Kp babaa mm ni rozzy kutoka Kenya nmeskia upo tayari kuja kenya karbu sana tunakungoja tafadhali ututaarifu wakati wa kuja napenda kazi zako na team yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Habari ya mchana Mimi nami ni mmoja wa watu wanaofuatilia kazi zako kiufupi ni nzuri sasa umesema kunauwezekano wa kuongeza wahusika kwenye kazi mpya baada ya sonaa sasa Mimi nami kunasehemu Huwa ninaona kwamba kunasehemu zinakua zinahitaji wahusika wengine mfano last card naona kulikua kunahitajika gate Mani pale kwa libose nyumbani kwa mzazi kwa zebuu
Kiukweli nimeipenda hii Media,, Mimi nimesomea uandishi wa habari kwa ngazi ya cheti na naweza nikasema nipo vizuri kwenye reporting kama kutakuwa na gap 3:27
Kp nakupenda sana ❤❤Wacha mungu akupaliki kwa kazi Yako wapi likes za wakenya
Kwa kweli yupo sawa sana kp Kenya 🇰🇪 tunazipenda sana kazi zako
Oyiiiii
Waaah KP njoni KENYA twawakaribisha jaman ,,nimependa iyo
💗💗💗😍😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wooow apo kweli ukifika kenya tunaejoy sisi wakenya tunawapenda vila malipo kp karibu kenya mara kumi 😊😊😊😊
KP na nakupenda ww na Tim yako na sipendi ata mgombane❤❤❤❤❤❤
Kwenye sonaa story haijanoga kabisa Hawa miamba wawili pengo Lao limeonekana
Kp Kenya 🇰🇪 tunakupenda sana na twakakaribisha wewe n team yako huku kenya ❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪karibu sana kenya tunakugija kwa haamu sana 💗usiache dimboss na likoma na zebuu pia darkid na kisai na sheila na suraji 🤩🤩💖💖💖
Kaka kp na mm natamani na mm kuigiza ila sina mtu yeyote wakunisapoti nitashukulu sana ukiniunga team kp nawapenda bure zebuu
na wapenda sana zb kp na timu yako zima❤❤❤
Kweli wakenya tuko wengi kp tunakupenda,,, karibu nyumbani kenya🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Kp babaa mm ni rozzy kutoka Kenya nmeskia upo tayari kuja kenya karbu sana tunakungoja tafadhali ututaarifu wakati wa kuja napenda kazi zako na team yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kenya tuko poa Kp tunakupenda Sana alafu suraji Yuko wap....pia dibozi manuva digara jamani Mzee lLikoma Yuko wap... maajabu Sheila mwanangu 😂😂😂 namisi hiyo sauti Sana
Na suraji yuko wapi jamani😢
Nafulah kusikiya ivo Ila bila wao sana hainogi kbx
Kp Kenya twakugojea sana . Karibu sanaaa kenya
Karibu sana kenya 🇰🇪 tunakupenda
😂😂😂maaajabu ndio maana siwaoni kwenye sonaa
Nimesikia Kenya nikachangamka,,,,daah,,kumbe kp unatupenda,kwa kweli pia tunakupenda zaidi,,,uko Karibu na usimwache zebuu wangu jamani...welcomeeee😘😘
Kp karibu Kenya 🇰🇪 ni vile niko mbali ila ata mm ningewajoin one love😍😍😍😍
Kp tunakuombea Mungu ww na team yako yote..much love from kenya...karibu kenya team kp
Njooo Kenya please we need you heree please KP tunakuhitaji Sanaa huku tupo teleeeee❤❤❤❤
Karibu Kenya KP na kikosi chako twakupenda sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘😘😘😘😘
Karibu Kenya kp tunakungoja
Natamanii nigepataa hiyoo nafc ya ongezekoo apoo nataman san Maan Napendaa mnoo sanaa
Usisemee Ivoooo niha sema ❤❤❤❤❤❤ na WA miss aki
Karibu kenya kaka🇰🇪🇰🇪🇰🇪kenya nchi yenye maandhari mazuri🎉
Much love from Kenya kp💖💖
Tuliwamiss sana
Wow karibu Kenya!!!! We love you mwaaaaaah,,!!!!!
Habari ya mchana Mimi nami ni mmoja wa watu wanaofuatilia kazi zako kiufupi ni nzuri sasa umesema kunauwezekano wa kuongeza wahusika kwenye kazi mpya baada ya sonaa sasa Mimi nami kunasehemu Huwa ninaona kwamba kunasehemu zinakua zinahitaji wahusika wengine mfano last card naona kulikua kunahitajika gate Mani pale kwa libose nyumbani kwa mzazi kwa zebuu
Karibu Kenya ndugu yetu❤❤❤🇰🇪🇰🇪🥰
Afadhali umetueka wazi sas maan likua wantup stress kw kutowaon haw watu wape salam wmbie tumewmiss sana n sn❤❤❤❤❤
Ooh karibu sana kwetu kenya ingawaje siko huko kwa sasa ila ukiwatembelea nitafrai sana
Kp. Suraji. Akowap. Mbona nayeye hatumuoni. 😢😢😢
Kwa hiyo series tutafurahi kuwaona likoma na dipozi manuvaa❤
Hongera sana KP 🥰🥰🥰
Daaah ila wale wazee wananogesha sana muvi haki tena❤😂
😊karibu 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 kp twakupenda sana
Kp Love your Team Bro niko kenya Mombasa mm ndi Actor mkeni nio na RUclips chanel naitwa John baraza de tyson nijukue unifunze kazi bro
Kp mimi niko but niko kenya natamani kujiuka na nyinyi ❤❤❤❤
I wish nijiunge nao pia nami
Karibu karibun kenya sana jameni twawakaribisha. Japo nko mbali kidogo ila cku mngekua nngekua pia nataman kujiunga nanyii ila nko mbalii
Nakubali San KP huna baya boss 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤ kenya tuma kugoja sana sana mimi sijawai selewa Ata
Karibu sana kenya kp na zebu tunawapenda sana❤
From this side kenya,,rudini kama zamani bwanaa mutumalizie epsode mulizoacha
Njooni wanangu twawa penda sana one love ❣️
Kaz nzuriiii aasanaaa
Wapi kelele ya wakenya weweeeeeeee💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
Hapo tume kuhelewa sasa kp❤❤❤❤❤
Welcome kenya ❤❤❤❤ kp tunakupeda sana
Tunawapenda sana wapendwa kazi zenu nzr san
Hello kp na zebuu aki mnaweza
Apo saw nimekuelewa Ila mungengombana ingekuwa sio poa ila wafanye warundi tu jmn tumewamiss to ❤❤❤❤❤
Afadhali mpaka nimepumua kusikia hamjagombana jaman had raha
K p namimi niitaji kujiunga nanyinyi tufanye kazi pamoja
Na zeb karibuni Kenya nawapenda sana❤❤
Kp na zebuu nakupend Sana n Zanzibar nnjooni tumekumic cn mmwaaaaa
Nimekuelewa kp nakupenda sana
Kp tunahitaji likoma na dibozi warudi kwa kipindi🙏🙏🙏
Unachelewesha sana kazi zako
Wow,karibuni Kenya❤
Kitoka Kenya much love
Ooooh ndiomaana wapo MASUMBWE GEITA
Karibu sana kenya twakupenda sana
❤much love from kenya
nawapenda sana jamani hasa manuva🥰
Karibu sana brother
Wacha mungu awazidishie baraka
Nakukubari sana kaka karibu kenya
Karibu tena kp ❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Asante sana kwa kutujulisha ukwell aisse
KP kujeni Kenya twawangoja
Kwani kp kwa magic book una mke na mtoto jamani
Karibu Kenya kp and zebuu
Karibu kenya sana kp na zebuu
Mnachelewesha sana sonaa
Jamn wew dad mtangazaj unaitw nan
Kazi yao inaitwaje jaman maan nawakubali wote
Wakenya tunakupenda sana na tutaku sapot
Kp nimetuma saana maombi yakazi kwako lakini mbona hunipokei broo
Mbona huniamini baby
Waskuma tuache jamani mchumba angu nmekumis
❤ karbu kenya
Mob love from kenya
Sawa mzee baba
Njoo kenya bro unishtue niko Mombasa Naitwa Mwinyi
Naomb na mimi niwepo kin ugeni uo
Waah waja lini tukusubiri
Khery utupe ukweli daa maana tumechanganyikiwa na KP wa ZEBUU ukimulza ety wako na.wakat hatuwaon
Hatutaki wageni bwn nyie nyie mnatosha jmn🌹🌹
Ila tumewamisii❤❤❤❤❤
Tumemis suraji
Na suranji aako wapi
Uko sawa xn kp
Tena wawaludishe atakama wamegombana
Nilikua na wasiwasi sana napenda sana likoma og
Jamani kp mimi huwa natamani sana niwenaigiza na ww ni nakuomba
Mbn mwanza hamkunambia nikawaoonee😢😢
Kiukweli nimeipenda hii Media,, Mimi nimesomea uandishi wa habari kwa ngazi ya cheti na naweza nikasema nipo vizuri kwenye reporting kama kutakuwa na gap 3:27
We need to see those two guys
Diboz na likoma jamani wapo tabora Shem gan