Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
kali sana i say🤣🤣🤣wajua nilikuwa nimemwogopa shei shei kwa uendeshaji wa pikipiki kiasi hiko,,,daaah,,kumbe si yeyee😅😅😅😅😅😅😅😅uuuuui
😂😂me nilithani sheishei kumbe suraji 😂😂😂😂dah ila kazi nzuri sana much love from kenya
Nakubali San team KP kazi kubwa ilifanyika
Happy kwa kp kutimiza lengo lake na kuwafulahisha wote walio mpambania
MOMBASA 🇰🇪🇰🇪 kenya. Much love to kp , zebuy, shuuraji, dibozi, sheila,, na sweetheart wangu Nora
Mpo vizuri Kwa kweli
Duh! Hapa kwenye bodaboda sikujua kabisa kama ni Suraj mlicheza vzuri sana
Shey shey anaweza kuendesha pikipik jan kumbe siokwel 😂😂😂
Na mchezo wenu ni mzuri sana
Napenda🎉❤
Love from Chadia Official to🇧🇮
Kazi nzuri sana
Duu sheyshey nilijuwa ww😅😅😅😅
Jamani lini mtatuletea last card mashaallah mnaekti vizuri nimewapenda wote
Mm nilishangaa mbn viatu tofauti hapo kwenye pikipiki
👍👍interesting
Waaaw kasi nzuri mutuandalie nyingine aki
Kiboko hii ❤❤❤❤
aaaaah kweli hiyooo
😂😂😂😂😂😂 kwenye pikipiki nilijuwa shey shey aisee kazi mzuri
Heee kumbe surshei (suraji&sheila) niliogopa ule mwendoo😅😅 suraji
Mimi nilijuwa ni SheilaaaaHahahahah..
Duh Mimi niliamini kua ni sheyshey ndie Alie endesha pikipiki aisee😂😂
umenisanuwa my ata sikuwa najuwa km si shei shei kwenye pikpik
Shey shey kumbe huezi endesha baiki wakwetu nilijua unajua cku moja tuende Singapore na baiki ndugu yang😂😂😂😂😂
Hapo kweli ni last card sikujuwa kama ni suraji
Hii imeweza
Kwenye pkpk kweli ni Suraj,😂😂😂daah congratulations 🎉🎉 mnaweza
Let's give him another movie 🎥 guys, Burundi, we love you so much
Hauja maliza juu Kuna nyingi sana zilifichwa ambayo ata sisi wenye tunaeza kuzifaham. From episode 1 to last.
Umetisha
Nimeoma sheishei bus anaendesha bajaji ndo ivo bodaboda twende kumbeeee😅😅😅😅😅 kp respect
Tuleteeni series ingne please 🙏
Mungeonyesh na Ile sin ya Sheila kuendesha gar
Hii inateza sana
Kwa kweli ❤❤❤❤
Kazi nzuri ila ningependa mukuwe na fanya interview kwa mastar mbalimbali.
HIII ya kisanii Inge wekw kweli ingevutia zaidi ila kiukweli inaogopesh
Ila hii media ipewe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
yes i will
hapo kwenye pikipiki daaah mmetisha
Me nilikuwa najua ni mrs Sheila kumbe suuraj
Tunashukur kwakuwasanuw nakutuaminish mamb ambay tulikuw hatufaham mm nilizan
Kwa hiyo hata lile bus sio yeye alioliendesha 😂😂mmetufumbua macho
Waah🎉🎉
Nakubar
Zebuuu ,Zebu binti yangu
Tusanuwe kuusu nyele za Dibosi.
uhalisiya inapendeza zaidi na nimvuto wa kz
Tuleteen bint nyoka season 2 guys
Munagipaji
Kumbe uandaaji wa filamu ni kibarua kikali
Sheila 😂
Heeeeh siamini kam sioo sheyshey😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Amin basi😅😅😅😅
Kp tuletee burudani nyengine aisee!
Anaogopa sindano
Kp nomasana
😢😅😅😅😅😅😅😅
kali sana i say🤣🤣🤣wajua nilikuwa nimemwogopa shei shei kwa uendeshaji wa pikipiki kiasi hiko,,,daaah,,kumbe si yeyee😅😅😅😅😅😅😅😅uuuuui
😂😂me nilithani sheishei kumbe suraji 😂😂😂😂dah ila kazi nzuri sana much love from kenya
Nakubali San team KP kazi kubwa ilifanyika
Happy kwa kp kutimiza lengo lake na kuwafulahisha wote walio mpambania
MOMBASA 🇰🇪🇰🇪 kenya. Much love to kp , zebuy, shuuraji, dibozi, sheila,, na sweetheart wangu Nora
Mpo vizuri Kwa kweli
Duh! Hapa kwenye bodaboda sikujua kabisa kama ni Suraj mlicheza vzuri sana
Shey shey anaweza kuendesha pikipik jan kumbe siokwel 😂😂😂
Na mchezo wenu ni mzuri sana
Napenda🎉❤
Love from Chadia Official to🇧🇮
Kazi nzuri sana
Duu sheyshey nilijuwa ww😅😅😅😅
Jamani lini mtatuletea last card mashaallah mnaekti vizuri nimewapenda wote
Mm nilishangaa mbn viatu tofauti hapo kwenye pikipiki
👍👍interesting
Waaaw kasi nzuri mutuandalie nyingine aki
Kiboko hii ❤❤❤❤
aaaaah kweli hiyooo
😂😂😂😂😂😂 kwenye pikipiki nilijuwa shey shey aisee kazi mzuri
Heee kumbe surshei (suraji&sheila) niliogopa ule mwendoo😅😅 suraji
Mimi nilijuwa ni Sheilaaaa
Hahahahah..
Duh Mimi niliamini kua ni sheyshey ndie Alie endesha pikipiki aisee😂😂
umenisanuwa my ata sikuwa najuwa km si shei shei kwenye pikpik
Shey shey kumbe huezi endesha baiki wakwetu nilijua unajua cku moja tuende Singapore na baiki ndugu yang😂😂😂😂😂
Hapo kweli ni last card sikujuwa kama ni suraji
Hii imeweza
Kwenye pkpk kweli ni Suraj,😂😂😂daah congratulations 🎉🎉 mnaweza
Let's give him another movie 🎥 guys, Burundi, we love you so much
Hauja maliza juu Kuna nyingi sana zilifichwa ambayo ata sisi wenye tunaeza kuzifaham. From episode 1 to last.
Umetisha
Nimeoma sheishei bus anaendesha bajaji ndo ivo bodaboda twende kumbeeee😅😅😅😅😅 kp respect
Tuleteeni series ingne please 🙏
Mungeonyesh na Ile sin ya Sheila kuendesha gar
Hii inateza sana
Kwa kweli ❤❤❤❤
Kazi nzuri ila ningependa mukuwe na fanya interview kwa mastar mbalimbali.
HIII ya kisanii Inge wekw kweli ingevutia zaidi ila kiukweli inaogopesh
Ila hii media ipewe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
yes i will
hapo kwenye pikipiki daaah mmetisha
Me nilikuwa najua ni mrs Sheila kumbe suuraj
Tunashukur kwakuwasanuw nakutuaminish mamb ambay tulikuw hatufaham mm nilizan
Kwa hiyo hata lile bus sio yeye alioliendesha 😂😂mmetufumbua macho
Waah🎉🎉
Nakubar
Zebuuu ,Zebu binti yangu
Tusanuwe kuusu nyele za Dibosi.
uhalisiya inapendeza zaidi na nimvuto wa kz
Tuleteen bint nyoka season 2 guys
Munagipaji
Kumbe uandaaji wa filamu ni kibarua kikali
Sheila 😂
Heeeeh siamini kam sioo sheyshey😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Amin basi😅😅😅😅
Kp tuletee burudani nyengine aisee!
Anaogopa sindano
Kp nomasana
😢😅😅😅😅😅😅😅