Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Ushuhuda: Abel Suleiman, part 02 of 05

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 апр 2014
  • Abel, once a staunch Muslim based in Mwanza, Tanzania, quit Islam to follow Christ. He is now a staunch follower of Jesus Christ. He resides in Dar-es-salaam, Tanzania. His testimony is in Kiswahi

Комментарии • 34

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 8 месяцев назад

    Great 👍🏿

  • @maxshimba2075
    @maxshimba2075 7 лет назад +1

    Yesu ni Mungu na bado anaokoa kila sekunde.

  • @abdulrahimmtunzi953
    @abdulrahimmtunzi953 7 лет назад +2

    mpendwa mwislamu YESU anakupenda na anahitaji akuokowe na kukutoa mikononi mwa shetani maana hakuna wokovu nje ya YESU, mbali na hapo unajidanganya mwenyewe.

    • @ntamerungirokoleta1721
      @ntamerungirokoleta1721 6 лет назад

      alfred mwema mungu akubaliki sana tena sana kwasababu ume pendeza sana sasayivi ume acana nayale makanzu malefu ubalikiwe amen

  • @financialloan9818
    @financialloan9818 6 лет назад

    Waislam bhana kubalini tuuu nyinyi ni mashetani apo angeusifia uislam mngemuelewa nyinyi ni majini

  • @dawoudal-arabiybik3747
    @dawoudal-arabiybik3747 Год назад

    Quran ni moja tu...hii inaonesha namna gani ulivyo kuwa hujui kitu fasiri zipo nyingi kwa kuwa fasiri ni matumizi ya neno kwa maana ya utumiaji wa neno husika kwa tafsiri husika.

  • @amadeuskimey5521
    @amadeuskimey5521 6 лет назад

    thanks you Jesus

  • @aminrendis7249
    @aminrendis7249 3 года назад

    ACHA UWONGO WEWE DANGANYA WAJINGA WENZIO

  • @happyabdallah8379
    @happyabdallah8379 7 лет назад

    songa mbele yesu anakupenda achana na maneno ya wanadam endele kuamin yesu ndiyo njia ya uzima atayesu pia alitukanwa na

    • @highzacknnko4002
      @highzacknnko4002 6 лет назад

      Happy Abdallah ameeeeen

    • @dawoudal-arabiybik3747
      @dawoudal-arabiybik3747 Год назад

      Mitume wote ni njia na yesu nayeye alikuwa njia kwa wakati wake sio tatizo ila ilitumwa kwa mayahudi tu wew humo toka njoo kwa muhammad yye ni ulimwengu mzima

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 7 лет назад

    Wanapokaa peke yao wanajfanya wanajua lakn wanapokutana na waislam wanakua hawana hoja

    • @martinmsacky2069
      @martinmsacky2069 4 года назад

      Kitabu Chako KINAKUTAKA huwahulize waliopewa kitabu kwanza kwa kuwa kitabu Chako hakijitoshelezi .. Nakosaje hoja sasa hapo vitu vingine NI Kama hesabu za darasa la kwanza unalazimisha zi we za chuo😂😂 WE SHABIKIA MPIRA TU DINI HAITAKI USHABIKI

  • @marthneno7944
    @marthneno7944 9 лет назад

    God bless you

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 8 лет назад

      mnafiki mkubwa ww endelea kuwa kafiri mkubwa moto unakusubiri ,unacho chote,ulinunuliwa

  • @salmasalama3754
    @salmasalama3754 8 лет назад

    najuwa sio majaliwa yako kuwa mkristo umenunuliwa ole wako bro hivyo unavyoongea uongo mtupu dhambi tupu ata kidini pia ilisema usikashifu dini ww uko kwa shetani frimaso fikiria kesho moto wakusubiri ingekuwa ww ni mtoto wangu ningehakikisha hauko hai hufai ata chembe hakuna tofauti na ibilisi dhambi bro tubu kabla hujafa ww pole sanaaa

    • @martinmsacky2069
      @martinmsacky2069 4 года назад

      Pole WEWE ambaye BADO UMEFUNIKWA NA GIZA NA UNAJIVUNIA KWA HILO GIZO UMEKALILISHWA WEWE POELENSANA NJO KW A YESU INGALI BADO HU HAI USIJIDANGANYE MBINGUNI HUENDI KWA HIYO IMANI YAKO YANI SAHAU

  • @angenkunze6349
    @angenkunze6349 8 лет назад

    ushuhuda wa nyisaki mbeya

    • @AhmedMohamed-vj5zl
      @AhmedMohamed-vj5zl 6 лет назад

      Kafiri huyo

    • @martinmsacky2069
      @martinmsacky2069 4 года назад

      Bora ukafiri lakini MBINGUNI KATIKA KRISTO YESU TUNAENDA KULIKO KULIKO IMANI YENYE USHILIKA NA GIZA YAN NIJIONE NAENDA MOTONI 🔥 🔥 NEVER

  • @abdallahnassoro3851
    @abdallahnassoro3851 6 лет назад

    hana anachozungumza anatakiwa otoe hoja yeye anatoa stori huwezi mpata muislamu anaejitambua

    • @nomusanokwanda7967
      @nomusanokwanda7967 3 года назад

      Shauri yako unajifanya mbishi nawakat ukweri unauona njoo kwa yes upate uzima wa milele

  • @petromachanga29
    @petromachanga29 4 года назад

    Sina mawazo yakuwa mwislam

    • @dawoudal-arabiybik3747
      @dawoudal-arabiybik3747 Год назад

      Sio lazima baki kwenye ukafir wako uislam hauhitajii mtu isipokuwa mtu anahitajii uislam kwa usalama wa maisha yake"

  • @norahmulandam9891
    @norahmulandam9891 8 лет назад

    Ehh mungu uliye mbinguni turehemu comment nazo😂😂😂.

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 6 лет назад

    njaa inakupeleka motoni kaka

    • @nomusanokwanda7967
      @nomusanokwanda7967 3 года назад

      Wew wanaouona ukweli wanaokoka shauri yako njoo kwa yesu

  • @mr.bokobokofamily6730
    @mr.bokobokofamily6730 8 лет назад

    mbona hauna video ya mdahalo!!!ama unabandika tuu kwa jinga

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 7 лет назад

    usiwadanganye watu waislam hawana kawaida ya kutukana

    • @nomusanokwanda7967
      @nomusanokwanda7967 3 года назад

      Babu mashekhe wote waliosoma Qur'an wana okoka kwa yesu we bado tuu shauri yako

  • @athumanijuma6553
    @athumanijuma6553 5 лет назад

    ujinga mtupu, wakristo sometimes kuweni na akili ya kutafakari, mbona huyu mwehu anaonekana wazi hamna kitu kichwani kwa kuongea pumba tupu, hivi kweli hamwoni?mnashabikia kisa tu anasapoti imani yenu! huo ni utaahira na muislamu hashawishiki kwa hoja zisizo na mantik za dizaini hizo