Mdahalo: Yesu ni Mungu? part 07 of 07

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Mombasa, Kenya, 2011

Комментарии • 18

  • @victorkakalicommedian1602
    @victorkakalicommedian1602 2 года назад

    Mashala

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 7 лет назад +2

    wanaotaka kuslim njia nyeupeeee

  • @bintchibwanabintchibwana4827
    @bintchibwanabintchibwana4827 4 года назад

    Yesu ni mungu nasiku yamwisho yeye ndio atarudi kuhukumu dunia

    • @muslihmohd9420
      @muslihmohd9420 4 года назад

      Tunaomba aya usimsingizie yesu uungu wakat yeye anasem ni mtu

  • @chenzhenlee7633
    @chenzhenlee7633 5 лет назад +1

    Wa Islamu vichwa vigumu Hao watu mnawapoteza hakiri zao mumezichukuwa nakuzifungia kwenye chupa

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 4 года назад

    Mchukua movi.alikua zamu yakwanza kujifunza

  • @evalineakuku590
    @evalineakuku590 5 лет назад +1

    Yesu ni mungu na atabaki kuwa mungu kila goti litapiga nakila ulimi utakiri kwamba yesu ni bwana

    • @muslihmohd9420
      @muslihmohd9420 4 года назад

      Kuwa bwana hata mm pia ni bwana kwa mke wang tataizo aya hamuna unayothibitisha kuwa yesu anasema yeye ni mungu na kama unayo nipe nibatizwe

  • @rskiabdala4868
    @rskiabdala4868 6 лет назад +1

    Ili umpate muislam lazima uwe na hoja zilizo madhubuti sio pumba km hz

  • @chenzhenlee7633
    @chenzhenlee7633 5 лет назад

    MUHAMMAD 46:9 Qur'an Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.

  • @aminrendis7249
    @aminrendis7249 3 года назад

    KATI YA WAISLAM NA WAKRISTO NANI WANAOMBEWA KILA SIKU KUTOLEWA MJINI KAMA YINYI WAKRISTO AYO YENU MNAKATAA NINI

  • @chenzhenlee7633
    @chenzhenlee7633 5 лет назад +1

    😂 😂 😂 😂 Nashangaa huyo anasema Wakristo ni makafiri? Heti wataingia motoni 😂 😂 😂 😂 wa Islam makafiri 3:11 Qur'an
    46:34 Qur'an makafiri jahannam 50:30 Qur'an Sasa usome Sahih Bukhari ukurasa 1071 Mpaka Allah atakapo ingiza unyayo wake Humo jahannam itasema inatosha hahaha njoni kwa YESU tatizo Hao wa Islam wanasomewa Qur'an Na kusikiliza kama lile kundi la majini limeletwa kwa Muhammad 46:29 Qur'an :Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema: Sikilizeni! Na ilipo kwisha somwa, walirudi kwa kaumu yao kwenda kuwaonya

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 5 лет назад

    wanafunzi walikuwa wanataka kujua jinsi ya kusali ndio yesu akawaambia mnapo taka kusali mnatakiwa kusema hivi Baba yetu inaenderea kwahiyo yeye alikuwa anawaelekeza au kuwafundisha lakini hata Kama yeyepia halikuwa anaombahivyo nisawa sawa kwa sababu yeye haliuacha hutukufu na kuwa mfano wa mwanadamu
    Labda nitoe mfano mpererezi anapo kwenda kuchunguza jambo sehemu hata Kama halikuwa havuti Unga atavuta hili musimuogope.

    • @chenzhenlee7633
      @chenzhenlee7633 5 лет назад

      Wa Islamu vichwa ngumu kuelewa sio Leo kama hauna Roho mtakatifu hutasikia na hutajua Neno la mungu sio Qur'an inasikilizwa na majini