Actually interview ni Nzuri Ila Kuna baadhi ya Makosa Nitayainisha Hapa Ili Mjipe Wereji kwenye kazi zijazo. 1: Kp Ukichukua hii interview au Mahojiano Kisha Ukayaweka kwenye Tv na Ukaunganisha na Sabufa hakika sauti itakayo boa Ni kuongea huku unatafuna Banzoka remember kuwa wewe ni Public figure so Si vyema Kuongea ikiwa unakula Kitu kitoacho sauti ya kutoa attention 2: Host wa kipindi for this Time ameboreka Kiasi japo anakosa concentration/ umakini wa kuzingajita Maswali ya kujirudia Mfano kina Sehemu mbili ameuliza swali lililo jibiwa : Example kwenye wi-fi. Mfano wa pili ni kwenye favourite social media ambazo Kp anapenda kazitaja then swali limejirudia tena so umakini unatakiwa kuzingatiwa kama kwenye movie 3.....
Wakwanza kutoka Kenya...likes zanguuu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaka nipo pamoja nanyi nawakubali sana
Leo nimekuwa wa kwanza
Nakubali San watu hotoka mbali na mimi day moja nitapita njia za kp inshaallah
Actually interview ni Nzuri Ila Kuna baadhi ya Makosa Nitayainisha Hapa Ili Mjipe Wereji kwenye kazi zijazo.
1: Kp Ukichukua hii interview au Mahojiano Kisha Ukayaweka kwenye Tv na Ukaunganisha na Sabufa hakika sauti itakayo boa Ni kuongea huku unatafuna Banzoka remember kuwa wewe ni Public figure so Si vyema Kuongea ikiwa unakula Kitu kitoacho sauti ya kutoa attention
2: Host wa kipindi for this Time ameboreka Kiasi japo anakosa concentration/ umakini wa kuzingajita Maswali ya kujirudia Mfano kina Sehemu mbili ameuliza swali lililo jibiwa : Example kwenye wi-fi.
Mfano wa pili ni kwenye favourite social media ambazo Kp anapenda kazitaja then swali limejirudia tena so umakini unatakiwa kuzingatiwa kama kwenye movie
3.....
Jamani kp tema big G😂😂😂
Shabiki mkubwa from Kenya 🇰🇪🇰🇪 msalimie Zebuu😅😂
Nakukubali mwamba
KP usitoboe masikio mwanamme hatoboi madikio
KP usitoboe masikio kwani mwanamme hatoboi masikio tunakupenda mmashabiki zako
Acha kutafuna bhana eleweka 🤣
Nimewahi🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kp wa Aquino
Murly bby hahahah wajna cjaskia kumtaja
Karibuni singida❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Love You kp na zebuu
Izo memes Ndio nn atilupe mfano sie washamba na tukizitaka twazipata wap
😂😂😂😂😂
Rast kard nikali Sana mwambie atoe Kama hii tena
Ko uyo dada ni ndugu yako?
🌿🌸
𝙟𝙖𝙢𝙚𝙣𝙞 𝙩𝙪𝙥𝙤 𝙥𝙖𝙢𝙤𝙟𝙖
❤
😂😂Mimi niliuziwa sabuni kwa laki na elf 50
Hata mimi naweza mchaĝulia wamangushi na Last card. Hizo ni motomoto
Tuketee likoma na dibozi
Kp huyu bila shaka atakua dadako au vipi mbona mwafanana hadi pua