Mimi nawafatilia vizuri Saana kuanzia bindi nyoka Adi Léo PLAN B nafataka épisode yote Niko Congo GOMA ila shauri tu kp usi achane tena Ama kufukuza wa wenzako kama vile suraj awe wa mwisho tuna furai kuwaona wote pamoja kuachana sio vizuri
Mzee likoma hongera..nimependa Sana hata sai najiita Mzee likoma Kwa account yangu ya whatapp..ni Omar ware from Kenya ni muislamu. Zaidi nataka nimuoe Sheila (Sheila...nesi kama hajaolewa.
Wa kwanza leo et na kukimbilia kote kusoma coment nimeumbuka mimi 😅😅 ila likoma huyu na na likoma mzee mbona kama vitu viwili tofauti 😂😂
Siamini pia😊
Kp wa Aquino naombeni Kazi ya utangazaji, au uandishi katika acount hii nipo vizuri najiamini na kipaji changu..
Likoma pongezi kwakoo Mungu akuongoze kila latua uendayo🙏🏻🙏🏻
Daa yupo tofaut kabisa
Big up likoma from Kenya mchekeshaji kweli
Wow uko vizuri sana Mzee likoma❤❤❤
Mmmmmmm machalee kumndesaa😂❤❤❤❤❤❤
Oooh hongera sana likoma kwa kipaji nawapenda sana team kp na zebuu ❤️ 🇸🇦
Mzee likoma pokea salamu zangu kutoka kenya pongezi sana kwa kazi zako unazozifanya❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Likoma mm nakupenda sana
Waaaah mzee likoma mm nko apa nko Kenya nakupenda jamani
❤❤❤❤looking gud mzee likoma
likoma hongera saana kumbe likoma ni wa kukaya tuliko simiyu nyanda
Kumbe huyu ni kijana tu ...anajuwa kuigiza na anajua tena ❤❤❤
Maaajaabuuu 😳😳
Ooh nakukubali Sana likoma kwa KAZI zako nawafuatilia kutoka nchini Kenya
Nakukubal San likomaa😂😂
Mashaallah likoma umependeza
Eeeeh mze likoma kijana munzuri sana
Mzee likoma kumbe ni kijana jamani😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
i thank en support the team fully...the lady is really looks alike with Kp
True that bro😅
Much love from Kenya 🇰🇪 mzee likoma
Mimi nawafatilia vizuri Saana kuanzia bindi nyoka Adi Léo PLAN B nafataka épisode yote Niko Congo GOMA ila shauri tu kp usi achane tena Ama kufukuza wa wenzako kama vile suraj awe wa mwisho tuna furai kuwaona wote pamoja kuachana sio vizuri
Mm nakumpenda sana nahitaji uwe mume wangu ❤❤❤❤❤❤
mamb0
Anapenda na kamuzo 😂😂😂
Atoe kionjo kama kweli mzee likoma
Mzee likoma Wewe ukifa uwozi movie ya KP na zebuu inapoza
Likoma ni kambila gani❤❤❤🎉🎉🎉
Msukuma
Sheila mwanangu 😂😂😂😂
Wewe Dada nakupenda sanaa namba tuwasiliane ❤
Maajabu 😅😅😅
Sasa mbona ukiwa unaigiza mzee likoma huo mwili hauonekani sema nakukubali sana maaaaajabu
Nisapotini n'a mimi bro
Kumbe mkaka mzuri hiv
Muzee likoma hongera nakupenda sana kakangu wewe hunichekesha sana❤❤❤❤❤❤❤
Yaan mimi nilijuaga kweli likoma ni mzee
Na Yuapendeza Kuliko Ata Kijana 😂😂😂😂😂
Mashallah
Nilijaribu mahusiano nikaachwa kisa pesa 😂😂😂 ila likoma hahahha
Ebu sema maaajab
Maajabu 😂😂
Pia mimi siamini😂
❤❤❤❤ umenenepa sana imependekeza sana
Mzee likoma mbn hujataja lyulu lugela moja hongela Sana ali
LIKOMA KAMA UNATAKA MKESEMA KUNAMTOTO MZURI WAHESHIMA😂😂😂😂😂
Maajabu
Hongera sana broo Mungu akutangulie kwa kazi nzuri ❤❤❤
Ushetu mbika au
Oya mwamba unajua na kipaji unacho
Maaaajabu!!! 😅😅😅😅
Kumbe kijana
Nakupa mauwa mengi 🎉🎉🎉sana
Rikoma mbona mwembamba na kuna muda mnakuwa wote nayy😅
😂😂😂😂😂🎉
Mzee likoma bado kijanakumbe🎉🎉
Likoma me mchagaa nakusali sana❤
❤
Naomba kazi ya kuigiza
Hyo anaekuhuji inaonekana anakutaka kuvitu tulihitaji kuvifaham Kwa likoma kwenye uigizaji lakn yeye anauza mambo ya mahusiano
Sio ex ni rafiki 😂
Dem anafanana na kp manzeh au ni dadake??
Huyo mtangazaji hamna kitu hajui kuuliza maswali yenye point
HANA BAYA MZEE LIKOM WATU HUTOKEA MBALI ONE DAY NA MIMI
Hahahahaha likoma jamn
likoma tunakupenda sana kutoka kenya
mimi hapa nakupenda bwana Ally
Likoma mama Muuza anasemaje
Huy dada hajui kuhoji
My favourite
Mbona huyu msichana kafanan na kp
Anaye hoji hajui
Duh we sijui mtangazaji umenishinda tabia sijui umesomeka wapi aisee, yaan kuhoji hujui kabisaa kajipange upya mdogo wangu, ila Likoma ongera aisee nimekuwa surprised
Likoma sipendi unenepe mimi😂😂 sheila mwanangu nawapendatu ❤bure
Jaman likoma sijakuona siku nyingi
Sauti ya mzee likoma ela mwili tofauti
😂😂😂 ni yeye mwaya 😂
Plan b umeweza muzee likoma mimi hucheka yangu yote
Likoma pokea salamu zangu kutoka kenya
Likoma pokea simu zangu kaka tufanye kaz kuna namba inaishia 3633 please ipokee
🔥🔥🔥
#maajab 😂😂
Mzee likoma hongera..nimependa Sana hata sai najiita Mzee likoma Kwa account yangu ya whatapp..ni Omar ware from Kenya ni muislamu.
Zaidi nataka nimuoe Sheila (Sheila...nesi kama hajaolewa.
KP huyu dada amekufanana ni dadako au vpi?
Mzee likoma nakupenda pokea salamu zangu kutoka Kenya
likoma hongera saana kumbe likoma ni wa kukaya tuliko simiyu nyanda