Director yuzzo 🎉🎉🎉🎉🎉
Vaniss254 was there 💥🔥🔥