Hii ngoma imepenya sana. Huku Kenya 🇰🇪🇰🇪 ni moto. Watanzania mnajua sana miziki. Ubunifu mwingi.. All Kenyans 🇰🇪 let gather here to show how we love this sounds❤
Wanamziki ndio tanzania inao wahitaji siyo miziki ya kutukanana na kuzodoana dogo usiwafate hao wanao imba miziki yao ya matusi mimi nasema dogo safi saba
Mimi naongea kutoka moyoni hii ndo asili ya mtanzani hivyo vigoma yaani Kuna mtu jasho zinamtoka furaha imepitiliza miso misondo usibadirishe miondoko nakuhakikishia utafanya collabo na msanii mkubwa nje utaamini maneno yangu Tena wao wenyewe watakutafuta❤❤❤
Mashabiki wa misso missondo ndo watapita tu kulike 🎉🎉❤❤❤ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kweli
Mambo
Hii ngoma imepenya sana. Huku Kenya 🇰🇪🇰🇪 ni moto. Watanzania mnajua sana miziki. Ubunifu mwingi.. All Kenyans 🇰🇪 let gather here to show how we love this sounds❤
💯🎉
Dah uyu dog acha nanae
Kweli sana tunajua mno🎉🎉
@@EmmaEliapendakabisa yaani
HUWENDA WEWE NDIO MKENYA MWENYE AKILI KULIKO WENGINE
Kwa wale wapenda singeli zenye kuvutia na kufunza maisha naomba tukutani kwenye like 👇 mimi nimeikubali Ngoma Kama na wewe umeikubali gonga like 🇹🇿
Sijategemea kama utafika level hii mdogo wangu Mungu azidi kukupandisha InshaAllah
Basi ukija ona hivo ulikuwa mwanga wake
Amin
Nona
Big up ,mungu si asumani
Wambongo sijui wamerugwa yani mziki wa hasili yao awasapoti ila amapiano ndio wanasapoti ,😢😢😢😢😢😢😢 GOD BLESS YOU MISSO 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuu hili goma hatali mapiano wanacheza utafikili wamefika kileleni
Afu mziki wetu una vibe 😅
Mziki matusi waasisi wake mpaka uvute bangi wanaimba mpaka wakaze mishipa ya shingo uchezaji wake hovyo
😂😂😂😂@@EnokAndrea
Uko sure ni watz au kenya
Misso misondo ❤❤❤❤❤
Kama umeludia zaidi ya mara3 gonga like
I like since Côte d'Ivoire !
Good song ! I love tanzian's singer ! Beautiful country !
Much love from Côte d'Ivoire 🇨🇮🇨🇮🇨🇮🇨🇮
Nimependa hiki kipande
'Na umeme wa Mgaoo, kukata kata maji yaao yatapitaa...'
Safi sana @misso missondo
misomisondo unahatari uta tuuwa umeupiga mwinyi like 💓 kama umekubali YATAPITA TU
Timu zetu kuishia robo,... maumiv ya kufungwa tano... yatapita kam ilivopita corona 😢😢😢😢😢
😂😂😂sanaaa
Lin xax mboni hayapitii 😅😅😅
@@JOSEPHJEREMIA-t4o swala la muda tuu
Kwa hili naunga mkona yapite kwa kweli
@@JOSEPHJEREMIA-t4o umejua kunichekesha😂😂
🎉🎉🇹🇿🇰🇪 mko wapi nipeni lik ata tano
Wimbo upo kwenye uhalisia Sana na maisha yetu, umetisha ndugu big up, mungu akusimamie vyema.
From Kenya hapa wapi likes za wakenya, kuchamba watanzani online yatapita tu😂
Kusini wote tupo hapa kwenye like 🤙
Tupo wasanii wa kusini tunatamba miso misondo juu ipo cku nitakuja kuwa juu kama wakumusi
Uyu dogo hii sauti inahisia kali xana kaza boy motivational songs unaendananazo vzur tu
Majini kutupiana na riziki kufungiana ..wanangu yatapita Tu....❤❤❤❤😂😂😂😂
Hii ngoma inakutoa mawazo inakupa ujasili sana chuma cha moto
We Miso misondo, umepigaje hapo??😂😂😂all the way from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪,naiwakilisha taifa langu huku
aidia nzuri Wimbo full ujumbe
take 👊 tim nzima ya misondo
Brother umetishapo big tunatakapo mangoma makali Kama haya brother umetumiapo ubunifu mkubwa saa very bravo 💯💯💯💯💯🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ toapo nyingine brother
Haya ndio yanaitajika sana nyimbo nzuli yenye mafundisho asanteni sanaaaaaaaaaa team misso missondo
Duuuuh mwanangu mziki wako ni wapekee yako upo vizuri ssna kijana wakazi
Big up Kwa huyu bwana mdogo coz anajua sanaaa .God bless him
Kama unajua mziki sikiliza beat iliobandikwa apo mamae yani imekaa unyama sana
Umeongea kwa hisia 😂
Dakika ya 1:40
Kabisa mkuu
Hahahha kweli kabisa really beat @@mangemathias7940
😂😂😂 miso anavyobambia mama sio poa
Asante misomisondo🎉🎉 mauwa yako
Aki this song is really giving me hope in life,thanks to our brothers in Tanzania🇰🇪🇹🇿
Brother ✊
@@emanuelsamwel999 wassup broh
Jaman jaman jaman wimbo umeniambia like zenu wazee❤❤❤
madogo mnatoa burdani hadi ikulu yaani...hongereni
Tumefanya balaaa umo God bless sana misso misondo unajua anko
Bonge la ngoma 🔥🔥🔥 big up misomisondo
Jiomon misso gang ahh
Mfanye kuwa mwendelezo kwa beat na kuimba
Nime ipenda hiii love this song aaaqh❤🎉
Hii ngoma I nacheza kwa vilabu huku Kenya, kali sana
Hii NGOMA sio tu kuwa namba 1 inastahili kuwa NGOMA ya taifa
Nan kakudanganya
Hakika wakati wa mungu ndy sahihi jmn misso misondo hongera zenu na wazee wa Makoti ila namm yatapita tu😅
Kweli sana
Hakika dg mwakajana ulikuja kivingine mwaka huu waja kivingine hongera aise
Bro huna mpinzaniii Tanzania iko mikono salama GOD BLESS KWAKO
your top fan from Malawi we misso missond unahatali takupa dada
Ubongo wenye thinking yake pekee bongo, oyaah eeh ni 🔥🔥.
Sasa hapa piga na remix, af mlete konde paleee, kama ni Wow 💥
Tunaoshukuru ni sisi walala hoi umetupa moyo wenzangu na mimi tukutune hapa kwa like😅😅
Oyaaaaaa Noma sana sema nini achia na beat tupu yatapita beat kama beat itakua kali zaid na iko kibiti kinacho anzaa uyo eee balaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kwa hakka ngoma iko poa sana kaka 💪💪 mwenyezi Mungu azidi jaalia zaidi
Best song aisee HII nyimbo inafaa kubwa ya taifa Dah ubunifu mkubwa sana
Congrt sana unapambna sanaaa🙏🙏🙏
Daaaaah Wana mmeuwa sana umu ndani safi San 🙏🙏
Asant sana dogo mungu azidi kukupa nguvu
Yani naipenda Sana inanipa nguvu kwenye utafutaji huu wimbo
Hii nyimbo inanipa raha sana nikiisikia hongereni sana group la missondo nawapenda sana
❤❤❤❤❤ nimependa
Ngoma kali kinooma hii mpaka Xio Powah
Noma Sana misoooooo🔥🔥🔥
Miso anavyocheza kimguu mmoja juu sio poa
ANGELUSI
Daaah miso misondo umeaminisha ule msemo kuwa unalala maskin unaamka tajiri. Hongera sana ww na wazee wa mikoti kupambania ndoto zenu
Wanangu wa kubeti kupunwa na muhindi yatapita tu❤
Kuna kale ka beat ka kakihind ka Titktok.. aisee kajua kutuweka attention na ujio wa ngoma yake... safi sana Misooo..
nautafuta sana
Andika tera misomiso utapata@@festohaule5243
Basi tupo wengi maana hata mimi nautafuta @@festohaule5243
Mungu afariji familia waliopatwa kwa Hilo majanga lilofanyika kariakoo😢😢
Dah 😢😢😢mmeimba ukwelii wanangu sema mnajua balaaaaa❤
uyu jamaa anajua kwer miso daah
Toa mipiano yote tupa kule weka singeli weweeeeeeeeee yatapita tu🎉🎉🎉🎉🎉miso miso misondo unahatali❤❤❤❤❤❤
Wabongo ni og bana penda sana nchiyangu eemungu twaomba uzidi kubariki amani ya nchi uyetu👐
Tusapoti vya nyumbani...misso hii umetisha
🎉🎉🎉yes unaweza dogo yatapita
❤mungu aendelee kukufungulia mlango wa mafanikio zaidi
Misondo hatujaona vumbi wana huwa wanapendeza sana kwa vumbi
Misondo huu umetisha sana
Umenifanya nirudie jeje nimuone yule demu nilimuelewa kinoma nampenda sana ni mwembamba ila alitisha ❤
Ety wasanii saizi mnh ila mumetisha kazi mzuri ❤
Kuna kabuti Fran ivi kanapenya adi kwenye ngoma ya ckio. Umeuwa sanaaa
❤🎉big up miaka yakobe mwanangu sana🎉🎉🎉❤❤
Kila siku maandamano kisa kufungwa tano YATAPITA tu 🔥
Kjana upo juu nakubal sana unaweza unaweza tena mungu azid kukubark
Bonge la ngoma na hakuna matusi ndani! Safiii
Amina kweli kila kenge mwanzo huwa na mwisho
huu ndo ubinifu sasa japo najua wanakuiga ila nakukubali sana mwamba
Kijana hii kazi ni halali yako,,, naipenda sana
Noma huyu bwana
Nimeipend san hiii nyimbo 😮😮😮😮😮😮😮😮
I love it the sounds good brow il y aura King of Noval génération🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🇨🇩
Ime simama mwanangu kaza na amini unacho fanya mungu ata kishka mkono
Sema uwe unatupia Magoma mengi sana tunayakubali sana
Karibuni tena IMTU ❤
Wanamziki ndio tanzania inao wahitaji siyo miziki ya kutukanana na kuzodoana dogo usiwafate hao wanao imba miziki yao ya matusi mimi nasema dogo safi saba
Miso kam miso huna mpinzani🎉❤
Kaka ww ni Mmoja tu hakuna mwingine.,Adam berry 🔥🔥🔥🔥
Oya eeeee misso missondo anajua 😮🤩👍🏻
Daah goma Kali Sanaa sikuwaza Kam utafika huku daah kwer unaweza snaa ila toa mix na mwamba wa kusini mwenzako konde boy goma litawaka moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yale maumivu ya kufungwa tano yata pita tu 5_1😢😢😢😢😢😢😢
😂😂
Misso unajua baba, utaleta mapinduzi mziki wa bongo, stail yako ya pekeyako hakika unaburudisha yani naangalia sichoki
Yatapita TU Nina Imani ❤❤❤❤❤
Yatapita ty kwakwel maan 🎉🎉❤ nakubal san
MUZIKI elimu tupu hapa❤❤❤
Oi huyu Jamaa hii ngoma mnamwoneya 😢mpe mau Na tuzo Ya mziki Jamani 😢
Iyoo imendaa na nimekubali ❤❤❤❤❤❤
Good song misso lets go on the real success
Wale wa kongo kama unaisikiliza hii ngom tupatane hapa👇👇👇
Hamnaga baya
Kazi kazi babake!!!! Lechizo son
Genius misso misondo 🔥🔥👑
Mimi naongea kutoka moyoni hii ndo asili ya mtanzani hivyo vigoma yaani Kuna mtu jasho zinamtoka furaha imepitiliza miso misondo usibadirishe miondoko nakuhakikishia utafanya collabo na msanii mkubwa nje utaamini maneno yangu Tena wao wenyewe watakutafuta❤❤❤
kumbe wahuni wanajua mazima🙌