Ukweli wote Kuhusu Kp kugombana na LIKOMA na DIBOZI MANUVA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #comedy #kp #kpnazebuu #lastcard #lifestye #love #sonaa

Комментарии • 175

  • @ONEGB-q5b
    @ONEGB-q5b 4 месяца назад +20

    Kp nakupenda sana ❤❤Wacha mungu akupaliki kwa kazi Yako wapi likes za wakenya

    • @Chebet254
      @Chebet254 4 месяца назад +1

      Kwa kweli yupo sawa sana kp Kenya 🇰🇪 tunazipenda sana kazi zako

    • @maharagwemabichi215
      @maharagwemabichi215 3 месяца назад

      Oyiiiii

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu 4 месяца назад +11

    Waaah KP njoni KENYA twawakaribisha jaman ,,nimependa iyo

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 4 месяца назад +4

    💗💗💗😍😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wooow apo kweli ukifika kenya tunaejoy sisi wakenya tunawapenda vila malipo kp karibu kenya mara kumi 😊😊😊😊

  • @BintiMweluhanga
    @BintiMweluhanga 4 месяца назад +4

    KP na nakupenda ww na Tim yako na sipendi ata mgombane❤❤❤❤❤❤

  • @denson.d.johnmsabi3194
    @denson.d.johnmsabi3194 4 месяца назад +4

    Kwenye sonaa story haijanoga kabisa Hawa miamba wawili pengo Lao limeonekana

  • @Chebet254
    @Chebet254 4 месяца назад +2

    Kp Kenya 🇰🇪 tunakupenda sana na twakakaribisha wewe n team yako huku kenya ❤❤

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 4 месяца назад +2

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪karibu sana kenya tunakugija kwa haamu sana 💗usiache dimboss na likoma na zebuu pia darkid na kisai na sheila na suraji 🤩🤩💖💖💖

  • @MensiaTemba
    @MensiaTemba Месяц назад +1

    Kaka kp na mm natamani na mm kuigiza ila sina mtu yeyote wakunisapoti nitashukulu sana ukiniunga team kp nawapenda bure zebuu

  • @ElizabethChare
    @ElizabethChare 3 месяца назад +2

    na wapenda sana zb kp na timu yako zima❤❤❤

  • @RuthNyatuka-qe3kd
    @RuthNyatuka-qe3kd 3 месяца назад +1

    Kweli wakenya tuko wengi kp tunakupenda,,, karibu nyumbani kenya🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @VeronicaNzivu
    @VeronicaNzivu 3 месяца назад

    Kp babaa mm ni rozzy kutoka Kenya nmeskia upo tayari kuja kenya karbu sana tunakungoja tafadhali ututaarifu wakati wa kuja napenda kazi zako na team yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mamafidelsfidels8585
    @mamafidelsfidels8585 4 месяца назад +3

    Kenya tuko poa Kp tunakupenda Sana alafu suraji Yuko wap....pia dibozi manuva digara jamani Mzee lLikoma Yuko wap... maajabu Sheila mwanangu 😂😂😂 namisi hiyo sauti Sana

  • @jaliamartinz
    @jaliamartinz 4 месяца назад +9

    Na suraji yuko wapi jamani😢

  • @isaiebizimana8935
    @isaiebizimana8935 3 месяца назад +2

    Nafulah kusikiya ivo Ila bila wao sana hainogi kbx

  • @RuthMwende-qv7jo
    @RuthMwende-qv7jo 4 месяца назад +4

    Kp Kenya twakugojea sana . Karibu sanaaa kenya

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg 4 месяца назад +2

    Karibu sana kenya 🇰🇪 tunakupenda

  • @mary-lx3hr
    @mary-lx3hr 3 месяца назад

    😂😂😂maaajabu ndio maana siwaoni kwenye sonaa

  • @mitchellKenya896
    @mitchellKenya896 4 месяца назад +1

    Nimesikia Kenya nikachangamka,,,,daah,,kumbe kp unatupenda,kwa kweli pia tunakupenda zaidi,,,uko Karibu na usimwache zebuu wangu jamani...welcomeeee😘😘

  • @celinamboga581
    @celinamboga581 3 месяца назад

    Kp karibu Kenya 🇰🇪 ni vile niko mbali ila ata mm ningewajoin one love😍😍😍😍

  • @JaneAnyona-bu3rj
    @JaneAnyona-bu3rj 4 месяца назад

    Kp tunakuombea Mungu ww na team yako yote..much love from kenya...karibu kenya team kp

  • @MercyKahindi-go2nr
    @MercyKahindi-go2nr 4 месяца назад

    Njooo Kenya please we need you heree please KP tunakuhitaji Sanaa huku tupo teleeeee❤❤❤❤

  • @BintiChinyavu
    @BintiChinyavu 4 месяца назад

    Karibu Kenya KP na kikosi chako twakupenda sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘😘😘

  • @BridgitGakenia
    @BridgitGakenia 3 месяца назад

    Karibu Kenya kp tunakungoja

  • @Neykids
    @Neykids 3 месяца назад

    Natamanii nigepataa hiyoo nafc ya ongezekoo apoo nataman san Maan Napendaa mnoo sanaa

  • @ValDavy-i2n
    @ValDavy-i2n 3 месяца назад

    Usisemee Ivoooo niha sema ❤❤❤❤❤❤ na WA miss aki

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 3 месяца назад

    Karibu kenya kaka🇰🇪🇰🇪🇰🇪kenya nchi yenye maandhari mazuri🎉

  • @JacklineMjumbe
    @JacklineMjumbe 4 месяца назад +1

    Much love from Kenya kp💖💖

  • @JuniorAlik
    @JuniorAlik 3 месяца назад +1

    Tuliwamiss sana

  • @alicemulatya
    @alicemulatya 4 месяца назад

    Wow karibu Kenya!!!! We love you mwaaaaaah,,!!!!!

  • @samueliwistoni1290
    @samueliwistoni1290 4 месяца назад +1

    Habari ya mchana Mimi nami ni mmoja wa watu wanaofuatilia kazi zako kiufupi ni nzuri sasa umesema kunauwezekano wa kuongeza wahusika kwenye kazi mpya baada ya sonaa sasa Mimi nami kunasehemu Huwa ninaona kwamba kunasehemu zinakua zinahitaji wahusika wengine mfano last card naona kulikua kunahitajika gate Mani pale kwa libose nyumbani kwa mzazi kwa zebuu

  • @StephenKozgei
    @StephenKozgei 4 месяца назад +1

    Karibu Kenya ndugu yetu❤❤❤🇰🇪🇰🇪🥰

  • @Amina-Rshd
    @Amina-Rshd 4 месяца назад

    Afadhali umetueka wazi sas maan likua wantup stress kw kutowaon haw watu wape salam wmbie tumewmiss sana n sn❤❤❤❤❤

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 4 месяца назад

    Ooh karibu sana kwetu kenya ingawaje siko huko kwa sasa ila ukiwatembelea nitafrai sana

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 4 месяца назад +2

    Kp. Suraji. Akowap. Mbona nayeye hatumuoni. 😢😢😢

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 4 месяца назад

    Kwa hiyo series tutafurahi kuwaona likoma na dipozi manuvaa❤

  • @ZahadiShauri
    @ZahadiShauri 4 месяца назад +1

    Hongera sana KP 🥰🥰🥰

  • @sandrashaa3343
    @sandrashaa3343 4 месяца назад

    Daaah ila wale wazee wananogesha sana muvi haki tena❤😂

  • @fatuma172
    @fatuma172 4 месяца назад

    😊karibu 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 kp twakupenda sana

  • @JohnBaraza-xd9er
    @JohnBaraza-xd9er 4 месяца назад

    Kp Love your Team Bro niko kenya Mombasa mm ndi Actor mkeni nio na RUclips chanel naitwa John baraza de tyson nijukue unifunze kazi bro

  • @Milcah-hb5uw
    @Milcah-hb5uw 4 месяца назад +1

    Kp mimi niko but niko kenya natamani kujiuka na nyinyi ❤❤❤❤

  • @AplA-x9b
    @AplA-x9b 4 месяца назад

    Karibu karibun kenya sana jameni twawakaribisha. Japo nko mbali kidogo ila cku mngekua nngekua pia nataman kujiunga nanyii ila nko mbalii

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- 4 месяца назад

    Nakubali San KP huna baya boss 🎉🎉🎉🎉

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 4 месяца назад

    ❤❤❤❤ kenya tuma kugoja sana sana mimi sijawai selewa Ata

  • @maureenamoi5467
    @maureenamoi5467 4 месяца назад

    Karibu sana kenya kp na zebu tunawapenda sana❤

  • @ShanuraBabuu
    @ShanuraBabuu 3 месяца назад

    From this side kenya,,rudini kama zamani bwanaa mutumalizie epsode mulizoacha

  • @CrsAlzaid
    @CrsAlzaid 4 месяца назад

    Njooni wanangu twawa penda sana one love ❣️

  • @Neykids
    @Neykids 3 месяца назад

    Kaz nzuriiii aasanaaa

  • @NuruJuma-r9z
    @NuruJuma-r9z 4 месяца назад

    Wapi kelele ya wakenya weweeeeeeee💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽

  • @user-kb2sw2so6h
    @user-kb2sw2so6h 4 месяца назад

    Hapo tume kuhelewa sasa kp❤❤❤❤❤

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 4 месяца назад

    Welcome kenya ❤❤❤❤ kp tunakupeda sana

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 4 месяца назад

    Tunawapenda sana wapendwa kazi zenu nzr san

  • @MwanamisiAli-qz7sq
    @MwanamisiAli-qz7sq 4 месяца назад

    Hello kp na zebuu aki mnaweza

  • @Saif-y7m1y
    @Saif-y7m1y 4 месяца назад

    Apo saw nimekuelewa Ila mungengombana ingekuwa sio poa ila wafanye warundi tu jmn tumewamiss to ❤❤❤❤❤

  • @ChausikuJoseph-bd9fx
    @ChausikuJoseph-bd9fx 4 месяца назад +1

    Afadhali mpaka nimepumua kusikia hamjagombana jaman had raha

  • @MussamtituMussalwimikomtitu
    @MussamtituMussalwimikomtitu 3 месяца назад

    K p namimi niitaji kujiunga nanyinyi tufanye kazi pamoja

  • @XhxhccVfhhxh
    @XhxhccVfhhxh 3 месяца назад

    Na zeb karibuni Kenya nawapenda sana❤❤

  • @MauwaKhamis-b2m
    @MauwaKhamis-b2m 4 месяца назад

    Kp na zebuu nakupend Sana n Zanzibar nnjooni tumekumic cn mmwaaaaa

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 4 месяца назад

    Nimekuelewa kp nakupenda sana

  • @jacklineboiyo
    @jacklineboiyo 4 месяца назад +1

    Kp tunahitaji likoma na dibozi warudi kwa kipindi🙏🙏🙏

  • @Barakabudobi
    @Barakabudobi 3 месяца назад

    Unachelewesha sana kazi zako

  • @hannahmwenda3531
    @hannahmwenda3531 4 месяца назад

    Wow,karibuni Kenya❤

  • @samsonbaya4506
    @samsonbaya4506 4 месяца назад

    Kitoka Kenya much love

  • @SittaMnhogolo-dw3os
    @SittaMnhogolo-dw3os 4 месяца назад

    Ooooh ndiomaana wapo MASUMBWE GEITA

  • @LilianWaruguru-il4ls
    @LilianWaruguru-il4ls 4 месяца назад

    Karibu sana kenya twakupenda sana

  • @tashbenita4100
    @tashbenita4100 4 месяца назад

    ❤much love from kenya

  • @getrudezawadi184
    @getrudezawadi184 4 месяца назад

    nawapenda sana jamani hasa manuva🥰

  • @IsaacWafula-rj3re
    @IsaacWafula-rj3re 3 месяца назад

    Karibu sana brother

  • @MlongoChai
    @MlongoChai 4 месяца назад

    Wacha mungu awazidishie baraka

  • @GiftRobi
    @GiftRobi 4 месяца назад

    Nakukubari sana kaka karibu kenya

  • @LucyKaingu-ty5cq
    @LucyKaingu-ty5cq 4 месяца назад

    Karibu tena kp ❤❤❤❤❤❤❤❤😂

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu 4 месяца назад

    Asante sana kwa kutujulisha ukwell aisse

  • @Aysha-k7j
    @Aysha-k7j 3 месяца назад

    KP kujeni Kenya twawangoja

  • @JuliaAyuma-z5w
    @JuliaAyuma-z5w 2 месяца назад

    Kwani kp kwa magic book una mke na mtoto jamani

  • @evalineboit
    @evalineboit 4 месяца назад

    Karibu Kenya kp and zebuu

  • @puritysyombua-yc5zw
    @puritysyombua-yc5zw 3 месяца назад

    Karibu kenya sana kp na zebuu

  • @Fatumakayanda-ny3ml
    @Fatumakayanda-ny3ml 4 месяца назад

    Mnachelewesha sana sonaa

  • @ArafatRafii
    @ArafatRafii 3 месяца назад

    Jamn wew dad mtangazaj unaitw nan

  • @ANNAMdttz
    @ANNAMdttz 4 месяца назад

    Kazi yao inaitwaje jaman maan nawakubali wote

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 4 месяца назад

    Wakenya tunakupenda sana na tutaku sapot

  • @BhutemiMapalala
    @BhutemiMapalala 3 месяца назад

    Kp nimetuma saana maombi yakazi kwako lakini mbona hunipokei broo

  • @AshMart-ux5wd
    @AshMart-ux5wd 3 месяца назад

    Waskuma tuache jamani mchumba angu nmekumis

  • @DominicNzoka
    @DominicNzoka 3 месяца назад

    ❤ karbu kenya

  • @beatricechiro9772
    @beatricechiro9772 4 месяца назад

    Mob love from kenya

  • @alqaismwambala4629
    @alqaismwambala4629 4 месяца назад

    Sawa mzee baba

  • @dogom3328
    @dogom3328 4 месяца назад

    Njoo kenya bro unishtue niko Mombasa Naitwa Mwinyi

  • @MudyAboud
    @MudyAboud 4 месяца назад +1

    Naomb na mimi niwepo kin ugeni uo

  • @LoiceMapenzikenga
    @LoiceMapenzikenga 4 месяца назад

    Waah waja lini tukusubiri

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu 4 месяца назад

    Khery utupe ukweli daa maana tumechanganyikiwa na KP wa ZEBUU ukimulza ety wako na.wakat hatuwaon

  • @DeborahAyo-u4b
    @DeborahAyo-u4b 4 месяца назад

    Hatutaki wageni bwn nyie nyie mnatosha jmn🌹🌹

  • @StephenKozgei
    @StephenKozgei 4 месяца назад

    Ila tumewamisii❤❤❤❤❤

  • @teresahwanyonyi7570
    @teresahwanyonyi7570 4 месяца назад +2

    Tumemis suraji

  • @evalineboit
    @evalineboit 4 месяца назад +1

    Na suranji aako wapi

  • @BensonWafula-x1m
    @BensonWafula-x1m 4 месяца назад

    Uko sawa xn kp

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 3 месяца назад

    Tena wawaludishe atakama wamegombana

  • @jamesmusyimi3771
    @jamesmusyimi3771 4 месяца назад

    Nilikua na wasiwasi sana napenda sana likoma og

  • @khadijashabani-dj8zt
    @khadijashabani-dj8zt 4 месяца назад

    Jamani kp mimi huwa natamani sana niwenaigiza na ww ni nakuomba

  • @KipuaSpemba
    @KipuaSpemba 3 месяца назад

    Mbn mwanza hamkunambia nikawaoonee😢😢

  • @PRESENTER-VINCENT
    @PRESENTER-VINCENT 4 месяца назад

    Kiukweli nimeipenda hii Media,, Mimi nimesomea uandishi wa habari kwa ngazi ya cheti na naweza nikasema nipo vizuri kwenye reporting kama kutakuwa na gap 3:27

  • @peterkipkoech-6445
    @peterkipkoech-6445 4 месяца назад

    We need to see those two guys

  • @gatulwapaul4980
    @gatulwapaul4980 4 месяца назад

    Diboz na likoma jamani wapo tabora Shem gan