Nazidi kumshukuru mungu kwaku wateuwa vijana kama ndungu Abel suleiman kusimama kwa jina la mungu kupitia yesu kristo ilie mwokozi wa maisha yetu ushuhuda wa kujenga kwa njia ya kweli, kila goti litapingwa na kila ulimi utakiri yesu ni bwana mungu awa bariki nyote mulio husika sauti hii kusikika ulimwenguni jila bwana lipewe sifa amen
salm salama do not judge so that u cn not be judged too its only God who is in heaven anajui kama utaenda motoni ama paradiso✋✋bro abel mungu akwenue sana na usidi kumutumikia in mighty name of Jesus🙌🙌🙌
Mungu akujaze nguvu kaka akupe mwisho mwema
Abel mungu akuzidishie neema nyingi na nguvu zakuweza kumtumikia zaidi na uwendele kumshikilia huyu yesu usimuwache
Mtumishi, nimebarikiwa sana na ushuhda huu. Nimeanzia part number moja bila ya kupumzika mpaka hii ya tano. Hakika Yesu ni Mungu.
Nazidi kumshukuru mungu kwaku wateuwa vijana kama ndungu Abel suleiman kusimama kwa jina la mungu kupitia yesu kristo ilie mwokozi wa maisha yetu ushuhuda wa kujenga kwa njia ya kweli, kila goti litapingwa na kila ulimi utakiri yesu ni bwana mungu awa bariki nyote mulio husika sauti hii kusikika ulimwenguni jila bwana lipewe sifa amen
salm salama do not judge so that u cn not be judged too its only God who is in heaven anajui kama utaenda motoni ama paradiso✋✋bro abel mungu akwenue sana na usidi kumutumikia in mighty name of Jesus🙌🙌🙌
God bless you kaka. But ningekushauri usemeBwana YESU ASIFIWE
ww ni shetani tubu Abel suleimani
Wewe kaombewe
ww ni wakwanza kuingia motoni
Sura ka kiatu kafiri mkubwa
pîga pisa za wajinga hao