Misso Misondo - Yatapita tu (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 815

  • @SIXBIZZZTANZANIAN
    @SIXBIZZZTANZANIAN 4 месяца назад +179

    Mashabiki wa misso missondo ndo watapita tu kulike 🎉🎉❤❤❤ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HamisiChipotele-fl8xo
    @HamisiChipotele-fl8xo 4 месяца назад +198

    Hii ngoma imepenya sana. Huku Kenya 🇰🇪🇰🇪 ni moto. Watanzania mnajua sana miziki. Ubunifu mwingi.. All Kenyans 🇰🇪 let gather here to show how we love this sounds❤

  • @maulidi-8821
    @maulidi-8821 3 месяца назад +24

    Kwa wale wapenda singeli zenye kuvutia na kufunza maisha naomba tukutani kwenye like 👇 mimi nimeikubali Ngoma Kama na wewe umeikubali gonga like 🇹🇿

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 4 месяца назад +112

    Sijategemea kama utafika level hii mdogo wangu Mungu azidi kukupandisha InshaAllah

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo9493 4 месяца назад +380

    Wambongo sijui wamerugwa yani mziki wa hasili yao awasapoti ila amapiano ndio wanasapoti ,😢😢😢😢😢😢😢 GOD BLESS YOU MISSO 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @EnokAndrea
      @EnokAndrea 4 месяца назад +14

      Duuuu hili goma hatali mapiano wanacheza utafikili wamefika kileleni

    • @lodybrown3045
      @lodybrown3045 4 месяца назад +5

      Afu mziki wetu una vibe 😅

    • @UrassaPaschal
      @UrassaPaschal 4 месяца назад +2

      Mziki matusi waasisi wake mpaka uvute bangi wanaimba mpaka wakaze mishipa ya shingo uchezaji wake hovyo

    • @OmaryRamadan-m8v
      @OmaryRamadan-m8v 4 месяца назад +2

      😂😂😂😂​@@EnokAndrea

    • @sephbuche9459
      @sephbuche9459 4 месяца назад +2

      Uko sure ni watz au kenya

  • @EsperancaBranquinho
    @EsperancaBranquinho 3 дня назад +1

    Misso misondo ❤❤❤❤❤

  • @KizyWanda
    @KizyWanda 4 месяца назад +147

    Kama umeludia zaidi ya mara3 gonga like

  • @erano11
    @erano11 4 месяца назад +10

    I like since Côte d'Ivoire !
    Good song ! I love tanzian's singer ! Beautiful country !
    Much love from Côte d'Ivoire 🇨🇮🇨🇮🇨🇮🇨🇮

  • @gabbypflossy2088
    @gabbypflossy2088 4 месяца назад +15

    Nimependa hiki kipande
    'Na umeme wa Mgaoo, kukata kata maji yaao yatapitaa...'
    Safi sana @misso missondo

  • @ERICKFIDELYELIMELICK-f7s
    @ERICKFIDELYELIMELICK-f7s 4 месяца назад +8

    misomisondo unahatari uta tuuwa umeupiga mwinyi like 💓 kama umekubali YATAPITA TU

  • @youngmaster_kichuya
    @youngmaster_kichuya 4 месяца назад +116

    Timu zetu kuishia robo,... maumiv ya kufungwa tano... yatapita kam ilivopita corona 😢😢😢😢😢

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 3 месяца назад +8

    🎉🎉🇹🇿🇰🇪 mko wapi nipeni lik ata tano

  • @mustaphakheba4644
    @mustaphakheba4644 3 месяца назад +6

    Wimbo upo kwenye uhalisia Sana na maisha yetu, umetisha ndugu big up, mungu akusimamie vyema.

  • @joankemunto6266
    @joankemunto6266 7 дней назад +1

    From Kenya hapa wapi likes za wakenya, kuchamba watanzani online yatapita tu😂

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 4 месяца назад +26

    Kusini wote tupo hapa kwenye like 🤙

    • @Ezatzashindikene
      @Ezatzashindikene 3 месяца назад

      Tupo wasanii wa kusini tunatamba miso misondo juu ipo cku nitakuja kuwa juu kama wakumusi

  • @addullyajaba5939
    @addullyajaba5939 7 дней назад +1

    Uyu dogo hii sauti inahisia kali xana kaza boy motivational songs unaendananazo vzur tu

  • @BenardCostantine-sr8bn
    @BenardCostantine-sr8bn Месяц назад +3

    Majini kutupiana na riziki kufungiana ..wanangu yatapita Tu....❤❤❤❤😂😂😂😂

  • @NellyMillo
    @NellyMillo 3 месяца назад +7

    Hii ngoma inakutoa mawazo inakupa ujasili sana chuma cha moto

  • @luvboynyamz27
    @luvboynyamz27 4 месяца назад +8

    We Miso misondo, umepigaje hapo??😂😂😂all the way from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪,naiwakilisha taifa langu huku

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 4 месяца назад +6

    aidia nzuri Wimbo full ujumbe
    take 👊 tim nzima ya misondo

  • @hancemgombela3443
    @hancemgombela3443 4 месяца назад +2

    Brother umetishapo big tunatakapo mangoma makali Kama haya brother umetumiapo ubunifu mkubwa saa very bravo 💯💯💯💯💯🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ toapo nyingine brother

  • @MrCHUBWAINTERPRET
    @MrCHUBWAINTERPRET 4 месяца назад +5

    Haya ndio yanaitajika sana nyimbo nzuli yenye mafundisho asanteni sanaaaaaaaaaa team misso missondo

  • @HARMONITZ
    @HARMONITZ 4 месяца назад +6

    Duuuuh mwanangu mziki wako ni wapekee yako upo vizuri ssna kijana wakazi

  • @FredrickSeshahu
    @FredrickSeshahu 4 месяца назад +2

    Big up Kwa huyu bwana mdogo coz anajua sanaaa .God bless him

  • @JesseErick
    @JesseErick 4 месяца назад +57

    Kama unajua mziki sikiliza beat iliobandikwa apo mamae yani imekaa unyama sana

  • @CRVSEC
    @CRVSEC 2 месяца назад

    Asante misomisondo🎉🎉 mauwa yako

  • @ChuxxDespata
    @ChuxxDespata 4 месяца назад +15

    Aki this song is really giving me hope in life,thanks to our brothers in Tanzania🇰🇪🇹🇿

  • @DelphinusBenedicto
    @DelphinusBenedicto 4 месяца назад +15

    Jaman jaman jaman wimbo umeniambia like zenu wazee❤❤❤

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 4 месяца назад +8

    madogo mnatoa burdani hadi ikulu yaani...hongereni

  • @JesseErick
    @JesseErick 4 месяца назад +3

    Tumefanya balaaa umo God bless sana misso misondo unajua anko

  • @piusthomas9787
    @piusthomas9787 3 месяца назад +1

    Bonge la ngoma 🔥🔥🔥 big up misomisondo

  • @hoseachipando5097
    @hoseachipando5097 4 месяца назад +2

    Jiomon misso gang ahh
    Mfanye kuwa mwendelezo kwa beat na kuimba

  • @FerstonveNekemia
    @FerstonveNekemia 4 месяца назад +2

    Nime ipenda hiii love this song aaaqh❤🎉

  • @jynesstarz4784
    @jynesstarz4784 4 месяца назад +7

    Hii ngoma I nacheza kwa vilabu huku Kenya, kali sana

  • @Matimila_Boy
    @Matimila_Boy 4 месяца назад +20

    Hii NGOMA sio tu kuwa namba 1 inastahili kuwa NGOMA ya taifa

  • @NivaJoseph-v7e
    @NivaJoseph-v7e 4 месяца назад +12

    Hakika wakati wa mungu ndy sahihi jmn misso misondo hongera zenu na wazee wa Makoti ila namm yatapita tu😅

  • @okoyospo
    @okoyospo 4 месяца назад +6

    Hakika dg mwakajana ulikuja kivingine mwaka huu waja kivingine hongera aise

  • @CallvanmbenyaMbenya
    @CallvanmbenyaMbenya 4 месяца назад +12

    Bro huna mpinzaniii Tanzania iko mikono salama GOD BLESS KWAKO

  • @twistermw3544
    @twistermw3544 4 месяца назад +8

    your top fan from Malawi we misso missond unahatali takupa dada

  • @GeofreyJoseph-z8k
    @GeofreyJoseph-z8k 4 месяца назад +3

    Ubongo wenye thinking yake pekee bongo, oyaah eeh ni 🔥🔥.
    Sasa hapa piga na remix, af mlete konde paleee, kama ni Wow 💥

  • @machichaally
    @machichaally 4 месяца назад +29

    Tunaoshukuru ni sisi walala hoi umetupa moyo wenzangu na mimi tukutune hapa kwa like😅😅

  • @gma841mulkasihjanja
    @gma841mulkasihjanja 4 месяца назад +3

    Oyaaaaaa Noma sana sema nini achia na beat tupu yatapita beat kama beat itakua kali zaid na iko kibiti kinacho anzaa uyo eee balaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @a.p.monlinetv3561
    @a.p.monlinetv3561 4 месяца назад +3

    Kwa hakka ngoma iko poa sana kaka 💪💪 mwenyezi Mungu azidi jaalia zaidi

  • @EnockSDady
    @EnockSDady 4 месяца назад +3

    Best song aisee HII nyimbo inafaa kubwa ya taifa Dah ubunifu mkubwa sana

  • @SuzyBosco-mr5tg
    @SuzyBosco-mr5tg 4 месяца назад +1

    Congrt sana unapambna sanaaa🙏🙏🙏

  • @NivaJoseph-v7e
    @NivaJoseph-v7e 4 месяца назад +2

    Daaaaah Wana mmeuwa sana umu ndani safi San 🙏🙏

  • @JuliusCassian
    @JuliusCassian 16 дней назад

    Asant sana dogo mungu azidi kukupa nguvu

  • @RehemaAbasi-h8i
    @RehemaAbasi-h8i 4 месяца назад +3

    Yani naipenda Sana inanipa nguvu kwenye utafutaji huu wimbo

  • @Amosmpaji
    @Amosmpaji 2 месяца назад +1

    Hii nyimbo inanipa raha sana nikiisikia hongereni sana group la missondo nawapenda sana

  • @marwapanju
    @marwapanju 14 дней назад

    ❤❤❤❤❤ nimependa

  • @yohanaleonard5195
    @yohanaleonard5195 4 месяца назад +3

    Ngoma kali kinooma hii mpaka Xio Powah

  • @Allybomeza
    @Allybomeza 4 месяца назад

    Noma Sana misoooooo🔥🔥🔥

  • @iamdullnizer
    @iamdullnizer 26 дней назад +1

    Miso anavyocheza kimguu mmoja juu sio poa

  • @filbertonesmo6092
    @filbertonesmo6092 3 месяца назад

    Daaah miso misondo umeaminisha ule msemo kuwa unalala maskin unaamka tajiri. Hongera sana ww na wazee wa mikoti kupambania ndoto zenu

  • @rabankisusi
    @rabankisusi 3 месяца назад +2

    Wanangu wa kubeti kupunwa na muhindi yatapita tu❤

  • @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
    @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI 4 месяца назад +39

    Kuna kale ka beat ka kakihind ka Titktok.. aisee kajua kutuweka attention na ujio wa ngoma yake... safi sana Misooo..

    • @festohaule5243
      @festohaule5243 4 месяца назад

      nautafuta sana

    • @mariaserafini6562
      @mariaserafini6562 4 месяца назад

      Andika tera misomiso utapata​@@festohaule5243

    • @LisaDequte
      @LisaDequte 4 месяца назад

      Basi tupo wengi maana hata mimi nautafuta ​@@festohaule5243

  • @chepkwony2251
    @chepkwony2251 2 месяца назад

    Mungu afariji familia waliopatwa kwa Hilo majanga lilofanyika kariakoo😢😢

  • @bizzydecharles9621
    @bizzydecharles9621 4 месяца назад +1

    Dah 😢😢😢mmeimba ukwelii wanangu sema mnajua balaaaaa❤

  • @JumaAnzi
    @JumaAnzi 14 дней назад

    uyu jamaa anajua kwer miso daah

  • @PIGOBAYA
    @PIGOBAYA 4 месяца назад +7

    Toa mipiano yote tupa kule weka singeli weweeeeeeeeee yatapita tu🎉🎉🎉🎉🎉miso miso misondo unahatali❤❤❤❤❤❤

  • @MathweLucasi
    @MathweLucasi 3 месяца назад

    Wabongo ni og bana penda sana nchiyangu eemungu twaomba uzidi kubariki amani ya nchi uyetu👐

  • @allychikoko11
    @allychikoko11 4 месяца назад +1

    Tusapoti vya nyumbani...misso hii umetisha

  • @yoshuapaul8300
    @yoshuapaul8300 4 месяца назад +2

    🎉🎉🎉yes unaweza dogo yatapita

  • @BeataGregory-q4t
    @BeataGregory-q4t 3 месяца назад

    ❤mungu aendelee kukufungulia mlango wa mafanikio zaidi

  • @wisevictor-xc9ub
    @wisevictor-xc9ub 4 месяца назад +3

    Misondo hatujaona vumbi wana huwa wanapendeza sana kwa vumbi

  • @ErneusJohn
    @ErneusJohn 2 месяца назад

    Misondo huu umetisha sana

  • @GodilistenonisaelKimaro-lk7cd
    @GodilistenonisaelKimaro-lk7cd 3 месяца назад

    Umenifanya nirudie jeje nimuone yule demu nilimuelewa kinoma nampenda sana ni mwembamba ila alitisha ❤

  • @RadhackMaestro_TZ
    @RadhackMaestro_TZ 4 месяца назад +2

    Ety wasanii saizi mnh ila mumetisha kazi mzuri ❤

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 3 месяца назад +1

    Kuna kabuti Fran ivi kanapenya adi kwenye ngoma ya ckio. Umeuwa sanaaa

  • @DavisMmole-i6p
    @DavisMmole-i6p 4 месяца назад +2

    ❤🎉big up miaka yakobe mwanangu sana🎉🎉🎉❤❤

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 месяца назад +2

    Kila siku maandamano kisa kufungwa tano YATAPITA tu 🔥

  • @mamasia9741
    @mamasia9741 3 месяца назад +1

    Kjana upo juu nakubal sana unaweza unaweza tena mungu azid kukubark

  • @kevinchaula777
    @kevinchaula777 4 месяца назад +1

    Bonge la ngoma na hakuna matusi ndani! Safiii

  • @GloryJoseph-md6ic
    @GloryJoseph-md6ic 4 месяца назад +2

    Amina kweli kila kenge mwanzo huwa na mwisho

  • @Tatamarwa
    @Tatamarwa 4 месяца назад +4

    huu ndo ubinifu sasa japo najua wanakuiga ila nakukubali sana mwamba

  • @jelardndaba6667
    @jelardndaba6667 4 месяца назад +1

    Kijana hii kazi ni halali yako,,, naipenda sana

  • @bonnieburra7556
    @bonnieburra7556 3 месяца назад

    Noma huyu bwana

  • @kingswedy
    @kingswedy 3 месяца назад +2

    Nimeipend san hiii nyimbo 😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @claudepaluku1842
    @claudepaluku1842 4 месяца назад +5

    I love it the sounds good brow il y aura King of Noval génération🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🇨🇩

  • @JudkeitMgeni
    @JudkeitMgeni 3 месяца назад

    Ime simama mwanangu kaza na amini unacho fanya mungu ata kishka mkono

  • @nestorymelekiades5849
    @nestorymelekiades5849 4 месяца назад +1

    Sema uwe unatupia Magoma mengi sana tunayakubali sana

  • @calvincypriano2956
    @calvincypriano2956 3 месяца назад

    Karibuni tena IMTU ❤

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 2 месяца назад +1

    Wanamziki ndio tanzania inao wahitaji siyo miziki ya kutukanana na kuzodoana dogo usiwafate hao wanao imba miziki yao ya matusi mimi nasema dogo safi saba

  • @LeylatHemed
    @LeylatHemed 3 месяца назад

    Miso kam miso huna mpinzani🎉❤

  • @SeyaMwamba
    @SeyaMwamba Месяц назад

    Kaka ww ni Mmoja tu hakuna mwingine.,Adam berry 🔥🔥🔥🔥

  • @SatielErasto-d7z
    @SatielErasto-d7z 2 месяца назад

    Oya eeeee misso missondo anajua 😮🤩👍🏻

  • @AlexMoses-mp8sl
    @AlexMoses-mp8sl 3 месяца назад

    Daah goma Kali Sanaa sikuwaza Kam utafika huku daah kwer unaweza snaa ila toa mix na mwamba wa kusini mwenzako konde boy goma litawaka moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JEANS-TZ
    @JEANS-TZ 4 месяца назад +18

    Yale maumivu ya kufungwa tano yata pita tu 5_1😢😢😢😢😢😢😢

  • @HabariTvOnline
    @HabariTvOnline 4 месяца назад +1

    Misso unajua baba, utaleta mapinduzi mziki wa bongo, stail yako ya pekeyako hakika unaburudisha yani naangalia sichoki

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz 3 месяца назад +1

    Yatapita TU Nina Imani ❤❤❤❤❤

  • @TinahJoseph-dh4rj
    @TinahJoseph-dh4rj 4 месяца назад

    Yatapita ty kwakwel maan 🎉🎉❤ nakubal san

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 4 месяца назад +2

    MUZIKI elimu tupu hapa❤❤❤

  • @salimomari150
    @salimomari150 2 месяца назад

    Oi huyu Jamaa hii ngoma mnamwoneya 😢mpe mau Na tuzo Ya mziki Jamani 😢

  • @YahayabilalaliBilalali
    @YahayabilalaliBilalali 3 месяца назад

    Iyoo imendaa na nimekubali ❤❤❤❤❤❤

  • @RashidAbdi-bj8et
    @RashidAbdi-bj8et 4 месяца назад +1

    Good song misso lets go on the real success

  • @Ibrahimmeshilieki
    @Ibrahimmeshilieki 4 месяца назад +7

    Wale wa kongo kama unaisikiliza hii ngom tupatane hapa👇👇👇

  • @LeonardChitu
    @LeonardChitu 2 месяца назад

    Kazi kazi babake!!!! Lechizo son

  • @explorer_255
    @explorer_255 4 месяца назад +1

    Genius misso misondo 🔥🔥👑

  • @MoodyOne-g5t
    @MoodyOne-g5t 3 месяца назад

    Mimi naongea kutoka moyoni hii ndo asili ya mtanzani hivyo vigoma yaani Kuna mtu jasho zinamtoka furaha imepitiliza miso misondo usibadirishe miondoko nakuhakikishia utafanya collabo na msanii mkubwa nje utaamini maneno yangu Tena wao wenyewe watakutafuta❤❤❤

  • @legalmastergoldencoin3733
    @legalmastergoldencoin3733 3 месяца назад

    kumbe wahuni wanajua mazima🙌