HATARI KUBWA KWA WAKRISTO NA Baraka Tossy

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 285

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 2 месяца назад +6

    Asante kwa ufunuo wenyenguvu hata mimi ninasadiki unachokiongea. Tujiandae tufue mavazi yetu

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zj 3 месяца назад +18

    Mi nimemuelewa sana Trump l, watu wanachati sana, imani inapotea yeye kaliona hilo kama mnabisha kwa kauli yake, shetani atapambana nae lkn hata shina.
    Pamoja na mabaya yake Trump lkn anapinga ushoga na usagaji na kutoa mimba, Mungu amsaidie

    • @salvatorymushi2038
      @salvatorymushi2038 2 месяца назад

      Endelea kutafakari kwa kina

    • @AndreaChilasa
      @AndreaChilasa 2 месяца назад

      Huelewi ndugu Yangu pole sana, kama umemsikiliza vizuri ndani ya biblia itawekwa katiba, nenda kasome UNABII wa Daniel na ufunuo utaelewa mpendwa.

    • @rafoursamiol5244
      @rafoursamiol5244 2 месяца назад

      Huijui siasa vzr ngoja aingie madarakani utamkataa

    • @AwaziRajab
      @AwaziRajab 2 месяца назад

      Uyu Safari Hi Wasipokua Makini Nae Tujiandae Kwa Vita Ya Dunia Mana Uyu Atakuja Kwa Ubabe Safari Hi

    • @rafoursamiol5244
      @rafoursamiol5244 2 месяца назад

      @@AwaziRajab yeye ndio anaenda kumuinua masihi dajal wakristo tunamuita mpinga kristo

  • @PaulSanga-m3p
    @PaulSanga-m3p 2 месяца назад +13

    Wapendwa,turudi katika historian,marekani ni taifa lililoanzishwa na mamisionari toka ulaya huwezi kutenganisha ukristo na serikali ya marekani ,mtoa hoja naona no siasa Wala siyo theolojia marekani ndiyo inchi inayotimiza agizo kuu kuliko inchi yoyote duniani

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  2 месяца назад

      ilikuwa kipindi hicho cha zamani... na serikari na dini havikuwa vimeungana... lakini sasa kuuunganisha dini na serikari ni kinyume cha katiba yao

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 2 месяца назад

      Uko sawa ndugu ,Mungu akubariki Sana Mti mzuri hupigwa mawe Daima

    • @Franklajifaunuel
      @Franklajifaunuel Месяц назад

      𝑨𝒄𝒉𝒂 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒐𝒆𝒍𝒆𝒘𝒂 𝒋𝒂𝒎𝒃𝒐 𝒉𝒊𝒍𝒐 𝒘𝒂𝒍𝒊𝒌𝒂𝒕𝒂𝒆, 𝒌𝒘𝒂 7𝒃𝒖 𝒖𝒂𝒏𝒛𝒊𝒍𝒊𝒔𝒉𝒊 𝒘𝒂 𝒅𝒊𝒏𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒐 𝒗𝒊𝒈𝒆𝒛𝒐 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒌𝒖𝒊𝒇𝒖𝒂𝒕𝒂 𝒏𝒋𝒊𝒂 𝒊𝒆𝒏𝒏𝒅𝒂𝒚𝒐 𝒖𝒛𝒊𝒎𝒂𝒏𝒊
      𝒌𝒘𝒂𝒏𝒊 𝒖𝒘𝒊𝒏𝒈𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝒎𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒔𝒊𝒐 𝒊𝒅𝒂𝒅𝒊 𝒃𝒂𝒍𝒊 𝒏𝒊 𝒖𝒌𝒂𝒎𝒊𝒍𝒊𝒇𝒖 𝒘𝒂 𝒋𝒂𝒎𝒃𝒐 𝒘𝒆𝒏𝒈𝒊 𝒘𝒂𝒍𝒊𝒂𝒏𝒛𝒂 𝒏𝒂 𝒎𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒎𝒘𝒊𝒔𝒉𝒐 𝒘𝒂 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒊𝒏𝒈𝒊𝒂 𝒌𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝒃𝒊𝒂𝒔𝒉𝒂𝒍𝒂 𝒛𝒂𝒊𝒅𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒍𝒊𝒑𝒐𝒕𝒐𝒔𝒉𝒂 𝒌𝒂𝒏𝒊𝒔𝒂❤❤ 𝒎𝒘𝒆𝒏𝒚𝒆 𝒔𝒊𝒌𝒊𝒐 𝒏𝒂,𝒂𝒔𝒌𝒊𝒆

  • @HellenKakayi-p7r
    @HellenKakayi-p7r 2 месяца назад +3

    I knew this man is Godly.i felt so bad when he didn't go through as president.. but God knew and knows better.. I deeply felt bad in my heart. Let God's will be done. Amen

    • @ntakilutandato
      @ntakilutandato Месяц назад

      Mimi nadhani trump siyo serikali kwa sasa...naona anajisemea tu ila ijulikane pia sheria zote unazoona Duniani zimenyambuliwa kutoka kwenye sheria za Mungu na mbaya zaidi watu hukana hadhi ya Biblia wakati wa maamuzi kana kwamba nikitu kisichokuwepo. Kwa kutumia Biblia halisi heshima ya Biblia na ukristo unaotukanwa kila mara na dini 80% hazina ukweli wa Biblia wala koroani zao basi heshima itarudi iwe kwa mapenzi iwe kwa chuki. Tunastahili kukinywea kikombe maana tumepotoka muda mrefu... Inatosha Mungu akubariki sana Trump Mungu ibariki Amerika mtukufu wa Mwenyezi Mungu...Amen.

  • @AlbertGeorge-jn8cw
    @AlbertGeorge-jn8cw Месяц назад +2

    Jamani mpendwa, kuna nchi nyingine huwezi kumtaja Kristo. Zab 20:7. Naomba ushughulike na mambo mengine lakini achana na Donald Trump.

  • @joachimndelembi2798
    @joachimndelembi2798 2 месяца назад +4

    Big up to Trump. What does it matter? The important thing is in every way, whether from false motive or true, Christ is preached. And because of this why can't we rejoice.
    Kikubwa kinacho onekana hapo ni tangazo la uhuru wa kuabudu. Wanaoona kuwa bado Mungu anatafutwa wakamtafute hadi wampate, wanaoona si wakati wa kutafuta Mungu bali Mungu amekwisha wapata yuko pamoja nao, nao waendelee kumsaidia Mungu kuwapata wengine. Kuwa m-Beroya pokea neno litafakari penye yes say yes penye no say no from yourselves. Yule mtumishi yale ni maoni yake yakatae au uyakubali. Thanks

    • @ntakilutandato
      @ntakilutandato Месяц назад

      Mimi nadhani trump siyo serikali kwa sasa...naona anajisemea tu ila ijulikane pia sheria zote unazoona Duniani zimenyambuliwa kutoka kwenye sheria za Mungu na mbaya zaidi watu hukana hadhi ya Biblia wakati wa maamuzi kana kwamba nikitu kisichokuwepo. Kwa kutumia Biblia halisi heshima ya Biblia na ukristo unaotukanwa kila mara na dini 80% hazina ukweli wa Biblia wala koroani zao. Tunastahili kukinywea kikombe maana tumepotoka muda mrefu... Inatosha Mungu akubariki sana Trump Mungu ibariki amerika mtukufu wa Mwenyezi Mungu...Amen.

  • @JohnKabuka-o7h
    @JohnKabuka-o7h 2 месяца назад +10

    LAZIMA UNA BII WA SIKU ZA MWISHO UTIMIE WATEULE WA BWANA TUJITAKASE YESU ANARUDI

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 3 месяца назад +11

    Trampu ndio mpinga ushoga kama na usagaji japo ana mabaya yake lakini ana hofu ya Mungu pia laki mwandishi dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu lakini Ufalme wa mbinguni ni mpango wa Mungu kumtamfuta mwanadamu

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 14 дней назад +1

    Yupo Mungu mkuu mtetezi wa Watu wake. Amen.

  • @stephenruth050
    @stephenruth050 Месяц назад +1

    Nakuelewa sana mtu wa Mungu. Huu ni mkakati wa kuunda dini moja na serekali moja

  • @Tumai_moja
    @Tumai_moja 3 месяца назад +3

    Ubarikiwe kwa ujumbe mzuri wa kutukumbusha ujio wa Yesu.

  • @EGSiyaga1
    @EGSiyaga1 3 месяца назад +6

    Yaani hapo HATARI Iko wapi ni kwamba serikali ya US imeungana na dini kweli mtu wa Mungu?? Mbona kama unatoa taarifa isiyo sahihi. Kingine wengi humchukia Trump sababu ya ujasiri wa kusema mambo mengi hadhatani. But all In ubarikiwe kwa insights nzuri

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад +1

      sijasema kwamba Vimesha ungana tayari, bali ni njia kuelekea kuungana kwa sababu unabii wa Biblia unaeleza wazi, na yeye kusema kwamba ni lazima tuuurudishe Ukristo Marekani ni ishara zaidi ya hatari "Dini hailazimishwi".

    • @JohnSwain-s1r
      @JohnSwain-s1r 2 месяца назад

      ​@@tossymediachannelMBONa nchi za kiislam zanaongozwa na Sheria ya dini Sheria NYINGI za nchi zimekopiwa katk vitabu vya dini kwani Sheria za nchi SI zimewekwa na watu na zinaweza kubadilshwa na watu kitabu Cha dini hakiwezi kibadilka kama Sheria za nchi kinafaa Sana kuongoza serikali na hapa ALICHO zungumza ni watu kumrudia MUNGU NA SII KUKAA NJE NA MUNGU HUKU UPANDE WA PILI UKICHUKUA HATAMU.

    • @LedianaMaganda
      @LedianaMaganda 2 месяца назад

      J​@@tossymediachannel

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 месяца назад +1

      Asante umeona hilo
      Yaani Wanachambua uongo mtupu

  • @lornaanupi8112
    @lornaanupi8112 Месяц назад +1

    Lets make America great again.

  • @johnmuturigithinji3581
    @johnmuturigithinji3581 3 месяца назад +3

    Ukweli bro barikiwa warning of last day revelation 14:6-12 Amen

  • @OmariShuli
    @OmariShuli 2 месяца назад +2

    Dhana nzima ya kuchanganya dini na siasa inakuja pale ambapo viongozi wa serikali si wanadini, si watekelezaji wa maamrisho na makatazo ya Mwenye ezi Mungu. Hawa dini kwao wao ni kikwazo cha kuyatekeleza matamanio ya nafsi zao. Dini ni Sheria; maamrisho na makatazo kutoka kwa muumba kwa ajili ya kusimamia MASLAHI YA MAISHA YA WATU. kama mtu anaweka utaratibu ktk vitu vyake, ikiwa ni nyumbani kwake kazini kwake shambani au popote pale, vipi Mwenye ezi Mungu auumbe ulimwengu, watu waishi ndani yake kisha auache pasi ya kuweka utaratibu wa Kuishi? HAIWEZEKANI. Qur 75:36. "...Hivi Mwanaadamu anadhani ataachwa bure?(yaani bila kuwekewa sharia?) Serekali ilitakiwa kusimamia utekelezwaji wa Sharia za Mwenye ezi Mungu.

  • @bravebrain642
    @bravebrain642 3 месяца назад +3

    Serikali zote ni za Mungu, ni vizuri tuwe dhahiri kuwa taifa ni la Kristo Mungu.
    Wakati

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  2 месяца назад

      serikari kuwa ya Mungu sio kwamba kila kinachofanyika ni cha Mungu

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Месяц назад +1

    Nimesikiza mpaka mwisho sijaona hatari jamani

  • @ImaniMatumaini
    @ImaniMatumaini 3 месяца назад +6

    Je umepata hiyo bible ukasoma ??? Aisee ACHA kutoa vitu kichwani

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад

      unawezaje kuweka katiba kwenye Biblia?🚫🚫

    • @evodiusbahegwa6557
      @evodiusbahegwa6557 3 месяца назад

      Anakurupuka kuongea

    • @nelssua8486
      @nelssua8486 2 месяца назад

      ​@@evodiusbahegwa6557ameuliza hivi, hiyo biblia umeisoma? ungemjibu swali lake kisha ukatoa maoni yako ingependeza ndugu

  • @JudithNgula
    @JudithNgula 2 месяца назад +6

    Unabii unatimia Ole wake anaetumika kutimiza unabii

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 3 месяца назад +6

    Mpendwa unachokisema niukweli Adui wa imani anakuja kama malaika wa nuru ,Kwa waminio ninamana waliozaliwa mara ya pili sasa huu ndiyo wakati wakutengwa na Dunia nzima
    Ukiwa rohoni utajua nini kinafanyika napata afaraja ,ukombozi umekalibia wa kanisa kuondoka na Mzee wa siku,

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 3 месяца назад +2

    Ni ujumbe mzuri sana! Barikiwa

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 3 месяца назад +4

    Barikiwa kaka nimeelewa sana

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад

      Amina Barikiwa zaidi

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 месяца назад

      ni muongo huyo Trump ni Mkristo wa Kweli hamtaki Viongozi waliookoka ninyi??

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 3 месяца назад +8

    Bora ya Trump kuliko mashoga hayo. Namuombea Kwa mwenyezi aweze kupita na aje awanyooshe hawa waliopinda na ushoga

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад

      hatusemi Trump au Biden ni bora kuliko mwingine lakini hawa wote wanatuongoza kuelekea Muungano wa Dini na Serikari

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 месяца назад +1

      ​@@tossymediachannelsi kweli

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 месяца назад +1

      ​@@tossymediachannelTrump hashabikii huo muungano kamwe usimquote tofauti

    • @kananisarafe8582
      @kananisarafe8582 2 месяца назад

      Ukweli unasema

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 2 месяца назад

      Trump lazima awe raisi marekani ili atimize mpango kazi wa madhehebu ya kikristo kuwa na nguvu ya serikali,na Hilo litaanza kwa kuipitisha hyo biblia mpya ya marekani,na baadae marekani yenyewe itajitangazia kuuheshimu umoja wa kidini na serikali walioutengeneza,na ktk kilienzi Hilo, marekani itajitangazia siku ya ibada kwa USA yote ambayo itakuwa ni jumapili,na hvyo ktk siku hyo watu wote watapaswa kupumzika na shughuli zote za uchumi zitafungwa siku hyo ya ibada (jumapili), baadae huo mfumo utachukuliwa na mataifa mengne na mwishowe utakua ndo mfumo wa dunia nzima,na hapo ndipo zitakapotungwa sheria za kuwashughulikia wasio tii mamlaka ya mfumo huo.kwahyo Sasa kumeanza kuchangamka dunian, maana Yesu kamwe hawezi kuja mpaka wazimu huo utokee,na ndio tukio mahususi tunalolisubiria litukie na YESU KRISTO aje.

  • @NeemaElisante-zd2dt
    @NeemaElisante-zd2dt 2 месяца назад +1

    WEWE Trump ni rais mzuri sana he puts Gods first ambacho naona hakieleweka hapo ni kua amesema anairudisha bibilia hivyo watu watakua wakimuabudu Mungu yaan kuweka Mungu kwanza na pia constitution ambayo itamtambua Mungu yaan ukristo utakua mbele he is good kwa kweli

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 3 месяца назад +2

    Ulianza vizuri ukamaliza vibaya, pale uliposema tutayarishe mahali pakujificha na tutayarushe vyakula vyetu vya asili. Zakuambiliwa changanya nazakwako. Asante kwa ujumbe.

  • @eliacmaginya3429
    @eliacmaginya3429 2 месяца назад +2

    Wachache tumekuelwa

  • @stephenmmbago4975
    @stephenmmbago4975 2 месяца назад +1

    Donald Trump is a man of God
    Hujasoma vocabulary vya Trump ,always huwa ana dedicate watu Kuykendall Mungu .
    Mafanikio ya Trump ni maganiko ta watu kumpemda Mungu,Kama kiongoz anampenda Mungu ,Taifa litapona
    KJV Bible

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 месяца назад +2

    Bora teump mara mia kuliko hao wanaosimmia na kueneza ushoga

  • @ROMMEDIACRAFT
    @ROMMEDIACRAFT 3 месяца назад +1

    Mbona hukumalizia stori ya meshark, Shadrack na Abednego nini kilitokea baada ya kutupwa kwenye tanuru je walikufa kwa moto au ilikuwaje na je mfalme alifanya nini na je nani alishinda mfalme au wao?

  • @francisluanda8672
    @francisluanda8672 2 месяца назад +2

    Mamlaka inatoka kwa Mungu, na Mungu ni umoja si utenganio lakini true prophet anatabiri jambo na linatokea yeye akiwa hai kwa nadra sana anakuwa hayupo, yule mnyama ni uwakilishi wa shetani aliyejeruiwa kwa mara ya kwanz na Mwenyezi Mungu kwa kuwa alishuka na theluthi moja ya malaika wa mbinguni ndio hao wanaoendelea kumtesa mwanadamu wakijaribu kutaka kupata nguvu za awali ambazo hawana,
    SASA
    Tujifunze jambo moja muhimu nalo ni kumuheshimu Mungu na kutii amri zake kwa sababu kwa Mungu mbinguni haendi au hakuna msabato, hakuna mmarekani, hakuna mkatoliki, hakuna Donald Trump hakuna muisalam kwa Mungu kuna watakatifu walioweka uhusiano sahihi naye wakiwa hapa duniani we should not consider or treat GOD in our human sentiments

  • @OswardalexandarbapafukeB-ty9oe
    @OswardalexandarbapafukeB-ty9oe 3 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @R.mkushi-vo2hn
    @R.mkushi-vo2hn 2 месяца назад +2

    Yupo sahihi 👀💯

  • @R.mkushi-vo2hn
    @R.mkushi-vo2hn 2 месяца назад +2

    WAZUNGU wanataka kutupeleka kwenye mpango wao wa DINI Moja DUNIANI
    Ambayo.

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  2 месяца назад

      yeah ni kweli kabisa japo sio wazungu ni utawala

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 2 месяца назад

      Hakuna Cha wazungu kutupeleka popote ,maisha ya duniani na mambo yanayotokea yote yapo kwenye maandiko sioni tatizo ni Nini ,kwani Daima mwenye kitu Ndie anae pewa kingine mpango wowote wa kupeleka jambo baya au zuri ,au kutimiza Unabii Kazina atafutwe mwenye nguvu na uwezo wa kufikisha kusudi panapo lipasa ,watu hawajui kua Dini ndio zinaongoza kupeleka watu motoni kuliko secta yoyote Ile ,au hamjui kua Kila mtenda dhambi na mfanya maovu anayo dini yake ? ,ufalme wa Mungu ndani ya mtu hajui kwasababu ya aina ya dini ulionayo,kwanza dini hazitambuliki mbinguni kwani Kila dini inawaanzilishi wake ama walidanganywa kwa hekima ya shetani au kwa ufahamu wao dhaifu bila Mungu kuhusika na Leo watu wanaabudu na hawajui kwani ni Imani wanazo rithi kwa wazazi na familia ,na ukichunguza Imani ya kweli haiko hivyo , YESU Ndie Njia ,Kweli ,na uzima na huwezi Kufika mbinguni bila YESU KRISTO,na mjue tuu kua kanuni ya Imani ya kweli sii dini yoyote Ile Bali ni Neno la Mungu lililotujilia kwa majira na nyakati Yaani YESU,na endapo dini Yako kiongozi au mwanzilishi kama Alisha kufa basi hiyo sii dini ya kweli kwani hata kama alikosea na wewe unajikuta unaendelea kuamini makosa ,yeyote anae mcha YESU kwa ukweli huyo Yuko hai na ndio maana YESU aliketa wokovu na msamaha wa dhambi ,kuonya ,kushuhudia hukumu ,Kisha uzima wa Milele Yuko hai na Yuko mbinguni na atarudi Tena Muda sii mrefu na atafanya hukumu juu ya Kila kilicho Cha uongo ,kwani kama dini yako hajaianzisha YESU basi umepotea Milele,alisema ( pando asilolipanda Baba wa Mbinguni hukatwa na kutupwa motoni) YESU KRUSTO hapendi mtu mwenye hofu ,woga ,mashaka ,wasiwasi na kukata tamaa hiyo ni ishara dhaifu ya moyo uliojaa dhambi unao Amini dini na kupenda dini badala ya YESU KRISTO.

  • @LiberatusJosephat
    @LiberatusJosephat Месяц назад +1

    Umenikumbusha mbali sana mchunga jina la bwana lisifiwe.

  • @water_music40
    @water_music40 2 месяца назад +3

    Hakuna mamlaka iliyo wekwa duniani ambayo haijawekwa na mungu, hata serikari mungu ndo kaiweka.. Sioni haja ya trump kuogopa hata nafasi atakoyo kaa hapo juu kuwa raisi, mungu ndo atakuwa amempa kwa sababu kila kinacho endelea huku duniani ni mpango wa mungu. kama mungu ataki trump kuwa raisi hatompa na akita mungu hakuna apingae

    • @salvatorymushi2038
      @salvatorymushi2038 2 месяца назад

      @@water_music40 sio kila kila nichoendelea duniani ni Mpango wa MUNGU....Shetani nae ana mipango yake na kama husomi neno la MUNGU huwezi kuelewa hili

  • @emmanuelmboya671
    @emmanuelmboya671 2 месяца назад +2

    Kiongozi mwenye hofu ya Mungu huwa siku zote anafanikiwa.Trump ni mtu pekee anaweza kukomesha maovu yanayoendelea katika Taifa hilo.

  • @EmanuelWillson-jy1fq
    @EmanuelWillson-jy1fq Месяц назад

    Bwana yesu asifiwe

  • @ntakilutandato
    @ntakilutandato Месяц назад

    Mtoa post hauko sahihi kwamba serikali haijawahi ungana na Dini, serikali siyo kitu kikubwa sana tangu mwanzo maana Mungu hakuitambua serikali ya mwanadamu, maamuzi na namna ya kuishi alitoa Mwenyezi Mungu pekee tangu manabii hadi waamuzi, Wanadamu walijipendekeza wenyewe tu kusimama kama miungu eti wanataka kujitawala na Mungu akawapatia mfano halisi wa uongozi wa mwanadamu yeyote SAULI. Hakuna mwanadamu awezaye kuvumilia dharau labda awe punguwani...Acha kutia watu ujinga serikali nikitu kilichozuka tu na Mungu bado anaweza kuipoteza akatawala kwa sauti yake halisi bila kumtegemea mwanadamu mmoja.

  • @precioussao7065
    @precioussao7065 Месяц назад

    Saudi arabia wanaruhusu makanisa?

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho 2 месяца назад

    Nafikiri twenderee kutafakari kwa kina ila naona kama pengine mungu anaweza kumtumia vzr akarudisha ukhristo katika taifa lake

  • @Alexanderthegreat-w3v
    @Alexanderthegreat-w3v 2 месяца назад

    Amina mungu atalichukua kanisa lake

  • @JacoboBonifas
    @JacoboBonifas 2 месяца назад +2

    MUNGU naomba utupe nguvu za kumshinda shetani

  • @tyivbra
    @tyivbra 3 месяца назад +1

    Nlichokuelewa Baraka ni kuwa tupo kweny nykt za mwisho ambapo shetn yupo mbioni kuiweka Sunday law into act lkn wakt wa Mungu ni wakt sahihi ila kikubwa tukaetukijiandaa

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад

      ndio ni kweli... cha msingi ni kukumbushana tuzidi kujiandaa kwa hali tulio nayo na tusijisahau

    • @jofreykilangila4118
      @jofreykilangila4118 3 месяца назад

      MUNGU alituumba ili tumwabudu na tusione mabaya. Ukitaka uwe unachambua mabaya ya Dunia hii hutamwabudu aliyekuumba. Mabaya yanafutwa kwa Toba tu na hayatatokea

  • @ndemasimnene4359
    @ndemasimnene4359 2 месяца назад +1

    Mbona kuna serikali za kidini hapa duniani je mpango wa Mungu ni kutawaliwa na wafalme.

  • @EdwardDikson
    @EdwardDikson 2 месяца назад

    Mungu akubaliki

  • @195941233
    @195941233 2 месяца назад +2

    Usichanganye mada. Hujamwelewa Rais Donald Trump. Anasisitiza watu kumpenda Mungu na kusoma Neno la Mungu kwa kumaanisha.

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  2 месяца назад

      Ameeleweka tu kabisa.. huwezi sema "Lazima" tatizo linaanza hapo

  • @EmanuelWillson-jy1fq
    @EmanuelWillson-jy1fq Месяц назад

    Niwape habari njema watu wa MUNGU hatutanyamaza, damu ya yule na yule na yakwako tusije ulizwa, sisi kazi yetu nikusema. Kizazi hiki kimekuwa kikidharau kwakila namna ujumbe wa marejeo. Ila nawaasa ndugu kaka na dada ulimwengu huu karibu historia inafungwa. Mwenye kusikia naasikie! G7 nini?

  • @precioussao7065
    @precioussao7065 Месяц назад

    Kwani trampo kamlazimisha MTU?

  • @ZabulonKitamuliko
    @ZabulonKitamuliko 2 месяца назад +1

    Heri inji ile viongozi vyake wamujuwa mungu

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 2 месяца назад +1

    Mtu ambao haijasoma -Ufunuo --13:11---18 hawezi kujua ubaya wa Serikali ya America kuiruhusu Dini iongoze. Mungu tuepushie mbali- USA itakiuka msingi wa katiba yake

  • @JonathanNtauta
    @JonathanNtauta 2 месяца назад +1

    Barikiwe kwa ujumbe mzuri

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange 2 месяца назад

    Zwewe hufahamu,Amerika,UK,Sweden,Denmark yangu zamani hizi hujulikana Kama Nchi za Kikristo,na ndio maana Amerika hujinasibu kuwa In God we Trust.

  • @EmanuelWillson-jy1fq
    @EmanuelWillson-jy1fq Месяц назад

    Kuhusu serikali na dini naomba niwasaidie. Mathayo 6:24 luka 16:13

  • @MarrycianaFaustine
    @MarrycianaFaustine 2 месяца назад +2

    Ubarikiwe

  • @gospelman3720
    @gospelman3720 2 месяца назад +1

    Mpinga Kristo akija dunia haitakuwa na resource yoyote kusapoti maisha na yeye ndo atatoa solution. Vijiji havitakuwa solution, vyakula vya asili havitalimika 😂😂😂😂

  • @josephmanase3176
    @josephmanase3176 3 месяца назад

    Huyo jamaaa akiingia madarakan anapenda kufunga historia ya ulimwengu huuu😢😢😢

  • @ZeAniamalTV
    @ZeAniamalTV Месяц назад

    Kama panashida kati ya serikali na dini vp kuhusu Suleiman,Musa,Yosia na Joshua. Kingine usichojua Mungu ndivyo anavyotaka Mfalme ambae alijitenga na Mungu aliadhibiwa na Mungu ndiomana akatoa amri ya kutii mamlaka.

  • @JudithNgula
    @JudithNgula 2 месяца назад +3

    Niwachache watakao kuelewa

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  2 месяца назад

      hakika

    • @injilinimoto8595
      @injilinimoto8595 2 месяца назад

      Ndugu naona kuwa huja melewa anaelezea taifa lake lilikuwa na misingi ya biblia ila chama kilichopo madarakani wanachoma biblia na kukuza ushoga na ushetani mimi nafikiri kuwa bila trapo kuliko alioko madalakani

  • @alembeasukulu9849
    @alembeasukulu9849 2 месяца назад +2

    Unaongea usiyo ya juwa

  • @fridachuwa8622
    @fridachuwa8622 3 месяца назад +2

    Dini na serekali havina tofauti Cha msingi ni KUACHANA na hizi dini zilizoletwa Afrika, AMKA EWE MTU MWEUSI

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад

      umanaanisha tusiwe na dini?

    • @JukumuKimbendela
      @JukumuKimbendela 3 месяца назад +1

      You're very clever .Alafu kuna wengine wanataka kubadilisha/kuubatiza ukristo kuwa asili yake iwe Afrika.Western always western can't be eastern.

    • @PaulMsuya
      @PaulMsuya 2 месяца назад

      Hakuna uhusiano wowote kati ya mapokeo ya dini na matokeo yoyote kulihusu Bara Afrika.. Ukosefu wa maadili ndio kitu pekee kinachotugharimu. Mungu yupo na uwepo wa dini ni jambo la lazima

  • @aronmapunda2023
    @aronmapunda2023 3 месяца назад +1

    Pole ndugu japo unahimiza ndugu zako wajiandae ni vyema ila umesahau kuhimiza kuachana na dini kwa kuwa hizi dini wameziunda wao na wanamamuzi ya kufanya wapendavyo. Yesu hajawahi kuwepo bali wameunda uongo tu dhidi ya mtu mweusi.

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад

      Sio kweli usemacho, nitaleta somo linalohusu "Kuaminika kwa Biblia" naamini tutajifunza pamoja

    • @aronmapunda2023
      @aronmapunda2023 3 месяца назад

      @@tossymediachannel ikiwa ni biblia hii ya kisasa ndani yake kuna Yeremia:8-8;-"... lakini tazama kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa ya uongo

    • @Martine-bd3sy
      @Martine-bd3sy 3 месяца назад

      Biblia ni kweli halisi.ni ukweli usiyo pingika

    • @aronmapunda2023
      @aronmapunda2023 3 месяца назад

      @@Martine-bd3sy Ndugu na ieleweke ikiwa biblia ni kweli halisi uongo unatoka wapi?
      "Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo.....Warumi1-25

  • @alfaksadibehuta7960
    @alfaksadibehuta7960 Месяц назад

    Dawa za asili za nini sasa?

  • @alphphobill549
    @alphphobill549 2 месяца назад +2

    Yor vague and wrong judging him straight. Ask of the Holy Spirit na hapo utapata ufunuo thabiti. Mungu hujitukuza hata kati ya maadui na waovu.

  • @ZabulonKitamuliko
    @ZabulonKitamuliko 2 месяца назад +1

    Huyu ndiyo kiongozi bwana, achana na maelezo Yako hayana msingi

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa31 3 месяца назад +7

    Mwaka 2016 akigombea kwa mara ya kwanza, niliwatahadharisha washirikiki wenzangu hapa Njombe kuhusu TRUMP. Nilidhani anaonyesha sifa za roho ya unabii, biblia raisi wa marekani atakayeleta taabu ya Danieli 12, fungu la 45 la sura11 nilifananisha na awamu 45 za taifa muhimu wakati wa mwisho..!

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  3 месяца назад +1

      Ubarikiwe mtumishi, tuzidi kusoma na kujifunza zaidi

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 3 месяца назад +3

      Huo usabato ,ninyi Kila kitu papa ,marekani hamna pengine mnasemaga ,kwani mataifa mengine mbona hamyataji ?? M natafsiri Unabii kwa akili na hisia au dhana,ukijiona unajua Sana basi kwake mtu huyo hajui kitu ,mambo ya Rohoni yana fasiriwa kwa jinsi ya Roho na sii vinginevyo ishini ndani ya Neema na muachane na Sheria ,Sheria Haina kazi wakati wa Neema .

    • @danielthomasmsigwa31
      @danielthomasmsigwa31 3 месяца назад +2

      @@nicksonlyimo1562 ufunuo 13 mnyama wa kwanza na mnyama mwingine f.11 wanashirikiana kuleta sheria za JUMAPILI; wameanza na ushoga 2015 miaka10 baadaye 2025 Sabato ya uongo

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 3 месяца назад

      @@danielthomasmsigwa31 Dunia lazima itawaliwe na Sheria ,ndio maana hata YESU alisema yalio ya Mungu mpenj Mungu na ya kaisari mpenj kaisari,wewe unadhani issue ya wanyama walio Nenwa ni nchi ? Hapana ni Roho za mashetani ,hata wewe unae shika sabato Bado uko kwa mnyama ,kwani unaabudu siku badala ya YESU KRISTO,na YESU aliivunja sabato na YEYE Ndie Bwana wa sabato ,ukimwamini basi upo kwenye sabato ya Neema na sii ya Sheria ,Hekima tuu ya shetani imeanzisha mifumo ya Dini mbalimbali na kuinua manabii na watu wakiwaamini wakidhani wapo sahihi ,KRISTO ndio mwisho wa Sheria na ametufundisha kumwabudu Mungu siku zote pasipo kukata tamaa ,hayo ya siku yatakugharimu Sana siku ya hukumu ,Andiko huua Roho huu Isha ,nakushauri tuu umpokee YESU na Umpokee Roho wake MTAKATIFU hapo utakua Mwana wa MUNGU na sii mwanafunzi wa Musa. Kwanini msiombe Mungu awafunulie alipo nabii wenu wa kike ,??? Hakuna Dini ya kweli duniani YESU tuu ndio njia ,kweli na uzima kinyume na hapo imekula kwako ,

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      @@nicksonlyimo1562usijidanganye, kwan ufunuo iko agano ka kale au agano jipya, kumbuka icho ni kitabu cha mwisho chenye unabii wa siku izi sa mwisho. Hivyo hakuna kinachobadilika km ni upapa itabaki kuwa upapa, marekani itabaki palepale kwasababu neno la Mungu alibadiliki… toka uko gizaji utaangamia

  • @bonfacewanyonyi8081
    @bonfacewanyonyi8081 2 месяца назад

    Kweli kabisa iwapo tramp atachukua uongozi sasa dunia ijiandae katika ukandamizaji wa kuabudu mslim na Christian kuna tatizo kubwa duniani utabiri waenda kukamilika sasa kwa maumivu mengi kwa wenye haki 🙏🙏🙏

  • @MussaSulle-n5t
    @MussaSulle-n5t Месяц назад

    Ndugu yangu kwanza fahamu ukristo si dini ukristo ni imani na utawala wa kaisari ni utawala wa shetani na kiongozi huyo ndio anayetawala kwa mjibu wa sheria ya shetani

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690 2 месяца назад

    Upo sahihi,new world order,one currency,one religion,(unabii unatimia,sanamu ya mnyama ipo karibu kusimamishwa( Kama kipindi cha Daniel) ukristo unaenda kupita wakat Mgumu,maana kanisa la kristo litapitia mateso,Lakini atakayevumilia mpaka mwisho atapata taji ya uzima.(. Mungu tusaidie )hii agenda ni ya kishetan

  • @MaryGeorge-z5g
    @MaryGeorge-z5g 2 месяца назад

    I love Trump and I will always do. Hakika ntaendelea kumpenda Trump pamoja na mapungufu yake kwa sababu:- 1. Anachukia ushoga na ndoa za jinsia moja. 2. Haungi mkono kabisa kwa selikari yake kuruhusu utoaji wa mimba yaani abortion. 3. Aliahidi katika kampeni yake kuwa:- Akiingia madarakani atahakikisha kuwa anasitisha vita huko GAZA.( kumbuka vita hiyo inauwa watu wasio na hatia na wa dini zote) 4. Nampenda Trump kwa sababu ndiye kiongozi pekee ambae wakati wa utawala wake aliutangaza mji wa Jerusalem kuwa ni mji mkuu wa Israel. "Tuacheni porojo, tuheshimu neno la Mungu kwa kuwahubilia watu waache Dhabi wamfuate YESU huku tukijua kuwa tunaishi nyakati za mwisho hivyo tujiweke tayari kwa unyakuo na wala tusikifanye kitabu cha UFUNUO WA YOHANA kuwa ni cha propaganda za udini.

  • @RSMEDIAONE
    @RSMEDIAONE 2 месяца назад +2

    Haya Mambo Yanatabiri mwisho wa mambo yote

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  2 месяца назад

      ni kweli, Barikiwa kwa kulijua hili

    • @NoahSeludao
      @NoahSeludao Месяц назад

      Muyaonapo hayo changamken mkainue vichwa vyenu mkijua ukomvozi wenu umekaribia her kwa wasabato watunzao anti 10 na iman ya yesu

    • @tossymediachannel
      @tossymediachannel  Месяц назад

      @@NoahSeludao Amen

  • @Kusag-i9z
    @Kusag-i9z 2 месяца назад

    Uko sawa lakinni hata weza

  • @EGSiyaga1
    @EGSiyaga1 3 месяца назад +1

    Bora Trump kuliko Biden anayekaribisha LGBTQ Ikumbukwe Biden Mwaka huu siku ya Pasaka ndiyo aliitangaza kuwa siku ya Transgender.

  • @Sajuhnoscar
    @Sajuhnoscar Месяц назад

    Kaka Naomba nikukumbushe Fuatilia Familia Ya Trump..Ni mtoto wa Watumishi huyo ...kaka Musa alikuwa Kiongozi wa kisiasa ..kaka Musa alikuwa Kiongozi wa Kidini vepe utawala wake Ulikuwaje ..Rudi kwa Koreshi....Davidi hakuwa Kuhani alikuwa Mfalme.....Mengine mengi Kuwa makini Bro ...kwenye unabii Hakuna Marekani ..

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo 2 месяца назад

    Sasa kama anasema tusome Biblia kuna shida gani ,Trup ni mtu wa maana sana na anashinda urais wa marekani ,

  • @HangayaMalangwa
    @HangayaMalangwa Месяц назад +1

    TAYARIIIIIIIIIIIII

  • @issujar.j.francis3220
    @issujar.j.francis3220 Месяц назад +1

    Trump is a better choice

  • @jimmykurya8554
    @jimmykurya8554 2 месяца назад

    Mtoa post huna hoja
    ,

  • @Signoftimes-Rev-13
    @Signoftimes-Rev-13 Месяц назад +1

    Donald trump aenda kutimiza new world order

  • @tyivbra
    @tyivbra 3 месяца назад +1

    Km ipo ipo ty bwana haya maswala waty waliyakazania sana kpnd cha Obama mara trump mara korona cjui mara nn
    Lkn nadhani muda ukiwadia utakuwa umewadia that's all

  • @fadhirimarko7427
    @fadhirimarko7427 20 дней назад

    Swala la kuunganisha dini halijaanzishwa na marekani na mnyama anayefuta ni dola ya urusi sio marekani,,kwa sababu marekani na dola ya ulaya yote itaanguka na utainuka ufalme mwingine nje na dola ya ulaya na marekani,,,rum anawakilisha mnyama wa pembe 2 ufunuo 13:11 kama nabii wa uongo kuna hitajika elim zaidi ktk jambo hilo

  • @HoseaPeter-yu3qh
    @HoseaPeter-yu3qh 2 месяца назад +1

    Nyie wasabato mnazingua

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 3 месяца назад +1

    Kanuni ya Mungu ilikua viongozi wa serekali wawe watakatifu ,swala la nebkadneza alikua mpagani ,Yusuphu aliongoza Misri kwa fahari kubwa na nchi ikaneemeka sana ,Daudi pia ,gidioni,sulemani nk.,Tatizo ninyi wasabato hamumuhitaji Roho mtakatifu na ndio maana mnatafsiri unabii kwa akili tupu ,mwacheni Tramp aongoze heri huyo kuliko anae ruhusu ushoga na vituko,

  • @GlorioseNdayikengurukiye
    @GlorioseNdayikengurukiye 2 месяца назад

    Mbona hamkumbuki Kwamba Obama Nduye muanzirishi wa ushoga?

  • @Ethanmwageni
    @Ethanmwageni 2 месяца назад

    Huyu mwamba yupo kama Magu aisee anaweza

  • @precioussao7065
    @precioussao7065 Месяц назад

    Saudi arabia mbona nchi inaongozwa kiislamu wewe unaonaje Hilo?

  • @GlorioseNdayikengurukiye
    @GlorioseNdayikengurukiye 2 месяца назад

    Kira Mtu na muzigo wake

  • @AlexMlaba
    @AlexMlaba Месяц назад

    wanawaizraeli baada ya kutoka misri walipewa katiba Yao ilikuwa Torati

  • @KATANYAMA
    @KATANYAMA 2 месяца назад

    Fanya kazi acha kuleta siasa ktk mambo ya dini .....wakileta ushoga Nongwa wakisema msome biblia NONGWA sasa mnataka wasemeje??ubinadamu kazi sana

  • @barakaschaula8323
    @barakaschaula8323 2 месяца назад

    Serikali ni watu ambao nao wanamuhitaji mungu . Acheni uoga

  • @davidsuleman233
    @davidsuleman233 3 месяца назад +1

    Muungano wa dini na serikali hautaanzia kwa marekani na tramp mfano ni nchi zenye misimamo ya kiisilamu na zinasimamia hasa sheria za kiisilamu huko huoni ni hatari? Mtu wa MUNGU mpk ikawa trump na marekani?

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 3 месяца назад +1

    Torati inaludi Hapa wanatafutwa watoto wa Mungu nikipindi cha wana wa Mungu kuishi kwa imani

  • @CadiaOnesmo
    @CadiaOnesmo 2 месяца назад +1

    We naye huna maana kasema tusome Biblia unampinga ulitaka aseme nini? mwambie wewe cha kuzingumza

  • @ImaniMatumaini
    @ImaniMatumaini 3 месяца назад +1

    Je umejuje ndani ya hiyo biblia Kuna katiba au unabuni tu

  • @SileIsmail
    @SileIsmail 2 месяца назад +1

    Mara zote ukiwa masikini halafu huna akili utadanganywa kiurahisi sana 😂😂😂 inatisha maana wajinga bado ni wengi yani mpaka leo wanamuamini mwanasiasa ambae ni mwanachama wa illuminati haha hapa lengo ni New world order

  • @laurensithomasi3152
    @laurensithomasi3152 2 месяца назад +1

    🙏🙏🙏

  • @MaryGeorge-z5g
    @MaryGeorge-z5g 2 месяца назад

    Mteule wa Bwana ni heri tukusikie ukipinga mauaji ya albino,unyanyasaji wa ngono kwa watoto, uchunaji ngozi za watu na mengine wafananayo na hayo. Waache wamarekani wajinene kuhusu Rais wao huku ukijua kuwa hata hela yao wameiandika (IN GOD WE TRUST) na je utatuambia nini kuhusu SAUD ARABIA ambayo sheria zake zipo katika misingi ya dini ya Kiislam?

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 2 месяца назад

    Mim naona upuuzi tu bora niwe muislam

  • @EmanuelWillson-jy1fq
    @EmanuelWillson-jy1fq Месяц назад

    Kuna jambo watu hawaelewi. Oh MUNGU akawasaidie kuwafunulia, nataka niwasaidie kitu kimoja msicho kijua baadhi ya wachangiaji ! Kipindi cha Nuhu gharika ilitokea bilia haikuacha kuwapa watu maonyo kupitia kwa manabii, mara nyingi mtu mbishi hua jambo baya huliona la ghafla na zuri pia ni laghafla kwanini? Kazi ya nuhu nikuwahabarisha watu lakini hawakijali

  • @munainjiru7983
    @munainjiru7983 2 месяца назад +1

    Freemasonry mentioned can talk about bible now and then

  • @JosephatBahakaso-yn9hg
    @JosephatBahakaso-yn9hg 2 месяца назад

    Wayahudi watamnyoosha wayahudi wakishakusoma uelekeo wako wanachenji gia hewani uliza irani