Hii interview bado inamhitaji mtulivu mmoja ivi ili Mr Chambulo atupe madini yake ipasavyo, amegrow vipi, kapita ktk njia zipi, akaunti zake zilifungwa kwasabbu gani, wakati zimefungwa maisha yake yalikuwaje, zilifungwa ktk utawala gani na alichukua jitihada zipi mpaka akauti kufunguliwa nk
Kabisa......... Najiuliza Zungu Safari ya Dar mpaka Manyara icho ndo ameona kinatosha. Kunaaja yakujitafakari waandishi wetu umekua ugonjwa content zinakua na ombwe, jaribuni kumaliza kiu yawatazamaji, tuone tija ya vyombo vyetu vyahabari tusisubiri BBC na watu kutoka nje ndo wafanye iyokazi yakumaliza kiu yawatazamaji.
" MAMA HATAKI DHULMA" nimeipenda kwani Imeandikwa na Imamu Abu Hurayra; "Dua ya mdhulumiwa hupokelewa, kuhakikiwa na kurudishwa duniani haraka kwa utekelezaji wa mapigo dhahiri kwa dhulumati machoni pa walimwengu kabla ya hukumu yake Akhera ambayo ni fidia kwa madhambi binafsi ya Mdhulumiwa kupitia amali njema ya Sala, suna, sadaka na zaka za Dhulumati alizojiwekea duniani wakati wa uhai wake"
@@felixmathias6362tatizo la watanzania hawaamini Kama uwezekano wa kufanya kazi ukapata pesa upo hivyo kila wanaemuona anaefanikiwa si kwa Hali ya kawaida
Hayo ndo matatizo ya Watanzania wengu , hata huku Ulaya, wakikuona unajituma na unamaendeleo , yanaanza majungu na wivu, lakini unaweza ukajifunza kitu kutoka kwa huyu mfanyabiashara .
Najiuliza Zungu na team yote, Safari ya Dar mpaka Manyara icho ndo mmeona kinatosha. Kunaaja yakujitafakari waandishi wetu umekua ugonjwa content zinakua na ombwe, jaribuni kumaliza kiu yawatazamaji, tuone tija ya vyombo vyetu vyahabari tusisubiri BBC na watu kutoka nje ndo wafanye iyokazi yakumaliza kiu yawatazamaji.
Hii interview bado inamhitaji mtulivu mmoja ivi ili Mr Chambulo atupe madini yake ipasavyo, amegrow vipi, kapita ktk njia zipi, akaunti zake zilifungwa kwasabbu gani, wakati zimefungwa maisha yake yalikuwaje, zilifungwa ktk utawala gani na alichukua jitihada zipi mpaka akauti kufunguliwa nk
Duu unaakili kama computer 👍👍👍😮😮😮
Kabisa.........
Najiuliza Zungu Safari ya Dar mpaka Manyara icho ndo ameona kinatosha. Kunaaja yakujitafakari waandishi wetu umekua ugonjwa content zinakua na ombwe, jaribuni kumaliza kiu yawatazamaji, tuone tija ya vyombo vyetu vyahabari tusisubiri BBC na watu kutoka nje ndo wafanye iyokazi yakumaliza kiu yawatazamaji.
Wewe jamaa unafaa kuwa mhariri...uko vzr..fupi sana
Yes
Yaaa
Tajiri hana mbambamba big up 🎉🎉🎉
Babu chambulo yuko smart Sana hana mbamba mba
Iyo ni safi sana sijuwi kama umenielewa
" MAMA HATAKI DHULMA" nimeipenda kwani Imeandikwa na Imamu Abu Hurayra; "Dua ya mdhulumiwa hupokelewa, kuhakikiwa na kurudishwa duniani haraka kwa utekelezaji wa mapigo dhahiri kwa dhulumati machoni pa walimwengu kabla ya hukumu yake Akhera ambayo ni fidia kwa madhambi binafsi ya Mdhulumiwa kupitia amali njema ya Sala, suna, sadaka na zaka za Dhulumati alizojiwekea duniani wakati wa uhai wake"
Wewe mwandishi umesoma wapi hata kuandika lugha yako ya kiswahili hujui, 'kuaribu' maana yake nini
Jamaa Yupo very Smart...
Nimempenda ❤
Very smart
❤❤
Masha Allah ❤❤❤nilifatilia❤
Ayo angekuwa tungepata nondo za kutosha kwa huyu smart man
Mzee yuko straight sana, hana mbanga mingi, hana uongo uongo wa kipuuzi
Zungu vipi bana vitu vyamaana unaweka dk 2,,,zuchu akibeba mabegi siku mbili online,,zalau izo
mtangazaji kuna sehem umetukatili hii ilikua ni nafas ya kujifunza mambo mengi zaid
Mr chambulo anapaswa kuhojiwa na Millard Ayo au Mr Lambert wa dar mpya TV ndio tutapata madini stahiki.
Kabisa. Inabidi tupate interview ya dakika 40 uso kwa uso kati ya Millard Ayo na Wilbert Chambulo.
Warudishe huo Mkondo wa Maji kule Mdori mana Mfaransa ndo aliba Korongo maji yakahama
Naombeni like zenu sijui kama mmenielewa😅
Nikwamba na omba kaz hapo sijuwi kama umenielewa
Lambert anahitajika huku amhoji huyu mzeee. Lambert popote ulipo jitokeze
Mwamba nakubali sana huyu
Nitumie nafas hii kuomba kaz kwa jamaaa hapo
Jiongeze nenda kamuone mwenyew
Ni wapi
Karatu, ulizia njiapanda hoteli ya kibo kwa kaburu
Siyo mdori tena
Pembe za ndovu na meno ya tembo apo vipi?
Jamaa ni namba nyingine. Acha wivu, kama unataka kujifunza maisha kafanye kazi kwake. Jamaa ni jembe. Nadhani wewe ni mgeni wa arusha
@@felixmathias6362tatizo la watanzania hawaamini Kama uwezekano wa kufanya kazi ukapata pesa upo hivyo kila wanaemuona anaefanikiwa si kwa Hali ya kawaida
Jamaa anafanya kazi huyu aisee acha kabisa ni mtu wa juhudi kubwa sana. Hana mizengwe
Hayo ndo matatizo ya Watanzania wengu , hata huku Ulaya, wakikuona unajituma na unamaendeleo , yanaanza majungu na wivu, lakini unaweza ukajifunza kitu kutoka kwa huyu mfanyabiashara .
Mbona fupi sana
Ukitaka ndefu nenda arusha
"Sijui kama umenielewa" Hii naichukua. Naanza kuitumia tangu leo terehe 26/05/2025. Naanza leo sijui kama umenielewa hapo.
Mwakani siyo
Mtangazaj anasaut yakutangaz
Najiuliza Zungu na team yote, Safari ya Dar mpaka Manyara icho ndo mmeona kinatosha. Kunaaja yakujitafakari waandishi wetu umekua ugonjwa content zinakua na ombwe, jaribuni kumaliza kiu yawatazamaji, tuone tija ya vyombo vyetu vyahabari tusisubiri BBC na watu kutoka nje ndo wafanye iyokazi yakumaliza kiu yawatazamaji.
Unapata nafasi ya kuongea na mtu mkubwa kama huyu alafu una wenge na kujifanya mjuaji. Failed interview
zungu chukua maua yako
Hapo ni kijiji cha mdori karibu na minjingu