KAYUMBA - TILALILA (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #Tilalila #Kayumba
    Producer by MAFIA
    Director by KWETU STUDIO TRAVELLA
    Follow me on instagram
    / kayumbaasosie

Комментарии • 808

  • @graciewanjiru2422
    @graciewanjiru2422 4 года назад +122

    Nimemfata Huyu kaka tangu Bss wapi likes zangu nawakilisha Qatar😍😍😍

  • @frechararai7083
    @frechararai7083 4 года назад +111

    Wooow hii moto wapi likes sa Kayumba🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @officalmagoogemagooge5554
    @officalmagoogemagooge5554 4 года назад +25

    Kayumba 💥💥💥wapi like za kayumba jamani hata kumi zanitosha tyu❤❤❤

  • @salmadadi6394
    @salmadadi6394 4 года назад +29

    Kama unamkubari fundi KAYUMBA weka Like hata moja

  • @princeuzieri1706
    @princeuzieri1706 4 года назад +2

    Ngoma Qaaaaali saana video iko fresh saaana

  • @eliudyrichard4819
    @eliudyrichard4819 3 года назад +1

    Ipoh saffy Kayumba Ur gudy,,,Unajua mzee,,

  • @alexmwise8870
    @alexmwise8870 4 года назад +62

    kama Unamkubali kayumba lik hili twende sawa🔥🔥🔥

  • @daniphorddavid7225
    @daniphorddavid7225 4 года назад +75

    Kama unaamini Leo wameachia ngoma watu wawili wenye vipaji gonga like
    #kayumba tilalila
    #alikiba medicre

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 4 года назад +35

    Kayumba mwenye sauti nzuri nakukubali kaka Mpaka #Congo Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩 #uvira,

    • @Noblemsafi
      @Noblemsafi 3 года назад +1

      Hatarii brow from congo

  • @Adolphine12
    @Adolphine12 4 года назад +172

    ❤️🎶kama unamkubaliii KAYUMBA like bsiii🎶

  • @francismassenge6935
    @francismassenge6935 4 года назад +1

    Aseee @kayumbaassosie hii kitu niliingoja kwa wingi sana

  • @kologwesupportmusic8518
    @kologwesupportmusic8518 3 года назад

    wao imba matusi tunawa like ila wanao imba nyimbo nzuri tunawaacha tuache loho mbaya,,,,nakukubali sana kayumba;;;;;;

  • @castoryndaghala6760
    @castoryndaghala6760 3 года назад +1

    Likes za mdogo wangu Kayumba pliiiz,,Tilaliaaa,,,fayaaaa

  • @alfredysimon635
    @alfredysimon635 4 года назад +1

    Naima umetisha zaidi ya wote nakubal sana

  • @robertgeorge6350
    @robertgeorge6350 3 года назад +1

    Kayumba ni moja kati ya wasanii wanao Fanya vnzl xan naukijalibu kuangalia kwenye ngoma hii amebadilika xan tofauti na tulivyo mzoea kayumba hivyo ndo wasanii wawe na ubunifu tofauti ongelaa xan kayumba umetixha xan TILALILA

  • @rotichrobert
    @rotichrobert 4 года назад +21

    Kayumba music is too underrated. This is big and classic music. Piga like ya kwako hapa

  • @habillahimsokela6708
    @habillahimsokela6708 4 года назад +28

    Bongo la ngoma hili aise vip Kama unarudiarudia zaidi ya Mara 2 gonga like kwangu.

  • @halali_ya_naseeb
    @halali_ya_naseeb 4 года назад +12

    Kumbe mapenzi yameupdatiwa😍😍😍😍❤️❤️❤️❤️

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 4 года назад +1

    Kazi nzuri...like kwa tilalila

  • @salimrashid8660
    @salimrashid8660 4 года назад +7

    Motoooooooooooooooooooooooooooooooooooooo from bahrain

  • @barakakiza2391
    @barakakiza2391 2 года назад +1

    No kwababa mungu nakushauri

  • @limstonbosskubwa0017
    @limstonbosskubwa0017 4 года назад +8

    kayuuuuuuuuuuu!!!!!!! mzee wa melody 💥💥💥💥💥 mwanangu 👑

  • @kombokassim9591
    @kombokassim9591 4 года назад +2

    Sija wahi kupenda nyimbo zako ulizo toa awali lakihii bonge la ngoma jaumba hii ndio nyimbo ya funga mwaka na fungua mwaka big up kayumba

  • @breezyboetv3010
    @breezyboetv3010 4 года назад +1

    Kazi nzuri sana kayumba unajua san

  • @radhamannandule2525
    @radhamannandule2525 4 года назад +2

    Hichi kigoma nimekielewa kikali Sana

  • @eunicemwanga5162
    @eunicemwanga5162 4 года назад +2

    Ngoma kali mno, Hujawahii kuniangushaa kaka

  • @omarselemanrashid3878
    @omarselemanrashid3878 3 года назад +2

    Nyimbo zako zote nazikuba sanaa
    Like Kama unamkubali kayumba

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka9301 3 года назад +5

    Niilikua nasubiri wapenda like na wale wanaojifanya wakwanza kukoment wamalize. Mdogo wangu kaza mziki unaujua na unaweza, ila bongo kwakua kunafigisu za kuwapa promo za wasanii wao!! ila kivingine wewe ndio msanii bora wa muda wote ukimuacha Ali Kiba.

  • @mohamedgitti3498
    @mohamedgitti3498 4 года назад

    siku hizi hadi bandama zinadanganyaaa😋😋😋 like za kayumba cha hapo goma makini

  • @allynguz9978
    @allynguz9978 4 года назад +3

    Duh watu mko chapu aisee

  • @Nickojunior
    @Nickojunior 4 года назад +22

    Kagoma kazuri mnoooo

  • @blackboyantony2927
    @blackboyantony2927 3 года назад +1

    Bonge la song kaka
    Nime ielewa ikopwa kabisa

  • @geofreyanania1108
    @geofreyanania1108 4 года назад +3

    Yaaaaah kubwa hiii... WAP like zake jamani

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 3 года назад

    Waoooo,,,, huyo mtoto ni fireeeeee
    Dahhhh,,,, mziki mzuri ila cha ajabu hd sasa hajafikisha 1, million

  • @edwardnelson335
    @edwardnelson335 4 года назад +5

    Daah ngoma kali video kali bravo kwako kayumba tunaenjoy mziki mzur 🔥🔥🔥🔥

  • @jamalmalasi583
    @jamalmalasi583 3 года назад +1

    Muziki muzuri Acha Nileweeeeeee

  • @kosuridola
    @kosuridola Год назад +1

    💯💯💯💋♥️♥️♥️naikubal sana

  • @faridaantal7021
    @faridaantal7021 3 года назад

    Kayumba unaimba kabisa tunakupendasana endelea kabisa

  • @meshackhaule
    @meshackhaule 4 года назад +2

    Lets moveerre 💥💥💥💥💥💥

  • @ikiinjm6517
    @ikiinjm6517 3 года назад +1

    Keep it up Broo....Unawezaa tena saanaaa

  • @christopherkibwana579
    @christopherkibwana579 4 года назад +1

    Nakubali sana Sana kazi zako kaka unajua dah

  • @kalolotzofficial8510
    @kalolotzofficial8510 4 года назад

    Huyu ndo KAYUMBA tunaemuitaji Sasa umejuwa kucheza na Akili zetu

  • @frahindawsen9650
    @frahindawsen9650 4 года назад +6

    Mziki mzurii sana big up kayumba wale wengine wamebakii kuchambanaaaa🙏🏾

  • @goldenboytiger799
    @goldenboytiger799 4 года назад +2

    Zawadi mimi mkenya wa kwanza

  • @gkazumar3015
    @gkazumar3015 4 года назад +11

    Daaah ebhanaeee ngoma kali sana...Keep moving forward bro

  • @emmanuelngailo7943
    @emmanuelngailo7943 4 года назад +2

    Videoo kali likee kama unamkubali kayumba

  • @charlesnghwaya1619
    @charlesnghwaya1619 4 года назад

    Nice song!!!!!kaza kaza utafikia malengo yako yoka BSS!!!! Hadi tilalila

  • @kalolotzofficial8510
    @kalolotzofficial8510 4 года назад +5

    Gonna like yako Kama unamkubali huyu mwamba 💥💥💥

  • @babayoria9181
    @babayoria9181 4 года назад

    waliokuja kuicheki hii ngoma baada ya kutoka kilingeni kwa mwinyimkuu tujuane hapa kwa like.ngoma nzuri kayumba

  • @abditech14
    @abditech14 4 года назад +1

    We jamaa ni noumaaa sana

  • @Njokahthe1
    @Njokahthe1 4 года назад +30

    Embu like kitilalila kama tilalila #aaàaaah hapo sawaaa

  • @janethjapheth4851
    @janethjapheth4851 3 года назад

    Kayumba mi nimekunyooshea mikono kwa kutoa vitu vikali vya kugusa mioyo ya watu aiseeeeeeeeeeeeeeeee! 🎼🎼🎼

  • @mralexdance2047
    @mralexdance2047 3 года назад

    2nao msapot kayumba bila shaka tuko weng ndondosha like yako chin 2juane zaid👍

  • @naomisalvatory50
    @naomisalvatory50 3 года назад +1

    Nakukubali sana unaimba kwa kumanisha

  • @Mfaume_mohamedy
    @Mfaume_mohamedy 4 года назад +1

    Tunaombaa mtuingizie nyimboo yetu treanding mashabikii tunamkubalii na kumsaport sanaa msanii wetuu

  • @fedmaxsolutionscompany
    @fedmaxsolutionscompany 4 года назад +3

    Unajua sanaaaa Mdogo wangu.Mungu akuongoze Vyema.Mziki mzurii Daima

  • @realremih
    @realremih 4 года назад

    Kayumba tangia Bss alionyesha uwezo wake mkali sana east Africa tushamkubali

  • @trueboy1919
    @trueboy1919 4 года назад +2

    Karibu unafika kaka blazaa,hapa Kenya tushakufahama,hzi ndio ngoma tunataka sio kelele tu,.big up man

    • @jfmedia1179
      @jfmedia1179 4 года назад

      ruclips.net/video/F2HTYNCxjcI/видео.html

  • @laurentkusenha9101
    @laurentkusenha9101 3 года назад +1

    Kama uko USA na unamfatilia huyu fundi gonga like tushow love

  • @nasrasuleimani1765
    @nasrasuleimani1765 4 года назад +9

    Kayumba unaga kazi mbovu wewe mungu aendelee kukuongoza lnshaallah

  • @vitalressgalus6023
    @vitalressgalus6023 4 года назад

    Oyooooooh kayumba mtoto wa baba Noma sana njoho kwa mfalme wa music king of the African wanamwita Alikiba tujumike tufanye mambo makubwa mzee baba kifupi umefanya bonge la chupa inabamba ile mbaya atali sana

  • @agneskasande633
    @agneskasande633 3 года назад +1

    Wenoma nakukubali mungu akutunze🎵🎧♥️

  • @directorelly2936
    @directorelly2936 4 года назад

    my no one artist in tanzania 🇹🇿

  • @emmanuelchacha1216
    @emmanuelchacha1216 3 года назад +1

    Ngoma iko 100% sanA yaani hili goma la mwaka you're great #KAYUMBA

  • @georgebidance1399
    @georgebidance1399 3 года назад +1

    Ngoma kali kutoka kwa Kayumba wetu wa forever. Nipeni likes zenu

  • @kayumbaasosie8748
    @kayumbaasosie8748 4 года назад +3

    Kama unaamini hiii ngoma itagonga m1 views gonna like hapa

  • @khausaryibrahimu5826
    @khausaryibrahimu5826 4 года назад +4

    duh kwel janja unaweza msanii anatakiwa kubadilika badilika kam ivyo xo we ni🔥🔥🔥🔥💪

  • @everstanley1717
    @everstanley1717 3 года назад

    Waoooo ii ndio yenyewee kayumbaa munguu akusaidie

  • @godfreywilliam2460
    @godfreywilliam2460 4 года назад

    Noma sanaa my super star 🔥

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko 4 года назад +2

    namuona ydizo

  • @brinaclarency7269
    @brinaclarency7269 3 года назад

    Sikuizi sio mioyo tyu hat bandama zinadanganywa aaaaahhhh

  • @bellaally5226
    @bellaally5226 3 года назад

    Kayumba unajua sana kazi ufikie malengo 🙏🙏🙏🙏

  • @Noblemsafi
    @Noblemsafi 3 года назад +1

    Nakukubalii mwananguu mno9

  • @elardmadeez3382
    @elardmadeez3382 4 года назад +8

    ngoma kali saana #kayumba Chupa la kwendaaaa kabisaaa hili

  • @kayumbaasosie8748
    @kayumbaasosie8748 4 года назад +1

    Gomaaa la TAIFA 💥💥💥

  • @joycesinkala225
    @joycesinkala225 2 года назад

    Aisee kayumba wetu jamani ukuje uwe laisi next time jamani nakupenda mpole kipaji kiwe kikubwa zaidi yahapo mpaka uwe laisi wetu ukaitete inchi yetu 💓💕💓🙏🙏

  • @elliakharld8809
    @elliakharld8809 4 года назад

    Nakukubali Kayumba hakuna wimbo uloutoa ukaniboa zoote ni kali

  • @arafaissa3079
    @arafaissa3079 3 года назад

    Daah kayumba nakufatiliag san aiysee ila hii umeuwa kupitiliza congr bless san

  • @Noblemsafi
    @Noblemsafi 4 года назад +2

    Tuonyeshee mapendoo kwa makli wetuu kwendaa youtube

  • @nicksontarimo1368
    @nicksontarimo1368 3 года назад

    Mamayeeeeeeeh wakubanie2 ila wejamaaa una unauwaaa waruke nayo iyooooooooh

  • @christopherkibwana579
    @christopherkibwana579 4 года назад +2

    We mkali

  • @liamybakari5791
    @liamybakari5791 3 года назад

    Mpaka bandana zinadangaya nani kaelewaa🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️

  • @mapixo7633
    @mapixo7633 4 года назад +1

    Kinyamwez boe_umetishaaa

  • @amiduclassic7324
    @amiduclassic7324 4 года назад

    I wish ungekuwa kwenye lebel kubwa hii ngoma ilivyo kalii ingefika mbali aisee but kama wew pia unamkubali @KAYUMBA OG gonga like basi

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np 4 года назад +1

    Umeuwa kaka ongera video ni bala

  • @John_Kimuyu_Munene_Nesh
    @John_Kimuyu_Munene_Nesh 3 года назад

    Kijana ameiva huyu. Bonge la ngoma Umeua Kayumba OG.
    Mimi mwenyewe nmeacha uue. Asante kwa burudani

  • @seraphinepaultine1679
    @seraphinepaultine1679 3 года назад

    Hvi wanaoombaga like za kayumba wako wapi jmn n mm tuu au🤔🤔💜💜💜💜💜👊👊👊😂

  • @AdidiFlavour
    @AdidiFlavour 3 года назад +8

    Kayumba much love from Kenya...this is a big tune

  • @laytonofficial3045
    @laytonofficial3045 4 года назад +1

    Mwanangu ww ni fundi wa mafundi

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko 4 года назад +9

    kayumba anajua jaman hongera kaka mkubwa but ydizo kaua kwnye kucheza

  • @elshaarawymuhabesh316
    @elshaarawymuhabesh316 3 года назад

    Kutoka the switch nimekuja
    Nakubali kayumba....
    Big up lil ommy
    Big up kayumba

  • @nuruchristopher1159
    @nuruchristopher1159 2 года назад

    Nakubal kk Ngoma Kali sana🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 tunaipenda sn 🇲🇿🇲🇿 Mocambique 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @allykhalid4077
    @allykhalid4077 3 года назад

    Kayumba hii ngoma tuifanyie promotion upya hili ni bonge la hit halichuji

  • @mychanneltz4466
    @mychanneltz4466 4 года назад

    Nakukubali vibaya kijan wangu yan .....one love

  • @sultansuleiman2949
    @sultansuleiman2949 4 года назад

    Ngoma kali kayumba sema video baba sio kweli umefeli

  • @halali_ya_naseeb
    @halali_ya_naseeb 4 года назад +2

    Acha niiiiwee tilalilah

  • @congodanceacademyofficial6348
    @congodanceacademyofficial6348 4 года назад

    Waauu Wauuu kitokos makasi uyu tuna mkubali congo ❤

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper9471 3 года назад

    Mwanang unajua Sana nimerudia mpaka basiiiii

  • @valentinetesha7915
    @valentinetesha7915 3 года назад

    Huyuu jamaaa anajuaa Sanaaaaaaa🔥🔥🔥🔥

  • @goodluckuliza5032
    @goodluckuliza5032 3 года назад

    Nakukubali na kusikiliza mno kayumba bt naomba ubadileshe jina lingine naima utaukuwa bora sana coz jina ni nyota hata Baba wa imani Ibrahimu alibadili jina ndo neema ikaongezeka hicho ndo kilio changu jiitee YUJ nimetoa katika jina lako believe me bro