HABIB MAZINGE | OMAR YAHYA | JE IBLIS NI MUISLAMU AU MKRISTO ((DEBATE YA SOUTH AFRICA)) 3/3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 213

  • @haloshmuni8076
    @haloshmuni8076 6 лет назад +7

    😀😀😀😀 yani raha sana wallah Allah akuzidishie sheikh mazinge zidi kuwaelimisha

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 2 года назад

    Kitu sipendi ni vurugu zamakelele Apo utadhani watu wapo mpirani,Wakati wapo kujifunza habari za mungu.
    Ushauri wangu,Wakati mnakaribia kuanza muhadhara litoke tangazo lakukataza watu kupiga kelele na atakaekiuka atolewe nje mbaki na wastaarabu wanaohitaji kujifunza maneno ya mungu
    Asanteni sana.

  • @naimasafia7508
    @naimasafia7508 7 лет назад +3

    Mazinge Allah Akupe mema fii dinia wal akhera. Takbirrr makafiri pleni sna Andiko mnakosa Duuuuuhhhh

  • @mariamhizzamariamhizza4483
    @mariamhizzamariamhizza4483 6 лет назад +2

    Mazinge Allaaah akibr Allah akibr Allah akibr Allah akulinde inshallah

  • @samsamyoo3689
    @samsamyoo3689 8 лет назад +11

    Kuna mzungu kasilimu anaeleza masikitiko yake kuwa toka amezaliwa alikuwa anaabudu dini iliyotengenezwa na mtu. hii ilimuuma sana lakini sasa ana furaha ya moyo kwa sababu amepata dini ya kweli.

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman4427 6 лет назад +4

    Mazinge we ni noma Allah akufanyie wepes akupe maisha marefu

    • @stevenngunzi419
      @stevenngunzi419 6 лет назад

      Naam maisha marefu atayapata apa duniani, je na mbinguni atayapata?

  • @عبدالملكالغماوي
    @عبدالملكالغماوي 2 года назад

    MaashaaAllah! Jaman mhadhara ulikuwa vizuri ila wahadhiri pande zote mlikosa vifaa vizur vya saut na pia kuweka utaratibu wa watu wenu kelele ni nyingi ila cha msingi daawa imefika alhamdulilah

  • @mathiasngomango2570
    @mathiasngomango2570 3 года назад +1

    Luka.22.31.32

  • @missnellytv2149
    @missnellytv2149 8 лет назад +2

    MAZINGE ALLAH BARIK FIK HUYO MWENYE KITI HAFAI KWA HIO MJADALA KABISA,NA HIO DARASA LOO HALINA NIDHAMU

  • @mswadikumussa1639
    @mswadikumussa1639 7 лет назад +3

    Allah akujaalie afya ewe kipenzi cha watu na Allah akutilie wepes katka kaz zako inshallah.

  • @salimramadhan2239
    @salimramadhan2239 7 лет назад +11

    aisee mazinge wangekuwa kumi katika nchi ya tanzania uislam ungesonga mbele sana

  • @ummyhawaaweis3867
    @ummyhawaaweis3867 8 лет назад +11

    al Habib mazinge Allah akupe afya na umri mrefu uendelee kufanya kazi ya Allah

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 6 лет назад +1

    Amwaminie Yesu hahukumiwi.
    Asie mwamini amekwisha kuhukumiwa. Jesus is Love's you

  • @yusufunzira3273
    @yusufunzira3273 8 лет назад +8

    Allah Awalipe Jannah kwa Kaziyenu inshaa Allah.

  • @wesodullahdullah7836
    @wesodullahdullah7836 7 лет назад +2

    mazinge surely ur the man Allah bless u

  • @salimmsingwa5453
    @salimmsingwa5453 6 лет назад +3

    Allah Azidi kuwapa nguvu ya kuutangaza Uislam!!

  • @mesaidtsozi8797
    @mesaidtsozi8797 9 лет назад +20

    jammani. hii tamu kweli. Mazinge, God bless you.

    • @bensonbenson6980
      @bensonbenson6980 7 лет назад

      Mesaid Tsozi pumbavu

    • @Halimabintmafitah
      @Halimabintmafitah 7 лет назад +9

      Benson Benson we kwanini unatukana.vumilia tu haki ndivo ilivondugu. umeguswa idarayako au

    • @youtubeisyours6417
      @youtubeisyours6417 7 лет назад

      Islam forever

    • @alsaarh239
      @alsaarh239 6 лет назад +2

      Benson Benson wewe usitukane watu ngoje moto wakungoja

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 6 лет назад +1

    Alhamdulillah wahadhiri mnajitahid mungu awalipe gheri inshaalwa

  • @peterchuchu5395
    @peterchuchu5395 8 лет назад +25

    hivi mpaka muone nn ndipo muamin enyi wakristo? achen ushabiki dini ya mungu iko wazi ingien tusalimike na moto wa mungu

  • @seleiddi4568
    @seleiddi4568 7 лет назад

    Professor mazinge Allah is with you.

  • @yemenhussein7790
    @yemenhussein7790 5 лет назад +2

    Tatizo waislam mnapokwenda kwenye mijadala hua mna jazba sana mnakosa utulivu hebu tutulieni hao hawana jipya hao daima ushindi hua ni wetu tu waislam

  • @issaali2707
    @issaali2707 7 лет назад +6

    mikiristo mijinga hawana hata elimu wapo wapo tu poleni sana

  • @saddamhusain6588
    @saddamhusain6588 9 лет назад +5

    professor ss tumekukubali mazinge huyo mzungu alikua anapoteza tym walikua wamelemewa mungu atawaonyesha njia ya sawa ambayo ni uislam

    • @bashibapepekikonde4434
      @bashibapepekikonde4434 9 лет назад

      nyakazi za mwisho koohani inasema kazi ya Yesu ninini kama kweli unahijuwa?

  • @benardoliko3565
    @benardoliko3565 2 года назад

    Iblisi ni mwisilamu na ndie mwenye Qur'an, sura ya ngombe 2:97_98

  • @naimasafia7508
    @naimasafia7508 7 лет назад

    Ongera sna Mazinge hata kwa lunga mko sambamba Daaaahh

  • @yusuphb9984
    @yusuphb9984 6 лет назад +1

    Wakristo hamna akili ata uyo yesu siku akifa ata tamka la ilaha ila Allah Muhammad rasulu Allah

  • @ibrahimabdul5490
    @ibrahimabdul5490 8 лет назад +6

    Mnajuwa nyinyi watu wa mungu mtu kama mnavojiita wenyewe..
    Hamfahamu kuwa kira NABII aliletwa na M/mungu na ZAMA zake..
    Lakin nyinyi baada ya kufika ZAMA za Mtume Mohammad kupewa utume na M/mungu nyinyi makafiri hamkuamini maandiko wala hamkumuamin Mtume Mohammad..
    Lakin ukitafuta sababu gani wazungu hawakumkubali wala kumuamini Mtume Mohammad sabab ya kwanza tambueni Warabu na Wazungu hawaelewani kabisa kutokana na makaza au ardhi tu..
    Ndo maana wazungu hawakutaka kuongozwa na Mwarabu..
    Ndo mana wakaamua kuunda kitabu cha Biblia na kuwamuwa kumtangazia kuwa Yesu ndo mungu..
    Mana kitabu cha Biblia hakijashushwa na M/mungu bali kiliandikwa na watu tu na kunakir maneno yaliyomo ktk Taurati Dhabuli na Injili na baadhi ya maandiko wameyageuzageuza ili kuwapotosha watu..
    Lakin ndo hivyo hizo zote ni kazi za sheitwani alizomwambia M/mungu kuwa atawapotosha waja wake na kweli ndo hayo sasa tunayaona..
    Lakin wazungu utundu wao wote wameshindwa kuandika maandiko ya ushahidi ya kuonesha kuwa (2) Ukristo ni dini ya Hakhi na ya kweli mbele ya M/mungu..
    (2).Kuonesha maandiko kuwa Yesu alidai kama yeye ni mungu wa kweli na haku apasawe kuabudiwa kwa Hakhi ila yeye tu pekee..
    Utatafuta vitabu vyote unavovijuwa wewe na hutopata maandiko hayo zidi ya porojo tu..
    Allah Akbar..!

    • @abbasmjatta3102
      @abbasmjatta3102 8 лет назад

      wakristo hawamuamini Muhammad kwasababu zifuatazo. 1. muhammad ni mpagani aliekuwa akienda mapangoni kuabudu huko ndio maana huo utume wake alipatiwa pangoni tena kwa kukabwa na shetani eti mnadai ni malaika Gabriel. 2. nabii gani ambaye ameagiza watu wake kuoa mwisho wake 4 bali yy hakutii amri hiyo ya mungu kwa kuoa wake zaidi ya hao? 3. muhammad alikua mbakaji alie oa mtoto wa miaka 7 na kumuingilia akiwa na miaka 9. 4. mkewe bi zainab alikua mke wa mwanawe lkn yy alimuoa baada ya kuachwa na mwanawe? 5. muhammad alishiriki katika vita na umwagaji damu na kuwaingilia mateka wake yy pamoja na wafuasi wake.
      hivyo basi ktk kutafakari ujio wake na maisha yake hawezi kuwa nabii wa mwenyezi mungu ila washetani ndo maana hawezi kuaminika katika ukristo. Yesu ni alpha na omega yaani wa mwanzo na wa mwisho

    • @saidrashid8131
      @saidrashid8131 8 лет назад

      +Sangole Machungi na swala la kuoa ni mtume Mohammad (s.a) ndie aliye ruhusiwa kuoa wanawake 13 na kma mwanamke anataka kuolewa bila mahali ni mtume Mohammad(s.a) pekee ndie aliyeruhusiwa kuoa bila mahali na sio kwa waislam wote

    • @abbasmjatta3102
      @abbasmjatta3102 8 лет назад

      +Said Rashid. huyo alikua mtt wake wa kuadopt kwakua alimchukua mateka baada ya kupgana.
      Kuhusu idadi ya wanawake huo ni uongo ambao umeaminishwa huwezi kuwaambia watu msizini lakinj ww unazini na kuwaamisha mimj mungu ameniruhusu, huyo hawezi kuwa mungu. kama Mungu ametoa maelekezo ya wake 4 iweje amwambie Muhammad ww oa utakavyo hata kama ni ishirini! Mungu alisema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mungu alietupa ufahamu na akili anataka pia tuyatumie maarifa hayo ktk kutafakari yale tunayoyaona na kuyasikia, tusiwe kama madodoki ambayo yakiwekwa majini yananyonya kila kitu mpaka uchafu. Huu ni uongo ndo maana wakristo hatumkubali Muhammad. Sio kwakua eti ni mwarabu maana manabii wote hata yesu ni myahudi ambao wote wana asili ya arabuni maana Ibrahim alitokea mesopotamia ambako ni iraq ya kusini. kwahiyo issue sio uarabu wa muhammad ni maudhui ya dini yake hayaingii au kuoana na maudhui ya kimungu na kinabii

    • @salmamahfoozsalma2693
      @salmamahfoozsalma2693 7 лет назад

      IBRAHIM ABDUL

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 6 лет назад

      Sangole Machungi, chukua miaka 120 tu nyuma bb yako aliolewa akiwa na umr gani? Au fatilia history ya hao wazungu unaowaamini ww waliolewa umr gan? Halafu utaangalia ni karne gan ambayo Mtume salla Allahu alayhi wasallam alokua akiishi yy. Fahamtum?

  • @neemayauislamutv8547
    @neemayauislamutv8547 5 лет назад

    subhanallah

  • @Pos_tyger_jr7
    @Pos_tyger_jr7 5 лет назад +1

    Sheikh mazinge tusaidie kitu ki 1 uje zanzibar nungwi

  • @bamboali3477
    @bamboali3477 8 лет назад +7

    wakristo wana danganyiwa na dollar za wazungu ila ukweli wana ujuwa satu

  • @jovinbalongo5638
    @jovinbalongo5638 8 лет назад

    Mwenyez Mungu awaponye

  • @angelinawillium7330
    @angelinawillium7330 7 лет назад +1

    Mungu awasamehe maaana hamjui mlitendalo

  • @mustaphakhamis1597
    @mustaphakhamis1597 9 лет назад +1

    Unawaweza sana kwa.uwezo wa ALLAH

  • @smartboytz3628
    @smartboytz3628 6 лет назад +2

    MADA NZURI LAKINI SIJAFURAHISHWA NA MUADHARA WENYEWE, KELELE TUPU HII NI AIBU,,,

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 года назад

    Mazinge kiingereza kwako ni mziki usiochezeka,bora ujibu kwa kiswahili wao wamtafsirie mzungu

  • @winfridajohn4010
    @winfridajohn4010 8 лет назад +3

    Subuhanallah

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 года назад

    Kwa ndugu wacristo...kama hamna maandiko musiweke viraka..kubalini yaishe hata km hamtaki kuukubali ukweli

  • @donaldrobertmwanga7443
    @donaldrobertmwanga7443 7 лет назад +1

    mambo ya Mungu ni ya rohoni ,lakini ninyi mpo kimwili.Mungu awasamee wote mliokusanyika hapo.

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 6 лет назад

    MashaAllah

  • @salehemustaph4696
    @salehemustaph4696 6 лет назад

    mungu akuongoze

  • @mwamvuarashid290
    @mwamvuarashid290 6 месяцев назад

    Mazinge kiboko ukikosea kwenye maandiko yeye kashajua kweli kitabu kipo kichwani huyu shk ni hazina ya taifa letu hasa kwa sisi waislam

  • @nuruhussein5318
    @nuruhussein5318 7 лет назад +1

    I nalilahii wainaailahi rajiun uwisilam ni dini iliyo yahaki sio setahi nyinyi munao jiita wakrisito mwajua kama ukrito ni jina la masihi jadali huyo amelaniwa na mungu

  • @joynjeri3958
    @joynjeri3958 6 лет назад +1

    Kubishana dini si poa kabisa mungu atatuhukumu kiviake

  • @fanuelkeneth1806
    @fanuelkeneth1806 5 лет назад +1

    Mmekosa kazi za kufanya.

  • @shugakombo9683
    @shugakombo9683 5 лет назад

    👓👓👓👓👓👓

  • @salumwijengo7148
    @salumwijengo7148 6 лет назад +1

    yesu asifiwe

    • @assumanemuidine4229
      @assumanemuidine4229 3 года назад

      Unaposema yesu asifiwe inamana hanao watoto unaomba wasife😁😁😁😁

  • @answermnubitv6909
    @answermnubitv6909 6 лет назад

    Allah awaongoze

  • @masseanadir2904
    @masseanadir2904 8 лет назад +3

    yohana 6, mstari 7 hd 14. Muhammad anaonekana ndani ya Bible

  • @angelinawillium7330
    @angelinawillium7330 7 лет назад

    Mungu awalehem maaana mungu atabaki kua mungu nayesu yuaja ndipo kila ulimi utakili

  • @georgenyaumba3925
    @georgenyaumba3925 5 лет назад +1

    Waislamu hawaielewi biblia.... Biblia ni kitabu cha vielelezo na mifano na Ishara.... Huwezi soma tu kama unasoma hadithi lazima utafakari.

    • @salmaomary2100
      @salmaomary2100 5 лет назад

      Hakna kitabu Hapo kk km mpk utafakar mmechemka😁 Qur'an unaisoma kisha inakpa jibu wakat unaisoma we mpk utafakar haa Kwa Kwel ndugu zetu mjiandaeee kesho kwenda kjibu Kwa mola

  • @captenndunga9385
    @captenndunga9385 5 лет назад +1

    Mkongo man kayakanyaga kwa mazinge chezea uislamu wewe utanasa😁😁😁😁😁

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 8 лет назад +5

    Mungu anasema duniani kuna vyama viwili tu, chama cha Mungu uislam na chama cha shetani, chama cha shetani yaani dini nyingine nyingine zote na ktk aya nyingine imenukuliwa na Mungu mwenyewe shetani alipokataa kumsujudia Adam, Mungu akakasirika iblis akalaaniwa akamfukuza peponi, sasa hapo Iblisi akahdi kupoteza watu akasema atawakalia kulia, kushoto, mbele, nyuma ili wasione njia sasa hapo ukichora mfano wa maneno ya Iblisi utaona ni msalaba kwaio ukristo wenyewe ndo ushetani

  • @jamesokombe5681
    @jamesokombe5681 5 лет назад

    wasalamu hamjui Mungu

  • @princewabudo6820
    @princewabudo6820 7 лет назад +1

    waislamu tupo juu

  • @vailethkihunrwa5770
    @vailethkihunrwa5770 7 лет назад

    watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @vailethkihunrwa5770
    @vailethkihunrwa5770 7 лет назад

    tatizo dini yenu wenyewe hata hamuielewi mnabishana na ukwel ila siku zote giza na nuru havijawahi kukaa pamoja.na penye mwanga wa Yesu giza haliwezi kukaaa

  • @habibumussa3035
    @habibumussa3035 6 лет назад

    hii tamu kweli maring

  • @hassansalum8496
    @hassansalum8496 7 лет назад +1

    Africa kusin hakujatulia jmn

  • @kondohamidu809
    @kondohamidu809 6 лет назад +1

    Mazinge Na Nyundo wamefanans

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea4568 6 лет назад +1

    Waisilam hawana utulivu hata kdg washaazoe kugombe masinia ya wali mazoe yana shida

    • @mauzubeir1554
      @mauzubeir1554 6 лет назад

      Mashauzi Andrea. Pole sana Mwenyezi Mungu akuongoze katika dini ya kweli ambayo ni uislam. Wenzio wachungaji wamerudi katika dini ya kweli ambao wanajua bible kuliko wewe sasa unafikiri ukristo ni dini au nini

    • @babylidyaandrea4568
      @babylidyaandrea4568 6 лет назад

      mau zubeir sidanganyiki hao walio silim ni wapumbavu wote

    • @amimumwanya4222
      @amimumwanya4222 6 лет назад

      Baby Lidya Andrea mtaendelea kudanganywa mpaka mwisho wa dunia

    • @ramadhaninyange8592
      @ramadhaninyange8592 5 лет назад

      Pole sana mungu kakupa ngozi nzuri ww unaona haifai unajichubua mungu kakupa nywele nzur ww unaona hazifai unavaa nywele za maiti Allah akusamehe

  • @frankrapha1174
    @frankrapha1174 5 лет назад

    uislam una kasoro nyingi sanaaaa... hivi mkienda peponi Mnatarajia kuoa wake cjui wangapi mnadhani kule kuna sodoma na gomora?? halafu mazinge anaujua ukweli ila anapindisha asisome mstari asome habari nzima mpate kuijua kweli ili hiyo kweli iwaweke huru..
    watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @nattysuleimani3783
    @nattysuleimani3783 5 лет назад

    Love u Islamic lkn mzung kazingua😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman4427 6 лет назад +1

    Hujue tuna fuatilia Sana hii mihadhara so tutaomba utulivu akuna radha kiukwel daaaah kelele sanaaa

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 6 лет назад +1

    Jesus coming soon

  • @joynjeri3958
    @joynjeri3958 6 лет назад

    Waisilamu kelele mingi kuweni watulivu

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 9 лет назад

    Nani anaweza nipa mawaziliano ya hawa wapendwa wa South Africa, Hilo andiko mbona lipo tu!! Simoni, Simoni! Sikiliza! Shetani alitaka kuwapepeta ninyi kama mtu anavyopepeta ngano. 32 Lakini mimi nimekuombea ili imani yako isipungue. Nawe utakaponirudia, watie moyo ndugu zako." 33 Naye Petro akamjibu, "Bwana, mimi niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani, na hata kufa." 34 Yesu akamjibu, "Nakwambia wewe Petro, kabla jogoo hajawika leo utakuwa umenikana mara tatu."

  • @emilyonsongo47
    @emilyonsongo47 6 лет назад +1

    mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 3 года назад

    Sisi wanawake ,midomo kelele za watoto ,bure kabisa

  • @magrethfelician3340
    @magrethfelician3340 9 лет назад +3

    Waislam mnapotea kwa kutokuwa na maarifa, Yesu anakuja na kila goti litapigwa mbele zake na ndimi zitakili kweli huyu ndiye Bwana wa Mabwana na Mfalme wa Wafalme.

    • @abubakarimwasumilwe7293
      @abubakarimwasumilwe7293 7 лет назад +2

      we ndo umepotea.... hujui Yesu alikua Muislam.... we hyo dini umeipata wp?

    • @zakariakhamis5927
      @zakariakhamis5927 6 лет назад +1

      tuache yesu no binadamu kama wewe na Mimi wala cyo mung

    • @rskiabdala4868
      @rskiabdala4868 6 лет назад +1

      Yani binadam mwnzngu nd nimfanye awe mungu hz kweli akili za binadam?

    • @mahfudhially4794
      @mahfudhially4794 6 лет назад +1

      magoti tumepiga shule

  • @shukurumwalukopetro6757
    @shukurumwalukopetro6757 6 лет назад

    ninyi waislamu hamjielew kabisa kwa sababu Mohamad mwenyewe alikuwa hajui kusoma wa kuandika sasa naongozwaje na mtu mjinga! bakini nae wenyew

    • @ramadhaninyange8592
      @ramadhaninyange8592 5 лет назад

      Yesu alifundishwa na nani kusoma

    • @khamisally5788
      @khamisally5788 5 лет назад

      Shukuru Mwaluko Petro bora asie jua kusoma na kuandika kuliko mungu aliyekufa dunia akaicha na watu tukaendelea kula bata wakaty mungu wako kashakufa leo unamuabud sio kuvurugwa huko

    • @husseindiaby5097
      @husseindiaby5097 Год назад

      Wewe ndio mjinga

  • @abelyshayp6611
    @abelyshayp6611 6 лет назад

    mazinge tatizo lake moja tu yy yuko kwaajili ya kubishana ila sio kuwafundisha watu dini nakuwashawish

  • @aboumunira9546
    @aboumunira9546 6 лет назад

    bblia ina,maana gani

  • @vailethkihunrwa5770
    @vailethkihunrwa5770 7 лет назад

    na pia Yesu sio nabiiii na wala msimfananishe na muhamad hata siku moja Yesu ni Mungu

    • @saidaally1420
      @saidaally1420 7 лет назад

      umepotea yesu mungu duhhhhhh

    • @muriphehamza547
      @muriphehamza547 6 лет назад

      Inna lillah,, Mungu yuafa, yuazaliwa,, uu n uongo dhahiri,, yesu haezi kua Mungu bali n mja

    • @mauzubeir1554
      @mauzubeir1554 6 лет назад

      Vaileth Kihunrwa ngoja wakati unapotoka roho ndiyo utajua Yesu ni Mungu.

    • @salahesalumpendo294
      @salahesalumpendo294 6 лет назад

      Wewe kamautabaki naimaniyakohyo yakuamini kuayesunimungu naukafa katika imaniyakohyo lazima ukaungue

    • @salahesalumpendo294
      @salahesalumpendo294 6 лет назад

      Yanimoto unakuhusu

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 5 лет назад

    Z😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹MAZINGE BWANA KAWAPATA HAPA DUUUUUUUUUUUUUUUUU WANGO KWELI WAKRISTO DUUUUUUUU SHETANI ANAKUTAFUTA TAFUTA WAPENI NAFASI WATAFUTE WAJINGACWAKUBWA NA ZUNGULAO

  • @vailethkihunrwa5770
    @vailethkihunrwa5770 7 лет назад

    ila waislam buana eti Luka hakuwa mwanafunzi wa Yesu hoja nyepesiii hadi nawasaidia kuwaona aibu khaaa Yesu awasamehe tuu

  • @vailethkihunrwa5770
    @vailethkihunrwa5770 7 лет назад +1

    hahahaaaa eti Yesu hakuwa mkristo kweli Yesu sio mkristo bali ni Kristo na sisi tunaomwamini ndio maana ndo wakristo hivyo tuuuu

  • @financialloan9818
    @financialloan9818 5 лет назад

    Na uyo mazinge anawapata aho wasio jua bible mbona ananyooshwa kila siku na wachungaj wanao jua bible Mohammed ni firauni

    • @ruhaymahothman7598
      @ruhaymahothman7598 5 лет назад

      Mamayoo firaun wakristo wotee na yesu sio mkristo

    • @financialloan9818
      @financialloan9818 5 лет назад

      @@ruhaymahothman7598 toa ilo andiko la yesu sio kristo😂😂😂😂😂😂😂mmelaaniwa nyinyi waabudu uchi Uko Mecca na kubusu jiwe

    • @husseindiaby5097
      @husseindiaby5097 Год назад

      Mbwa ww

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 6 лет назад

    hapo mwalimu chaka ndio kiboko ya wasomi wa madrasa....

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh6906 5 лет назад

    Huyu Mazinge ni mkosaji wa adabu hana utaratibu bado ana akili za kitoto mambo ya kimjini mjini.kawa mwenye kiti pia ndie mwalimu,yawezekana kichwani hayuko sawa anaitaji maombezi.YESU AKUOKOWE.

  • @gracesangaboloko5414
    @gracesangaboloko5414 7 лет назад

    Mtaishia kuyatumia majini namapepo tubuni kwamaana nyakati mbaya zimekaribia huyo Allah yatawatokea puani

  • @princessyvetteevedollyisma2586
    @princessyvetteevedollyisma2586 7 лет назад +1

    ila waisilamu amuna utulivu

  • @jaquevan9464
    @jaquevan9464 7 лет назад

    ibirisi hana dini

  • @katerinadada6481
    @katerinadada6481 7 лет назад

    Hanadi Alabed kwani ww humuoni mazinge kuwa nimpumbavu basi na ww pia pumbu la baba yako pumbavu nyau ww ngedele mmoja ww

    • @salumkhamis7818
      @salumkhamis7818 5 лет назад

      Katerina Dada unamtukana lakini utamkuta ni mmoja wa watu wema INSHAALLAH

  • @peninaelliya7429
    @peninaelliya7429 7 лет назад

    c

  • @christinekalume1878
    @christinekalume1878 8 лет назад

    neno la yesu ndo la kweli mkimfata yesu mtapata ufalme wa mbinguni

  • @qpwisdomchengula8947
    @qpwisdomchengula8947 6 лет назад +1

    Upumbavu

  • @brytonwashirah4423
    @brytonwashirah4423 6 лет назад

    Wakiristo waongo

    • @hoziaissai3768
      @hoziaissai3768 3 года назад

      mazinge utapata tabu xana .sana yesu alimkataa shetan lkn chakushangaza nyingine dn nyingine nimalafik nahayo madudu unamkuta mtu anatoka kusal matungur madudu kibao ndo mungu anavyotaka omben kimwili ngoja sie tuombe kiroh Kama manabii walopt

  • @katerinadada6481
    @katerinadada6481 7 лет назад

    mbona waisilamu mnamakelele sana hatahatusikii vizuli pumbavu zenu

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад

      Katerina Dada pumbavu mwenyewe shenzi kaso robo ww

    • @ummulkhayr9645
      @ummulkhayr9645 7 лет назад

      Katerina Dada Diniyako ndoinakufundishasheni matusi ivo kweli. Ukiona umeguswa kaa kimya vumilia tu haki ndivoilivo ndugu. Haki huwa inachomachoma. Usitutukanie nduguzetu, tafadhali.

    • @muriphehamza547
      @muriphehamza547 6 лет назад

      Pumbavu mwenyee,, kafiri mkubwa ww

  • @vailethkihunrwa5770
    @vailethkihunrwa5770 7 лет назад +2

    biblia huwa ni kitabu kitakatifu na kama huna msaada wa roho mtakatifu huwezi elewa

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea4568 6 лет назад

    Waisilam wapinzani sana ndiyo maana siku ya kufa wanageuzwa Mambwa

    • @chamypash5731
      @chamypash5731 Год назад

      Lete andiko palipoandikwa waislamu watageuzwa mbwa….. usiongee usivyovijua

  • @info-w4l
    @info-w4l 8 лет назад +2

    mapungufu ya uislamu yanaonekana wazi na watu wapaswa kujua ukristo ni imara na wala hautoshidwa kwa midahalo Kama hii tafuteni kazi za kufanya

    • @vailethkihunrwa5770
      @vailethkihunrwa5770 7 лет назад

      kassimu kihanga ni ukwel mtu wako kwenye company ya kupeperusha bendera ya shetan waache wapambane na hali zao

    • @rskiabdala4868
      @rskiabdala4868 6 лет назад +1

      Imara wkt watu wanatok tu ktk ukristo wanaingia ktk uislamu imara uo uko wp?

    • @mauzubeir1554
      @mauzubeir1554 6 лет назад

      kassimu kihanga. Pole sana Mwenyezi Mungu akuongoze katika dini ya kweli ambayo ni uislam.

  • @allanmbindyo7055
    @allanmbindyo7055 6 лет назад

    IBLIS ni mzungu

  • @itongwamtebwa9149
    @itongwamtebwa9149 6 лет назад

    Umeshakuwa watuwazima nyie acheni ubishi watoto.

    • @mgeniali1768
      @mgeniali1768 5 лет назад

      Nyoooh ubishi wa kura sio dini shetani nyinyi

  • @husseinhamisiabdullah1599
    @husseinhamisiabdullah1599 7 лет назад

    tatzo hapa ni lugha.

  • @vailethkihunrwa5770
    @vailethkihunrwa5770 7 лет назад

    niwajibu tu Yesu sio chakula kutoka kwa allah ni kutoka kwa Mungu wa mbinguni nyie huyo allah ni Mungu wenu nyie

    • @ramadhaninyange8592
      @ramadhaninyange8592 5 лет назад

      Duuu unateseka sana vai

    • @mgeniali1768
      @mgeniali1768 5 лет назад

      Masikin sana tena kipofu kondo nyinyi nyote maubwa ndio maana hawajielewi wakristo ata jina la Allah watowa kashifu kkkkkkh

  • @Janet_xd-rj5ec
    @Janet_xd-rj5ec 7 лет назад

    the devil has no religious but Muslim believe in majini so only God know n stop liying to people

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 6 лет назад

      Hao makafiri hawana hoja wanafadhiliwa na wazungu tu

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 6 лет назад

      Wewe mchungaji uko na maneno mingi huna kitu

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 6 лет назад

      Mazinge kiboko wamakafiri mungu akuzidishie uwailimishe hao wakristo

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 6 лет назад

      Hao makafiri kazi yao wanapelekwa na wazungu makafiri wenzao

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 5 лет назад

      Waliolala katika kristo nao wamepotea hamuoni andiko hilo

  • @katerinadada6481
    @katerinadada6481 7 лет назад

    mazinge mbishi kama pumbu lake

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад

      Katerina Dada sio km la bbko na aibu huna

    • @abuubadru2403
      @abuubadru2403 7 лет назад

      Katerina Dada imekuwa Kama ya anayekukaa juu

    • @aminariziki1677
      @aminariziki1677 7 лет назад

      Katerina Dada sister umepanic nn

    • @rskiabdala4868
      @rskiabdala4868 6 лет назад

      Ukweli unauma lazma uumie tu

    • @mauzubeir1554
      @mauzubeir1554 6 лет назад

      Katerina Dada. Pole muumini huwezi kuwa unatuma. Je Yesu amekufundisha ufanye hivyo.

  • @emilyonsongo47
    @emilyonsongo47 6 лет назад +1

    mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂

  • @emilyonsongo47
    @emilyonsongo47 6 лет назад

    mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂

  • @emilyonsongo47
    @emilyonsongo47 6 лет назад

    mazinge muongo kweli!!! akishindwa Vida vingi sana hahahaaaa 😂😂😂😂