EXCLUSIVE NA MZEE LIKOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • #comedy #kp #kpnazebuu #lastcard #lifestye #love #likoma

Комментарии • 90

  • @DM.2200
    @DM.2200 5 дней назад +10

    Wa kwanza leo et na kukimbilia kote kusoma coment nimeumbuka mimi 😅😅 ila likoma huyu na na likoma mzee mbona kama vitu viwili tofauti 😂😂

  • @PRESENTER-VINCENT
    @PRESENTER-VINCENT 5 дней назад +16

    Kp wa Aquino naombeni Kazi ya utangazaji, au uandishi katika acount hii nipo vizuri najiamini na kipaji changu..

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 4 дня назад +3

    Likoma pongezi kwakoo Mungu akuongoze kila latua uendayo🙏🏻🙏🏻

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 4 дня назад +3

    Daa yupo tofaut kabisa

  • @RaphaelMutua-iv4qy
    @RaphaelMutua-iv4qy 20 часов назад

    Big up likoma from Kenya mchekeshaji kweli

  • @user-vy8es6gi4f
    @user-vy8es6gi4f 5 дней назад +3

    Wow uko vizuri sana Mzee likoma❤❤❤

  • @user-zo8lz3wm7n
    @user-zo8lz3wm7n 4 дня назад +3

    Mmmmmmm machalee kumndesaa😂❤❤❤❤❤❤

  • @Priscadzidzamasha
    @Priscadzidzamasha 4 дня назад +1

    Oooh hongera sana likoma kwa kipaji nawapenda sana team kp na zebuu ❤️ 🇸🇦

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w 5 дней назад +7

    Mzee likoma pokea salamu zangu kutoka kenya pongezi sana kwa kazi zako unazozifanya❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ELIZABETHAPELES
    @ELIZABETHAPELES 3 дня назад +2

    Likoma mm nakupenda sana

  • @Mailachebet
    @Mailachebet 2 дня назад

    Waaaah mzee likoma mm nko apa nko Kenya nakupenda jamani

  • @lornahmulitani2798
    @lornahmulitani2798 День назад

    ❤❤❤❤looking gud mzee likoma

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 4 дня назад +2

    likoma hongera saana kumbe likoma ni wa kukaya tuliko simiyu nyanda

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 2 дня назад

    Kumbe huyu ni kijana tu ...anajuwa kuigiza na anajua tena ❤❤❤

  • @Nyotajada
    @Nyotajada 19 часов назад

    Maaajaabuuu 😳😳

  • @JohnOsoro-yp9ey
    @JohnOsoro-yp9ey 4 дня назад +1

    Ooh nakukubali Sana likoma kwa KAZI zako nawafuatilia kutoka nchini Kenya

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 4 дня назад +1

    Nakukubal San likomaa😂😂

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 5 дней назад +2

    Mashaallah likoma umependeza

  • @user-fs8ho9ks4x
    @user-fs8ho9ks4x 3 дня назад

    Eeeeh mze likoma kijana munzuri sana

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 4 дня назад +1

    Mzee likoma kumbe ni kijana jamani😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @user-jn1cg5is2p
    @user-jn1cg5is2p 4 дня назад +1

    i thank en support the team fully...the lady is really looks alike with Kp

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg 4 дня назад +1

    Much love from Kenya 🇰🇪 mzee likoma

  • @MARIEKINSEMBEOFFICIEL
    @MARIEKINSEMBEOFFICIEL 5 дней назад +2

    Mimi nawafatilia vizuri Saana kuanzia bindi nyoka Adi Léo PLAN B nafataka épisode yote Niko Congo GOMA ila shauri tu kp usi achane tena Ama kufukuza wa wenzako kama vile suraj awe wa mwisho tuna furai kuwaona wote pamoja kuachana sio vizuri

  • @user-ms7ls8ud5p
    @user-ms7ls8ud5p 4 дня назад +1

    Mm nakumpenda sana nahitaji uwe mume wangu ❤❤❤❤❤❤

  • @azizaumutoni7773
    @azizaumutoni7773 3 дня назад

    Anapenda na kamuzo 😂😂😂

  • @AbbasiNandonde
    @AbbasiNandonde 2 дня назад

    Atoe kionjo kama kweli mzee likoma

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j 11 часов назад

    Mzee likoma Wewe ukifa uwozi movie ya KP na zebuu inapoza

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 4 дня назад +2

    Likoma ni kambila gani❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ZawadiKatana-yh6ep
    @ZawadiKatana-yh6ep 3 дня назад

    Sheila mwanangu 😂😂😂😂

  • @frankyunia1809
    @frankyunia1809 3 дня назад

    Wewe Dada nakupenda sanaa namba tuwasiliane ❤

  • @DennisKorir-kl3up
    @DennisKorir-kl3up 4 дня назад +1

    Maajabu 😅😅😅

  • @HassanBambaza
    @HassanBambaza 3 дня назад

    Sasa mbona ukiwa unaigiza mzee likoma huo mwili hauonekani sema nakukubali sana maaaaajabu

  • @alka-bKsg
    @alka-bKsg 3 дня назад

    Nisapotini n'a mimi bro

  • @felisterbudodi5367
    @felisterbudodi5367 2 дня назад +1

    Kumbe mkaka mzuri hiv

  • @LUCYKHALAI
    @LUCYKHALAI 4 дня назад

    Muzee likoma hongera nakupenda sana kakangu wewe hunichekesha sana❤❤❤❤❤❤❤

  • @wemasangasanga757
    @wemasangasanga757 4 дня назад +1

    Yaan mimi nilijuaga kweli likoma ni mzee

    • @nurusaid4698
      @nurusaid4698 4 дня назад

      Na Yuapendeza Kuliko Ata Kijana 😂😂😂😂😂

  • @user-pp4ji7ts3z
    @user-pp4ji7ts3z 3 дня назад

    Mashallah

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy День назад

    Nilijaribu mahusiano nikaachwa kisa pesa 😂😂😂 ila likoma hahahha

  • @user-yq8xw6gp7r
    @user-yq8xw6gp7r 3 дня назад

    Ebu sema maaajab

  • @ZawadiKatana-yh6ep
    @ZawadiKatana-yh6ep 3 дня назад

    Maajabu 😂😂

  • @izakiel72
    @izakiel72 4 дня назад +1

    Pia mimi siamini😂

  • @Johar903
    @Johar903 4 дня назад

    ❤❤❤❤ umenenepa sana imependekeza sana

  • @LizyRiichard
    @LizyRiichard 4 дня назад

    Mzee likoma mbn hujataja lyulu lugela moja hongela Sana ali

  • @FajmaHilali
    @FajmaHilali 5 дней назад +1

    LIKOMA KAMA UNATAKA MKESEMA KUNAMTOTO MZURI WAHESHIMA😂😂😂😂😂

  • @EsperanceNzeyimana-wu8ks
    @EsperanceNzeyimana-wu8ks 3 дня назад

    Maajabu

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 4 дня назад

    Hongera sana broo Mungu akutangulie kwa kazi nzuri ❤❤❤

  • @novaelias5010
    @novaelias5010 3 дня назад

    Ushetu mbika au

  • @user-cn2vo3hr2m
    @user-cn2vo3hr2m День назад

    Oya mwamba unajua na kipaji unacho

  • @marleymukangwa8955
    @marleymukangwa8955 3 дня назад

    Maaaajabu!!! 😅😅😅😅

  • @MwajumaKinyolo-uo8zm
    @MwajumaKinyolo-uo8zm 2 дня назад

    Kumbe kijana

  • @user-lx3zg4db1y
    @user-lx3zg4db1y 4 дня назад

    Nakupa mauwa mengi 🎉🎉🎉sana

  • @sniperboy131
    @sniperboy131 4 дня назад +1

    Rikoma mbona mwembamba na kuna muda mnakuwa wote nayy😅

  • @DennisManyasi
    @DennisManyasi 5 дней назад +2

    😂😂😂😂😂🎉

  • @user-op7tg4wq2g
    @user-op7tg4wq2g 4 дня назад

    Mzee likoma bado kijanakumbe🎉🎉

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 4 дня назад

    Likoma me mchagaa nakusali sana❤

  • @user-lx3zg4db1y
    @user-lx3zg4db1y 4 дня назад

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 4 дня назад

    Naomba kazi ya kuigiza

  • @konakuzefilms
    @konakuzefilms 2 дня назад

    Hyo anaekuhuji inaonekana anakutaka kuvitu tulihitaji kuvifaham Kwa likoma kwenye uigizaji lakn yeye anauza mambo ya mahusiano

  • @shekhaalisaid1647
    @shekhaalisaid1647 4 дня назад

    Sio ex ni rafiki 😂

  • @janeffermumbua2466
    @janeffermumbua2466 4 дня назад +1

    Dem anafanana na kp manzeh au ni dadake??

  • @ZachariaPetro-gn8qc
    @ZachariaPetro-gn8qc 4 дня назад

    Huyo mtangazaji hamna kitu hajui kuuliza maswali yenye point

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 4 дня назад +1

    HANA BAYA MZEE LIKOM WATU HUTOKEA MBALI ONE DAY NA MIMI

  • @user-ln3nu4tt5y
    @user-ln3nu4tt5y 4 дня назад

    Hahahahaha likoma jamn

  • @lucyrif-np8ik
    @lucyrif-np8ik 4 дня назад

    likoma tunakupenda sana kutoka kenya

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 4 дня назад

    mimi hapa nakupenda bwana Ally

  • @user-wi1fk5wx8f
    @user-wi1fk5wx8f 4 дня назад

    Likoma mama Muuza anasemaje

  • @DeboraJames-pd8ne
    @DeboraJames-pd8ne 4 дня назад

    Huy dada hajui kuhoji

  • @onchweridee
    @onchweridee 4 дня назад

    My favourite

  • @user-op7tg4wq2g
    @user-op7tg4wq2g 4 дня назад

    Mbona huyu msichana kafanan na kp

  • @samweljc
    @samweljc 4 дня назад

    Anaye hoji hajui

  • @immaculatealphonce5500
    @immaculatealphonce5500 3 часа назад

    Duh we sijui mtangazaji umenishinda tabia sijui umesomeka wapi aisee, yaan kuhoji hujui kabisaa kajipange upya mdogo wangu, ila Likoma ongera aisee nimekuwa surprised

    • @akimanasuzane1321
      @akimanasuzane1321 2 часа назад

      Likoma sipendi unenepe mimi😂😂 sheila mwanangu nawapendatu ❤bure

  • @user-ln7mi7hl8t
    @user-ln7mi7hl8t 4 дня назад

    Jaman likoma sijakuona siku nyingi

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 дня назад

    Sauti ya mzee likoma ela mwili tofauti

  • @LUCYKHALAI
    @LUCYKHALAI 4 дня назад

    Plan b umeweza muzee likoma mimi hucheka yangu yote

  • @ElizabethMwikali-xb9zl
    @ElizabethMwikali-xb9zl 4 дня назад

    Likoma pokea salamu zangu kutoka kenya

  • @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr
    @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr 4 дня назад +1

    Likoma pokea simu zangu kaka tufanye kaz kuna namba inaishia 3633 please ipokee

  • @Khavanny
    @Khavanny 4 дня назад

    🔥🔥🔥

  • @Prof_dee
    @Prof_dee 4 дня назад

    #maajab 😂😂

  • @user-vs8hu6ti3l
    @user-vs8hu6ti3l 4 дня назад

    Mzee likoma hongera..nimependa Sana hata sai najiita Mzee likoma Kwa account yangu ya whatapp..ni Omar ware from Kenya ni muislamu.
    Zaidi nataka nimuoe Sheila (Sheila...nesi kama hajaolewa.

  • @SummaiyaKassim-zv5nt
    @SummaiyaKassim-zv5nt 4 дня назад

    KP huyu dada amekufanana ni dadako au vpi?

  • @SuhaylaAazeem
    @SuhaylaAazeem 4 дня назад +2

    Mzee likoma nakupenda pokea salamu zangu kutoka Kenya

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 4 дня назад +3

    likoma hongera saana kumbe likoma ni wa kukaya tuliko simiyu nyanda