Kp na zebuu _ Pata potea

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • #kpcomedy #kp #kpnazebuu

Комментарии • 228

  • @ReubenSagwe
    @ReubenSagwe 2 дня назад +1

    mkenya yeyote ndan ya mjengo,,,,mkisii😮😮

  • @mwanashahamisi650
    @mwanashahamisi650 2 года назад +20

    Waaaaaaah!!!!!!🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂uyu zebuuu yuko mbele sana na dakika kumi 🤣🤣😂😂😂nimempenda sana 🥰🥰😘

  • @eda5525
    @eda5525 2 года назад +10

    🤣🤣kp na zebuu nawapenda bure wapendwa wanguuuu

    • @kpwaaquino
      @kpwaaquino  2 года назад +2

      😍😍

    • @BlacketSmith
      @BlacketSmith 4 месяца назад +1

      ​@@kpwaaquinosasa kp mapenzi nizebuuuuu tu kila frime

  • @emmaculateakinyi488
    @emmaculateakinyi488 2 года назад +2

    😂😂🤪🤪leo mumenivunja mbavu,mtego wa panya hunasa waliomo na wasiyokuwemo

  • @StarDinyo-v6s
    @StarDinyo-v6s Год назад +2

    Yaani mganga😂😂😂😂 atariii kulambere

  • @RaymondDeogratias-bw3of
    @RaymondDeogratias-bw3of Год назад +3

    💖💖💖💖💖💖💖💖💖 forever we dear good work for zebu na kp and others

  • @nancymakau
    @nancymakau Год назад +1

    Uuuuu!!!!!!,, 🤣🤣kmeumana kweli 🤣🤣

  • @maliamjuma9376
    @maliamjuma9376 2 года назад +1

    Ongereni mnajuakutufurahixha kp na zebuu pongezi kwenu nawapenda👍💞🙏😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂🙌

  • @METRINEOKELLO
    @METRINEOKELLO 2 месяца назад

    Zebuu wew n mweruvu sana walai 😂😂😂😂😂😂hiyo mwasho atari

  • @lindauma982
    @lindauma982 2 года назад +2

    Hahaha 🤣😂🤣😂🤣😂🤣 jamani kp na zebuu nawapenda bure nyinyi

  • @EPIMARKFAUSTINE
    @EPIMARKFAUSTINE Месяц назад

    Kp naomba nione basi mdogo wako🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SteveChacha-j4z
    @SteveChacha-j4z Месяц назад +1

    Hawa ni wakuu❤❤❤

  • @nobertyohani5637
    @nobertyohani5637 2 года назад +2

    🤣🤣🤣😹😹😹. Umetisha🙌🙌🙌 🤣🤣😂😂

  • @NeemaMbuji
    @NeemaMbuji 8 месяцев назад

    🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu jnm nyinyi daaaa hongel kwa kazi nzuri

  • @EstherEphulahm
    @EstherEphulahm 8 месяцев назад +5

    Kp na zebuu pokeeni hongera zanguuu Kwa Kaz nzuri

    • @ShaniTito
      @ShaniTito 8 месяцев назад

      Zebuu🎉🎉🎉 anaguu la biaa

  • @esternaftary6420
    @esternaftary6420 2 года назад +4

    Hahaha kimeumana leo

  • @eliphasethobias1133
    @eliphasethobias1133 Год назад

    Hahaaaaaa
    Nimecheka mm jamaniiiii🤣🤣🤣😂😂 na aliyepoteza kawashwa na mganga dibozii kawashwaaaaa
    Mpk aliyeokota pesa hajafahamika
    Isipokua sisi watazamaji ndo TUMEJUA aliyeokota ni zebuuu
    Nawakubali sana nyie 🎉👏 Congrats

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 6 месяцев назад +1

    Nyie watu nawakubali sana toka kitambo😂😂😂

  • @VeraveshWambembe
    @VeraveshWambembe Год назад +3

    Nawapenda Bure zebuu na kp❤❤

  • @smakas7391
    @smakas7391 2 года назад +6

    Jamani Mimi nasubili jibu nani sasa kaokota maana wote mmekipata Cha moto lakin mganga hataki kuacha soda😂🕺🕺

  • @Family-i2d
    @Family-i2d Год назад

    Haaaaas😂😂😂 PATA potea kweli

  • @FurahaJacob-d7u
    @FurahaJacob-d7u 2 месяца назад

    😂😂😂Uuuuwiiii jameni congrats ❤❤

  • @EmmalineKajura
    @EmmalineKajura Год назад

    Haaaaahahah nimependa hiyo daaaah mpo vzr

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukiiba kula na wenzako 😂😂😂ukomeshe pia wao hawajaiba ila wanakiwasha hata mganga 😂😂😂😂😂

  • @FatimabibiBibi-p5w
    @FatimabibiBibi-p5w Год назад

    😂😂😂😂Zebu weee noma

  • @sharifarajabu6185
    @sharifarajabu6185 2 года назад +6

    🤣Yan mganga anajikuna araf anaendelea kunywaa🤣

  • @rollinesilvery8547
    @rollinesilvery8547 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂 mganga kavunga lkn kashinfwa 😅😅😅😅😅

  • @maliamjuma9376
    @maliamjuma9376 2 года назад

    nmecheka adi mavhozi kwenye kuwaxhwa daah mumetisha xana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 watu nambinu zenu daah hatar xana

  • @NaomiNgute-gu8wc
    @NaomiNgute-gu8wc 8 месяцев назад

    Hata mgaga awaxhwa,,,,,,😂😂😂😂😂 jameni mtanivunja mbavu

  • @gaf9874
    @gaf9874 Год назад +2

    Nawapenda bure zebuu na kp❤❤❤

  • @MariamNelson-mj7gu
    @MariamNelson-mj7gu 9 месяцев назад +1

    waooooh kazi nzuriiii

  • @winniemwaka3202
    @winniemwaka3202 17 дней назад

    Kimekuramba😅😅😅kp😅😅😅😅😅zebuu🎉🎉🎉mauwa kwako

  • @sylviambegu9107
    @sylviambegu9107 2 года назад +1

    Sema kimeumana🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️😂😂😂😂😂😂

  • @MadamSaumu
    @MadamSaumu Год назад +1

    Its just like mama and dady kama hamjui kingereza mtajiju😢😢😢😢😢

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂 unyoya una upuou😂😂

  • @NuratKaroyo
    @NuratKaroyo 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 nimewapenda bure jmani mbavu zangu

  • @rozina2161
    @rozina2161 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣😂😂😂Zebuu mjanja akawabadika misoda ili wadhirike wotee ata mganga😅😅😅😅😅😅

  • @Aisha-zz4xy
    @Aisha-zz4xy Год назад

    Yani huyo mganga soda yamuwasha lakini bado anaendelea kunywa😂😂😂😂

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад

    Hahahaa jamaniniiiii polen kwa kuwashwa

  • @everlynlyn7863
    @everlynlyn7863 Год назад

    Zebuu ukimuona mganga msalimie sana maana nacheka kupita kiasi 😂😂😂😂😂

  • @AshaChuma-w5f
    @AshaChuma-w5f Год назад

    Hahahahahha nimeanza kucheka kabla unyoa haujashuka chini

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 moto juu ya moto😂

  • @MunyaoJulius
    @MunyaoJulius Год назад

    😂😂😂😂😂😂akh nyinyi jmn wanaume wa siku izi mtu anasema hana pesa

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 Год назад

    😂😂😂😂😂😂yani mteko wakamata waliomo na wasiyekuemo😂😂😂😂

  • @JazilaAthuman
    @JazilaAthuman 5 месяцев назад

    Nawapendaaaa sanaaaa kp & zebuu

  • @LibraLyrics
    @LibraLyrics 2 года назад +2

    Hafu Casid anaendelea kunyw hapo mwisho 🤣🤣🤣

  • @stitore2388
    @stitore2388 7 месяцев назад

    Zebuuuu oyeeeee n'a kupenda sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +1

    Pesa ishanunuliwa soda🤣🤣❤

  • @samuelnthia8858
    @samuelnthia8858 8 месяцев назад

    Movie nzuri sana yamzee likoma na Dibozi😅

  • @AAA-xc9os
    @AAA-xc9os 2 года назад

    Wameingia cha kike wote😂😂🤣😂😂

  • @SkolaMasanja
    @SkolaMasanja 10 месяцев назад

    Kp na zebuu nawakubali Sana vp mbna mpo kimy Sana kuhus mov

  • @halimakanga-u1j
    @halimakanga-u1j Год назад

    Hahaa sasa watajua nani abeokuta wakati wote wawashwa

  • @TasinimuAlly-pm3vg
    @TasinimuAlly-pm3vg Год назад

    Hahahaa muwasho aujamuacha mganga sarama Hahahaa

  • @GraceHenry-g6f
    @GraceHenry-g6f 3 месяца назад

    aky Mimi nafurahishwa na uigizaji wenu sasa nani kaokota pesa 😂😂

  • @aminaabdulrahman5184
    @aminaabdulrahman5184 8 месяцев назад

    Na mganga anawashwa 😂😂😂😂

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu4299 2 года назад

    😂😂🤣Zebuu kwani unalisha misukule.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 9 месяцев назад

    Nawapenda wote ila nacheka sana😂😂😂😂😂

  • @SashaJr-ly2fu
    @SashaJr-ly2fu 11 месяцев назад

    😂😂😂😂zebuu amecheza kama pere

  • @roselynekubo1035
    @roselynekubo1035 2 года назад

    Mtatuua jameni Zebu na KP maisha marefu aiseeh mnanibamba

  • @QueenBaby-mv4px
    @QueenBaby-mv4px 8 месяцев назад

    Mmmmmh 😂😂😂😂😂iyo nmeipenda iyo

  • @gracewanjala769
    @gracewanjala769 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣mganga bado anakunywa too

  • @noreennafula-zj8zp
    @noreennafula-zj8zp 3 месяца назад

    😂😂😂😂my day maker🎉

  • @marynamachanja1836
    @marynamachanja1836 Год назад +1

    Kp utaniua 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @crimildomarcosxiriza3444
    @crimildomarcosxiriza3444 Год назад

    😂😂😂zebuu unae akili sanaa

  • @mwendemutua3063
    @mwendemutua3063 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kali hio

  • @maimunadi0918
    @maimunadi0918 2 года назад

    Kienyeji yaitwaje iyo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EsterJoseph-dp8tm
    @EsterJoseph-dp8tm Год назад

    Nawapenda sana kp na zebuu ❤❤❤

  • @MensiaTemba
    @MensiaTemba 5 месяцев назад +1

    Zebuu dada angu we una akili ndomaana nakupenda

  • @Teddypaul1370
    @Teddypaul1370 Год назад

    Diboz anàkunywa soda huku akijikuna😂

  • @KimKim-xs6sh
    @KimKim-xs6sh Год назад

    Zebuu kunywa sodah 😂😂😂😂😂

  • @TestTest-mv7qg
    @TestTest-mv7qg 7 месяцев назад

    Waoo jamn mumetishaaaaa❤

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva 5 месяцев назад

    Nikweli kijukuu cha mtume 😂😂😂😂zebuu

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 2 года назад +9

    Zebuu nakupenda bure yani una akili ww💞

  • @NaomiNgute-gu8wc
    @NaomiNgute-gu8wc 8 месяцев назад

    Zebuu utanimaliza 😂😂😂

  • @badeuxkyubwa216
    @badeuxkyubwa216 2 года назад +2

    Munachekesha kimyama😁😂😂😂😂😂

  • @makamehassanbakar7308
    @makamehassanbakar7308 2 года назад +1

    Hhhhhh duh haya nani kaiba sasa maana mganga nae kawashwa hya mganga tupe jibu nani kaiba?

  • @florahmwalongomwalongo4633
    @florahmwalongomwalongo4633 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣mganga anashushia tena

  • @janetkithi775
    @janetkithi775 Год назад

    Cheka unenepe jmn😂😂😂😂

  • @muzukuluking6689
    @muzukuluking6689 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂olive you so much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jabiljust4723
    @jabiljust4723 2 года назад +2

    Kimeumana😂🤣

  • @faudhiayarocki113
    @faudhiayarocki113 2 года назад +2

    Kimeuma ,,😂😂😂😂

  • @SalmaRamadan-yo2zt
    @SalmaRamadan-yo2zt 10 месяцев назад

    Mtatumaliza vituko vyenu❤

  • @YohanaMageni-m5t
    @YohanaMageni-m5t 3 месяца назад

    Nawapenda sana nyie waigizaji mungu azid kuwaongoza na kuwapatia ujuz zaid

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад

    Kwan umekunywa soda ya pesa zako 🤣🤣🤣

  • @martinkapituka1820
    @martinkapituka1820 2 года назад +1

    Mtatuvunja mbavu jaman

  • @merysampa126
    @merysampa126 2 года назад +2

    Nimechoka Hadi sio poa jaman

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣zebuu bwana

  • @zuenafrancis9923
    @zuenafrancis9923 Год назад

    😂😂😂😂 nakupend zeb

  • @HellenaMissana
    @HellenaMissana 7 месяцев назад

    ❤❤nakupenda keip

  • @Christine-k5f
    @Christine-k5f 8 месяцев назад

    Maasai ataangushiwa mzigo

  • @KaliminjuKati
    @KaliminjuKati 8 месяцев назад

    Hongeren kwa kaz yenu nzuli🎉😮😅

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 Год назад

    Jamani Zebuu sasa tujue nani ni nani hapo yani nmecheka tu tana

  • @YasminAthman
    @YasminAthman 4 дня назад

    😂😂😂jmn mie cina mbav saf san zebuu

  • @nancymakau
    @nancymakau Год назад

    Zebuu😅...nmependa io

  • @PeterSanga-i5u
    @PeterSanga-i5u 6 месяцев назад

    Nawapend bure kp na zebuu

  • @maliamjuma9376
    @maliamjuma9376 2 года назад

    Mganga ana miguu mizur kucha zake na fero zake zmexhiba ongera

  • @MagrethLwila-iu1qw
    @MagrethLwila-iu1qw 7 месяцев назад

    Nakupenda zebuu

  • @RehemaNyule-gr6dr
    @RehemaNyule-gr6dr Год назад

    😂😂😂😂😂zebuu juu

  • @LivingstoneNdayishimiye
    @LivingstoneNdayishimiye 10 месяцев назад

    Vyiza cane nino BURUNDI tunawasikiriza

  • @PeterSanga-i5u
    @PeterSanga-i5u 6 месяцев назад

    Nakupend zebuu