TAZAMA ! KILICHOTOKEA KWENYE ENEO LENYE MVUTANO MZITO KWA KUCHIMBA MCHANGA ZNZ
HTML-код
- Опубликовано: 18 дек 2020
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Allah akupe maisha marefu mkuu!
💃mkuu wambie watulie wakusikilize hao Wasikufanye umekaa kispot sipot kazabuti mkuu hongera sana Kazi zuri mkuu 🙌wanyonge wanyongeeeeeee hakizao muwape
Safi mkuu ayubu chapa kazi babaa
Shukran Ktv tz ONLINE hakika hii ni fahari yetu
CCM kwa halii hiii maendeleo yaa wananchi kwanza aaa kilasiku tutakuwa mkonoo juuuu
Hongera sana muheshimiwa ayoub mkuu wa mkoa Allah atujalie atuekei Insha Allah
Mungu akuepushe na fitna na majungu ya walimwengu,mungu akupe subra na moyo wa huruma KWA wakwezi na wakulima,
Alhamdulillah
hongera ayub mohd mhmud
Hiyo timu ya RC Ayubu na DC Rajabu ni hatari sana kwa utekelezaji lazima mambo yanyooke tu!
Mueshimiwa Ayubu nakukubali mungu akulinde
Mh Ayoub piga kazi
Hongera mheshimiwa ayub kazi yako super fast
ahsante Ayuub kazi nzuri wa znz wapate kazi uondoke maskini
Safi sana mkuu wa mkoa
WAZANZIBARI WANAHAKI HAPO NI KWAO SIO WANACHIMBA WAGENI
Maashallah mkuu
Najumbuka sikumoja nipo nagari nilikua na nataka ningie barabarani nakulikua kuna kilima gari inayo toka kushoto huioni gafla nikatoa gari ile natoa tu naona gari nyeusi imekolea inanipigia honi namimi nishaìngia Kati nlikua namba 1 nikaweka 2 fast kikawahi mbembeni ilegari nyeusi ikaja kunisimalia mbele alafunaona watuo wote walokua kwenye gari wakashuka wakaja kwangu nikasema leo nisha pigwa lakini alikua mweshimiwa RAJABU akaja akanifahafisha alafu kapanda kwenye gari yake kaondoka nilishukuru sana nlikua natetemeka sito sahau sikuile mpakaleo namkubali sana mweshimiwa RAJABU
Ayuobuuuu
Kazi za zanzibar wapewe wa zanzibar tu bali kazi za skilled ndio wapewe wageni kama daktari
Mungu awafanyie wepesi
Huyu Mtu ayoub mohd tuna kulilia mkoa wa mjini magharibi wallah hy mtu bora awe rais
Mimi sipend vyama lkn siku ukija kugombea urais nakupigia kura Mung akuweke
Serikali ya awamu hii kdg inajikaza kaza tofauti na ile ya sheni
Mkuu fatilia na uwonevu wa madereva kupigwa camera napoli's pasipo sitahiki km alama zipo na camera inapigwa pasipo alama yoyote ya sipid km alama za sipidi tunaziona zinapoazia na zinapo ishia mbele hukuti alama inatakiwa uwende sipidi ngapi?ndiko unakokuta police anakupiga kamera na ukiuliza huku ni sipidi ngap anakujibu elfu 10 yakufuta camera ndio tunoijua tusaidie alama ziekwe tusende kimazowea
ayub wewe kwa zanzibar ni pekeyako kiongozi mwenye akili ila nakuonea imani sana huwezi kuwasaidia wananchi kwasababu serekali yako haina pesa
Yamato yanapendeza kwa hili 2ko pamoja
Mhnjiaya matetema mbavu namuheshimiwa rahisi alipita alitowa agizoijengwe lakinilimezarauliwa nadaraja limevunjika
Jamani wazanzibari tumezidi uvivu wengi wao hao ni wamevuka bahari hebu badilikeni mkiambiwa wala urojo tena ndo iwe hivo badilikeni wazanzibari menge nchi yenu wenyewe
Nadhani wengi wa wachimbaji hawa wala si wazanzibari. Kuzuia mashine ni kupunguza kasi ya maendeleo na kuongeza gharama ya mchanga. Jengeni viwanda wapate kazi hawa wananchi.
Hiko kiwanda kinaisha leo..kwasasa watafanya nn ao wakat wenye scaveta wapo maoficn. Acha wanyonge watumie nguvu zao
Vp
Upatikanaji wa mchanga kwa wananchi bado ni shida sisi wengine vibandavyetu matofali yamungunyuka tumeshindwa kupiga palasta, kwaio tunaomba irudi kama zamani.
Na ugumu wa upatikanaji wa mchanga ndio imekuwa sababu ya baadhi ya maeneo mitaani kuchimbwa mchanga bila ya kibali cha serikali.
🤔kaka Masoud Maganga kwahisani yako kunjua uso huo 🎥🙄🎤
Yaan Aaahahahaaa
Ahsante, jua lilikua kalisana zayyati i wish ningevaa miwani!
@@magangatv2903 pole in shaa Allah nitakuletea🕶👓
@@zayyatiyussuf9566 karibu zanzibar.
@@magangatv2903 Shukran kaka Masoud in shaa Allah mwakani✈🏃
Tangu DC Rajab alipokuwa mkuu wa mkoa wa kaskazini unguja alikuwa mtendaji mzuri San na saiv amepata mkuu wa mkoa mtendaji zaid Mh Ayoub apo ni kazi kazi
Unajua kama mtu na mdogo wake hao?
@@abdulkarimally8494 alaa kumbe
Wazanzibar bado hatujajua kujielezea
🐔🐓🐓🐓🐓
Hao jamaa zenu wa kiunguja au WAZANZIBAR kuwaongoza kama unaongoza mbuzi mana wana zarau na kutojielewa mtu majukumu yake afanyeje na ndio mana umaskin hawishi zanzibar kwa uvivu
Aowabongo. Wametokawap. Wazanzibar wajinga. Kujituma. Hatutaki. Twahyar. Tuleungatuu. Tuwacheni. Ujinga. Maeneyo. Yetu. Hayo. Wanafaidka. Wengne
Aaaaah huyu mkuu wa mkoa wa kusini washamhamishia kaskazini tunamtaka mkuu wet arudishwe